MZOZO WAIBUKA KWENYE KANISA LA KIBOKO YA WACHAWI, TUTAANDAMANA HADI KWA CHALAMIRA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 289

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 2 หลายเดือนก่อน +14

    Wamama wengi muliopo hapo mmeshindikana kwenye ndoa zenu.
    Niwatiifu sana kwa wachungaji zao kuliko kutii waume zao
    Wengi niwabisha sna

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa mafundisho yale huwezi fundishwa na nabii ukakosa kutii mume wako,wacheni wivu

    • @MaryNyaki-j6n
      @MaryNyaki-j6n 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@charlesomollo-ui1npww na huyo mchungaji mnashirikiana na kuwazulumu watu

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      @@MaryNyaki-j6n wajua waongea na nani???mimi si mtanzania,chunga saaana

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      Tafuta hela wacha machungu,ama nikusaidie

  • @saxo-mm4me
    @saxo-mm4me 2 หลายเดือนก่อน +8

    Daah, wamechoka mbaya waumini, na unyonyaji

  • @MagdalenaKitoma-md3kp
    @MagdalenaKitoma-md3kp 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi natamni mnaowatukana watumishi wa mungu basi mungu awafinye kidogo Kisha mpelekwe kwa hao hao makuhani mnaowatukana alafu wawasaidie ili mbaki na aibu zenu tuacheni kwani tulifuatw nyumbani tukashikwa mikono situlienda wenyewe tuacheni tuende kama kufa tufie huko acheni kutukana bhana likikukuta utaunyamazisha mdomo wako

  • @muhamadmaulid694
    @muhamadmaulid694 2 หลายเดือนก่อน

    Daah dunia !! Mungu atuongoze katika imani zetu .hela mafanikio tueke pembeni tuwe waumini wa dini kweli , mungu tusaidie tz.

  • @TeddyPonera
    @TeddyPonera 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu wa mbinguni angalia machozi ya sisi wanyonge tumemwona Mungu kupitia kiboko . Mungu simama na Mtumishi wako ❤❤

  • @JUMAABDUMANYWELA
    @JUMAABDUMANYWELA 2 หลายเดือนก่อน

    Daa mungu akusaidie baba natumia sana

  • @MauBonde
    @MauBonde 2 หลายเดือนก่อน +17

    Nyie machizi hamjielewi,mnataka mfanywe kama kibwetere wa Uganda halafu serikali iangalie Tu upumbavu wenu.

    • @SekelaJakson-ls7dd
      @SekelaJakson-ls7dd 2 หลายเดือนก่อน

      Awo wamelipwa na kiboko ya wachawi waandamane

    • @mylasadick5189
      @mylasadick5189 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kawapumbaza akili

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      @@MauBonde akili yako ni robo

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      @@MauBonde wachana na nabii

    • @MarthaKidirya
      @MarthaKidirya 2 หลายเดือนก่อน

      Mnasemaga wanawake ndio wanatekwa akili na manabii wa uwongo mbona na wanaume wapo na wao hawajielewi

  • @sizyathom-qq5cx
    @sizyathom-qq5cx 2 หลายเดือนก่อน

    Munguawenaye

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kuhusu laki tano!! Mtu halazimishwi kumuona Baba. Pia sio lazima uwe na laki tano upo utaratibu wa kumuona mtu wa Mungu. Eleweni Usinhiie nyumbani mwa Bwanaikono mitupuuu jamani acheni uchochozi watumishi wadogo wivuuu!! Mwacheni Afanye kazi ya Mungu Tunalaanii kitendo hiki

    • @priscajames6842
      @priscajames6842 2 หลายเดือนก่อน

      Eti baba😂😂😂😂😂😂😂😂 mungu yopo popote

    • @priscajames6842
      @priscajames6842 2 หลายเดือนก่อน

      Eti baba😂😂😂

  • @FrancoiseNtimpirangeza
    @FrancoiseNtimpirangeza 2 หลายเดือนก่อน +3

    Poleni Mungu atawasaidia

  • @HawaOman
    @HawaOman 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani tunaomba sana sisi tukasali wapi

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 หลายเดือนก่อน +1

    Akatulize vurugu za kongo hawajielewi anawasaidia kiboko ni mungu

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 2 หลายเดือนก่อน

    Baba mungu agutie nguvu baba waumin msichoke mpaka kieleweke

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli 2 หลายเดือนก่อน +1

    Msiwanyanyase watumishi wa Munguu Mnawapenda wachawi sana Tanzaniaa mrudishieni kijana wawatu huduma yake amwinue Krisho

  • @CastoFighter
    @CastoFighter 2 หลายเดือนก่อน

    Hatukubali m naamin bab atarud na mpk kielewek

  • @DamasjoachimPetro
    @DamasjoachimPetro 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kuhangaika kwa mpinga Kristo, Mungu yuko upendo wetu

  • @seifntandala9137
    @seifntandala9137 2 หลายเดือนก่อน +13

    Uyo anaehamasisha akifika kituoni tu weka ndani

    • @analisacecy
      @analisacecy 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      @@seifntandala9137 unayeandika upuzi hapa ujue kuwa nabii ana wafuasi dunia nzima,na wengine hatusumbuliwi kwa vituo vyenu,katafute pesa,nabii amekuzidi kila kitu

  • @AlexJackson-ig2yd
    @AlexJackson-ig2yd 2 หลายเดือนก่อน

    Mme gani anaekubali mke wake aandamane katika ujinga kama huo anaeponya ni Mungu siyo kiboko ya wachawi.ushauri wangu kwenu kesheni kwa kuomba msije mkapotea inaonekana ninyi mshapotea
    Maana watu wa Mungu hawaandamani hiv wanaandamana kwakuomba.

  • @AlifaHamis
    @AlifaHamis 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dah wapuuzi ni wengi mungu awa sameness sana

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu7485 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tunamtaka kibokoya wachawi nimechoka ss nitakimbilia wapi na yy ndo alikua mutetezi wangu nilipona vidonda vya tumbo kupitia ibada zake mungu itika maombi yetu 😭🤲🙏😭😭😭🙆🙆🙆

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mambo ya Imani yasibezwe.!
    Mambo ya watanzania wengi YANAKEAMISHWA NA WACHAWI

  • @sizyathom-qq5cx
    @sizyathom-qq5cx 2 หลายเดือนก่อน

    Wachawiwapoo sqna kiboko munguakusaidiye

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli alitangaza kumuona lake Tano pia ukiingia ofisin Kuna chuma ulete umetoka kumuno anakwambia ongeza manabii wa mchongp alijiona mungu mtu alitaman

  • @ReginapauloSamila
    @ReginapauloSamila 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu awatie nguvu nimesadiwa sana na hhuyo mchungaji hana shida kabisa

    • @godmatruss9831
      @godmatruss9831 หลายเดือนก่อน

      Umeamini saiz kua wachungaji wengi dar nimatapeli kwa ushauli pambana kivyako muongoze mungu achana na mambo ya wachungaji nawao wanatafuta chakula maana nd habari ya mjini

  • @rosejoseph2471
    @rosejoseph2471 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 Nashkur mungu nilikataaa tamaaa mapema kwenda mahn kila ukiendaa hue na sh 40 au 30 kwa jili ya maji au mafuta bado ujala na mafut yenywe unapakw tu kwenywe paji la uso himeisha hio mmmh mungu wng 😢

  • @EsterMeela-h4w
    @EsterMeela-h4w 2 หลายเดือนก่อน

    Serikali mnatutesa , mwacheni kiboko atusaidie tunampenda sana nimkombozi wa watanzania hamjui tu

    • @NellyMponi-do1zk
      @NellyMponi-do1zk 2 หลายเดือนก่อน

      Unampenda wewe peke Ako watanzania atusemewagi wewe acha ushamba

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe Mama ulilazimishwa kwenda kwenye hudumaa!! au unacholalamikia mamilion umetozwa!! acha fiyina zako. ungekaankwako usiwachafue watu wa Mungu!!

  • @suleymandachi782
    @suleymandachi782 2 หลายเดือนก่อน

    Jamaa kapata dili bila shaka kawaliza

  • @LydiaAlfred-k2z
    @LydiaAlfred-k2z 2 หลายเดือนก่อน

    Hampo sawa

  • @robertmsukwa8466
    @robertmsukwa8466 2 หลายเดือนก่อน +5

    Dume kubwa jinga

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 2 หลายเดือนก่อน

      Zombihilo😂lishawekwa

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      Robert wewe dume kabisa mwerevu wakaa billionea

  • @SalmaMuhammed-u8s
    @SalmaMuhammed-u8s 2 หลายเดือนก่อน

    Uyu mmbwa kweli

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu7485 2 หลายเดือนก่อน

    Alafu mashonga wengine wanaongea pumba sisi twamtaka kiboko ya wachawi wetu mutetezi wetu 😭😭😭😭 kila sikutangu juzi mimi nalia machozi tunayolia mungu ataitika😭😭😭💃

  • @Julianjulias45
    @Julianjulias45 2 หลายเดือนก่อน

    Aseeee watu wangu wanangamia kwa kukosa maharifa

  • @williamssempoli2294
    @williamssempoli2294 2 หลายเดือนก่อน +1

    Watu hawa wanahitaji kuchapwa fimbo ili akili zao zikae sawa

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa 2 หลายเดือนก่อน

    Mm,mbona Kama sio waklisto ,wanaonyesha watu wadini Fulani ?

  • @danielsinda
    @danielsinda 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kipofu akimungoza kipofu mwenzie wote watadudumbukia shimon

  • @jonasmalima9143
    @jonasmalima9143 2 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu mwehu km nabii wao anaeangalia chupi

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      Jonas wajiskiza??jiite mkutano

    • @ProsperKilenga
      @ProsperKilenga 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisa chizi kama hiyo nabii wake😂

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      @@ProsperKilenga shame on you

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      @@ProsperKilenga wachana na nabii

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 2 หลายเดือนก่อน

    Hiz ni imani za kichawi

  • @LilyGily
    @LilyGily 2 หลายเดือนก่อน

    Dahh hata ofc ya mkuu wa mkoa hmpajui 😅😅😅😅

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by 2 หลายเดือนก่อน

    Jaman jini sio mchezo jaman😂😂😂😂😂😂😂 huyo mama duuh

  • @FettyOriginal
    @FettyOriginal 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wa Congo matapeli cn

  • @georgekyando885
    @georgekyando885 2 หลายเดือนก่อน

    Wa Jinga siku zote ndiyo waliwao. Sisi watanzania Mungu atusamehe kwa ujinga huu.

  • @SandraJackson-b6u
    @SandraJackson-b6u 2 หลายเดือนก่อน

    jamani si muende kongo mkaanzishe kanisa

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen 2 หลายเดือนก่อน +3

    Natamani nitembeze mikwaju wakina mama wamechoka Na huyu Kaka tapeli mwingine dah! Baada ya kulilia Katiba mpya wanalilia uchawi inasikitisha sana kweli Watanzania tumekufa😭😭😭😭

    • @CastoFighter
      @CastoFighter 2 หลายเดือนก่อน

      Mshamb ww ach tyulioponywa tyuongee

  • @lulumpenja459
    @lulumpenja459 2 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo kwa mionekajo hiyo mdo mlikuwa mnaingia Ibadani?

  • @chawalive
    @chawalive 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 vipi tena ndiyo napelekwa police au eeeeh😅😅😅😅

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 kwa huyo mtumishi siaombe mwenyew mpaka serikali fungue mbn Paul na asila waliomba mpaka milango ya gereza ikafunguka😂😂😂😂

  • @narohwings
    @narohwings 2 หลายเดือนก่อน

    Hata office ya mkuu wa mkoa hujui iko wapi broh

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 2 หลายเดือนก่อน

    Badala ya kwenda kufanya kazi .....

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 2 หลายเดือนก่อน

      Ukifanya Kazi wewe inatosha 😏

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli 2 หลายเดือนก่อน

    SalamanAelh Shaloom Tumsigu Yesu Kristo. Wapendwaa wa Mungu?! Mnaosoma sms.hii acheni Wivu na Kazi ua Mungu Tusimchezee Mungu jamani tuaigeuze nchi yetu kama ya vita. Nawaombemi maiwaumize nafsi Watisji wa Mungu waacheni wafanye kazi ya Mungu waomnee watu wanafungua watu tunapokuwa na mayeso tunawaamini . Kwanini Fiyina na wivu. kila mwenye huduma yake asimame na Mungu wake. Kwanini bijembe wivuu!!! Mrudishieni kijana wawatu Huduma uake au mnawapenda wachawi kwenye nchi jiiii!!? haifai kabisa

  • @Regankimaro-y7o
    @Regankimaro-y7o 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli jini sio kitu cha mchezo😅
    Dah "Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa kuwa na maarifa"

  • @moannamzigua9293
    @moannamzigua9293 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kibooko ta wachawi Mungu akusimamie Tunakupenda saaaana❤❤❤❤❤from mbeya.

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      @@moannamzigua9293 💪💪💪💪👊👊👊👊👊✊✊✊✊✊

  • @sissoalfred7259
    @sissoalfred7259 2 หลายเดือนก่อน

    Ila mjini panahitaji Akili 😂😂😂

  • @reastinabenadi-i6k
    @reastinabenadi-i6k 2 หลายเดือนก่อน

    nikweri ata mom nilienda kuudumiwa AP kabisa lakin nilipo fika niliambiwa nilipie laki Saba elfu ili nionane nae anisaidie nakwelw nikatoa laki...50.0000/..lakini sikuona majibu yoyote labud niliambiwa nisubilie mpka afike alipo fika nikaabiwa siwez kuingia bila kua na. Elfu thelathin elf iyo kabisa inatapeli watu

  • @seifntandala9137
    @seifntandala9137 2 หลายเดือนก่อน +3

    Bola selikali imefanya jambo la maana sana bado kuna manabii wa uwongo wengi wafutiwe vibali na hakuna kufungua kanisa Tanzania

    • @AGM19697
      @AGM19697 2 หลายเดือนก่อน

      Wataje tuwajue kama una uhakika huo

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 2 หลายเดือนก่อน

      Peleka uchawi wako kijijini kwenu,et hakuna kufungua kanisa Tanzania , ovyo tanzania ya kwako 😏

    • @seifntandala9137
      @seifntandala9137 2 หลายเดือนก่อน

      @@stellamsokwa6785 unaonekana hata mmeo umemshika masikio wewe wanawake kama wewe niwazinzi alafu wanajificha makanisani

  • @TzMose
    @TzMose 2 หลายเดือนก่อน

    Na chalamira asipoiludisha kanisa ya nabii Dominic kazi ana mwaka wake ni huu wa mwisho atakuha mkuu wa mkoa wa daresalamu uyo mkuu wa mkoa charamila hii ni sauti ya mungu kwa nabii azina ya baadae ya mungu uyo mkuu wa mkoa amhonye nabii dominic na kazi ya yesu hiendelehe ni sauti ya mtu aliye jangwani azina ya yesu ya baadae

    • @TzMose
      @TzMose 2 หลายเดือนก่อน

      Asipo mludisha mkuu wa mkoa uyu nabii Dominic mungu anasema mkuu wa mkoa atafukuza na huu mwaka ni wamwisho mkuu wa mkoa charamila yesu atamtoha kwenye kiti chake

    • @bahatimaselo8528
      @bahatimaselo8528 2 หลายเดือนก่อน

      Soma BIBILIA vizuri , maana usiwe wa kusomewa , ukawa mzee wa vilaka , TUTAKUITA VILAKA MAKER INTERNATIONAL.

    • @bahatimaselo8528
      @bahatimaselo8528 2 หลายเดือนก่อน

      USIFATE MKUMBO NA KUWA NA MASIKIO YA UTAFITI BIBLIA INASEMA.

  • @ReubenMussa-hk5iu
    @ReubenMussa-hk5iu 2 หลายเดือนก่อน

    Nye wapumbavu pastor wenu ana maadili yakitumishi mpaka anataja chupi kanisani

  • @joycekaje8755
    @joycekaje8755 2 หลายเดือนก่อน

    Mwanaume mzima,unapiga kelele kama hao hao wanawake.Umelipwaa

  • @CHARITYKUMBERFIELD-uz9os
    @CHARITYKUMBERFIELD-uz9os 2 หลายเดือนก่อน

    Mnapingana na Serkali....mnataka kuibia watu

  • @HawaOman
    @HawaOman 2 หลายเดือนก่อน

    Mam tunakuomba tufungulie ni huduma jamani viongoze wetu wa selekali tunaowamba tupo chini ya minguuu yenu

  • @MiltonSatte
    @MiltonSatte 2 หลายเดือนก่อน

    Kama mnaandamana ni vizuri muwe na vigezo

  • @AnjelaNgowi
    @AnjelaNgowi 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wengi ni wanawake 😂

    • @priscajames6842
      @priscajames6842 2 หลายเดือนก่อน

      Na ndo wanatesekaga wanakesha kanisani alafu wanasahau ndoa zao wanaachika

  • @CosterMwamasage-ie9lb
    @CosterMwamasage-ie9lb 2 หลายเดือนก่อน

    Yan apo walio jazana ni wakina mama watupuuu dah mung saidia ndy mana wana kufa awa laia

  • @RukiaSalum-n4m
    @RukiaSalum-n4m 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi nani amewaroga jamani mmenunuliwa bule kwa damu yesu vipi mmekuwa hivyo achani mje kwa yesu

  • @aliceudoba3672
    @aliceudoba3672 2 หลายเดือนก่อน

    Anataka cheo huyo

  • @EnikoSanga
    @EnikoSanga 2 หลายเดือนก่อน

    Mmefungwa kiroho

  • @HawaOman
    @HawaOman 2 หลายเดือนก่อน

    Serekali mwaka mtakuja kuomba kura jenasisi tukakata nivinzur tunaomba jaman viongo,ze wetu hote tunawaomba mtufungulie huduma

  • @TzMose
    @TzMose 2 หลายเดือนก่อน

    Na Mimi Niko tiali na nabii Dominic utaludi Mimi nasema na utatumika ihi ni sauti ya mungu miezi miwili Nimetoa apa tanzania utatumika

  • @JamilaIssa-u7u
    @JamilaIssa-u7u 2 หลายเดือนก่อน

    Jaman nilikua nataka kumpeleka mama yangu jaman tena kunahilo

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 2 หลายเดือนก่อน +2

    KWA NINI VYOMBO VYETU VYA USALAMA VINAWAACHIA HAWA WAPUUZI WANADHARAU SMRI YA MAHAKAMA....WAKAMATWE WOTE WASHITAKIWE!

  • @MeshersHashrun
    @MeshersHashrun 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona tunaombewa kwenye radio tunapona bule na amusemi

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 2 หลายเดือนก่อน

    Wanamtaka kiboko Yao🤣🤣🤣.
    Kwani wao ni wachawi au🤣🤣🤣....
    Yale Yale ya Mackenzie wa Kenya.

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 2 หลายเดือนก่อน

    ETI KANSA LA. MUNGU LINAITWA KIBOKO LA WACHAWI. MNACHEZA NA MUNGU?Lifungiwe kabisaaaaaaaaaa

  • @chawalive
    @chawalive 2 หลายเดือนก่อน

    Karibuni police tunawangoja hapa

  • @matildamkubulo1140
    @matildamkubulo1140 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie hajatoa hela ikaenda bila kuhudumiwa ndiyo maana mnashangilia. Tena unajaza fomu ya kutoa pesa na hiyo fomu ina muhuri wa advocate

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 2 หลายเดือนก่อน

    Misukule

  • @napendahuruma3320
    @napendahuruma3320 2 หลายเดือนก่อน

    hawa ni wehu kama wehu wengine

  • @AlexJackson-ig2yd
    @AlexJackson-ig2yd 2 หลายเดือนก่อน

    Acheni ujinga kwani kuandamana ndo suluhisho???? Kwani mungekaa nakuomba Mungu asingewasikiliza kuliko kuandamana ninyi nawaonea mshapotea fungukeni ktk kuomba siyo kuandamana.

  • @HawaOman
    @HawaOman 2 หลายเดือนก่อน

    Waganga mbona wanakula hel zetu alfu hatupone lakina hapa tuna pona bila karama

  • @NgoshaNgosha-xf6zf
    @NgoshaNgosha-xf6zf 2 หลายเดือนก่อน

    bona Niko a mama mpenda mtuwe

  • @MsangiBakari-lj5jy
    @MsangiBakari-lj5jy หลายเดือนก่อน

    Kama kulogwa nyinyi mumelogwa kweli na kiboko wa wachawi

  • @SandraJackson-b6u
    @SandraJackson-b6u 2 หลายเดือนก่อน

    aondoke nao ao watu waende nao kongo nendeni nae kongo

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388 2 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji anaechungulia nguo za ndani za waumini😳😳tantagiza

  • @meryorotha671
    @meryorotha671 2 หลายเดือนก่อน +3

    Yani mmekaa apo kama makondoo mungu awasaidie San kuombewa kwa pesa bila pesa hakuna maombi mungu awasaidie San nyie hamjui mndendalo

  • @spitfiremusicproducer9623
    @spitfiremusicproducer9623 2 หลายเดือนก่อน

    Toa wasenge hao

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 2 หลายเดือนก่อน

    Haahhaahhaahahah ile Kanisa ndo wazungumze vile? Au ndo washafanywa mazezeta kama wale wa Zumaridi

  • @MagrethShao-v4s
    @MagrethShao-v4s 2 หลายเดือนก่อน

    Arnde
    Ruanda akafanye hayo mautaprli aone kitakachomkuta

  • @margaretlongway133
    @margaretlongway133 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahaha!! Mataira !! Najuta kutoa hela yangu kumuona na Wala sikuoata huduma. We kiboko nirudishie laki 7 zangu

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np 2 หลายเดือนก่อน

      @@margaretlongway133 Nipe account yako nikulipe shangazi naona njaa yakumaliza

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 หลายเดือนก่อน

    Hili kanisa la machangudoa na wahuni

  • @susanamollelkingu1344
    @susanamollelkingu1344 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli heri afungwe kabisa, siyo tu aende congo huku. Akafunge kanisa huku congo. Alikuwa ni tabeli kweli. Hao waumini wamfute huku congo. Akili ni mali

  • @AshaMsese-y5f
    @AshaMsese-y5f หลายเดือนก่อน

    Na ww saiv utakua mchungaji😂

  • @zubedamwesiga
    @zubedamwesiga 2 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba viongozi waliagalie watu wengi tuna shida na mtatuzi wetu ni Dominic

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 2 หลายเดือนก่อน

    Wapuuzi wote hao

  • @ProsperKilenga
    @ProsperKilenga 2 หลายเดือนก่อน

    Usilolijua nisawa na usiku wa giza kaeni hapo kama mabegi

  • @sizyathom-qq5cx
    @sizyathom-qq5cx 2 หลายเดือนก่อน

    Awatanguliye

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 2 หลายเดือนก่อน

    Wapumbavu kweli nyinyi

  • @immadangote6001
    @immadangote6001 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaishukuru serikali kwa kufunga hili sio kanisa ni bandaaa

    • @AGM19697
      @AGM19697 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani wewe linakuhusu nn wakati wahisika wanalitaka?

  • @josephmaduka-xv8yp
    @josephmaduka-xv8yp 2 หลายเดือนก่อน

    Machiz kweli haya majitu

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 2 หลายเดือนก่อน

    Nchi hii jaman 😂😂😂😂

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli 2 หลายเดือนก่อน

    Huduma yyte lazima iwe na sadaka ndio itaendeshwa hivyo. Jamani kila kitu nichakukodisha, Sadaka nilazima Neno linasema usiende uaiingie nyumbani mwa Bwana mikono mitupuu leo hii mnamchochea Mtu wa Mungu kazi yake kweli Tuna pigana na Mungu lakini!! Wachawi wengiii anapambana nao hamtakii??