Jinsi ya Kumlisha KUKU wa KIENYEJI Akue Haraka, Awe Mzito Uwahi Kumuuza Upate Faida Zaidi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Kujiunga Katika Darasa La BUREEE! La Mafunzo ya Ufugaji Bonyeza Hapa Chini. Mshirikishe na Mwenzako Ili Afaidi Mafunzo Haya Toka Kuku Village
    chat.whatsapp....
    #kuku #kukuvillage #ufugaji

ความคิดเห็น • 190

  • @kibajadaniel9887
    @kibajadaniel9887 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mwenyenzi MUNGU akuzidishe ndugu

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 หลายเดือนก่อน

      AMINA KAKA

    • @JosephineMakamba-xm9bq
      @JosephineMakamba-xm9bq 2 หลายเดือนก่อน

      Kwanini unakata mabawa ya vifaranga

    • @user-tu6nt8vl7p
      @user-tu6nt8vl7p หลายเดือนก่อน

      @@kibajadaniel9887 Asante mungu atie ngvu tu

  • @WitnessLaizer-w4i
    @WitnessLaizer-w4i 13 วันที่ผ่านมา +1

    Asante kwa elimu hongera sana ubarikiwe

  • @WitnessLaizer-w4i
    @WitnessLaizer-w4i 13 วันที่ผ่านมา +1

    Namshukuru kwa elimu ongera sana

  • @NduwayoGuillaume-ev3dh
    @NduwayoGuillaume-ev3dh 3 หลายเดือนก่อน +10

    Mwalimu je?nilazima ukate ale manyoya yavifalanga?ni kwa Nini? Jibu inshaallah

  • @user-mb2wx6li9e
    @user-mb2wx6li9e 10 วันที่ผ่านมา

    Mungu akupe sifa kweli 😮😮

  • @mgangaa.semwija8750
    @mgangaa.semwija8750 3 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana kwa ufugaji mzuri wa kuku

  • @HelenSablaki
    @HelenSablaki 19 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana kwa ufugaji mzuri, ni kwanini tunakata mabawa?

  • @user-ng8xo5gc9o
    @user-ng8xo5gc9o 2 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana kwa somo zuri swali je ukataji wa manyoya ya kuku kunasaidia nni kwa kuku😮😮

  • @ClaraKimalila
    @ClaraKimalila หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @EstherMelly
    @EstherMelly 28 วันที่ผ่านมา

    Asante sana

  • @judithmchaki4880
    @judithmchaki4880 4 ปีที่แล้ว +1

    Shukrani

  • @marymjera3873
    @marymjera3873 ปีที่แล้ว

    Thank you for you good advise my chicken eat alot 3months with loss weight on need advice

  • @mousalyatitima6620
    @mousalyatitima6620 4 ปีที่แล้ว +3

    Je! Ni nyumba bora ya kuku gani kwa ardhi ya kuku wa kienyeji au sakafu iliyoinuliwa?

  • @madinaali1107
    @madinaali1107 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukrani kwa mafunzo na ushauri wenu. Naomba kuelezwa, nini faida ya kukata mabawa ya kuku?

    • @carimodaniel585
      @carimodaniel585 2 ปีที่แล้ว

      Nini faida ya kuwapunguza mbawa zao.

  • @TheresiaKimaro
    @TheresiaKimaro หลายเดือนก่อน +1

    Mwalimu nimekuelewa vzr sawa wakati huo wote kuku watakuwa wanatumia dawa Gani?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  หลายเดือนก่อน

      Kuku asipewe dawa kama haumwi

  • @elibarikishukya-lf3sk
    @elibarikishukya-lf3sk 4 หลายเดือนก่อน

    Asanteni

  • @tunsumemwajumba7149
    @tunsumemwajumba7149 9 หลายเดือนก่อน

    Asante sama

  • @jumakuswa715
    @jumakuswa715 3 ปีที่แล้ว +4

    Habari nauliza nikwann vifaranga mnawakata mbawa na mnakata wakiwa na umri gani?

  • @wariaelipallangyo953
    @wariaelipallangyo953 4 ปีที่แล้ว +9

    Elimu yenu ina manufaa sn kwetu,napenda kufahamu kwanini tunawakata kuku mabawa tafadhali.

  • @magdalenamtweve7403
    @magdalenamtweve7403 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba urudie no za kujiunga na kulipia unataja haraka know!!

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  หลายเดือนก่อน

      0621063255

  • @jimmyjohn8184
    @jimmyjohn8184 3 ปีที่แล้ว

    Asante, nimeelewa sana

  • @chrispinamgala7816
    @chrispinamgala7816 4 ปีที่แล้ว

    Mafunzo mazuri sana hongera .swali kwanini Kukata mabawa ya vifaranga?

  • @floraweja6193
    @floraweja6193 3 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki kwa elimu yenu

  • @patrickwangota4587
    @patrickwangota4587 4 ปีที่แล้ว +1

    Thank you so much for the info but I my Swahili is not so good,if you translate into English.

  • @danielmwakatuma1438
    @danielmwakatuma1438 3 ปีที่แล้ว +3

    Mbarikiwe kwa ushauri wenu mzuri.tunaomba msiache kutushauri.

  • @vaikaayagadiel520
    @vaikaayagadiel520 2 ปีที่แล้ว

    Asante. Nauliza kwa nini kuku wangu wanataga mayai ambayo hayajatimia, yaani bado ganda halijawa gumu

  • @mrneysherin9109
    @mrneysherin9109 3 ปีที่แล้ว

    Habari zenu mm nimgeni wenu kutoka Kenya

  • @michvakel2
    @michvakel2 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana Kwa mafinzo mazuri.
    Ningependa kujua ni kwanini vifaranga wanakatwa manyoa , na wanakatwa wakiwa umri Gani?
    Pili. Je, waweza kuwalisha kuku wako vyakula vingine kama omena, njugu , mahindi na Mchele kuongezea Kwa vyakula ulivyo taja?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 หลายเดือนก่อน

      Omena sizifahamu

    • @halimasalah4852
      @halimasalah4852 หลายเดือนก่อน

      ​@@KukuVillageomenaa ni dangaa mbona hujajibu swali ? Mbano una kata mabawa

  • @mousalyatitima6620
    @mousalyatitima6620 4 ปีที่แล้ว +3

    Why do we to give layers mash then grower ?the feeding program start with starter mash,grower and layers mash/finisher

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว +2

      It starts with starter , grower then layers mash. But to broilers thats when we get finisher at final stage.

    • @mousalyatitima6620
      @mousalyatitima6620 4 ปีที่แล้ว +1

      @@KukuVillage Thank you but in your video you are saying that after start mash to use layer start then grower

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      I dont remember but its as i told you.

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      I dont remember but its as i told you.

    • @mousalyatitima6620
      @mousalyatitima6620 4 ปีที่แล้ว +1

      @@KukuVillage listen at 7:11 IN VIDEO ABOVE you saying to give after 10 day change to layer start - robo tetu and

  • @kennymbidah
    @kennymbidah 4 ปีที่แล้ว +4

    Kuna faida gani ya kuwakata kuku manyoyaa

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Next video

    • @kennymbidah
      @kennymbidah 4 ปีที่แล้ว +1

      Next video mpaka leo bado

  • @ezralangborn214
    @ezralangborn214 3 ปีที่แล้ว +2

    Ukikata hizo mbawa za vifaranga inasaidia nini?

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 4 ปีที่แล้ว +4

    Kwa nini mnawakata mbawa?

    • @asherb.m.9314
      @asherb.m.9314 3 ปีที่แล้ว +1

      Why do you never answer this question?

  • @aminamikidadi8478
    @aminamikidadi8478 ปีที่แล้ว

    Ahsanteni

  • @user-lm2hf3gc1t
    @user-lm2hf3gc1t 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba ya simu

  • @christinainnocent3184
    @christinainnocent3184 หลายเดือนก่อน

    Labda kukata manyoya kutasaidia asiruke juu nje ya uzio au banda

  • @judithwanjiku4102
    @judithwanjiku4102 3 ปีที่แล้ว

    Hello, kwanini vifaranga unawakata manyoya? Ahsante.

  • @user-lm2hf3gc1t
    @user-lm2hf3gc1t 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unapatikana wapi nimetamani sana kuku wako

  • @MackWaLweya
    @MackWaLweya หลายเดือนก่อน +1

    Jambo tuandikie namba zenu kwa maandishi.

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  หลายเดือนก่อน

      0621063255

  • @user-nz6mx2vw6l
    @user-nz6mx2vw6l 3 หลายเดือนก่อน

    Ninafurahia sana

  • @fakharsalim7842
    @fakharsalim7842 4 ปีที่แล้ว +1

    Habari..ningependa kuwatembelea kwenye shamba lenu ili nipate kufanya biashara na nyinyi. Tafadhali ningetaka kujua pale mulipo na number ya simu

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Wasiliana nasi
      chat.whatsapp.com/CJBj5U99JvLByXiDAOJNAr

  • @paulinas.3631
    @paulinas.3631 2 หลายเดือนก่อน +1

    Je ni sahihi kuwapa kuku mabaki ya chakula?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 หลายเดือนก่อน

      Ni sahihi ila lazima yawe na usalama

  • @mariamj4358
    @mariamj4358 2 ปีที่แล้ว

    Nimeona unawakatq mayoya vifaranga,Ili iweje?ama kunafaida ipi?

  • @paulmganga5880
    @paulmganga5880 4 ปีที่แล้ว

    Nitazidi kufuatilia mtiririko huu wa kuwalisha chakula ila bado nahitaji kufuatilia hiii namna ya ulishaji chakula bora kwa vifaranga

  • @dilliwa
    @dilliwa 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashamba yenu yako wapi ili nijifunze zaidi?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Kwa sasa tunatumia magroup ya WhatsApp darasa. Ila baadae ndo tutakuwa na farm visit

  • @hamisiboffu9715
    @hamisiboffu9715 4 ปีที่แล้ว +2

    Namba unijuze kwanini unawakata mbawa hivivifaranga

  • @lutamyomwasipo6876
    @lutamyomwasipo6876 2 ปีที่แล้ว

    Elimu yako ni nzuri sana , vifaranga vikifika wiki mbili wapate chakula gani?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 ปีที่แล้ว

      Asante , bado wanatumia starter

  • @mousalyatitima6620
    @mousalyatitima6620 4 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana kwa videos .Banda bora ya kuku village (Local village kuku)nihipi?my kiswahili is not good.nyumba bora ya kuku kwa ardhi ya kuku wa kienyeji au sakafu iliyoinuliwa?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว +1

      Use English

    • @mousalyatitima6620
      @mousalyatitima6620 4 ปีที่แล้ว +1

      @@KukuVillage what is the best poultry house for local village chicken between raised floor or ground floor?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว +3

      Raised floor with wire mesh if it is for closed house. But ground floor for free range .

    • @sonstaronline9701
      @sonstaronline9701 4 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage thanks

  • @melkion
    @melkion ปีที่แล้ว

    Naomba somo la jinsi ya kumlisha kuku wa KIENYEJI kuanzia kifaranga mpaka awe mkubwa kilograms za vyakula

  • @mashaainsuranceagency5925
    @mashaainsuranceagency5925 3 หลายเดือนก่อน

    HAYA MASOMO YA TAREHE 1 TO 15 BADO YANAENDELEA ?

  • @issamasoudy3126
    @issamasoudy3126 4 ปีที่แล้ว +1

    Ukichanganya sitata na pumba ya maindi inaweza kukosti

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Sijaelewa swali lako

  • @ongezamaarifa2526
    @ongezamaarifa2526 4 ปีที่แล้ว +1

    Habari, je ni lazima kuwachoma chanjo ya marek's kuku wa kienyeji pure wakitotoleshwa kwa mashine ???

  • @AtulehemuMtivike
    @AtulehemuMtivike 4 หลายเดือนก่อน

    Tunashukuru kwa elimu nzuri lakini kwanini mnawakata manyoya

  • @getrudemhozya9920
    @getrudemhozya9920 2 ปีที่แล้ว

    Mi ndo nilianza Kwa kukurupuka kufuga kabla sijapata Elimu, ila nashukuru Kwa somo hili, swali je, hao ambao ndo wamedumaa niwafanyeje,? Maana huku nilipo ni kijijini hata hayo maduka ya vyakula kuyapata ni mpaka usafili mwendo mrefu sana

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 ปีที่แล้ว

      Jaribu kutengeneza chakula bora watainuka

    • @getrudemhozya9920
      @getrudemhozya9920 2 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage na mbona mnawakata mabawa?

  • @hashirumashina9791
    @hashirumashina9791 หลายเดือนก่อน

    Kukata mabawa ni swali au kitendawili tegua chagua mji wa kwenda ili utegue swali hili

  • @LucyOgonyo-j2e
    @LucyOgonyo-j2e 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona unakata manyoa ya Manawa?

  • @peninamapinda711
    @peninamapinda711 ปีที่แล้ว

    Samahani hiki chakula naweza kukipata wapi kijijini kwetu sijakisikia

  • @sadakella7583
    @sadakella7583 4 ปีที่แล้ว +1

    Mimi naweza kuanza kufuga kuju wawili

  • @radiumztz7437
    @radiumztz7437 4 ปีที่แล้ว

    Nataka kuanza na matetea watatu na Jogoo moja naomba uniunge whatsapp ili npate kujifunza zaid

  • @blandinakimbe8910
    @blandinakimbe8910 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nawapataje hao kuku,nipo mbeya

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 หลายเดือนก่อน

      Tupigie 0621063255

    • @IreneMasika-du5iq
      @IreneMasika-du5iq หลายเดือนก่อน

      ​@@KukuVillagevifaranga mnauzaje?

  • @user-de5zo3dh1o
    @user-de5zo3dh1o 9 หลายเดือนก่อน

    hogera xana kwa ufungaji nigependa kujua namun ya kulea vifaranga bila Mama yao na bil kifo,,

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  9 หลายเดือนก่อน

      Kuna video ya hivyo itafute TH-cam

  • @mariamselemani4981
    @mariamselemani4981 3 ปีที่แล้ว

    Kwa nn vifaranga wanakatwa mabawa?

  • @tulibumisalu8812
    @tulibumisalu8812 4 ปีที่แล้ว +1

    Naomba kuuliza je inakuwaje baadhi ya kuku wanaangua vifaranga wengi kuliko wengine? Je ni aina ya kuku au ni mbinu gani inatumika ?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      1. Kuku wengine huwa ni wazembe,
      2. Kuku wengine huwa hawana uwezo mzuri katika ulaloaji.
      Jinsi ya kutatua
      Tafuta mitetea bora inayoweza kulalia na kutotoa vizuri. Ndo uwatumie hao.

    • @norbertkauzeni1324
      @norbertkauzeni1324 4 ปีที่แล้ว

      Mm

  • @suzanazambi226
    @suzanazambi226 2 ปีที่แล้ว

    Naomba mniunge kwenye group

  • @DORAMKONY
    @DORAMKONY หลายเดือนก่อน

    Niunge kwenye group tafadhali

  • @jacoboshirima9832
    @jacoboshirima9832 3 ปีที่แล้ว

    Ukataji mabawa vifaranga una faida gani kwa vifaranga?

  • @mohammeduseni2958
    @mohammeduseni2958 ปีที่แล้ว

    👍

  • @user-tu6nt8vl7p
    @user-tu6nt8vl7p หลายเดือนก่อน

    Nimefrhia kupata somo kma ili kiukwel napend niwe mfugaji wa kuku siku zijazo

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  หลายเดือนก่อน

      Karibu Sana ndugu

  • @dometngwenga3588
    @dometngwenga3588 3 ปีที่แล้ว

    Naomba mnitajie namba za kutuma michango wangu

  • @bikobizeze3277
    @bikobizeze3277 3 ปีที่แล้ว

    Naitwa Bizeze, naomba kuuliza umekata mabawa je inasaidia Nini?

  • @khadijaathuman614
    @khadijaathuman614 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuna siri gani ya kuwakata kuku mabawa

  • @user-qc3sl2bi2p
    @user-qc3sl2bi2p 6 หลายเดือนก่อน

    Kwann mnawatoa mbawa

  • @leahmgunda177
    @leahmgunda177 2 ปีที่แล้ว

    Kukata Manyoya kunasaidia nini?

  • @hamisimohammed8543
    @hamisimohammed8543 3 ปีที่แล้ว +1

    Mkenya atajiunga vipi na darasa hili

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 ปีที่แล้ว

      Anaweza jiunga.. tumia mobile money

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 ปีที่แล้ว +1

      Tumia mpesa +255744674406
      Airtel money +255784655413
      Malipo ni sh. 255 za Kenya

  • @yusuphmohamed2513
    @yusuphmohamed2513 3 ปีที่แล้ว

    Habari Mimi ni mfugaji wa kuku wa nyama kutokana na uhaba wa vifaranga nataka kufuga kuku wa mwendokasi au saso wa kienyeji chumba cha futi kumi watakaa kuku wangapi mpaka wakikuwa?

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 2 หลายเดือนก่อน

    Sababu za kukata manyoya

  • @suzanealoyce6589
    @suzanealoyce6589 2 ปีที่แล้ว

    Vifaranga Bora navipataje kwa arusha

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 ปีที่แล้ว

      Vifaranga Bora tunakuletea sisi wenyewe kuku village. Mpaka arusha . Karibu

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 3 ปีที่แล้ว +1

    Kuku wakiasha kua wakubwa wanatakiwa kula Kilo ngapi kwa siku kila mmoja yaani mfano Nina kuku 10 natakiwa kuwapa kilo ngapi kwa siku???

  • @LucyOgonyo-j2e
    @LucyOgonyo-j2e 2 หลายเดือนก่อน

    Kama Kuku Wana furiwa Na vitu Kwa mdomo au macho Tina ni nini?

  • @agapesiaminjaa5075
    @agapesiaminjaa5075 3 ปีที่แล้ว

    Nataka kujua kuhusu hiyo disfectant unayomuwekea kuku aliyeathirika na hayo mafua

  • @jamillahmuro4668
    @jamillahmuro4668 3 ปีที่แล้ว

    Unawakat mabawa wakiwa na umri gani ?

  • @florarog548
    @florarog548 3 ปีที่แล้ว

    🙏

  • @fatumamasudi401
    @fatumamasudi401 2 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda hii kwani natamani sanaa niwe nauza kk wengi .

  • @judithbulugu5959
    @judithbulugu5959 2 ปีที่แล้ว

    Naomba ya Inbox au maulizo

  • @perpetuekabura6814
    @perpetuekabura6814 3 ปีที่แล้ว

    Mutu aliye burundi anawezaje kujiunga nanyi?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 ปีที่แล้ว

      Wasiliana nasi WhatsApp 0744674406

  • @gracemurondoro3869
    @gracemurondoro3869 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini mnawakata mabawa

  • @DORAMKONY
    @DORAMKONY หลายเดือนก่อน

    Napataje kitabu.

  • @ezralangborn214
    @ezralangborn214 4 ปีที่แล้ว

    Kwanini mnawakata mabawa hao wadogo?

  • @raphaeldaniel9113
    @raphaeldaniel9113 4 ปีที่แล้ว +1

    Raphael daniel mubungo

  • @jacquelinepaschal5547
    @jacquelinepaschal5547 2 ปีที่แล้ว

    Nawatenga vifaranga kwa
    Mda gan na mama yao

  • @EVALSTIGNONDOA
    @EVALSTIGNONDOA หลายเดือนก่อน

    Mbona hamjibu kukata mabawa kunasidia nn jaman

  • @RichardShillah-mm4wv
    @RichardShillah-mm4wv 4 หลายเดือนก่อน

    He naona unawakata mabawa kwanini nipe elimu hapo

  • @raikitema7732
    @raikitema7732 2 ปีที่แล้ว

    Stata nzuri ni ya kampuni ipi?

  • @naachoboy7803
    @naachoboy7803 3 ปีที่แล้ว

    Kwann anamkata manyoya

  • @jovinekatwale8785
    @jovinekatwale8785 3 ปีที่แล้ว

    Kwanini mnawakatia mabawa yao hao vifaranga??

  • @WilliamUshack
    @WilliamUshack 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi yenu ni jema sana nimejua mengi kwa kuangalia kipindi hiki🐔

  • @halimaruwa199
    @halimaruwa199 3 ปีที่แล้ว +1

    Hi, ni kwa sababu gani unawakata mabawa?

  • @ramadhanimgalu1781
    @ramadhanimgalu1781 2 ปีที่แล้ว

    Kumkata kifaranga manyoya ya mabawa kunasaidia nini

  • @magdalenalaban8895
    @magdalenalaban8895 2 หลายเดือนก่อน

    Makata mabawa wakiwa na umri gani

  • @ibrahimshabani3544
    @ibrahimshabani3544 3 หลายเดือนก่อน

    Nataka kufahamu kwamba kukata mabawa kuna Saidia
    Nini hapo

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 หลายเดือนก่อน

      Akue haraka, anenepe

  • @mousalyatitima6620
    @mousalyatitima6620 4 ปีที่แล้ว +1

    I wish join your whatapp group from zambia how do i send pesa?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว +1

      If you have vodacom or airtel money its far easy, but to all networks it is possible . Just call your costomer care for details .

    • @mousalyatitima6620
      @mousalyatitima6620 4 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage which number can i use for airtel transfer?