NJIA RAHISI YA KUPATA VIFARANGA WENGI WA KIENYEJI KWA MUDA MFUPI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • #vifaranga #kuku #kienyeji

ความคิดเห็น • 130

  • @ERICKJeanMARIE
    @ERICKJeanMARIE 3 หลายเดือนก่อน

    kwakweli nashukuru saana kupata ushauri toka kwenu mubarikiwe na muzidi kutufundisha zaidi

  • @sadahabdalah7073
    @sadahabdalah7073 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwa ushauri mzuri

  • @santinachengula1541
    @santinachengula1541 2 ปีที่แล้ว

    Asante Kwa elimu nzr

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana mlm

  • @omarycheyo1540
    @omarycheyo1540 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwa ushauri

  • @tinajaphet4828
    @tinajaphet4828 2 ปีที่แล้ว

    Asanteni elimu nzuli

  • @ashrathswaibu3990
    @ashrathswaibu3990 ปีที่แล้ว

    Asante,nins swli,yai ukilishikana mkono bila nguo eti halitotolewi?

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 3 ปีที่แล้ว

    Nashukuru sana

  • @reginaaizak1588
    @reginaaizak1588 4 ปีที่แล้ว +1

    Hii njia nimeipenda sana nashukuru sana mwalimu

  • @tdlkonyagi5098
    @tdlkonyagi5098 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @queentellynyaga2645
    @queentellynyaga2645 4 ปีที่แล้ว +2

    I love the video inamanufaa chungu nzima

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว +1

      Asante sana kwa mrejesho. Tunafurahi kusikia hivyo.

  • @agrpinagaspery9142
    @agrpinagaspery9142 2 ปีที่แล้ว +3

    Kumbi. Kumbi waliokaangwa naweza kuwapatia vifaranga!?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 ปีที่แล้ว

      Wape ni chanzo kizuri cha protini ila wakiwa wabichi ni nzuri zaidi

  • @abdallahsalehe441
    @abdallahsalehe441 2 ปีที่แล้ว

    Mm ni mfugaji mdogo mdogo nilikuwa na sawal wstu usema kuku unakili siku ya kutotoa

  • @juliussaidi1242
    @juliussaidi1242 2 ปีที่แล้ว

    Nimewapata sanaa

  • @YohannaMkanege
    @YohannaMkanege 4 หลายเดือนก่อน

    Asnte kwa darasa na somo zuri

  • @juliussaidi1242
    @juliussaidi1242 2 ปีที่แล้ว

    Ase brother Niko tayari nahitaji kuanzisha mradi huu naomba nisaidie kwa ushauri zaidi

  • @asherb.m.9314
    @asherb.m.9314 4 ปีที่แล้ว +1

    My cockerels are not able to mount on the hens. I do free range. What do I do to get them fertilise the hens?. They also fight alot

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      aren't they overweighted?
      If so. Try to do insermination

    • @asherb.m.9314
      @asherb.m.9314 4 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage how is insemination done. Am just starting so I bought 15 hens of different ages and 5 cockerels. Almost 3months and no action. Not a single egg also.

  • @michaelabrshamsaidimu367
    @michaelabrshamsaidimu367 ปีที่แล้ว

    Je mayai ya kienyeji unaweza kutumia machine kuyatotoa?

  • @raphaelmaundu4869
    @raphaelmaundu4869 4 ปีที่แล้ว +2

    Housing design for 300 no. Local Chicken. Plz assist.

  • @najufxa7106
    @najufxa7106 4 ปีที่แล้ว +1

    Nawezaje kupata kuku bora broo

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Nunua kuku aina ya bamboo toka kuku village ni bora mno.

  • @monicambiro5446
    @monicambiro5446 3 ปีที่แล้ว +3

    Namesake kupata vicarage kutoka kwenu niko kenya

    • @monicambiro5446
      @monicambiro5446 3 ปีที่แล้ว +1

      Naweza aje kupata vifaranga kutoka kwenu,niko kenya

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 ปีที่แล้ว

      Sehemu gani?

  • @catherinenthenya4955
    @catherinenthenya4955 ปีที่แล้ว

    Thanks alot but ningependa kujua jinsi ya kujenga kibada ya kuku pia zangu nimefungia na hazitangi but nikizitoa inje Dio utanga shinda ni gani

  • @bnussrahlimsantah3730
    @bnussrahlimsantah3730 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah nmependa

  • @mariamiddy9190
    @mariamiddy9190 4 ปีที่แล้ว +1

    Safe kabesaa

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @machibyamachibya530
    @machibyamachibya530 4 ปีที่แล้ว +1

    Hiv hizo nyasi ni nyasi gani nilizoziona kwenye hiyo vidio mnazolishia kuku ebu nipeni jibu na zinapatikana vipi asante

  • @abdulmajidshafi9973
    @abdulmajidshafi9973 3 ปีที่แล้ว +1

    Munauza kuku ama mayai yenye mbegu aina hio fupi wenye manyoya miguuni?

  • @AzamuMussa
    @AzamuMussa 8 หลายเดือนก่อน

    Nimewish sana mafunzo yenu Lakin shida nyingine ipo katika kuandaa mabanda bora

  • @TunsumeMwaijumba
    @TunsumeMwaijumba หลายเดือนก่อน

    Nipo mbeya tukuyu nawezaje kupata vifatanga

  • @evordiuskabakama7666
    @evordiuskabakama7666 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante

  • @maryamlmaryamwanje4334
    @maryamlmaryamwanje4334 3 ปีที่แล้ว

    Namba

  • @petromikaeli3214
    @petromikaeli3214 2 ปีที่แล้ว

    Kaka habari natumaini u mzma samahani naweza kuwatamishia kuku mayai 20 kwakuku moja??

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 ปีที่แล้ว +1

      Akiwa na umbo kubwa na mayai yawe size ya kati yasiwe makubwa. Inawezekana. Pia jambo la muhimu jaribu kumfuatilia kila mara

    • @petromikaeli3214
      @petromikaeli3214 2 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage Asante sana kaka

  • @happyyohana9881
    @happyyohana9881 ปีที่แล้ว

    Mnapatikana wapi kwa dar

  • @BakariBakari-me7ib
    @BakariBakari-me7ib 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nahitaji somo zaid

  • @eustacemgawe5454
    @eustacemgawe5454 4 ปีที่แล้ว +1

    Ninakushukuru sana kwani ninakusudia kuanzisha ufugaji wa kuku wa kienyeji ili kupata orientation nzuri after my retirement in two years to come

  • @deboramudogo9934
    @deboramudogo9934 4 ปีที่แล้ว +1

    Kifaranga sh ngapi na tetea mkubwa sh ngapi

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Inategemeana na aina. Tupigie 0621063255

  • @amosthimoteo1126
    @amosthimoteo1126 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamani nahitaji ujuz kuhus ufugaji w kuk nimehangaikasana nisaidien ujuz

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Jiunge hapa kisha utapewa maelekezo
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @bandeke9810
    @bandeke9810 4 ปีที่แล้ว +2

    Yai LA kuku likipatwa na maji bado litaendelea kufaa kulaliwa na kuku?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Inategemeana na kiasi cha maji, aina ya maji na uchafu wa maji.
      Ila likipata hivyo inakuwa kubahatisha

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

    • @odiliacharles8962
      @odiliacharles8962 4 ปีที่แล้ว

      Safi sana kuku village

  • @nikobonphace1256
    @nikobonphace1256 2 ปีที่แล้ว

    Msaada wa namba

  • @zahorrashid5262
    @zahorrashid5262 4 ปีที่แล้ว

    Naitaj vifaranga nipo zanzibar

  • @asnathabiasaf3274
    @asnathabiasaf3274 4 ปีที่แล้ว +1

    Kuku watagaji wazuri na jogoo mpandaji mzuri wanapatikana wapi?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Kuku village

    • @alicechibanhila3208
      @alicechibanhila3208 2 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage kuku billage iko wapi nataka nije nichague matemba na jogoo

  • @ghatijr2337
    @ghatijr2337 หลายเดือนก่อน

    Unajuaje matetea wameshawah kulalia

  • @everiusprojestus682
    @everiusprojestus682 4 ปีที่แล้ว +2

    Mi2 naomba kuuliza nawezaje kumfundisha jogoo wangu kupanda jike nikiwa nimemshikilia

  • @ericosoro7617
    @ericosoro7617 4 ปีที่แล้ว +4

    Ukiwafungia siku mvili so watachafua viota zao

  • @yohanamagele3633
    @yohanamagele3633 4 ปีที่แล้ว +3

    Daah hatunae nimepta channel ya kukamilisha ndoto yangu

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Karibu sana

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @juliethsandi532
    @juliethsandi532 4 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji mbegu ya kuku bora wa kienyeji tafadhali. Je naweza pata wapi

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

    • @juliethsandi532
      @juliethsandi532 4 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage Naomba uniunge kwenye group la whatsup. hii web inagoma.

  • @paulmganga5880
    @paulmganga5880 4 ปีที่แล้ว +1

    Unapo lea vifaranga tunahitaji kuweka gazeti au maranda ya mbao kama matandiko ili kuhifadhi joto je magazeti au maranda huwa yanabadilishwa baada ya mda wasiku ngapi

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Magazeti badilisha kila siku

    • @paulmganga5880
      @paulmganga5880 4 ปีที่แล้ว

      Asante
      Pia naweza kupata vifaranga vya kuku aina ya KUCHI

  • @asnathabiasaf3274
    @asnathabiasaf3274 4 ปีที่แล้ว +1

    Kuna faida au hasara gani za vifaranga kulelewa na mama yao au kuachiwa wajilee wwnyew?
    Nazungumzia kuku wa kienyeji

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Wakilelewa na mama yai hatari huongezeka hivyo ni ngumu kukua wote

  • @nehemiahwilson1864
    @nehemiahwilson1864 3 ปีที่แล้ว

    Nashukuru kwakupata elimu yaufugagi kwani nindotouangu mama

  • @siitalugala8553
    @siitalugala8553 3 ปีที่แล้ว

    Nimeona vifaranga na matters wapo pamoja je hawatagombania vifaranga

  • @juliethmbuya8146
    @juliethmbuya8146 4 ปีที่แล้ว

    Me nataka nijiunge Ila namba haipatikani

  • @matikunyamhanga8309
    @matikunyamhanga8309 2 ปีที่แล้ว

    Nitaendelea kufuatilia ili nami nipate vifaranga wengi kwa muda mfupi

  • @siitalugala8553
    @siitalugala8553 3 ปีที่แล้ว

    Je gani kitafaa

  • @Smartkichizi
    @Smartkichizi 6 หลายเดือนก่อน

    Me sjaelewa kwaiyo wanawekewa mayai yenye tareh moja au inakuadje apo

  • @mmwebeyonasibu6233
    @mmwebeyonasibu6233 4 ปีที่แล้ว +1

    Aante kwa crip hii
    Tutumoe chakula cha kuwalisha kuku wakienyejo tangu wanapototolewa mpaka miezi sita

  • @Mwavyuachiboni
    @Mwavyuachiboni 4 หลายเดือนก่อน

    Nauniambe,dawayautitili,inayouwa,kwaharaka

  • @winfridamwamban1078
    @winfridamwamban1078 4 ปีที่แล้ว

    Nawapenda bure nikipata mtaji nitawatafuta

  • @deboramudogo9934
    @deboramudogo9934 4 ปีที่แล้ว

    Nataka kupata mbegu

  • @mariamngumbaokiponda552
    @mariamngumbaokiponda552 4 ปีที่แล้ว

    Nimependa ufugaji kuku na nita endelea kufuatilia asante

    • @amosthimoteo1126
      @amosthimoteo1126 4 ปีที่แล้ว

      Hatamm nimependa sana nahitaji kujua zaid

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 2 ปีที่แล้ว

    Changamoto Ni magonjwa naomba nijue elim ya dawa

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 ปีที่แล้ว

      Tutaifanyia kazi. Japo yapo baadhi tumeshayaelezea

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 ปีที่แล้ว

    Na mimi nataka kufuga kuku

  • @changigezamberi5868
    @changigezamberi5868 4 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli. Nitumie namba yako ya WhatsApp..

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      chat.whatsapp.com/DJcFvuv9cd05y59tf5Ab93

    • @aggylema5775
      @aggylema5775 4 ปีที่แล้ว

      Asantee

  • @viviancharles2307
    @viviancharles2307 4 ปีที่แล้ว +1

    Naomba kupata mafunzo kuhusu kuku.wakienyeji..kuhusu incubator machine..tafadhali nope number ya whatsap

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว +1

      Nitafute hapa
      chat.whatsapp.com/CJBj5U99JvLByXiDAOJNAr

    • @viviancharles2307
      @viviancharles2307 4 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage hii hai download kabisa

  • @saidizakayo4759
    @saidizakayo4759 4 ปีที่แล้ว

    jamani ntafuta mbegunzuri yang'ombe

  • @ImeldaAtieno-uy8yr
    @ImeldaAtieno-uy8yr ปีที่แล้ว +1

    Nifanyeje Ili kupata mafunzo ya kufuga kuku natak kuanz kufug

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  ปีที่แล้ว

      Mafunzo kwa hatufanyi... mpaka hapo baadae tutatoa utaratibu

  • @suleyman_007
    @suleyman_007 4 ปีที่แล้ว +1

    Mayai yote yanafaa yawe ndani ya siku 14 ukihesabu ama yawe ndai ya siku 14???kwa sababu tarehe za mayai zitakuwa tofauti,na pia nauliza kwani kuku anachukuwa mda gani kutaga kabla ya kuanza kulalia mayai?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Mayai yote lazima yawe yametagwa ndani ya siku 14, kama yatazidi yanatakiwa kuchambuliwa na kuwekwa yale ya ndani ya siku 14 tu. Mengine yatumike kwa matumizi mengineyo.

    • @suleyman_007
      @suleyman_007 4 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage Asante,sasa nimekuelewa vyema

    • @paulmganga5880
      @paulmganga5880 4 ปีที่แล้ว

      Je kwa wale kuku wanaotaga kwa kupitisha siku moja yapili hutaga je nitumie mchanganyiko wa chakula gani

  • @abubakarmzee3374
    @abubakarmzee3374 4 ปีที่แล้ว +1

    😀😀😀😀😀😀

  • @maryamhamad9149
    @maryamhamad9149 3 ปีที่แล้ว +1

    KIFARANGA CHA SIKU YA MWANZO MARA NYINGI KWENYE BRUDA HUONA KAWEKEWA MAGAZETI HII HAITOLETA MADHARA KWA VILE KINYESI WA CHAO HAKIANGUKI CHINI?

  • @josphatotwani_manjose6997
    @josphatotwani_manjose6997 4 ปีที่แล้ว +1

    Imenitia moyo wa kuanza ufugaji wa kuku....kongole

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Napenda sana kama ukifurahia masomo yetu. Karibu sana

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo7420 4 ปีที่แล้ว +1

    Nicheki broh 0624102296 skupati whatapp

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @mariamngumbaokiponda552
    @mariamngumbaokiponda552 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana