SIMULIZI MPYA - DAWA YA MSALITI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Ni maumivu yalioje kuishi na msaliti nyumba moja inahitaji uvumilivu wa hali ya juu, Ipi ni dawa ya tamaa kwa mtu mwenye tamaa ambae hajui thamani ya upendo linapokuja suala la pesa, Ipi ni dawa sahihi ya mapenzi.? Swali Hili alikuwa akijiuliza kijana Hance na hii ni baada ya usaliti aliofanyiwa na mke wake wa ndoa, je unataka kujua nini dawa ya mtu msaliti.? basi karibu kusikiliza kisa hiki cha mapenzi chenye kusisimua
Part 02 Hii Hapa 👇 th-cam.com/video/WGXV3lYozFg/w-d-xo.htmlsi=DWT7TcQJMOnLsbHu
Ankojay nikiboko duu yani alie olewa na anko ana enjoy mana sikwa mapesa hayo😂 unalala tz unaamkia ulaya😂❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Wakwanza mim leo naombeni like zenu tafadhali 🎉🎉❤❤❤❤
binafsi mimi simulizi ikiwa na background ya music za kanumba huwa na enjoy zaidi 🥰🥰🥰
Kweli kabisa dear 😅😅
@@RebeccaNduku-s5z yeah
Simulizi hii nifuzo kubwa kabisa Ahsante AnkoJay tunainjoi sana simulizi zamafuzo🙌🙏
Daaah niliimiss sauti ya anko jay nyie 😂😂😂atimae Katuletea.simulizi mpya much love anko jay mihela🙏🥰
shukrani anko jay na mwandishi wetu stephen zecharia kwani simulizi imekuwa nzuri hata haijachosha kuisikiliza ila mengi naendelea kujifunza hingereni nyote wahusika MUNGU azidi kuwapa mengi ili kutufikishia maana simulizi zimekuwa kama kilevi ndani ya nyumba za waarabu tulioko humo sisi ndio tuujuae utamu wake tuu
Nikweli kabisa der
Nimejaribu Leo pia walai like zenu nipeni tafadhali 😂😂❤ mi Huwa wa mwisho
Dawa ya msaliti ni kuwachana nae kwa uzuri Anko jay simulizi mzuri sana hina mafuzo ❤❤❤❤❤❤ from Dubai but from Kenya 🇰🇪
Story nzuri saana❤❤❤MashaAllah mungu awabariki mzidi kutupa mambo mazuri zaidi❤
Mm naomba2 ankojay simulizi zote mziki uwe wa kanumba yaani pambe sanaa🥰🥰🥰
Watunzi sasa ni tofauti na huyu aliyetunga hii
Asantee maana mm mgonjwa wa sautiyako simuliz hata iweje kama hujasimulia naiacha kiukweli
Nyie watu mbona kila siku mnaniwah jaman,😂😂😂😂❤
Hahaha ukisema umerauka kuna wenzio wanalala kwa Anko J mapesa
Heri mia Moja ya kila siku kuliko elfu ya siku moja,mimi ningempenda mumu wangu mana huyo raisi ni wa msimu na tamaa tu ndo imemjaa, siaribu ndoa yangu ya maisha kwa ajili ya tamaa ya siku moja
Tamaa mbaya sana
Nimewahii leo nipeni likes
Hivi mlisema mtu akitaka mwanaume kama herns anabonyeza ngapi
😅😅😅😅😅😅😅
Bonyeza true love
Ankol jay 😢najua utaniona msumbufu kwako lakini nakuomba hutujulishe jini mahaba itakuwa tayari lini
Hahahahahhah sauti za wadada wa kazi anko j kweri ndohuwa wanaongea ivo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwaupande wng Anko Jay
Dawa ya msaliti kupitia iyi simulizi
Nibora Hassin angetembe na mtoto wa raisi apo ata kuwa amewapa dawa kamili
Wamwisho Kama kawaida ❤❤❤
Mashallah mimi wamwisho wacha tuone iyo dawa ya msalit
Dah ankojay hii simulizi inaumiza sana hivi wanawake tunataka nini kwenye hii dunia
Waulize wanawake wenye tabia hiyo
Flora pumbavu sana wewe 😢eti rais ..naakwende na uraisi wake ila penzi la kweli umelikosa flora ..utakuja kujuta siku za mbeleni kwa kumuacha kijana alie kupenda kwa dhati ya moyo wake..Flora umeniudhi sana wewe😢😢
Mmmmh na sie tunae lizwa kilasiku tukae wap
Haswaaa
Wa kwanza leo naomba koment zangu
thanks Ankojay much love ❤❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪
Wow ❤❤ mm pia from Kenya
Usalit ni mbaya sana jamn,isitoshe mumewe Flora alimpenda sana
Dawa ya msaliti ni kuwachana naye ili iwe na amani ya moyo
Nawachukia sana wasaliti. 😢 Haijalishi ninani
Mim pia nachukia wasaliti
Jamani anko j sauti nzuri
Lakini ankol hiyo sauti ya wadada wa kazi huwa nikisikiya nacheka mwenyewe 😂😂😂😂😂maana hata nisiseme
😂😂😂
Dawa ni dawa tu.... Thank you❤ Anko Jay, just bring Lucas more often 🥰🥰🥰
Amazing
Ankojay mbon mm huwa napat simulizi kuchelewa jamni😢❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Pia cinderella part four jamani
Anko umepigwa kibuti nin😅😂mana so kwakuomba mukutane ivyo
Simulizi motomoto 🎉🎉🎉 kudos ila ANKo c poa kusema ETI twende Kwa bff zetu bil taarifa afu unaturuka 😂
Thanks sana ankol wetu mzuri ❤❤❤wacha tusikiye hiyo dawa ya usaliti na pia sisi tusisaliti
Wakwanza like zangu wapendwa
Dawa ni ku move on na maisha mengine amjaribu Glory ili kulipa machungu na maumivu,au asamee amuachie mungu, congratulations BWANA anko Jay kwa simulizi yenye mafunzo mungu akubariki sana i salute you 💕😘❤❤❤❤❤
Yani kaka umenifanya ningekuwa mlevi wa simlizi kwa kweli
Thanks Ankojay🙏🙏😍😍🇬🇧🇬🇧
Hayaa tumefika wadau
Oyaaaaaaa leo nimelalia bahati ooooyaaaaa ooyoooo kuwahi nako
Jmn nilimnisi san ankojay mana kupitia simulizi zak nimekuwa jasiri zaid ya san kwakweli nakupenda nimerudi ten kukufatilia mwanzo mwisho 😊❤
l been waiting Anko J to come back thank you so much Anko j l love his voice ❤️❤️❤️
Dawa ya msaliti nikuachana naye simple😅
Thanks Ankojay much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️❤
❤❤
Sasa hivi mapenzi ni biashara,mwenye dau kubwa anachukua nafasi😂😂😂😂😂😂😂😂😂inaumiza sana
😅😅😅😅😅😅😅😅
Inaumiza sana hasa kwa huyo mwenye upendo wa kweli
Ubarikiwe kwakitumy lovely ❤❤❤😂😂😂😂
yes anko. asanteni. iyo tam
Shukran anko J kwa simulizi nzuri sana ❤❤❤
Nakupenda anko j jamniii❤
Thank God bless you ❤❤❤
Shukran Ankojay big love...... from Kenya .
Nimechelewa lkn nimefika hatima nimemic sana hio sauti anko asantr🎉🎉🎉🎉
Wow amazing story
Asante sanaa anko jay kwa simulizi tamutamu❤❤❤
Ahsante kwa burudani Anko Jay ubarikiwe
Ahantee sanaa anko mungu azid kukuwekaa🙏🙏🙏
Dhuuuuuh asante sana Anko J Kwa kigongo kipyaaa naenjoy ety👏👏
Siwezikumsaliti,usaliti mbaya ,pesa zinakuja nakwenda
Asante anko j
Wow 😊salut kwako
Ankojay.. sio wote, wengine nko na mapenzi ya thati tu.. ila tu, some love money but not love..
Ahasante Kwa mwendelezo anko jey
Nivile mm sijawai kupata mwanaume wakunituza nakunijali yani ningempata kama huyo hans mm hata ajenani siwezi kusaliti ndoa yangu kwa sababu ya pesa tuu.
VIP Mumbi Wa Naivasha ako Ndani wapi likes
Dawa ya msaliti nikumuacha 😮😮😮 kwaku watu walisema mwenda pole hajikwai❤❤❤
Bit yakanumba naipenda sana kwenye smlizi za ankoj mapesa ndo dawaa ankoo wee wa
Thanks 👍❤❤❤
Taamazina tupotocha sana sisi wanawake tuwe namsimamo basi
Wow nice 👍
Frola kumbuka wema ni akiba na dunia ni mti mkavu àcha tamaa❤😅we bwege
Kaz nzur
Mashalla ancojay
Jamani nimechelewa
Thanks 🙏🇴🇲
jambo anko jay. asante sana kwa store muzuri ya wasaliti
Ngoja tujue dawa5
iyo tama ya kiduniy Ile flora a life nya vibaya sana kweli anko j
Jamani uruma Sana du anamoyo
😂😂 anko jay hata baskeli ya urisi huna 😂😂
Jamen jamen 🎉
pole kaka Hanisi
Hansi inatakiwa achukue glory ili raise nae asikilizie maumivu wakati yupo na Flora nae ajipoze na glory pia raise inatakiwa ajue Hilo hapo anaweza jifunza,
Asante anko jay
Thanks ankojey❤❤❤ jameni musamaha nikwa mutu yoyote aliye kukosea😮😮 33:43
Vyuma ju ya vyuma asante sana ankojay
Ohooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥moto mwingine umewashwa thanks Anko jay
Kweli kabisa Ema ni wanaume hatar sana tena hawatosheki na mwanamke moja yaana wangu ni msaliti hadi basi.. Na nina mchukia sana..
Poleeeee😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Flora acha tamaa hayo ni Mapambo ya Dunia na utayaacha hapa hapa mavumbi utaingia na hayo sio mapenzi mumeo alikupenda sana huwezi kumsaliti
Jamani mbna uwongo hapo pasauti kwa sababu iyo sauti ndogo ndiyo yangu 😂😂😂😂😂
Wow❤
iyo ni mafunzo kwe tu anko asanteni
Tumefikwa Ankojay's
Woyooooo leo nimewahi 😂😂ama kwa hakika kunguni kwenye mkeka wameniamsha 😂😂Ahsante Anko jay kwa kigongo kipya..chukua mauwa yako 🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷⚘️⚘️⚘️⚘️⚘️⚘️⚘️⚘️🌻🌻🌻🌻🌻🌻🌻🌻🌻🌻🌻
Tàfadhali ank tunaomba simuliz ya x sehemu yapili mapigano tumemiss idi bhn
💯👏👏👏👏✨
Waaah heee wa 25,kunani na dawa ya msaliti, much love anko
Achiya part 2 jamani❤❤
Mmmh ....nimelet but twende nalo pamoja❤❤❤