Mimi natamni mnaowatukana watumishi wa mungu basi mungu awafinye kidogo Kisha mpelekwe kwa hao hao makuhani mnaowatukana alafu wawasaidie ili mbaki na aibu zenu tuacheni kwani tulifuatw nyumbani tukashikwa mikono situlienda wenyewe tuacheni tuende kama kufa tufie huko acheni kutukana bhana likikukuta utaunyamazisha mdomo wako
Kuhusu laki tano!! Mtu halazimishwi kumuona Baba. Pia sio lazima uwe na laki tano upo utaratibu wa kumuona mtu wa Mungu. Eleweni Usinhiie nyumbani mwa Bwanaikono mitupuuu jamani acheni uchochozi watumishi wadogo wivuuu!! Mwacheni Afanye kazi ya Mungu Tunalaanii kitendo hiki
@@seifntandala9137 unayeandika upuzi hapa ujue kuwa nabii ana wafuasi dunia nzima,na wengine hatusumbuliwi kwa vituo vyenu,katafute pesa,nabii amekuzidi kila kitu
Mme gani anaekubali mke wake aandamane katika ujinga kama huo anaeponya ni Mungu siyo kiboko ya wachawi.ushauri wangu kwenu kesheni kwa kuomba msije mkapotea inaonekana ninyi mshapotea Maana watu wa Mungu hawaandamani hiv wanaandamana kwakuomba.
Tunamtaka kibokoya wachawi nimechoka ss nitakimbilia wapi na yy ndo alikua mutetezi wangu nilipona vidonda vya tumbo kupitia ibada zake mungu itika maombi yetu 😭🤲🙏😭😭😭🙆🙆🙆
Ni kweli alitangaza kumuona lake Tano pia ukiingia ofisin Kuna chuma ulete umetoka kumuno anakwambia ongeza manabii wa mchongp alijiona mungu mtu alitaman
Umeamini saiz kua wachungaji wengi dar nimatapeli kwa ushauli pambana kivyako muongoze mungu achana na mambo ya wachungaji nawao wanatafuta chakula maana nd habari ya mjini
😂😂😂😂 Nashkur mungu nilikataaa tamaaa mapema kwenda mahn kila ukiendaa hue na sh 40 au 30 kwa jili ya maji au mafuta bado ujala na mafut yenywe unapakw tu kwenywe paji la uso himeisha hio mmmh mungu wng 😢
Alafu mashonga wengine wanaongea pumba sisi twamtaka kiboko ya wachawi wetu mutetezi wetu 😭😭😭😭 kila sikutangu juzi mimi nalia machozi tunayolia mungu ataitika😭😭😭💃
Natamani nitembeze mikwaju wakina mama wamechoka Na huyu Kaka tapeli mwingine dah! Baada ya kulilia Katiba mpya wanalilia uchawi inasikitisha sana kweli Watanzania tumekufa😭😭😭😭
SalamanAelh Shaloom Tumsigu Yesu Kristo. Wapendwaa wa Mungu?! Mnaosoma sms.hii acheni Wivu na Kazi ua Mungu Tusimchezee Mungu jamani tuaigeuze nchi yetu kama ya vita. Nawaombemi maiwaumize nafsi Watisji wa Mungu waacheni wafanye kazi ya Mungu waomnee watu wanafungua watu tunapokuwa na mayeso tunawaamini . Kwanini Fiyina na wivu. kila mwenye huduma yake asimame na Mungu wake. Kwanini bijembe wivuu!!! Mrudishieni kijana wawatu Huduma uake au mnawapenda wachawi kwenye nchi jiiii!!? haifai kabisa
nikweri ata mom nilienda kuudumiwa AP kabisa lakin nilipo fika niliambiwa nilipie laki Saba elfu ili nionane nae anisaidie nakwelw nikatoa laki...50.0000/..lakini sikuona majibu yoyote labud niliambiwa nisubilie mpka afike alipo fika nikaabiwa siwez kuingia bila kua na. Elfu thelathin elf iyo kabisa inatapeli watu
Na chalamira asipoiludisha kanisa ya nabii Dominic kazi ana mwaka wake ni huu wa mwisho atakuha mkuu wa mkoa wa daresalamu uyo mkuu wa mkoa charamila hii ni sauti ya mungu kwa nabii azina ya baadae ya mungu uyo mkuu wa mkoa amhonye nabii dominic na kazi ya yesu hiendelehe ni sauti ya mtu aliye jangwani azina ya yesu ya baadae
Asipo mludisha mkuu wa mkoa uyu nabii Dominic mungu anasema mkuu wa mkoa atafukuza na huu mwaka ni wamwisho mkuu wa mkoa charamila yesu atamtoha kwenye kiti chake
Ni kweli heri afungwe kabisa, siyo tu aende congo huku. Akafunge kanisa huku congo. Alikuwa ni tabeli kweli. Hao waumini wamfute huku congo. Akili ni mali
Huduma yyte lazima iwe na sadaka ndio itaendeshwa hivyo. Jamani kila kitu nichakukodisha, Sadaka nilazima Neno linasema usiende uaiingie nyumbani mwa Bwana mikono mitupuu leo hii mnamchochea Mtu wa Mungu kazi yake kweli Tuna pigana na Mungu lakini!! Wachawi wengiii anapambana nao hamtakii??
Wamama wengi muliopo hapo mmeshindikana kwenye ndoa zenu.
Niwatiifu sana kwa wachungaji zao kuliko kutii waume zao
Wengi niwabisha sna
Kwa mafundisho yale huwezi fundishwa na nabii ukakosa kutii mume wako,wacheni wivu
@@charlesomollo-ui1npww na huyo mchungaji mnashirikiana na kuwazulumu watu
@@MaryNyaki-j6n wajua waongea na nani???mimi si mtanzania,chunga saaana
Tafuta hela wacha machungu,ama nikusaidie
Daah, wamechoka mbaya waumini, na unyonyaji
Mimi natamni mnaowatukana watumishi wa mungu basi mungu awafinye kidogo Kisha mpelekwe kwa hao hao makuhani mnaowatukana alafu wawasaidie ili mbaki na aibu zenu tuacheni kwani tulifuatw nyumbani tukashikwa mikono situlienda wenyewe tuacheni tuende kama kufa tufie huko acheni kutukana bhana likikukuta utaunyamazisha mdomo wako
Daah dunia !! Mungu atuongoze katika imani zetu .hela mafanikio tueke pembeni tuwe waumini wa dini kweli , mungu tusaidie tz.
Mungu wa mbinguni angalia machozi ya sisi wanyonge tumemwona Mungu kupitia kiboko . Mungu simama na Mtumishi wako ❤❤
Daa mungu akusaidie baba natumia sana
Nyie machizi hamjielewi,mnataka mfanywe kama kibwetere wa Uganda halafu serikali iangalie Tu upumbavu wenu.
Awo wamelipwa na kiboko ya wachawi waandamane
Kweli kawapumbaza akili
@@MauBonde akili yako ni robo
@@MauBonde wachana na nabii
Mnasemaga wanawake ndio wanatekwa akili na manabii wa uwongo mbona na wanaume wapo na wao hawajielewi
Munguawenaye
Kuhusu laki tano!! Mtu halazimishwi kumuona Baba. Pia sio lazima uwe na laki tano upo utaratibu wa kumuona mtu wa Mungu. Eleweni Usinhiie nyumbani mwa Bwanaikono mitupuuu jamani acheni uchochozi watumishi wadogo wivuuu!! Mwacheni Afanye kazi ya Mungu Tunalaanii kitendo hiki
Eti baba😂😂😂😂😂😂😂😂 mungu yopo popote
Eti baba😂😂😂
Poleni Mungu atawasaidia
Jamani tunaomba sana sisi tukasali wapi
Akatulize vurugu za kongo hawajielewi anawasaidia kiboko ni mungu
Baba mungu agutie nguvu baba waumin msichoke mpaka kieleweke
Msiwanyanyase watumishi wa Munguu Mnawapenda wachawi sana Tanzaniaa mrudishieni kijana wawatu huduma yake amwinue Krisho
Hatukubali m naamin bab atarud na mpk kielewek
Ni kuhangaika kwa mpinga Kristo, Mungu yuko upendo wetu
Uyo anaehamasisha akifika kituoni tu weka ndani
😂😂😂
@@seifntandala9137 unayeandika upuzi hapa ujue kuwa nabii ana wafuasi dunia nzima,na wengine hatusumbuliwi kwa vituo vyenu,katafute pesa,nabii amekuzidi kila kitu
Mme gani anaekubali mke wake aandamane katika ujinga kama huo anaeponya ni Mungu siyo kiboko ya wachawi.ushauri wangu kwenu kesheni kwa kuomba msije mkapotea inaonekana ninyi mshapotea
Maana watu wa Mungu hawaandamani hiv wanaandamana kwakuomba.
Dah wapuuzi ni wengi mungu awa sameness sana
Tunamtaka kibokoya wachawi nimechoka ss nitakimbilia wapi na yy ndo alikua mutetezi wangu nilipona vidonda vya tumbo kupitia ibada zake mungu itika maombi yetu 😭🤲🙏😭😭😭🙆🙆🙆
ONA ili lipumbavu
Mambo ya Imani yasibezwe.!
Mambo ya watanzania wengi YANAKEAMISHWA NA WACHAWI
Wachawiwapoo sqna kiboko munguakusaidiye
Ni kweli alitangaza kumuona lake Tano pia ukiingia ofisin Kuna chuma ulete umetoka kumuno anakwambia ongeza manabii wa mchongp alijiona mungu mtu alitaman
Mungu awatie nguvu nimesadiwa sana na hhuyo mchungaji hana shida kabisa
Umeamini saiz kua wachungaji wengi dar nimatapeli kwa ushauli pambana kivyako muongoze mungu achana na mambo ya wachungaji nawao wanatafuta chakula maana nd habari ya mjini
😂😂😂😂 Nashkur mungu nilikataaa tamaaa mapema kwenda mahn kila ukiendaa hue na sh 40 au 30 kwa jili ya maji au mafuta bado ujala na mafut yenywe unapakw tu kwenywe paji la uso himeisha hio mmmh mungu wng 😢
Serikali mnatutesa , mwacheni kiboko atusaidie tunampenda sana nimkombozi wa watanzania hamjui tu
Unampenda wewe peke Ako watanzania atusemewagi wewe acha ushamba
Wewe Mama ulilazimishwa kwenda kwenye hudumaa!! au unacholalamikia mamilion umetozwa!! acha fiyina zako. ungekaankwako usiwachafue watu wa Mungu!!
Jamaa kapata dili bila shaka kawaliza
Hampo sawa
Dume kubwa jinga
😂😂😂😂
Zombihilo😂lishawekwa
Robert wewe dume kabisa mwerevu wakaa billionea
Uyu mmbwa kweli
Alafu mashonga wengine wanaongea pumba sisi twamtaka kiboko ya wachawi wetu mutetezi wetu 😭😭😭😭 kila sikutangu juzi mimi nalia machozi tunayolia mungu ataitika😭😭😭💃
Aseeee watu wangu wanangamia kwa kukosa maharifa
Watu hawa wanahitaji kuchapwa fimbo ili akili zao zikae sawa
Mm,mbona Kama sio waklisto ,wanaonyesha watu wadini Fulani ?
Kipofu akimungoza kipofu mwenzie wote watadudumbukia shimon
Huyu mwehu km nabii wao anaeangalia chupi
Jonas wajiskiza??jiite mkutano
Kabisa chizi kama hiyo nabii wake😂
@@ProsperKilenga shame on you
@@ProsperKilenga wachana na nabii
Hiz ni imani za kichawi
Dahh hata ofc ya mkuu wa mkoa hmpajui 😅😅😅😅
Jaman jini sio mchezo jaman😂😂😂😂😂😂😂 huyo mama duuh
Wa Congo matapeli cn
@@FettyOriginal Congo pia ni nchi
Wa Jinga siku zote ndiyo waliwao. Sisi watanzania Mungu atusamehe kwa ujinga huu.
jamani si muende kongo mkaanzishe kanisa
Natamani nitembeze mikwaju wakina mama wamechoka Na huyu Kaka tapeli mwingine dah! Baada ya kulilia Katiba mpya wanalilia uchawi inasikitisha sana kweli Watanzania tumekufa😭😭😭😭
Mshamb ww ach tyulioponywa tyuongee
Kwahiyo kwa mionekajo hiyo mdo mlikuwa mnaingia Ibadani?
😂😂😂😂 vipi tena ndiyo napelekwa police au eeeeh😅😅😅😅
😂😂😂 kwa huyo mtumishi siaombe mwenyew mpaka serikali fungue mbn Paul na asila waliomba mpaka milango ya gereza ikafunguka😂😂😂😂
Hata office ya mkuu wa mkoa hujui iko wapi broh
Badala ya kwenda kufanya kazi .....
Ukifanya Kazi wewe inatosha 😏
SalamanAelh Shaloom Tumsigu Yesu Kristo. Wapendwaa wa Mungu?! Mnaosoma sms.hii acheni Wivu na Kazi ua Mungu Tusimchezee Mungu jamani tuaigeuze nchi yetu kama ya vita. Nawaombemi maiwaumize nafsi Watisji wa Mungu waacheni wafanye kazi ya Mungu waomnee watu wanafungua watu tunapokuwa na mayeso tunawaamini . Kwanini Fiyina na wivu. kila mwenye huduma yake asimame na Mungu wake. Kwanini bijembe wivuu!!! Mrudishieni kijana wawatu Huduma uake au mnawapenda wachawi kwenye nchi jiiii!!? haifai kabisa
Kweli jini sio kitu cha mchezo😅
Dah "Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa kuwa na maarifa"
Kibooko ta wachawi Mungu akusimamie Tunakupenda saaaana❤❤❤❤❤from mbeya.
@@moannamzigua9293 💪💪💪💪👊👊👊👊👊✊✊✊✊✊
Ila mjini panahitaji Akili 😂😂😂
nikweri ata mom nilienda kuudumiwa AP kabisa lakin nilipo fika niliambiwa nilipie laki Saba elfu ili nionane nae anisaidie nakwelw nikatoa laki...50.0000/..lakini sikuona majibu yoyote labud niliambiwa nisubilie mpka afike alipo fika nikaabiwa siwez kuingia bila kua na. Elfu thelathin elf iyo kabisa inatapeli watu
Bola selikali imefanya jambo la maana sana bado kuna manabii wa uwongo wengi wafutiwe vibali na hakuna kufungua kanisa Tanzania
Wataje tuwajue kama una uhakika huo
Peleka uchawi wako kijijini kwenu,et hakuna kufungua kanisa Tanzania , ovyo tanzania ya kwako 😏
@@stellamsokwa6785 unaonekana hata mmeo umemshika masikio wewe wanawake kama wewe niwazinzi alafu wanajificha makanisani
Na chalamira asipoiludisha kanisa ya nabii Dominic kazi ana mwaka wake ni huu wa mwisho atakuha mkuu wa mkoa wa daresalamu uyo mkuu wa mkoa charamila hii ni sauti ya mungu kwa nabii azina ya baadae ya mungu uyo mkuu wa mkoa amhonye nabii dominic na kazi ya yesu hiendelehe ni sauti ya mtu aliye jangwani azina ya yesu ya baadae
Asipo mludisha mkuu wa mkoa uyu nabii Dominic mungu anasema mkuu wa mkoa atafukuza na huu mwaka ni wamwisho mkuu wa mkoa charamila yesu atamtoha kwenye kiti chake
Soma BIBILIA vizuri , maana usiwe wa kusomewa , ukawa mzee wa vilaka , TUTAKUITA VILAKA MAKER INTERNATIONAL.
USIFATE MKUMBO NA KUWA NA MASIKIO YA UTAFITI BIBLIA INASEMA.
Nye wapumbavu pastor wenu ana maadili yakitumishi mpaka anataja chupi kanisani
Mwanaume mzima,unapiga kelele kama hao hao wanawake.Umelipwaa
Mnapingana na Serkali....mnataka kuibia watu
Mam tunakuomba tufungulie ni huduma jamani viongoze wetu wa selekali tunaowamba tupo chini ya minguuu yenu
Kama mnaandamana ni vizuri muwe na vigezo
Wengi ni wanawake 😂
Na ndo wanatesekaga wanakesha kanisani alafu wanasahau ndoa zao wanaachika
Yan apo walio jazana ni wakina mama watupuuu dah mung saidia ndy mana wana kufa awa laia
Hivi nani amewaroga jamani mmenunuliwa bule kwa damu yesu vipi mmekuwa hivyo achani mje kwa yesu
Anataka cheo huyo
Mmefungwa kiroho
Serekali mwaka mtakuja kuomba kura jenasisi tukakata nivinzur tunaomba jaman viongo,ze wetu hote tunawaomba mtufungulie huduma
Na Mimi Niko tiali na nabii Dominic utaludi Mimi nasema na utatumika ihi ni sauti ya mungu miezi miwili Nimetoa apa tanzania utatumika
Jaman nilikua nataka kumpeleka mama yangu jaman tena kunahilo
KWA NINI VYOMBO VYETU VYA USALAMA VINAWAACHIA HAWA WAPUUZI WANADHARAU SMRI YA MAHAKAMA....WAKAMATWE WOTE WASHITAKIWE!
Mbona tunaombewa kwenye radio tunapona bule na amusemi
Wanamtaka kiboko Yao🤣🤣🤣.
Kwani wao ni wachawi au🤣🤣🤣....
Yale Yale ya Mackenzie wa Kenya.
ETI KANSA LA. MUNGU LINAITWA KIBOKO LA WACHAWI. MNACHEZA NA MUNGU?Lifungiwe kabisaaaaaaaaaa
Karibuni police tunawangoja hapa
Nyie hajatoa hela ikaenda bila kuhudumiwa ndiyo maana mnashangilia. Tena unajaza fomu ya kutoa pesa na hiyo fomu ina muhuri wa advocate
Misukule
hawa ni wehu kama wehu wengine
Acheni ujinga kwani kuandamana ndo suluhisho???? Kwani mungekaa nakuomba Mungu asingewasikiliza kuliko kuandamana ninyi nawaonea mshapotea fungukeni ktk kuomba siyo kuandamana.
Waganga mbona wanakula hel zetu alfu hatupone lakina hapa tuna pona bila karama
bona Niko a mama mpenda mtuwe
Kama kulogwa nyinyi mumelogwa kweli na kiboko wa wachawi
aondoke nao ao watu waende nao kongo nendeni nae kongo
Mchungaji anaechungulia nguo za ndani za waumini😳😳tantagiza
Yani mmekaa apo kama makondoo mungu awasaidie San kuombewa kwa pesa bila pesa hakuna maombi mungu awasaidie San nyie hamjui mndendalo
Toa wasenge hao
Haahhaahhaahahah ile Kanisa ndo wazungumze vile? Au ndo washafanywa mazezeta kama wale wa Zumaridi
Arnde
Ruanda akafanye hayo mautaprli aone kitakachomkuta
Hahahaha!! Mataira !! Najuta kutoa hela yangu kumuona na Wala sikuoata huduma. We kiboko nirudishie laki 7 zangu
@@margaretlongway133 Nipe account yako nikulipe shangazi naona njaa yakumaliza
Hili kanisa la machangudoa na wahuni
Ni kweli heri afungwe kabisa, siyo tu aende congo huku. Akafunge kanisa huku congo. Alikuwa ni tabeli kweli. Hao waumini wamfute huku congo. Akili ni mali
Na ww saiv utakua mchungaji😂
Tunaomba viongozi waliagalie watu wengi tuna shida na mtatuzi wetu ni Dominic
Wapuuzi wote hao
Usilolijua nisawa na usiku wa giza kaeni hapo kama mabegi
Awatanguliye
Wapumbavu kweli nyinyi
Tunaishukuru serikali kwa kufunga hili sio kanisa ni bandaaa
Kwani wewe linakuhusu nn wakati wahisika wanalitaka?
Machiz kweli haya majitu
Nchi hii jaman 😂😂😂😂
Huduma yyte lazima iwe na sadaka ndio itaendeshwa hivyo. Jamani kila kitu nichakukodisha, Sadaka nilazima Neno linasema usiende uaiingie nyumbani mwa Bwana mikono mitupuu leo hii mnamchochea Mtu wa Mungu kazi yake kweli Tuna pigana na Mungu lakini!! Wachawi wengiii anapambana nao hamtakii??