naona tukifika episode 100 ju mautamu ya hii movie jameni i can't explain from Kenya wangp wanaunga mkono alafu tumefika 100K subscribers makofi kwetu 👏👏👏👏 congratulations Busaliti Tv tunawaenxi jameni 🌹🌹🌹
Tumwangalie tu akitamba na nyumba ya kufanya kuwekwa kama aliyokabidiwa hata hati tena hana je hapo alipowekwa na huku Chiko anajua mimba ni yake huyu papa akimjua Chiko ataumbuka huyu
Mashaa Allah baraka za mzazi kay kazin tusiwasaau wazazi na ndomana tunaambiwa tukiwa hasira kuusu mtt ako usitamke Maneno mabaya mana duwa ya mzazi inajibiwa harak
@BUTATI TV hongereni sana kwa 100k subscriber's. Hongeren pia kwa kazi nzuri mnayoifanya. Ila sisi kma mashabiki zenu tunawaomba kma itawezekana muwe mnatuongezea mda japo 30_40mins plz ili tuzid kuburudika.
Niko radhi mwarabu wangu ani teteshe lkn ni sikose house girl ni kiwa saudia Arabia nipeni like zangu jamani ❤❤❤
Hukosi ni mtoto wa zakayo😂😂😂
😂😂😂tupo wengi😮😮
Pamoja 😂😂😂
Tpo pamoja
Tupo wengiii
Wa kwanza Leo tunaofatilia house girl gonga like🎉
naona tukifika episode 100 ju mautamu ya hii movie jameni i can't explain from Kenya wangp wanaunga mkono alafu tumefika 100K subscribers makofi kwetu 👏👏👏👏 congratulations Busaliti Tv tunawaenxi jameni 🌹🌹🌹
Da!! Mikitasiku nacherewa
@@ErastoMsemwaucjali 😅😅
Umeona naomba iendelee km jua kali na huba inavutia kila siku
Kai baraka ziongezeke❤
Jamani 😢hata like 1 tu 🤣🤣kendy utaila is coming soon
Team zuu na Kai ❤❤❤❤❤❤much love from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪
❤❤
❤❤❤much love from our country Kenya❤❤❤
Jmn tafadhali naomben like maana cjawahi kupitwa na hii movies kila siku lazima nitazame
Jmn naombeni likes wakenya wenzangu na WA Tanzania
Kumekucha papa na canndy😂😂😂😂😂 kai karudi tena tunaoamini katika baraka za wazazi tuangalie movie kisha tujuane❤❤❤
Upo sahihi
Upo saw
upo sawa
🤍🩵💚💜👍❤️♥️⭐💌🙏🇱🇷🇨🇩
Nko radhi mwarabu wangu aniteteshe lkn nisikose house girl nikiwa Saudi Arabia Al hasa
Kay! Mdogowangu nikupe ushauli! Ndoahio ikicheleweshwa utakutamwana siwako. Kumbuka ulivyokua unalamba Athari hukuweza kutumia kinga yeyote sasa basi kumuka kuamda woote yule Zuu anaweza beba Ujauzito nahio alusi tulikua tunaisubiri ikawa imeishia hewani. iratupokuomba Mungu akukinge namtihani huu maana Ndoa yako na Zuu twaisubiri kwahamu
Wanaao kubaliana namimi Like zangu ❤❤😂😂
🙏🙏🙏
Mmmmmh na mm Leo wa kwanz naomba like zang
Wakwanza jameni kutoka Kenya, tunawependa sana Wana kai
Wakwanza Leo Ni peni like nzangu from USA ❤❤❤❤
Ambao tunasubiria kwa hamu harus ya zuuh na khai gonga like please tujuane......❤❤❤😂😂😂❤❤
🎉🎉
😂😢🎉🎉😂
Tunangoja kwa hamu na gamu😅😅
❤❤❤❤❤❤❤harusi tunayooo Mchele tunaanza kuula kabla ya harusi kufika😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@Slddhhh😅😅
nimewahi mashallh leo nawapenda wote busati❤
Zuu pambee ndoa tunayo na tunatamba nayo💃💃💃ila kilamba na mkewe mnajua kuchangamsha😂
Leo na mimi nimekua wa kwanza like zangu za kutosha love from burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Tupo wng Burundi 🇧🇮 ♥️ ❤️ 😍 ❤
Na mimi wa burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤mumpe like❤
Yani dakika mbili tu waja nipeni hata like tano nimejitahidi😂
Mbona Saivi Mnaturingia Sana Ivyo Jamani Toka Jana Hadi Leo Naona Mmetuchoka 😅😅😅
😂😂
😂😂
Wako busy kusht jamani
Waoh Leo nmewahi jaman naombe like kama zote
Jamn wa kwanz naomb like zang zuu atafungaa harus na kaiii
Jamani kai uko na marafiki waxuri sana kiramba pamoja na tasha wapewe maua yao
❤❤❤❤nashukuru sana mume mtarajiwa wa zuu amerudishwa kazini na zuu anaolewa ilo limenifurahisha sana naomba muendelee vizuriii
Zuu ataishi maisha poa
Inshallah
Wakwanza leo naomba like 🎉🎉🎉
Nmefurahi Kai kurudishwa kazini na harusi tunayo 😂😂❤❤❤❤
Yan kweny movie hii nampenda sana tasha yani laliki Bora sana yani
Mnanikanyagaaa na kuombaa kwenu like aya nipen zang hata mbili😢😢😢😢😢
Natoka burundi nipeni like zangu
Ndayiguhaye ariko umbwir aho ushak kuzitwara🤣🤣
@@ErnestineNene 🤣🤣🤣🤣
Naomba basi mutuongezee yingine usiku wallah
Kama una amini kendy ichi anachikifanya ndio anahalibu kabsa na kukosa wanaume wote gonga like kwa wingi
Iy niuwakika d Sasa ajipange😅
Candy anaharibu 😢
Tumwangalie tu akitamba na nyumba ya kufanya kuwekwa kama aliyokabidiwa hata hati tena hana je hapo alipowekwa na huku Chiko anajua mimba ni yake huyu papa akimjua Chiko ataumbuka huyu
❤
Jamani Leo nimewahi naomba like hata kumi🎉🎉🎉🎉
Radhi ya Mzazi Ni Bora Sana Kai karegeshwa kazini ❤❤❤❤❤
Zuu ywaenda kwa mumewe n baraka zake❤❤
Kai na zuu nawapenda sana nangojea harusi
Tangu nianze kuangalia hii movie na nimejiunga kwa group sijawai ata pata like moja😢😢
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimekupa mm udugu
😂😂😂😂 udungu hazina yetu@@Farthun
like ndio movie mnaboa mnaomb like
Lakini umejifunza kitu
Nahio❤❤
Mashaa Allah baraka za mzazi kay kazin tusiwasaau wazazi na ndomana tunaambiwa tukiwa hasira kuusu mtt ako usitamke Maneno mabaya mana duwa ya mzazi inajibiwa harak
Sahihi🎉
Daah uyo mjinga mwezangu anajua kukaa kwenye na fasi ake nampa maua yake 🎉
Hta kama. Nmechelewa kidg nliimiss naomba like yangu
❤❤❤
Aweee leo nmewahi haya leteni like zenu jaman 😂😂😂
Wakwanza kutoka kenya naombeni likes zenu
Ndoa tunayo kai na zuu wallahi zuu umependeza kbla ndoa nawaangalia kutoka kenya❤ kai.unaaraka ajabu
Ivi izi like mnaombaga ni zanini 😂😂😂
😂😂😂😂
tuwaulizage awa wajinga
😂😂😂 tunapata bndo la bule 😅😅
mm naona wana Faida nazoooo maana mtu hata kutizama hatizami yeye Ana kuja kwa ajili like to
😊😊
Napenda san iyi movies san
Sitaki hata inipite bora niache kula kuliko kukosa kuangalia house girl ❤❤❤nipeni like
Mnastahili pongezi sana kwa kujitahid kutoa vipande kila siku tofaut na nyingine wanatoa kwa wik ep moja
Sania umebadilisha tabia badili na mavaz ❤❤❤
At tabia bad ajabadilika😅
Kai tafuta nyumba me sitaki kukuona unamuoa zuu ukiwa kwa tashaa🙏🙏 🙏🙏 usimpe nafasi shida akakucheka😁😁😁😁
Eeeeee
😅😅😅😅😅
Taratibu tusikanyagane waomba like 😂😂😂😂😂😂😂😂sawaaaa.
😂😂😂😂😂😂😂😂
Maashallah kaka Kai ndani ya job mambo c hayo❤❤❤❤baraka za baba na bibi zuu 💕💕🤲
Atakama nimechelewa naomba like mwenye atakuja nyuma 🥰🥰🥰🎉❤
Kendy dada wa drama kaaaah😮
😂😂😂nilidhani nimewahi kumbe nimechelewa😊 watu mpo Kasi sana kuniwahi😂
Jamani harusi tunayo wapi vigelegele vya wa kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
💍❤️🎂🌹🥱
Zuuu alusiiii hiyo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimewahi leo 👏..naifuatilia movie kutoka kenya 🇰🇪
Wa kwanza leo kutoka Tanzania naombeni like zangu 🎉😊💃💃
H😂😂🙌 ume amua kujitambulisha kbs kiswahili aki toshii 🤣🤣🤣
Nausubili mtehe kwa hamu,,,,,mwali tunaye nakioo chenyewe kinasema🎉🎉🎉🎉
Jamaniii Leo nimekuwa wakwanza naomba Ata like tano❤❤ please
Sasa nie mkiomba like na wenye muvi wataomba Nini mnakera nie
@@AnnaKinyanaNawashangaa washamba hao
Nimefurahi sana Kai kurudishwa kazini
Kuna wazo limenijia kichwani mwangu ,,,nazani kama papa atakua ndoo Boss WA akina Kai na tasha pia
Mnarudia rudia sanaa story zinakuw nying
Jaman kendi na hiyo mimba yake kahalibu kule ndoa ya watu mpo wagogo wezang nawapnda sanaaaa❤❤❤❤❤❤❤
Tupo😍
Tunaishia wapi kwani 😅 haya bana tuko pamoja ❤❤❤❤
Waoo Asante patamu San,,, hila candy hakichukuwa mme wa kamukonde
Hatamm niko radi mwarabu anitukane lakini nisikose kuona house girl naipenda tata nikiwa nimekasirika nikiona house girl nafurahi sana ❤❤❤
Mashaaallah 😂😂😂😂😂
Jamani na Mimi wakwanza Leo naombeni like ata Kumi ty❤❤❤
Hii move sasaivi hamtoi kwa wkt 😂😂😂 km kunamtu kaon km nirivyoon mm nipeni Iike
Harusi tunayo hatunaaa...jamani mimi naona tu Cindy akiwa house girl wa zuu
😂Zuu kapiga wigi lakwenda🎉 kiukwel hii movie nikali sana ✔️
Team strong hawayuniiiiii...njoon huku jamaniii
Tuko fwaaaaaini alhamdhulilah😂😂😂
@@s.aaa-y8w hio n poa 😂🙏
Tupoooo
Topo dear🎉🎉
Inshaallah zuu vc kai
Bwana tumewachoka waomba like 😢😢jamaniiii jaribuni kuwashauri waigizaj wetu, hata hamjamaliza kuangalia mmeshaomba like .
Kaa wanaomb kupelekwa choon ama wanakeraaaaaa
Nakwambia sa zinafaida gani
Nani anasema candy akimtumia sania hiyo video atmjulisha chiko kwamba mimba sio yake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nasubiria apo😂😂😂
Raha kweli kweli 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ep 56
Siombi likes lkn busati tv congratulations kwa hii movie kuna vitu nasoma,, salute kwenu 💪💪💪
Kendi n km alikua shetani kwa Kai,ona Kai kaitwa kazini tena,baraka za bibi,baba n zuu❤
Yule rafiki ya zatiti ni dadake Tasha mchezo bado😅
Woyoooooooooooo
Nimejifunza mengi Sana na bado najifunza kutoka kwenu mbalikiwe sana
Back to job again,,,team Kai hii
Mnabidiii muongezee bidiii na series nzur zaidii kupata subscribers wengi zaidii ya hapoo jaman
Jamani Toka nianze kuangalie hii move sijapata like hebu nipeni hata 10❤🎉
Uyu mpumbavu mwenzangu wakiume anaongea jmn khaaa ! 😅😅😅
jaman leo wa kwanza nami nipeni like ata moja 😆😆nafatilia san nikiwa omani
😂😂😂😂 mpumbavu mwenzangu wewe haaaaaaaaa sema umependezaa 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
😁😁
Ndoa 2nayo🎉🎉🎉🎉ila mpumbavu umenikumbusha singer 😂😂😂😂😂😂😂
Kam kun mtu han akili ni kandy anafikiri anamkomoa sania kumbe anajikomoa mwenyew
Nan anaamin kua Tasha ni rafiki mzur sana kwa jay
Napda amcheleweshi mashallah pnd sn ❤❤❤
Nawapenda waigizaji lakini tafadhali punguza gumzo ni mingi❤
hii movie wacheza sana Yan babu babu kweli Bibi Bibi kwel Yan ualisia kabisa ongeren Sana 👊
Tasha kai leo hakutalalika itabidi tasha ubane nakufuli kai asitoroke😂😂😂😂
Harusi tunayo hatuna vinglele wadau wa zuu ❤❤❤❤
Hongrn sana busat tv kaz nzur kwakwel❤❤❤❤
🎉🎉🎉
@BUTATI TV hongereni sana kwa 100k subscriber's. Hongeren pia kwa kazi nzuri mnayoifanya. Ila sisi kma mashabiki zenu tunawaomba kma itawezekana muwe mnatuongezea mda japo 30_40mins plz ili tuzid kuburudika.
Watoto mpaka mnawazungumuzia Huko asante kwakutukumbuka ❤❤❤❤❤❤Eti mwana mboka
Nilijua mwisho wa candy umefika kumbe ndo kwanza kaanza,,kaz nzr jmn wanaoamin pamoja na mim cheaz😅😅😅😅like bac😅
😂
Munacherewesha move jmn😅 aaah
Ww Mgeni Eeeh 🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂
Kweli huyo mgeni 😂@@busatitv
😂😂😂😂mgeni karbu mbon hawa wapo fasta San balaaa lipo kwenye wrong house Mamaya Wana kera mno
Two people au for 😂😂😂 mpumbavu mwenzangu❤
Ila candy chizi kwelii😂😂
Sania badil na mavaz km umeamua kubadilika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Aweee nimewahi ❤
Ila kilamba misomisondo na kanzu😂😂😂...congratulations busati tv kufikia 100k subscribers 💖 ni Mungu