Jinsi ya Kumlisha KUKU wa KIENYEJI Akue Haraka, Awe Mzito Uwahi Kumuuza Upate Faida Zaidi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- Kujiunga Katika Darasa La BUREEE! La Mafunzo ya Ufugaji Bonyeza Hapa Chini. Mshirikishe na Mwenzako Ili Afaidi Mafunzo Haya Toka Kuku Village
chat.whatsapp....
#kuku #kukuvillage #ufugaji
Mwenyenzi MUNGU akuzidishe ndugu
AMINA KAKA
Kwanini unakata mabawa ya vifaranga
@@kibajadaniel9887 Asante mungu atie ngvu tu
Asante kwa elimu hongera sana ubarikiwe
Namshukuru kwa elimu ongera sana
Mwalimu je?nilazima ukate ale manyoya yavifalanga?ni kwa Nini? Jibu inshaallah
Mungu akupe sifa kweli 😮😮
Hongera sana kwa ufugaji mzuri wa kuku
Hongera sana kwa ufugaji mzuri, ni kwanini tunakata mabawa?
Ahsante sana kwa somo zuri swali je ukataji wa manyoya ya kuku kunasaidia nni kwa kuku😮😮
Asante
Asante sana
Shukrani
Thank you for you good advise my chicken eat alot 3months with loss weight on need advice
Je! Ni nyumba bora ya kuku gani kwa ardhi ya kuku wa kienyeji au sakafu iliyoinuliwa?
Shukrani kwa mafunzo na ushauri wenu. Naomba kuelezwa, nini faida ya kukata mabawa ya kuku?
Nini faida ya kuwapunguza mbawa zao.
Mwalimu nimekuelewa vzr sawa wakati huo wote kuku watakuwa wanatumia dawa Gani?
Kuku asipewe dawa kama haumwi
Asanteni
Asante sama
Habari nauliza nikwann vifaranga mnawakata mbawa na mnakata wakiwa na umri gani?
Elimu yenu ina manufaa sn kwetu,napenda kufahamu kwanini tunawakata kuku mabawa tafadhali.
Naomba urudie no za kujiunga na kulipia unataja haraka know!!
0621063255
Asante, nimeelewa sana
Mafunzo mazuri sana hongera .swali kwanini Kukata mabawa ya vifaranga?
Mungu awabariki kwa elimu yenu
Thank you so much for the info but I my Swahili is not so good,if you translate into English.
Mbarikiwe kwa ushauri wenu mzuri.tunaomba msiache kutushauri.
Asante. Nauliza kwa nini kuku wangu wanataga mayai ambayo hayajatimia, yaani bado ganda halijawa gumu
Watibu mafua
@@KukuVillage asante. Nitumie nini kutibu mafua?
Asante kwa somo zuri
Habari zenu mm nimgeni wenu kutoka Kenya
Asante sana Kwa mafinzo mazuri.
Ningependa kujua ni kwanini vifaranga wanakatwa manyoa , na wanakatwa wakiwa umri Gani?
Pili. Je, waweza kuwalisha kuku wako vyakula vingine kama omena, njugu , mahindi na Mchele kuongezea Kwa vyakula ulivyo taja?
Omena sizifahamu
@@KukuVillageomenaa ni dangaa mbona hujajibu swali ? Mbano una kata mabawa
Why do we to give layers mash then grower ?the feeding program start with starter mash,grower and layers mash/finisher
It starts with starter , grower then layers mash. But to broilers thats when we get finisher at final stage.
@@KukuVillage Thank you but in your video you are saying that after start mash to use layer start then grower
I dont remember but its as i told you.
I dont remember but its as i told you.
@@KukuVillage listen at 7:11 IN VIDEO ABOVE you saying to give after 10 day change to layer start - robo tetu and
Kuna faida gani ya kuwakata kuku manyoyaa
Next video
Next video mpaka leo bado
Ukikata hizo mbawa za vifaranga inasaidia nini?
Kwa nini mnawakata mbawa?
Why do you never answer this question?
Ahsanteni
Naomba namba ya simu
Labda kukata manyoya kutasaidia asiruke juu nje ya uzio au banda
Hello, kwanini vifaranga unawakata manyoya? Ahsante.
Unapatikana wapi nimetamani sana kuku wako
0621063255
Kwa nini usijibu hapa hapa. Mpaka kukupigia@@KukuVillage
Jambo tuandikie namba zenu kwa maandishi.
0621063255
Ninafurahia sana
Habari..ningependa kuwatembelea kwenye shamba lenu ili nipate kufanya biashara na nyinyi. Tafadhali ningetaka kujua pale mulipo na number ya simu
Wasiliana nasi
chat.whatsapp.com/CJBj5U99JvLByXiDAOJNAr
Je ni sahihi kuwapa kuku mabaki ya chakula?
Ni sahihi ila lazima yawe na usalama
Nimeona unawakatq mayoya vifaranga,Ili iweje?ama kunafaida ipi?
Nitazidi kufuatilia mtiririko huu wa kuwalisha chakula ila bado nahitaji kufuatilia hiii namna ya ulishaji chakula bora kwa vifaranga
Mashamba yenu yako wapi ili nijifunze zaidi?
Kwa sasa tunatumia magroup ya WhatsApp darasa. Ila baadae ndo tutakuwa na farm visit
Namba unijuze kwanini unawakata mbawa hivivifaranga
Elimu yako ni nzuri sana , vifaranga vikifika wiki mbili wapate chakula gani?
Asante , bado wanatumia starter
Asante sana kwa videos .Banda bora ya kuku village (Local village kuku)nihipi?my kiswahili is not good.nyumba bora ya kuku kwa ardhi ya kuku wa kienyeji au sakafu iliyoinuliwa?
Use English
@@KukuVillage what is the best poultry house for local village chicken between raised floor or ground floor?
Raised floor with wire mesh if it is for closed house. But ground floor for free range .
@@KukuVillage thanks
Naomba somo la jinsi ya kumlisha kuku wa KIENYEJI kuanzia kifaranga mpaka awe mkubwa kilograms za vyakula
HAYA MASOMO YA TAREHE 1 TO 15 BADO YANAENDELEA ?
Hapana.
Ukichanganya sitata na pumba ya maindi inaweza kukosti
Sijaelewa swali lako
Habari, je ni lazima kuwachoma chanjo ya marek's kuku wa kienyeji pure wakitotoleshwa kwa mashine ???
Siyo lazima
Asante
Tunashukuru kwa elimu nzuri lakini kwanini mnawakata manyoya
Mi ndo nilianza Kwa kukurupuka kufuga kabla sijapata Elimu, ila nashukuru Kwa somo hili, swali je, hao ambao ndo wamedumaa niwafanyeje,? Maana huku nilipo ni kijijini hata hayo maduka ya vyakula kuyapata ni mpaka usafili mwendo mrefu sana
Jaribu kutengeneza chakula bora watainuka
@@KukuVillage na mbona mnawakata mabawa?
Kukata mabawa ni swali au kitendawili tegua chagua mji wa kwenda ili utegue swali hili
Mbona unakata manyoa ya Manawa?
Samahani hiki chakula naweza kukipata wapi kijijini kwetu sijakisikia
Mimi naweza kuanza kufuga kuju wawili
Nataka kuanza na matetea watatu na Jogoo moja naomba uniunge whatsapp ili npate kujifunza zaid
Nawapataje hao kuku,nipo mbeya
Tupigie 0621063255
@@KukuVillagevifaranga mnauzaje?
hogera xana kwa ufungaji nigependa kujua namun ya kulea vifaranga bila Mama yao na bil kifo,,
Kuna video ya hivyo itafute TH-cam
Kwa nn vifaranga wanakatwa mabawa?
Naomba kuuliza je inakuwaje baadhi ya kuku wanaangua vifaranga wengi kuliko wengine? Je ni aina ya kuku au ni mbinu gani inatumika ?
1. Kuku wengine huwa ni wazembe,
2. Kuku wengine huwa hawana uwezo mzuri katika ulaloaji.
Jinsi ya kutatua
Tafuta mitetea bora inayoweza kulalia na kutotoa vizuri. Ndo uwatumie hao.
Mm
Naomba mniunge kwenye group
Niunge kwenye group tafadhali
Ukataji mabawa vifaranga una faida gani kwa vifaranga?
👍
Nimefrhia kupata somo kma ili kiukwel napend niwe mfugaji wa kuku siku zijazo
Karibu Sana ndugu
Naomba mnitajie namba za kutuma michango wangu
Naitwa Bizeze, naomba kuuliza umekata mabawa je inasaidia Nini?
Kuna siri gani ya kuwakata kuku mabawa
Kwann mnawatoa mbawa
Kukata Manyoya kunasaidia nini?
Mkenya atajiunga vipi na darasa hili
Anaweza jiunga.. tumia mobile money
Tumia mpesa +255744674406
Airtel money +255784655413
Malipo ni sh. 255 za Kenya
Habari Mimi ni mfugaji wa kuku wa nyama kutokana na uhaba wa vifaranga nataka kufuga kuku wa mwendokasi au saso wa kienyeji chumba cha futi kumi watakaa kuku wangapi mpaka wakikuwa?
Foot 10 kwa ngapi?
Sababu za kukata manyoya
Vifaranga Bora navipataje kwa arusha
Vifaranga Bora tunakuletea sisi wenyewe kuku village. Mpaka arusha . Karibu
Kuku wakiasha kua wakubwa wanatakiwa kula Kilo ngapi kwa siku kila mmoja yaani mfano Nina kuku 10 natakiwa kuwapa kilo ngapi kwa siku???
Kilo 1
Kama Kuku Wana furiwa Na vitu Kwa mdomo au macho Tina ni nini?
Nataka kujua kuhusu hiyo disfectant unayomuwekea kuku aliyeathirika na hayo mafua
Unawakat mabawa wakiwa na umri gani ?
🙏
Nimeipenda hii kwani natamani sanaa niwe nauza kk wengi .
Naomba ya Inbox au maulizo
Mutu aliye burundi anawezaje kujiunga nanyi?
Wasiliana nasi WhatsApp 0744674406
Kwa nini mnawakata mabawa
Napataje kitabu.
Kwanini mnawakata mabawa hao wadogo?
Raphael daniel mubungo
Nawatenga vifaranga kwa
Mda gan na mama yao
Mbona hamjibu kukata mabawa kunasidia nn jaman
He naona unawakata mabawa kwanini nipe elimu hapo
Stata nzuri ni ya kampuni ipi?
Tupigie 0621063255
Kwann anamkata manyoya
Kwanini mnawakatia mabawa yao hao vifaranga??
Kazi yenu ni jema sana nimejua mengi kwa kuangalia kipindi hiki🐔
Hi, ni kwa sababu gani unawakata mabawa?
Kumkata kifaranga manyoya ya mabawa kunasaidia nini
Makata mabawa wakiwa na umri gani
Nataka kufahamu kwamba kukata mabawa kuna Saidia
Nini hapo
Akue haraka, anenepe
I wish join your whatapp group from zambia how do i send pesa?
If you have vodacom or airtel money its far easy, but to all networks it is possible . Just call your costomer care for details .
@@KukuVillage which number can i use for airtel transfer?