JE, KUNA TOFAUTI GANI KATI YA KLOILER NA SASSO? NIPO KENYA NAWEZAJE KUWAPATA KUKU WA KLOILER?MAJIBU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 104

  • @tukuswigaikasu5227
    @tukuswigaikasu5227 2 ปีที่แล้ว +1

    Napenda sana jinsi unavyoelezea. Unaelezea vizuri sana

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว +1

      Kweli? Nashukuru kama mnanielewa🌹🌹❤️❤️🇹🇿🇹🇿

  • @skonga3106
    @skonga3106 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwa Kweli nimepata elimu kwa hii video mama asante sana, mungu akupe moyo zaidi ufanikiwe katika Shughuli zako za Kila siku na akupatie afya nzuri daima.

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      👏👏👏Ameeeen.💕💕💕💕

    • @natashamwenera2874
      @natashamwenera2874 2 ปีที่แล้ว

      Naomba namba yako je pillet ukilisha kuku na start yakawaida je niwapi wanakua araka

    • @skonga3106
      @skonga3106 2 ปีที่แล้ว

      @@natashamwenera2874 pellet

  • @zedekiahjulius6
    @zedekiahjulius6 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana kwa good explanation

  • @HusnaMaridadi
    @HusnaMaridadi 2 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa elimu my dear

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 หลายเดือนก่อน

      @@HusnaMaridadi 💕💕🙏🙏

  • @woketesaeedlevy6078
    @woketesaeedlevy6078 2 ปีที่แล้ว

    Shukran dada. Nimejifunza mengi sana

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      Asante nashukuru nafurahi kusikia hilo.🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @edisonkivike8368
    @edisonkivike8368 5 หลายเดือนก่อน

    Mama Asante kwakuelimasha jamii

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  5 หลายเดือนก่อน

      @@edisonkivike8368 🙏🙏

  • @sararutonda2072
    @sararutonda2072 6 หลายเดือนก่อน

    Asante

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  6 หลายเดือนก่อน

      @@sararutonda2072 🙏🙏🙏

  • @mwamvuapaulo7111
    @mwamvuapaulo7111 2 ปีที่แล้ว

    Asante dada

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      Asante❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @franciskibwana183
    @franciskibwana183 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Dada uko vizuri sana unapatikana wapi hapa Dar

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      M9ROGO

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      Morogoro

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      Kilombero Morogoro karibu🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏

  • @franciskibwana183
    @franciskibwana183 2 ปีที่แล้ว +1

    Uko vizuri sana Nakushauri Anzisha Group la what's App la Wafugaji kuku

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      Asante dear,👏👏🧎🧎lipo group Kwa kiingilio

    • @njironicki4455
      @njironicki4455 2 ปีที่แล้ว

      @@KADALAtv255 kiingilio group lako la watsap ni bei gan?

  • @shukuru9792
    @shukuru9792 ปีที่แล้ว

    Ume upga mwingi mama rao

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  ปีที่แล้ว

      Mungu akutunze👏👏👏👇👇

  • @pendosailo1989
    @pendosailo1989 7 หลายเดือนก่อน

    Umeelezea vizuri hizi tofauti za kuki.

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  7 หลายเดือนก่อน

      @@pendosailo1989 🙏🙏🙏🥰🥰

  • @emmamarijani6657
    @emmamarijani6657 2 ปีที่แล้ว

    Big up nimepata somo zuri sn

  • @JasmineLwangisa
    @JasmineLwangisa 9 หลายเดือนก่อน

    Mm ninafuga kuku wa kienyeji nakichotara dawa ya trimafarm na amin total au kunanyingine

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  7 หลายเดือนก่อน

      @@JasmineLwangisa Sikiliza video vizuri bana. Hizo hizo

  • @michaeljanuary3736
    @michaeljanuary3736 2 ปีที่แล้ว

    Na ukikuta hali hiyo kwa aliyepandwa akashindwa kuamka utampa huduma gani

  • @skonga3106
    @skonga3106 2 ปีที่แล้ว +1

    Nitashukuru pia ukifuatilia hiyo kampuni ya vifaranga kama wataweza kuniletea Hata kama ni fertile eggs niweke kwa incubator yangu hapa nyumbani. Niko na incubator ya mayai 200 Hizo itakua takriba tray 7 . Niko Tayari kununua mayai Pia maana usafirishaji wa vifaranga naona itakua changamoto maana pia huku kenya niko maeneo ya mbali mkoa wa pwani sehemu inaitwa Lamu. Mayai yanaeza Nifikia kwa siku 3

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว +1

      Thank you, they can send you firtile eggs so this is my WhatsApp number come on my WhatsApp. so that I can connect you to the company. +225752734210 massage me any time.

    • @skonga3106
      @skonga3106 2 ปีที่แล้ว

      @@KADALAtv255 nimekutext WhatsApp lakini message haziingi upande wako

    • @petercharles747
      @petercharles747 2 ปีที่แล้ว

      Ndugu ulio LAMU upo sehemu gani?

  • @StephanoStephanochanga
    @StephanoStephanochanga 3 หลายเดือนก่อน

    Samahan. Naomba namba ya mawasiliano. Zaad.

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  3 หลายเดือนก่อน

      @@StephanoStephanochanga IPO hapo juu kwenye picha👆

  • @brysonmunuo2595
    @brysonmunuo2595 2 ปีที่แล้ว

    Somo zuri dd

  • @alexntahiraja2974
    @alexntahiraja2974 7 หลายเดือนก่อน

    Asante Dada. Nime subscribe. Naomba kuuliza umelinganisha kuroiler na kuku wa kisukuma. Mimi napenda kienyeji naomba msaada . Kuna shida nikiduga wa kisukuma badala ya Kuroiler? Naomba msada

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  7 หลายเดือนก่อน

      @@alexntahiraja2974 Hakuna shida wewe kujua nini hasa unataka kupitia ufugaji huo

    • @alexntahiraja2974
      @alexntahiraja2974 7 หลายเดือนก่อน

      Wow sister. Nashukuru kwa kusoma swali langu mapema namna hii. 🙏

    • @alexntahiraja2974
      @alexntahiraja2974 7 หลายเดือนก่อน

      @@KADALAtv255 nilitaka mayai na nyama.

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  7 หลายเดือนก่อน

      @@alexntahiraja2974 🥰🥰🥰🙏🙏🙏

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  7 หลายเดือนก่อน

      @@alexntahiraja2974 okey

  • @salummwisongo4753
    @salummwisongo4753 2 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      Asante saaaana♥️♥️♥️🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @astidijakashemeile1918
    @astidijakashemeile1918 ปีที่แล้ว

    ❤️

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  7 หลายเดือนก่อน

      @@astidijakashemeile1918 🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba no yako madame

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  9 หลายเดือนก่อน

      ☝️☝️☝️

  • @naomisimoni5996
    @naomisimoni5996 2 ปีที่แล้ว

    Naomba darasa la kujifunza

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      Karibuuuuu♥️♥️♥️🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @angelinahogqvist7710
    @angelinahogqvist7710 2 ปีที่แล้ว

    Mawasiriano nipe namba zako

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 6 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri ila hututendei haki hutaki kutoa no yako

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  6 หลายเดือนก่อน

      @@ZubedaAbdallah-s5p Ipo hapo juu my dear

  • @pipaniper_tz
    @pipaniper_tz ปีที่แล้ว

    Samahani mimi nafuga saso lakin lengo lilikuwa mayai.. kwahio unanishauri nibadili nichukue kloiler?

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  ปีที่แล้ว

      Kama shida ni mayai ya kuuza basi fuga Layers. Kuku wa mayai♥️♥️

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 8 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini hutoi namba yako dada

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  8 หลายเดือนก่อน

      Nimechoka kushambuliwa kwa simu utadhani wanalipa ada kwangu

  • @MaryKaale-ek6fn
    @MaryKaale-ek6fn 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi niko dar nawapataje hao kroila

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  5 หลายเดือนก่อน

      @@MaryKaale-ek6fn hukohuko Dar

  • @BadonneNzwigha
    @BadonneNzwigha ปีที่แล้ว

    Mimi Niko DRC nafwata Sana darasa Yako ya ufugaji wa kloiler n'a sasso
    Bamba Yako ya simu afadhali

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  9 หลายเดือนก่อน

      Ipo hapo juu kwa profile☝️☝️☝️🥰🥰🥰

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 6 หลายเดือนก่อน

    Na mimi nipo morogoro nahitaji saana kukuona kwa ushauli naomba namba yako tafadhari sisi ni wadau wako kwa nini hutoi namba,shida ni nini?

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  5 หลายเดือนก่อน

      @@ZubedaAbdallah-s5p ☝️☝️

  • @harithpusuleiman1472
    @harithpusuleiman1472 2 หลายเดือนก่อน

    Kama nitawapa chanjo ya tatu moja haitoshi kila bada ya miezi minne

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 หลายเดือนก่อน

      @@harithpusuleiman1472 jaribu

  • @neemapatrick9057
    @neemapatrick9057 2 ปีที่แล้ว

    Nachanganya DCP kiasi gani kwenye maji mpendwa wangu

  • @michaelmatangira7444
    @michaelmatangira7444 2 ปีที่แล้ว

    Naomba kujua aina ya mabanda kwaajili ya ufugaji wa kuku sasso

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      Angalia huko chini utaona MABANDA yanajengea

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      Angalia huko chini utaona MABANDA yanajengea

  • @abdulhabibu1011
    @abdulhabibu1011 7 หลายเดือนก่อน

    Dcp ni nini hicho

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  7 หลายเดือนก่อน

      @@abdulhabibu1011 Sikiliza video vizuri utaelewa.🥰🥰

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 8 หลายเดือนก่อน

    Kadala una maelekezo mazurictatixo upatikanaji wa namba yako ni mgumu saana

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  8 หลายเดือนก่อน

      Kwasababu watu wananitumia vibaya na kudai ni lazima niwahudumie kwa simu ni kama wananilipa

  • @annafesto4932
    @annafesto4932 7 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji sasso Mia moja vipi ni sh ngapi vifaranga?

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  7 หลายเดือนก่อน

      @@annafesto4932 Sijui mimi sina kwa sasa tafuta kampuni🥰🥰

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 8 หลายเดือนก่อน

    Namba yako ni muhinu lakini hutoi namba

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  8 หลายเดือนก่อน

      Watu wananioa ndio maana nimeitoa

  • @aminikyeju4328
    @aminikyeju4328 ปีที่แล้ว

    Kroila wanataga muda gani. ?? Na je. Wana atamia au wanataga muda wote??bila kupumzika??

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  9 หลายเดือนก่อน

      Sikiliza videos

  • @JasmineLwangisa
    @JasmineLwangisa 9 หลายเดือนก่อน

    Ninaomba msaada

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  9 หลายเดือนก่อน

      🥰🥰🥰

  • @bellakwayson4982
    @bellakwayson4982 ปีที่แล้ว

    kuku wangu wana miezi miwili naona wanashida miguu wanakula wamelala

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  ปีที่แล้ว

      Kupooza

    • @bellakwayson4982
      @bellakwayson4982 ปีที่แล้ว

      @@KADALAtv255 Niwafanyeje sasa au niwape dawa gani

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  ปีที่แล้ว

      @@bellakwayson4982 Mimi sio Daktari nenda dukani ukawaeleze hiyo hali mapema watakupa dawa . Uwatenge wale ambao tayari wameathirika

  • @zaitunihajji256
    @zaitunihajji256 2 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  2 ปีที่แล้ว

      Angalia kwenye reply ya comments zilizotangulia kwenye video hii hii utaiona mpenzi. Karibu

    • @shabanishabani4174
      @shabanishabani4174 2 ปีที่แล้ว

      Bibieee upo vizuri nakufatiria vizuri youtube

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 9 หลายเดือนก่อน

    Habari na mimi nipo morogoro wewe morogoro upo kwa wapi?

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255  9 หลายเดือนก่อน

      🥰🥰🥰

  • @nasekawanga1737
    @nasekawanga1737 2 ปีที่แล้ว

    Unapatikana WAP mama!?