ANGALIA SASSO WA WIKI TANO WALIVYO SASA. HUU NDIO WAKATI WA KUPOOZA MIGUU DCP NI MUHIMU.🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿🇹🇿
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024
- Umri huu ndio haswa kuku wanashambuliwa na tatizo la kupooza miguu so ni kupambana sana wawekee DCP ka waji ya kunywa kila siku. 🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿🇹🇿 SUBSCRIBE PLEASE.👏👏👏.
Ongela sana
@@allykuyawa4832 🙏🙏
Asante sana Kwa kutupa darasa,,ila samahani Naomba kujua unalisha chakula Cha kampuni gani jamaji..kuku ni wazur sana wanapendeza sana
Silveland company♥️♥️
Hahaa 😅😊😂 nimependa kiingereza
Kimefanyaje jamani kizungu cha mkoloni hiki🥰🥰
Hahaha ila nimependa unachokifanya be blessed csta
@@odilndelwa 🥰kizungu kisikusumbue Afrika hii hana kizungu kuna pigin tu kizungu kipo UK😁🤝
Mama kazi yako ni nzuri na mwanao hapa nimeanza huku nikiendelea kujifunza kwako
Hingera sana kaza buti Ufugaji unalipa Mungu akusaidie🌹🌹
Dada hongera sana,ww kweli niwanamke wa shoka..Sasa dada mm nahitaji kufuga SASO..Je vifatanga nitapataje?Nimependa darasa lako.
@@JosephKeyenza Silverland
Ninashukru sana kwa upenda wako. Wewe utupenda sana na sisi tunakupenda zaidi
🙏🙏🙏♥️♥️♥️
hongera sana kwa uthubutu
🙏🙏🙏🥰🥰🥰
👋🏼👋🏼👋🏼👋🏼👋🏼👋🏼👋🏼
MPENDWA NAOMBA KUJUA KUKU 100 WENYE KUTAGA WANAKULA KIASI GANI CHAKULA?
Hongera sana dada uko vizuri kwa upendo wako.Mungu akubariki
Asante
Hongera sana dada kwa masomo YAKO yananifundisha sana kiukweli
🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️
🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️
Nimekupenda
I love you too♥️♥️♥️
Wamependeza sana
🙏🙏🥰🥰
Wapo vzr
Asante
Dada upo vizuri natamani Kila muda nikusikilize napenda Sana ufugaji
Karibu mpenzi
Amen
kwa hiyo dada unaweka kwenye chakula na kwenye maji hiyo dcp?
@@filipinadaud885 USIKILIZE video vizuri
Kweli wamekua sana
Asante
Ubarikiwe Kadala nimejaribu kweka malanda wakapata mafua, nimewaweka juu wavu, changamoto kusafisha yaanisiju nifanyeje
Hao wa kwako wapo vizuri sana ubarikiwe sana
Piga simu tuongee. Umeshindwaje jamani? Kuku wa aina gani?
Mimi nataka kufuga sasso Ila gharama ya chakula ndy mtihani ivi nikiwapa pelat ya starter I kwa 2 alafu wiki ya 3 nikatengeneza chakula mwenyewe inawezekana kwa biara
mimi niko kenya na natamani sana kufuga lakini nyumba naishi ni yakupangisha si yangu binafsi
Huwezi kufugia nyumba ya watu jitahidi utafute Shamba au Plot ujenge my dear kufuga ni raha ukiwa kwako tu♥️♥️♥️
Mm Niko Kenya nitapatawapi sasso
napatkana wapi
Ongea luga mojaa,. Tunajua unajua ,. Ia badoo
🙏🙏🙏♥️♥️♥️
SAFI SANA DADA KWAKUTUELIMISHA MIMI NAHITAJI VIFARANGA UNAUZAJE NA VINA MDA GANI?
Safimama
🌹🌹❤️❤️👏👏
Kama hujui vizuri lugha ongea kiswahili
Hata wanajua hiyo lugha wanajifunza kwa kujaribu kuitumia tu sio kukaa kimya kama bubu. Unaumizwa na nini na upo kwa chanel yangu alafu unipangie maisha? Hapana hapa hujalazimishwa kusikiliza. Lugha hii hakuna mwenye hisa nayo .
@@KADALAtv255 barikiwa dada
@@KADALAtv255ni kweli kabisa. Na kama lugha siyo ya kwako kwanini uwe na aibu ya kuongea. Mimi kingereza changu kina accent ya kirundi na sioni aibu. Ila siku nitashindwa kuongea kirundi basi hapo no aibu.
@@alexntahiraja2974 Kila nchi ina kingereza chake kwa hiyo I'm free to speak also free to learn. Nikikutana na Mrundi nitamfundisha Kiswahili nitajifunza Kirundi shida ipo wapi. Ukoloni tu wa wajinga fulani. 🥰🥰
@@KADALAtv255 tena mimi ningekutia nguvu uanze kufanya hata video za kingeleza. Mtu anaetafuta kujifunza atajitahidi kusikiliza kwa makini. Nimeona watu wengi ambao hawajui kingeleza kama wewe na wanafanya video na tunawasikiliza tena tunawa appreciate. Mimi nimeweza kupata fulsa ya kuishi kwenye inchi za kizungu. Wachina na wahindi hawajui kingereza ila wanaendesha biashara. Saa nyingine imetubidi kuwasiliana bei kwa kuandika kwenye karatasi. Dada fanya video za kingereza ukishindwa neno fulani liongee kwa kiswahili video iendelee. Utaweza kujipatia wafuasi ambao hawajui kiswahili.
N'a furahi kuku sikiliza toka déc Bunia
🙏🙏🙏♥️♥️
Samahani dada angu ,ningeomba kujuwa dawa gani ya typhoid i mean coccidiosis unayoitumia ,maana ugonjwa huu unasumbuwa sana kuku wangu tafadhali naomba unisaidie
Sikudanganyi siijui unatumia mbalimbali hadi ufanikiwe tylodox na nyinginezo🥰🥰
Darasa nimelipend vifalanga nitavipata wap
@@MfaumeYamussuf Makampuni tafuta🥰🥰
Alfu Mami natka kufuga Kwa wiki nnane plz nielekeze
Dcp unawapa kwa siku ngapi
Wakati wote dear♥️♥️♥️
Napata wapi hao vifaranga madam..??
Silverland company
Nataka kuku nawpataje please
Kwa sasa sijui mimi sina
Mnapatkana wapi nawezaje kupta vifaranga
Morogoro
Naomba kuuliza hiyo DCP unatia kwenye naji au unaongezea ktk chakula?
Sikiliza vizuri video ya Dcp
Sasso kwa mfumo huo wataanza kutanga kuanzia wiki ya ngapi
Wiki ya wiki ya 16
Unawalisha vipi hao kuku miezi miwili pamoja na tiba zao
Kuna. Video nyingi shuka zile za nyuma
Naomba namba ya fundi wa Banda aliweka wavu hapo chini
Nipigie♥️♥️
Unapatikana wapi
Love it to much
Chakula gani uawapa
Sikiliza vizuri video utaelewa zaidi🥰🥰
Kuku wangu Wana miezi 2¹/² lakini hawaishi kuharisha nitumie dawa gani
Otc 50
Na wakihalisha kinyesi kinabakua Kwa manyoya sasa hiyo ni ugonjwa gani
Croiller wanatunzwa kwa chakula kipi? au hakunatofauti na sasso kwenye lishe
Wote sawa
Chost,sasso 200 wanakula stater mifuko mingapi na grower ngapi
Sikiliza video zilizopita soma maelezo
Nawezaje kuwapat
Upo wapi wewe
Naomba namba yako
Unge subscribe kwanza ningekushukuru kweli kweli
@@KADALAtv255 wiki tano wanakua na uzito gani
Ko hilo Banda utawahamisha au
Ndioooo
Km m2 anawahitaji kwa umri huo unauzaje
10000 tsh.
@@KADALAtv255 thnks
Kwa hio unawauza Kama broiler?
10000 Tsh.@
Ongea Kiswahili ndio unapendeza
@@merrymiracle3807 najifunza zote ni lugha za kimataifa
namba yako plzz
0789136803
Dubscribe kwanza jamani
Asante dada unapatikana wapi napenda kuonana nawe
Nisaidie namba Yako dada ombi
Zasaizi dada nipe number yako ya WhatsApp