Pole Sana Mtumishi Wa Mungu Tupe nafasi ya kuchangia Ila usiuze mali ulionunua kwa kazi ya Injili hilo nalo litapita Mtu wa Mungu Tupo tayari kuchangia kwa garama yoyote.
Mungu ni mungu mtumishi mbalikiwa usiuze mali ni jaribu linapita sikiliza sauti ya mungu kupitia watu hawa wanao upendo wakukuchangia nami naomba tupe nafasi tuchangie kuonyesha upendo wa mungu kwako
Amina Mtumishi wa Mungu. Tuna kuombea wewe na mama yetu Salome Mungu impendeze mupate matibabu ili ktk afya iliyonjema,muweze kumtumikia Mungu wetu.Amina.
Pole sana mtumishi.mimi naomba nikushauri jambo moja.acha kufanya mashindano ya mitandaoni.sio Kila unaloliona unaweza kushindana nalo.mengine onya kwa u pole na upendo alafu maombi ya we mengi kuliko maneno.hizo hela hela na mikiki mikiki ya kesi,mabishani hata inadhuru afya ya familia yako wewe,mkeo hata yaweza dhuru watoto.Tafuteni kuwa na amani na watu wote.ukilifanya hili utaona utakavyopunguza matatizo mengi kwa familia yako Pia nashauri usiuze gari,naamini una waumini wengi na wasio waumini.hao wanaweza kukuchangia fedha ya MATIBABU. MUNGU atutetee mtumishi.
Mungu wa uzima wangu hujawahi kuniacha hata siku moja nakuoomba ukamponye mtumishi wako hakika umewaponya mataifa ,nakushukuru mungu wangu naamini tayari amepona kuanzia Sasa hivi ameni🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
mi maoni yangu ni kwamba. ungejaribu na kwa watumishi wenzako pia hasua wenye wako na uezo wakuona katika ulimwengu wa Rohoni. ungelijaribu kuenda kwa mtumishi wa MUNGU mjungaji peter karimu hapo hata ungeweza kupata mali ya Bwana huenda mtasaidika zaidi juu pia naamini kupitia maombi MUNGU atafunua shida penye Iko. hospitalini endeni ila pia jaribu njia zote juu MUNGU anaweza kosa kukufunulia tatizo lako na amfunulie mwingine. na ndani mwangu Nina Imani kuwa utasaidika utakapochukua hatua sahihi. nenda kwa waombaji wenye nguvu na Kila kitu kitakua sawa. MUNGU awabariki nyote na awaponye Amen. ila hiyo hali yako usiikimbilie tu hosi peke nenda kwa watu wa MUNGU wenye nguvu.
Praying for you my brother my country love so much Nina imani utashinda pila kuhuza kari ya injili coz yule mungu aliye kupa maono ya kununua pato yuko Amen, karibu Kenya we need your God.
God bless your life!! Wewe ni Shujaa your David,your Samsoni, My Brother hakika kama nikikombe hakika umekinywea na Bado unakinywea your kamanda simama simama jitahidi simama ushindi uko upande wako. Samahani chuchangishe kwanza fedha isipo tosha ndiyo maamuzi ya chukuliwe lakini Kwa Sasa tuchange kwanza Shujaaaa your shujaaa na kuamini ushindwi kuinuka....
Pole sana mtumishi wa Mungu. Pamoja na kwamba nimekuwa nikitoa baadhi ya mambo, lakini katika hili kwa kweli nakupa pole na pia badala ya kuuza gari hiyo ambayo ni nyenzo muhimu katika kufanya huduma, nashauri uruhusu tuchangie matibabu yako na ya mama mchungaji. Nakushauri usije gari. Tumekuwa tukiwachangia watanzania wengi wanaopita katika shida, nawe u mtanzania kama sisi. Mungu awaponye.
Mungu awatie nguvu watumishi wa Mungu mama utapona tuu Wenda Mungu anakupima imani barikiweni sana watumishi wa Mungu mpone mapema tumemic huduma yenu mitaan
Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi maana unayoyapitia yanatuumiza wengi na tunaguswa naamini utabaki kuwa mshindi kwa sababu hata ongea yako inaonyesha ujasir na nguvu ya kushinda . Amen
Picha mnazoweka na content haviendani, najua ni watumishi wa Mungu lakini tusitamani kuchukua sana tention za watu wanaowafuatilia i think the there is better way
Poleee. Na hujakosea saana kutangaza kuuza Gari kunamsemo huwa tunasema chako kikuokoe. Pole sana mama mbarikiwa. Kwakuumwa na kuuza Mali ilionunuliwa najua wamama huwahampendi kuuza chombochandani labda kiwe kibovu lakini kwahki kipya.
Mtumishi mwenzangu pole kwa pito hilo ila ushauri uruhusu kwanza atakayependa kuchangia kama isipotosha mungu atafanya njia nyingine wewe ni wa watu wewe ni wa mungu ni kweli ni afya kuwa na chako lkn ktk hili ruhusu tu watu wawe nyuma yako
Mbarikiwa acha kuliza watanzania.. ivo vitu kakupa Mungu ili ufanyie kazi yake Sasa kusema unaviuza ili ukatibiwe nijambo linalooumiza sana.. Sikiliza mioyo yawengi bado inakupenda bado ipo nawewe nakuomba weka wazi matibabu yako yanaitaji kiasi gani? alafu nasisi tukuoneshe mioyo yetu kwakujitoa tulicho nacho.. Kama ikipungua basi Uza mali za Mungu nakikizidi basi mpe Mungu utukufu, sisi niwatanzania haiwezekani gari iliyofanyiwa kazi ya Mungu tena katika haki et leo ikanajisiwe.. Mbarikiwa plz tangaza unaitaji kiasi gani hakika Mungu ataenda kukushangaza! plz plz plz uwe free we sema tu alafu tuachie tukushangaze kama haujamrudia Mungu kwa machozi mtu wa Mungu.
Mbalikiwa pole sana na hayo mapito lkn mungu anajuwa hayo yote unayoyapitia na ameyaluhusu kwa makusudi yake lkn ninaimani kuna jambo zuri mungu analiandaa ktk maisha yako
Mtumishi wa Pole sana,kama ningekuwa na uwezo wa kufanya jambo kuhusu AFYA yenu YAANI pesa ya matibabu ningekushauri gari isiuzwe Baba yangu kwakuwa kazi bado inaendelea na Hilo ni jaribu tu,ila utavuka salama
Jamani mtumishi weka namba yakuchangia,maana mimi sijawahi kukutana na wewe live,ila huwa nabarikiwa sana kwa nyimbo zako na mahubiri. Salome,Mungu atakupinya mimi huwa natamani wanawake wote wangekuwa kama wewe amani ingetawala katika ndoa,unahekima sana dada yangu,toa account tutachangia kwa kadili mungu atakavyo tuongoza
Pole sana mtumishi wa Mungu jaribu lisiktoe kwenye mpango wa Mungu...endelea kumtafta sikio lake sio zito ashindwe kusikia atawaponya kwa Jina la Yesu.
Kama Mungu aliweza kilio Cha Ezekiel na kughairi kifo,Nina amini katika jina la Bwana wa Majeshi,jina lenye nguvu jina lenye uwezo,Juu Yako Baba,utapona na mara dufu utaongezewa,Pita tu baba na kuendelea kukinywea kikombe,kikubwa Mungu unamjua na unaendeleaje kutufundisha
Mtumishi je hili gari lingelikuwepo? Acha Mungu Ajashindwa Kutuma Malaika Kukupatia Pesa za Matibabu! Pole na Hongera Wewe ni Mshindi! Mungu Awezi Kukuacha, Ongeza Sublah za Kumngojea na Utulivu Zaidi Utapata Jibu Atakalo Kwambia! Shalom🙏🏻
Barikiwa pole wale wa mungu ndio wanayapitia Sana tusimwaje mungu Mimi Niko Kenya nakaribu kupiga simu haingii lakini tuzidi ma maombi ata wimbo wako WA moah unanitoa machozi nikisikiliza asante
Pole Sana Mtumishi Wa Mungu Tupe nafasi ya kuchangia Ila usiuze mali ulionunua kwa kazi ya Injili hilo nalo litapita Mtu wa Mungu Tupo tayari kuchangia kwa garama yoyote.
Mungu ni mungu mtumishi mbalikiwa usiuze mali ni jaribu linapita sikiliza sauti ya mungu kupitia watu hawa wanao upendo wakukuchangia nami naomba tupe nafasi tuchangie kuonyesha upendo wa mungu kwako
Poleni sana watumishi wa MUNGU, tunaweza kuchangia fedha za matibabu bila kuuzwa mali
We unawasema watumishi wa Mungu.
Unaisema mamlaka.
Embu uwe mkimya upigane kiroho.
Amina Mtumishi wa Mungu. Tuna kuombea wewe na mama yetu Salome Mungu impendeze mupate matibabu ili ktk afya iliyonjema,muweze kumtumikia Mungu wetu.Amina.
Ni huzuni sana baba yangu...tupe nafasi tuchange...kisha nawaalika hapa kwetu kenya kwa baba wetu Evangelist Ezekiel...Mavuweni Kenya
Usiogope mtumishi Mungu aliye kuita kwenye huduma atakupigania
Pole sana mtumishi.mimi naomba nikushauri jambo moja.acha kufanya mashindano ya mitandaoni.sio Kila unaloliona unaweza kushindana nalo.mengine onya kwa u pole na upendo alafu maombi ya we mengi kuliko maneno.hizo hela hela na mikiki mikiki ya kesi,mabishani hata inadhuru afya ya familia yako wewe,mkeo hata yaweza dhuru watoto.Tafuteni kuwa na amani na watu wote.ukilifanya hili utaona utakavyopunguza matatizo mengi kwa familia yako
Pia nashauri usiuze gari,naamini una waumini wengi na wasio waumini.hao wanaweza kukuchangia fedha ya MATIBABU.
MUNGU atutetee mtumishi.
Poleni watumishi wa Mungu! Kwa mapito hayo. Nachojua nikwamba Iko siku mungu atawafuta machozi. Tuko tayari kuchangia kidogo tulicho nacho. Amina.
Mungu akubariki
Mungu wa uzima wangu hujawahi kuniacha hata siku moja nakuoomba ukamponye mtumishi wako hakika umewaponya mataifa ,nakushukuru mungu wangu naamini tayari amepona kuanzia Sasa hivi ameni🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
Mungu akusimamie katika maisha yako pole sana mtumishi
Pole sana watumishi wangu Ni vema tukuchangi
Pole sana Masihi wa Bwana,Mungu yu upande wako Daima rafiki yangu ,naamin lile alilo kusudia juu yako ww na mke wako lita timia ktk jina la Yesu
Kutoa si utajiri bali moyo wa upendo na huruma mungu awswekee mkono wa uponyaji.
Pole Sana mtumishe wa mungu aliye haye usiuze gari tutajangia matibab yako majalib hayana budi kutokea
mi maoni yangu ni kwamba. ungejaribu na kwa watumishi wenzako pia hasua wenye wako na uezo wakuona katika ulimwengu wa Rohoni. ungelijaribu kuenda kwa mtumishi wa MUNGU mjungaji peter karimu hapo hata ungeweza kupata mali ya Bwana huenda mtasaidika zaidi juu pia naamini kupitia maombi MUNGU atafunua shida penye Iko. hospitalini endeni ila pia jaribu njia zote juu MUNGU anaweza kosa kukufunulia tatizo lako na amfunulie mwingine. na ndani mwangu Nina Imani kuwa utasaidika utakapochukua hatua sahihi. nenda kwa waombaji wenye nguvu na Kila kitu kitakua sawa. MUNGU awabariki nyote na awaponye Amen. ila hiyo hali yako usiikimbilie tu hosi peke nenda kwa watu wa MUNGU wenye nguvu.
Wewe unawajua watumishi wewe
Pole sana mtumishi na mama salome. Hakika wew ni ayubu wa kiazi hiki kupitia imani yako kwa mungu wengi tunaona nuru baba mungu hajawacha 🙏
Mbarikiwa mdomo ndo umemponza 😅
Pole sana mtumishi Mungu, Yesu asimame nanyi wakati huu mahitaji
Pole sana....Mungu atimize kusudi lake kwenu....Mungu ni baba na itabaki hivyo milele...No matter tunapitia nyakati gani
Praying for you my brother my country love so much Nina imani utashinda pila kuhuza kari ya injili coz yule mungu aliye kupa maono ya kununua pato yuko Amen, karibu Kenya we need your God.
God bless your life!! Wewe ni Shujaa your David,your Samsoni, My Brother hakika kama nikikombe hakika umekinywea na Bado unakinywea your kamanda simama simama jitahidi simama ushindi uko upande wako. Samahani chuchangishe kwanza fedha isipo tosha ndiyo maamuzi ya chukuliwe lakini Kwa Sasa tuchange kwanza Shujaaaa your shujaaa na kuamini ushindwi kuinuka....
Poleni sana kwa hili inabidi tuungane. Nimesikia huruma sana
Pole sana mchungaji nakuomba uendelee kusimama na mungu usije kubadilisha mawazo hao mashetani hawajui walicho kifanya lakn simama namungu nae hatokuacha kamwe
Iko siku Mungu atajitwalia utukufu kwa yote mnayopotia, haijalishi nikwamda gani mtapita❤❤❤
Pole sana mtumishi wa Mungu. Pamoja na kwamba nimekuwa nikitoa baadhi ya mambo, lakini katika hili kwa kweli nakupa pole na pia badala ya kuuza gari hiyo ambayo ni nyenzo muhimu katika kufanya huduma, nashauri uruhusu tuchangie matibabu yako na ya mama mchungaji. Nakushauri usije gari. Tumekuwa tukiwachangia watanzania wengi wanaopita katika shida, nawe u mtanzania kama sisi. Mungu awaponye.
Mungu awatie nguvu watumishi wa Mungu mama utapona tuu Wenda Mungu anakupima imani barikiweni sana watumishi wa Mungu mpone mapema tumemic huduma yenu mitaan
Usiuze chombo chamungu afathali tupo tayari kwa kuchanga ili utukufu wa mungu ubaki i am from congo 🇨🇩🇨🇩
Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi maana unayoyapitia yanatuumiza wengi na tunaguswa naamini utabaki kuwa mshindi kwa sababu hata ongea yako inaonyesha ujasir na nguvu ya kushinda .
Amen
Mungu ni mponyaji ingia ndan ya moyo kw sala Kuna sehm kma ulikosa atakuambia utubu upone mungu asipoingilia ht ukiuza nyumba haitasaidia
Mimi nafikili mtumishi tuwekee namba ya sim ilituchangie mwenye elfu 1000/5000/10000/ili baba mkatibiwe gali uliache
Watanzania Wana huruma watakuchangia weka namba ya simu Mimi nitakuwa wa kwanza
Dotto magari uko wapi....! Changamkia tenda mzee
Picha mnazoweka na content haviendani, najua ni watumishi wa Mungu lakini tusitamani kuchukua sana tention za watu wanaowafuatilia i think the there is better way
Pole sana Mtumishi wa Mungu
GOD BLESS YOU MAN OF GOD
Pole sana mchungaji, bado Mungu yupo upande wako.
Pole sana mtumishi wa Mungu
God bless this family
Poleni mtumishi kaachiwa mungu mwema
Pole sana mtumishi wa Bwana na hili nalo litapita tunamwamini mungu
Mungu akutokee Mzee akuponye pamoja na Mama kwa Jina la Yesu kirsto
Poleni sana ndugu zetu watumishi wa Mungu
Pole sana. Mtumishi
Munguatawasaidia musikatetamaa baba
Natowa pole sana tena sana kwa jama yote. Mungu awakubuke. ❤❤❤❤.
Pole sana mtumishi wa mungu hayo Ni majaribu tu lakini usiuze gari yako Kwanza bora tukuchangie
Poleee. Na hujakosea saana kutangaza kuuza Gari kunamsemo huwa tunasema chako kikuokoe. Pole sana mama mbarikiwa. Kwakuumwa na kuuza Mali ilionunuliwa najua wamama huwahampendi kuuza chombochandani labda kiwe kibovu lakini kwahki kipya.
Pole sana ,MUNGU tunae mwabudu akuponye pamoja na mama .
Mtumishi mwenzangu pole kwa pito hilo ila ushauri uruhusu kwanza atakayependa kuchangia kama isipotosha mungu atafanya njia nyingine wewe ni wa watu wewe ni wa mungu ni kweli ni afya kuwa na chako lkn ktk hili ruhusu tu watu wawe nyuma yako
Mungu akutie nguvu pole sana
Ni Maumivu juu ya Maumivu, Sema tu MUNGU anayajua yote haya.
MUNGU atabaki kuwa MUNGU tu.Amina ❤
Mbarikiwa acha kuliza watanzania.. ivo vitu kakupa Mungu ili ufanyie kazi yake Sasa kusema unaviuza ili ukatibiwe nijambo linalooumiza sana.. Sikiliza mioyo yawengi bado inakupenda bado ipo nawewe nakuomba weka wazi matibabu yako yanaitaji kiasi gani? alafu nasisi tukuoneshe mioyo yetu kwakujitoa tulicho nacho.. Kama ikipungua basi Uza mali za Mungu nakikizidi basi mpe Mungu utukufu, sisi niwatanzania haiwezekani gari iliyofanyiwa kazi ya Mungu tena katika haki et leo ikanajisiwe.. Mbarikiwa plz tangaza unaitaji kiasi gani hakika Mungu ataenda kukushangaza! plz plz plz uwe free we sema tu alafu tuachie tukushangaze kama haujamrudia Mungu kwa machozi mtu wa Mungu.
Tunakupenda kaka ebu weka waz garama watanzania tupo tyr kuchangia huna baya mtumishi 📖💓🙏
Pole sana Mtumishi,Majaribu yako yamefikia mwisho,Mimi naona Uchungu
Mungu aliyewaita atawatetea. Kazi yenu ni ukombozi wa watu wengi katika Taifa hili.
Pole sana mungu akutetee yote yanapita upo mda bwana atatenda
Pole Mungu afungue milango pesa zipatikane
Pole sana mtumishi wa mungu
Twambie mtumish wa mungu tuchangie matibabu🙏🙏
mtumishelilie mungu awaponye achen hizo asset
Mungu yupo pamoja nawe mtumishi Mimi ningeshauri utengenese group pesa itapatikana kwa halaka Sana amini hivyo
Mbalikiwa pole sana na hayo mapito lkn mungu anajuwa hayo yote unayoyapitia na ameyaluhusu kwa makusudi yake lkn ninaimani kuna jambo zuri mungu analiandaa ktk maisha yako
Mtumishi wa Pole sana,kama ningekuwa na uwezo wa kufanya jambo kuhusu AFYA yenu YAANI pesa ya matibabu ningekushauri gari isiuzwe Baba yangu kwakuwa kazi bado inaendelea na Hilo ni jaribu tu,ila utavuka salama
Jamani mtumishi weka namba yakuchangia,maana mimi sijawahi kukutana na wewe live,ila huwa nabarikiwa sana kwa nyimbo zako na mahubiri.
Salome,Mungu atakupinya mimi huwa natamani wanawake wote wangekuwa kama wewe amani ingetawala katika ndoa,unahekima sana dada yangu,toa account tutachangia kwa kadili mungu atakavyo tuongoza
Pole baba na familia Yako mungu awatetee
Sio pole,mchangieni
Mungu.yu mwema, uponyaji utakuwa nanyi kwa vile tunaamini Mungu hakuachi
Pole sana mtegemee Mungu
Mungu akutetee mtumishi ata ayubu alipitia shida
Tupo tayali kuchangia. Mtumishi wa mungu
Pole sana mtumishi dah
Mungu atabariki tu
Nomba nichangie kichache mchungaji niombe no
Tuko tayari kuchanga mtu wa mungu.
Mungu akusimamamie
Mungu akufanyie wepesi yeye atamuleta mnunuzi
Pole sana ndugu yangu mungu awaponye lakini pia akuongozeni ktk njia sahihi yenye mafanikio.
Pole sana mtumishi wa Mungu jaribu lisiktoe kwenye mpango wa Mungu...endelea kumtafta sikio lake sio zito ashindwe kusikia atawaponya kwa Jina la Yesu.
Kama Mungu aliweza kilio Cha Ezekiel na kughairi kifo,Nina amini katika jina la Bwana wa Majeshi,jina lenye nguvu jina lenye uwezo,Juu Yako Baba,utapona na mara dufu utaongezewa,Pita tu baba na kuendelea kukinywea kikombe,kikubwa Mungu unamjua na unaendeleaje kutufundisha
Mungu ni mkubwa sana atafanya kila njia wote mtakuwa vizuri kiafya. Naomba azidi kuwatia nguvu mchungaji na mama
😢😢😢pole baba ungeweka hata namba za cmu za kutuma pesa
Kwa Mungu hakuna kuwahi wala kuchelewa mtumishi wa Mungu sema kiasi chamatibabu yako
Ni heri kukaa kimyaa kuliko. Kumtukana mtumishi wa Mungu ni mwizi 😢 shauri Yako na ole wao haya😢
Mungu awatunze mtumishi kikombe umekunywa mtumishi kinachonpa furaha unamtumainia mungu
Ala wakisha pona wanaanza kuhubiri waleteni wagonjwa wapate miujiza ...kwao wenyewe miujiza haifanyi kazi
Mtumishi wa Mungu pitisha mchango tuchange usiuse gari
Sinajisi ndugu yangu mungu akuponye
Moyo wako umekuwa darasa kubwa kwangu poleni sana wazazi wangu.
Pole sana mtumishi yote yatapita tumkumbuke ayubu
Polen sana watumishi wa mungu
Mungu awaponye mtu Wa Mungu
Yaan nasikia maumivu makali sana Mungu wetu hashindwi na jambo
Mungu awakumbuke tunawapenda,
Mtumishi je hili gari lingelikuwepo? Acha Mungu Ajashindwa Kutuma Malaika Kukupatia Pesa za Matibabu!
Pole na Hongera Wewe ni Mshindi! Mungu Awezi Kukuacha, Ongeza Sublah za Kumngojea na Utulivu Zaidi Utapata Jibu Atakalo Kwambia! Shalom🙏🏻
Pole sana baba
Aliyediri kumfikisha hapa mtumishi huyu wa Mungu!! Akae mkao wa kula sina mengi
Barikiwa pole wale wa mungu ndio wanayapitia Sana tusimwaje mungu Mimi Niko Kenya nakaribu kupiga simu haingii lakini tuzidi ma maombi ata wimbo wako WA moah unanitoa machozi nikisikiliza asante
Pole sana MUNGU atawatetea
Tutachangia Kaka
Dah, Gari bado mbichi kabisa,
Bora tuchangie Matibabu. Baada ya hapo iendelee Kutumika Kuitangaza Injili
Pole Sana unauzaje?