AMINA baba libarikiwe tumbo lililokuzaa, namtukuza sana Mungu pia Kwa kunikutanisha na mtumishi wake hakika umekuwa msaada tena sana kwenye nchi hii ya utaumwa 🇸🇦🇸🇦🇰🇪❤️
Mwakasege is one of the greatest men of God in Tanzania and in the world an he is HUMBLE. hajawahi kutafuta kutambulika au kuheshimiwa ila MUNGU anamheshumisha. Very humble man of God
Asante sana Mungu baba Kwa kutupa mtumishi wako Christopher Mwakasege Africa na Dunia nzima watu wanampokea YESU KRISTO kuwa Bwana na mwakozi wa maisha yao kupitia mahubiri ya injili isiyogoshiwa.
Haleluya nimebarikiwa asante Mungu Baba kupigana nao wanao pigana nami pokea utukufu wote, heshima na sifa zote. Mungu Baba akubariki na akukumbuke na kukuongeza wewe na uzao wako tutamhimidi Bwana daima. ZABURI 115:12-18.
Amen nimemuona mungu Kwa kweli waliotegemea nitaacha biashara yangu,lakn mungu wangu alivyo mkuu,wameondoka wao,Asante yesu Kwa kweli umejua kunipgania,
Hapa nimekula nimeshiba miaka mingi kwako ili unilee bdo nimchaga hata kukaaa bdo hivyo nimaombi yngu kwa Mungu akupe maisha marefu ili unikuze baba
Mungu akubariki mwl.uliyefanywa na Mungu kuwa Mkuyu kwangu, asante Kwa mafundisho haya yenye upako kwangu na familia,Amen
AMINA baba libarikiwe tumbo lililokuzaa, namtukuza sana Mungu pia Kwa kunikutanisha na mtumishi wake hakika umekuwa msaada tena sana kwenye nchi hii ya utaumwa 🇸🇦🇸🇦🇰🇪❤️
Ee Mungu endelea kumtunza huyu mtumishi wako Amina.
Ubalikiwe sana baba
Haya yamenigusa Mimi kabisa
Hakika Hatuna haja ya kuwa Na hofu
Ikiwa Mungu yupo upande wetu
Sio TU kwamba tunasikiliza lakini zaidi sana tunaelewa kwa kweli Mungu ni mwema sana tunamshukuru sana
Amen Mwl. Asante YESU kwa somo zuri sana . Ubarikiwe MTUMISHI wa MUNGU na MUNGU akupe maisha marefu sana kwa ajili ya kanisa sawa na mapenzi yake
Glory to God 🔥🔥🔥 ACHA Mungu afanye jambo kwa maadui zangu ofisi wakujue wewe ni MFADHILI WANGU mkuu kwenye KAZI na Nafasi ofisin kwangu🙏✍️
Ameni ameni 🙏 Nabalikiwa Sana
Mwl
Bwana Yesu akupereke viwango vya juu kabisa
Mwakasege is one of the greatest men of God in Tanzania and in the world an he is HUMBLE. hajawahi kutafuta kutambulika au kuheshimiwa ila MUNGU anamheshumisha. Very humble man of God
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu. Mungu wetu akulinde ili utulishe Neno la Mungu
Asante sana Mungu baba Kwa kutupa mtumishi wako Christopher Mwakasege Africa na Dunia nzima watu wanampokea YESU KRISTO kuwa Bwana na mwakozi wa maisha yao kupitia mahubiri ya injili isiyogoshiwa.
Nondo za huyu Mwl. Mwakasege yaaani ni mwisho ukiziaaply lazima wakae wanabaki na labda.
Kabisa
Mungu akubariki uwe na uhai mlefu vizazi Hadi vizazi
AMEN! Mungu ni mwaminifu sana🙌
Haya anayo sema nimeyashuhudia kazini kwangu, nakudisha utukufu kwa MUNGUamen
Ahsante Yesu kwa neno la kupitia Mtishi huyu Amina.
Ameeeni nimepokea nguvu tena Mungu akutunze babaangu
Haleluya nimebarikiwa asante Mungu Baba kupigana nao wanao pigana nami pokea utukufu wote, heshima na sifa zote. Mungu Baba akubariki na akukumbuke na kukuongeza wewe na uzao wako tutamhimidi Bwana daima. ZABURI 115:12-18.
Amen mtumishi wa Mungu. Mungu aendelee kukutunza
Mungu akubariki Sanaa .Mungu akuinue kwa viwango
Mungu Mkuu asifiwe sana kwakweli tunaendelea mbele kwa ajili Neno la MUNGU liletalo uzima katika Roho zetu lipo nasi tupate kupona, tupate kuokoka
Amina kubwa sana.mungu azid kuktumia zaid na zaid
Nakupenda sana mwalimu God bless
Ameen MUNGU type utiisho ndani yaetu Kila tupitapo maadui wakuone ww na Wala sio sisi🙏
Ahsantee sana mwalimu umesema na Mimi kabisaaa Mungu azidi kukubariki nawe utupe baraka zako Amina
Amina amina barikiwa na Yesu Kristo Babaangu nakutakia ufanisi mwema wakuendele kutufikia
Barikiwa sana mwalimu Ni neno la kuaminiwa Ni kweli na Amina.👏🏼👏🏼
Amen. Wataondoka wenyewe waniache...
Amen
Amina mtumishi wa mungu nashiba kweli kwel
Mungu ukupe siku nyingi mtumishi
Hakika Yesu tunakuishi KUPITIA watumishi wako iliyowaamini🙌🙌🙌🙌
Amen hapo kwenye kazi ni mim na pigwa vita adi natumiwa mavitu ya kutisha adi nimeacha kumbe nimekosea kuacha
Ooor haleluya haleluyaa utukuzwe Mungu
Amina
Amen 🙏 mtumishi nimebarikiwa
Amen, ubarikiwe mtumishi wa Mungu alie hai.
Amen nimemuona mungu Kwa kweli waliotegemea nitaacha biashara yangu,lakn mungu wangu alivyo mkuu,wameondoka wao,Asante yesu Kwa kweli umejua kunipgania,
Ameen NENO hili langu napokea kwa jina la YESU KRISTO
Neno la wakati, Asante Yesu napokea katika Jina la Yesu
Ubarikiwe mtumishi naomba katka maombi haya mungu aniguse Leo asinipite
Amen Asante mtumishi nimebarikiwa sana na ujumbe huu Mungu akutunze na kuendelea kukutumia
Mungu alibariki baba tunapokea
I'm a Catholic Believer but my self I'm proud of you mwl. Mwakasege❤❤❤❤❤
Same
Amen Mungu atapigana na adui zangu na kunifanya salama
Baba wa Kiroho wa Taifa letu Mungu akutunze baba
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen nabarikiwa sana
👏👏👏, Utukufu kwa Yesu 🙏
Hapa nimepata fungu langu lililo jema ktk maisha yangu ndani ya Ukristo
Nataman Mungu asimchukue mwaka Sege Wala asizeekee
Mungu wetu anasamehe na kusahau kama tukitubu kwa kumaanisha…
Waooooh Glory to God, Glory to God
Ubarkkiwe sana ,Mtumishi wa Mungu,nakuelewaga sana mimi
Parole édifiante et très profonde. I'm really blessed to understand this gospel. Be blessed Pastor.
Amina mtumishi
Mungu azidi kkuinua naakupe Afya njema kwahuduma unayoitoa mm nimebarikiwa mpaka nashindwa kuelezea
Mungu atuinue zaidi
Glory to God ,,,may God bless you daddy
Very powerful ,🙏
Mwi tunashukuru kwa maneno mwzuri ya mungu
Amen Amen AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN in Jesus mighty name
ubarikiwe kwa ujumbe mzuri mtumishi wa Mungu
Nimebarikiwa sana
Ee Mungu wa Milele najiunganisha na mtumishi huyu ninaomba baraka zote niniingie
Very powerful God bless you🙏🙏
Amen 🙏 baba barikiwa m mmmno
Ubarikiwe mtumishi nabarikiwa sana na huduma hii
Very powerful sermon be blessed man of God
Mungu nisaidie niwekeze kwenye hofu yako
Mungu akujalie miaka ming ya baraka uzidi kutufundisha mengi tusiyoyajua
Utiisho wako Mungu Uende pamoja nami.Amen.
Amen Mwl Mungu azidi kukutumia
AMEN MTUMISHI WA BWANA
AAAMEEEN ❤️❤️ baba Mungu
Akupe maisha marefu
Na mwisho mwema wa
Watakatifu wake.
Ansante mwalim KWA somo zuri
Ameeen and Ameeen Pastor
ameen Mungu akutunze mwalimu
AMINA mtumishi wa Mungu
Glory to God, 🙌🙌
Hii sio zege tu ni pamoja na nondo.
Amina mtumishi was mungu ubarikiwe sana
Bwana tuma utiisho wako mbele yangu unitangulie
Amen amen amen penda sana mwalimu ❣️❣️❣️🔥
Ameeen .Nabarikiwa mnooo
Mungu akupemaisha marefukabisa umenitoambalisana bilawewekujua ninamshukurumungu kupitiawewe
Kitabu Cha haya mafunzo mtumishi tafadhali ni ujumbe wa kusisimua
Amen 🙏 wataondaka wenyewe waniache
Asante yesu
Ameen.....Mungu akutunze baba
Barikiwa sana
Ameni asantee ubarikiwe BABA
Barikiwa baba
Glory to God
Ubarikiwe baba
Amen sana mtumishi wa Mungu
Aminaaa Sana najifunza
Haleluya Haleluya Amen Mimi Andrea
Eeee Mungu naomba uwekeze ndani yangu
Aminaa barikiwa mwalim
Amina mtumishi
Ubarikiwe.sanaa.haleluyaaaà🙏👍
Ameeenbarikiwa baba
Powerful🙏🏾
Haleluya Mungu azidi kukutunza
Kweli kabisa ❤
Ameen GodBless You
Barikiwa sana mtumishi wa y