HOUSE GIRL EP 56 || love story💞💕

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • #bongomovie #housegirl

ความคิดเห็น • 940

  • @busatitv
    @busatitv  หลายเดือนก่อน +55

    Kwa taarifa zaidi follow WhatsApp Channel yetu
    whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c

    • @user-mz3ln3ud1n
      @user-mz3ln3ud1n หลายเดือนก่อน

      Hapohapo😊 mnafunzavizuli

    • @user-zf8jx2zj9u
      @user-zf8jx2zj9u หลายเดือนก่อน +1

      🎉

    • @user-sj9wh8qo3e
      @user-sj9wh8qo3e หลายเดือนก่อน

      nawapenda

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg หลายเดือนก่อน +2

      @@busatitv kumbe mnayo hospitali

    • @user-wk5yv4um4m
      @user-wk5yv4um4m หลายเดือนก่อน

      @@busatitv Kai usife jamen movie haitopendeza

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t หลายเดือนก่อน +129

    Kama umeshinda salama mpaka muda huu ukiwa unaenjoy house girl like hata kumi tunashukuru Mungu 🙏🥰

  • @salum8848
    @salum8848 หลายเดือนก่อน +56

    Wanao amini hii move itachukua Tunzo ya mwaka nipeni like zangu

    • @busatitv
      @busatitv  หลายเดือนก่อน +4

      🙏🙏🙏

    • @tamtamtz
      @tamtamtz หลายเดือนก่อน +1

      🙏🙏🙏🙏🙏

    • @Kai_busati
      @Kai_busati หลายเดือนก่อน +1

      🙏🏾🙏🏾

  • @user-vd9cj5ro4u
    @user-vd9cj5ro4u หลายเดือนก่อน +197

    Jaman tunao amin Kai hajafa gonna like 😢

    • @mwajumasimai2165
      @mwajumasimai2165 หลายเดือนก่อน +2

      😢

    • @asmamohd5769
      @asmamohd5769 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢

    • @SpinacahSpinacah
      @SpinacahSpinacah หลายเดือนก่อน

      😢😢😢😢

    • @rahemh1234
      @rahemh1234 หลายเดือนก่อน +2

      😢😢😢😢😢

    • @user-gs7gm8ry9c
      @user-gs7gm8ry9c หลายเดือนก่อน

      😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢kai asife jmn noooooo😢

  • @Mr.franckayo
    @Mr.franckayo หลายเดือนก่อน +89

    Anae amin kai ajafa yule alie bebwa ni mtu mwingne agonge like

  • @LadyKCG
    @LadyKCG หลายเดือนก่อน +42

    Finally leo nimewai😅😅😅musiguse hapa please 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🏻

  • @user-wz8vt6xl2l
    @user-wz8vt6xl2l หลายเดือนก่อน +9

    Jamani tujuane kwa likejamani wakwanza kutoka Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮ju ya kai na zu

  • @mikidadihassan8307
    @mikidadihassan8307 หลายเดือนก่อน +26

    Hapo wamezingua katika hiyo ajali inakosa uhalisia maan asingeenda kupokea simu rafiki yake but angepokea na akagongwa akiwa na simu yake akiongea huku akitembea tembea ingekuwa powa sana..,......

    • @victoriangasa
      @victoriangasa หลายเดือนก่อน

      Wew ndo umeongea

    • @MwanaikiSwalehe
      @MwanaikiSwalehe หลายเดือนก่อน +2

      Mimi pia Hilo swali najiuliza mbona apokelee simu ambayo siyake. Tena aipokelee kando. Na kai akiwa hoss yeye yuko home akipigia watu simu mbona asipigie kule kule hoss. Naona km kuna hidden agenda hapo kikulacho kinguoni mwako. Lkn mimi niliona tu kai akipata na ajali kwa akili yangu vile alikua nahamu sana. Na naamini akifa lkn zuh atakua kashabeba mimba ya kai

    • @MwanaikiSwalehe
      @MwanaikiSwalehe หลายเดือนก่อน

      Ama kai atapotezwa aje arudi last minute

    • @Maurice-t7t
      @Maurice-t7t หลายเดือนก่อน +1

      Kwenye ajari mmeferi wanangu angepata ajar akiwa na sim yake

    • @mossikombo959
      @mossikombo959 หลายเดือนก่อน +2

      Ajali itokee akiwa anaongea na simu coz akili iwe imefocss kwenye mazungumzo tu haangalii k2 kingine

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj หลายเดือนก่อน +78

    Eeeh jamn nimewah ila nikiomb like mtasema nitoe maoni na nikitao maoni hamnipi like 😢 ila nimewah

  • @user-nz9zb7gu7t
    @user-nz9zb7gu7t หลายเดือนก่อน +37

    Ata na Mimi nawafatilia sana jamani from Zambia,🇿🇲🇿🇲 amujawayi nipa like jamani🎉🎉🎉

  • @NancyOkumu-dc8np
    @NancyOkumu-dc8np หลายเดือนก่อน +78

    Nani alikuwa anangojea house girl Ka Mimi agonge like🇰🇪🇰🇪

    • @evarkhanaya7891
      @evarkhanaya7891 หลายเดือนก่อน +1

      Walai nilingoja sana lkn so hivi😢

    • @ashakhamis6122
      @ashakhamis6122 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @marynabwile4086
      @marynabwile4086 หลายเดือนก่อน

      Nilingoja hadi nikachoka jamani lakini mbona wameanza kuchelewesha

    • @AllyNguya
      @AllyNguya หลายเดือนก่อน

      Mimi

  • @UpendoMollel-vb4gw
    @UpendoMollel-vb4gw หลายเดือนก่อน +23

    Nilikuwa nasubir kwahamu kiladakik nachek nanimekuwa wakwanza❤❤❤❤❤

  • @SleepingEyes-ej3ir
    @SleepingEyes-ej3ir หลายเดือนก่อน +16

    Jamani leo tena wa mwisho nipeni like wapenzi much love from Canada 🇨🇦😢😢❤❤❤

    • @user-ce5vd5gh1w
      @user-ce5vd5gh1w หลายเดือนก่อน +1

      Mmmmnmh jaman kai wa watu😂😢

  • @hajimwendo
    @hajimwendo หลายเดือนก่อน +59

    Wakwanza Leo weka like kwa zuuuh na Kai hapa

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 หลายเดือนก่อน +24

    🥺🥺🥺🥺 masikini kai tunategemea kula ubwabwa mbona awapati kivuli wifi ndo anapanga nn cha kufanya mbona ningekuwa nimisha mzika

  • @FarajaMkilunga
    @FarajaMkilunga หลายเดือนก่อน +26

    Wakwanza jamani like naombeni

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula หลายเดือนก่อน +23

    Wa kwanza kutoka🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪likes hapa wazangu❤❤❤❤

  • @user-wp7uk5mb1m
    @user-wp7uk5mb1m หลายเดือนก่อน +7

    Mimi waburundi kweli Tangu nifatilie hamjanipea hâta like moja kwani hamnipendi

    • @Badru-k7m
      @Badru-k7m หลายเดือนก่อน

      Upendwe kwa mchango gan?

    • @sodianiyonkuru5336
      @sodianiyonkuru5336 หลายเดือนก่อน

      ​@@Badru-k7m😂😂😂😂😂

    • @user-qc6oe1ng6n
      @user-qc6oe1ng6n หลายเดือนก่อน

      Makubwa

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz หลายเดือนก่อน +53

    Kama unaamin chko hazalishi gonga like gapa 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lucyalto7320
    @lucyalto7320 หลายเดือนก่อน +14

    Nimefurahi zatiti kupewa taraka Bora ajiendee akaangalie maisha mengine huko hapo ni kama alikuwa amefungwa tu

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 หลายเดือนก่อน +1

      Mm nataman zatit aj kuolewa na rafik yak Kai af wapat katoto😅 sijuw chiko ataiweka wap sur yake

  • @user-iw9uo1op6w
    @user-iw9uo1op6w หลายเดือนก่อน +3

    Hii movie inamafunzo mengi Sana kwakweli Ila inaumiza moyo sana❤❤❤ zaidi nawapenda nafatilia nikitoka kenya

  • @Tynamnyilis9824
    @Tynamnyilis9824 หลายเดือนก่อน +7

    Nimeamka saa kumi mdg angu ananiambia house girl ya 56 imetoka ndio naangalia hapa 😂😂😂 jmn hii house girl imekuwa hbr ya mjini

    • @busatitv
      @busatitv  หลายเดือนก่อน

      Asante sana 🙏🙏

  • @zainabuomary9085
    @zainabuomary9085 หลายเดือนก่อน +3

    Huy dada ake chiko simpendi😏 kai upone tu😢 zatiti akiachika anapata mimba chiko anaumbuka

  • @RoderMichael
    @RoderMichael หลายเดือนก่อน +13

    Leo nimekua wa kwanza jaman naomben like zenu 🎉

  • @Felista-vf4pe
    @Felista-vf4pe หลายเดือนก่อน +7

    Kuomba like tuu kucoment mambo ya msingi aaaaaaaah!!

  • @NasmaLalai
    @NasmaLalai หลายเดือนก่อน +16

    Jamani ebu sifieni move sio kuomba tu likes mnaboa

    • @sifamaureen2792
      @sifamaureen2792 หลายเดือนก่อน

      Waambie wasikiem wananibopr

  • @RosekinanuGitari
    @RosekinanuGitari หลายเดือนก่อน +7

    😂😂😂naona service yenye kai alifanyia zuu imefanya kazi nzuri maana zuu ameanza kuwa smart sana hongera kai

  • @monahLissa
    @monahLissa หลายเดือนก่อน +15

    Naombeni like za mdogo wenu kutoka Kenya 😢😢😢

  • @user-ql6ql1zf8f
    @user-ql6ql1zf8f หลายเดือนก่อน +8

    Ki2 gan leo mpk xaiv jmn mnajisahau sasa sijapendaaaaa😂😂😂

  • @SilivesterkalaniJr
    @SilivesterkalaniJr หลายเดือนก่อน +9

    Naipenda sana hii moves jaman daaaa🤗🤗🤗

    • @busatitv
      @busatitv  หลายเดือนก่อน +1

      🙏🙏

  • @user-no9qy7pb7j
    @user-no9qy7pb7j หลายเดือนก่อน +23

    Free WiFi pitieni jamani😂😂😂

    • @user-ot3te6mj7b
      @user-ot3te6mj7b หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂Au sio

    • @user-no9qy7pb7j
      @user-no9qy7pb7j หลายเดือนก่อน +1

      @@user-ot3te6mj7b 😀😀😀😀

    • @vxp5228
      @vxp5228 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-ot3te6mj7b😂😂😂hadi saa kumi asubuhi twawatch😂

  • @user-pg6jr7kp2w
    @user-pg6jr7kp2w หลายเดือนก่อน +10

    Wangapi wametoa machozi wakimuona zuu akila😢😢😢

  • @sonarabahati8122
    @sonarabahati8122 หลายเดือนก่อน +12

    nani kaona kai habadilishi suruali🙈🤣🤣

    • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
      @SusanJulius-cu8xp4vx4m หลายเดือนก่อน

      😂😂😂we Bure kabisa

    • @user-pg6jr7kp2w
      @user-pg6jr7kp2w หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂mdomo koma

    • @Dayanakimani
      @Dayanakimani หลายเดือนก่อน

      Ila jaman watu wapo makini😂😂😂😂

    • @MwanamkasiBakari-pb2gw
      @MwanamkasiBakari-pb2gw หลายเดือนก่อน

      Kazi kuangalia ya watu tu yako aaah😂😂

    • @sonarabahati8122
      @sonarabahati8122 หลายเดือนก่อน

      @@MwanamkasiBakari-pb2gw yangu unaitak uione utawezana🤫🤣🤣🙈

  • @WaniaLameck
    @WaniaLameck หลายเดือนก่อน +7

    Jamn tuliofurahia Zatiti kuachwa huru naomba likes apa🥰

  • @missIsaiah
    @missIsaiah หลายเดือนก่อน +8

    Mufanye mpango kai afufuke musiniletee mchezo bila kai na zuu hii movie kalas

    • @MariamDama-sg1sf
      @MariamDama-sg1sf หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @tamtamtz
      @tamtamtz หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @peninamahenzo7170
      @peninamahenzo7170 หลายเดือนก่อน

      Eweeee yankua haiya tena😂😂😂😂aiya kai fufuka bas

  • @user-fh1cj9rm4v
    @user-fh1cj9rm4v หลายเดือนก่อน +5

    Jaman zuu wangu kapendeza atarreee❤❤😘

  • @shaniabdallah9993
    @shaniabdallah9993 หลายเดือนก่อน +9

    Jamani kai tunakupenda wenzio tunasubiri harusi ajali tena jamani

  • @NuruAli-ip9wn
    @NuruAli-ip9wn หลายเดือนก่อน +7

    Imeanza kunoga mnatucheleweshea jaman tunachungulia Kila mda hamwonekaniii

  • @EmilyOchando
    @EmilyOchando หลายเดือนก่อน +13

    Wa kwanza from Kenya naomba likes zenyu please 🎉❤

    • @Melvy-kb3lc
      @Melvy-kb3lc หลายเดือนก่อน

      Ukishapewa like utakula nyooo mnabooh na kuomba like😂😂😂😂

    • @EmilyOchando
      @EmilyOchando หลายเดือนก่อน +1

      @@Melvy-kb3lc 🤣🤣🤣hata like una wivu nyooo

    • @Melvy-kb3lc
      @Melvy-kb3lc หลายเดือนก่อน

      @@EmilyOchando nipekupea basi usilie kipenzi😂😂😂

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u หลายเดือนก่อน +6

    Kai bwana mi sijazoea bila ya kukuona please naomba usife bas afe cand

  • @NajaribuZamaradi
    @NajaribuZamaradi หลายเดือนก่อน +28

    Wakwanza mimi nipen like zangu 😂😂🎉

  • @Mr.franckayo
    @Mr.franckayo หลายเดือนก่อน +17

    Haya bas nakubali me ni wamwish naombeni like moja moja tuuu pia alie mkubali mr.tasha agonge like

    • @Mr.franckayo
      @Mr.franckayo หลายเดือนก่อน

      Anaye amin kai ajafa yule alie bebwa ni mtu mwingne agong like

  • @fahadjaqram1416
    @fahadjaqram1416 หลายเดือนก่อน +6

    Jamani na mm munipe like leo wee tangu episode 1 mpaka leo amjanipa like sio poa

  • @KhadijaMdee
    @KhadijaMdee หลายเดือนก่อน +1

    Nipeni like zang

  • @mwajeirajabu9154
    @mwajeirajabu9154 หลายเดือนก่อน +7

    Me sijapenda kai anapataje ajali😢😢

  • @MwanaikiSwalehe
    @MwanaikiSwalehe หลายเดือนก่อน +5

    Nani naamini zuh atakua amebeba mimba ya kai na kai aweza potezwa arudishwe last minutes

  • @Amina-lz1ht
    @Amina-lz1ht หลายเดือนก่อน +9

    Wa kwanza Leo 😢 lakini sijui kwanini sipati like ❤️ ebu like kwaajili ya Kai na zuu

  • @MaryamMaryam-vl8lm
    @MaryamMaryam-vl8lm หลายเดือนก่อน +5

    Yaani hii ajali vyenye imeenda nikambe Tasha anausika mna aliposema apewe yye cm aongee alipsonga kando ajali ndo ikatokea Tasha tuambieni vzr juu y

    • @tamtamtz
      @tamtamtz หลายเดือนก่อน

      Kwann bhana eeeh

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi หลายเดือนก่อน +4

    Wapuuzi nyie mnao omba likes hamuoni kai kapata ajali nyie mmeng'ang'ana na like mtapika uji

    • @violangaira
      @violangaira หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @user-ms4he4yl5j
      @user-ms4he4yl5j หลายเดือนก่อน +1

      Hata hawafatilii movie,kazi Yao ni kuomba like.Wananipo sana.

    • @macrinafuraha-zg3mi
      @macrinafuraha-zg3mi หลายเดือนก่อน

      @@user-ms4he4yl5j aki mm hua wananiboo

    • @violangaira
      @violangaira หลายเดือนก่อน

      @@user-ms4he4yl5j haki tena mtu hata hawezi toa maoni nikuomba likes tu

    • @marthanassari3524
      @marthanassari3524 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂

  • @EmmanuelSylvester-f5w
    @EmmanuelSylvester-f5w หลายเดือนก่อน +12

    Wakwanz me jamani nipeni maua yangu🎉🎉

  • @HadijaNjira
    @HadijaNjira หลายเดือนก่อน +13

    Leo nimekuwa wa kwqnza Kai mambo

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg หลายเดือนก่อน +8

    House girl ni kama kikoozi cha konde boy ata mtoto mdogo anakijua🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂 khoo khoo khoo😊

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg หลายเดือนก่อน

      @@aishaomar2287 haaaaaaaaaaaaaaa

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg หลายเดือนก่อน

      @@aishaomar2287 haaaaaaaaa

  • @ShakilaShaban-yg7ix
    @ShakilaShaban-yg7ix หลายเดือนก่อน +9

    Mawifi wa hivo siwapendi pole sana zatiti mwaya

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 หลายเดือนก่อน

      Af chaajab yy ni Kam ajaolewa😅

  • @user-yc4ii3hp6u
    @user-yc4ii3hp6u หลายเดือนก่อน +2

    Namimi nimecelewa naomba like ata10

  • @janeburu6538
    @janeburu6538 หลายเดือนก่อน +6

    Reo nimesubiri mpaka nokachoka ila❤❤❤

  • @HidayaAbdallah-l2l
    @HidayaAbdallah-l2l หลายเดือนก่อน +5

    Jmn mawifi Hawa nuksiiiiiiiii

    • @salmazwallo5920
      @salmazwallo5920 หลายเดือนก่อน

      Sanaa yaani hafu kaka katuliaa

    • @marymele9714
      @marymele9714 หลายเดือนก่อน

      Xana 😏😏😏

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y หลายเดือนก่อน +3

    Wow black beauty malaika uko na rangi nzuri pia figa unayo mmpenzi napenda nikikuona tu mm

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq หลายเดือนก่อน +7

    Kai amepata ajali amepoteza uwezo wakuzalisha taari itatoka ivyo anae amin gong like na zuu atakua alipata ujauzito mara yakwanzaa 🎉🎉🎉❤❤😂😂

    • @Ally.j7
      @Ally.j7 หลายเดือนก่อน

      Mbna kma wew ndo uliindika hii stor ya muv yenyewe mana sio kwakujuwa uko

  • @user-mv9rt3zs1b
    @user-mv9rt3zs1b หลายเดือนก่อน +6

    Jmn wangp tutalejea kweny ndoa

  • @JackyMuthoni
    @JackyMuthoni หลายเดือนก่อน +10

    Waah 🤔 nimewagojea sana😜huyu nayeye alikuwa anachukua simu ya kai yann ata niyeye amefanya apate ajari😮

  • @SalhaHamad-mc6jj
    @SalhaHamad-mc6jj หลายเดือนก่อน +4

    Kai hajafa,naamini staring hafi mwisho wa mchezo,yule maiti sio ya kai.

  • @user-bw3uv9jn9x
    @user-bw3uv9jn9x หลายเดือนก่อน +6

    Acha mdomo muulize kakayako anaweza kuzalishaaa

  • @DorothyAldo
    @DorothyAldo หลายเดือนก่อน +5

    Na mimi moja laiki nas❤

  • @JosepitaJosepita-lq4bg
    @JosepitaJosepita-lq4bg หลายเดือนก่อน +3

    Da nakuli sana yani nmetisha sana onguera Kwa kazi nzuli.
    Niko Mozambique

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j หลายเดือนก่อน +6

    Naona mchezo umekuwa na mapenzi Ya kuhindi

  • @djbngudukwimba5682
    @djbngudukwimba5682 หลายเดือนก่อน +9

    Kitambo sana mzigo ushachotwa niite king dj b from ngudu kwimba

    • @tamtamtz
      @tamtamtz หลายเดือนก่อน

      Vipi kwimba huko house girl ndio habari ya huko?

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc หลายเดือนก่อน +3

    Babaangu shikamo 🎉🎉🎉🎉nawapenda tu nyote 🎉🎉🎉

  • @LucySamsoni
    @LucySamsoni หลายเดือนก่อน +3

    Mhhm.jamani mmekosea sana kumsababisha Kai kupata ajali hapo move haijanoga bhana

  • @MaryamJuma-w3s
    @MaryamJuma-w3s หลายเดือนก่อน +3

    Waoo nimewah jpo Kwa sekund 💯

  • @FatmasaidAhmed-ws1rs
    @FatmasaidAhmed-ws1rs หลายเดือนก่อน +3

    Kai 😭😭😭😭😭 ALLAH akuhifadhi InshaAllah 🇰🇪🇸🇦

  • @user-uk1oc7xb4r
    @user-uk1oc7xb4r หลายเดือนก่อน +4

    Waooo na mimi leo nimewahi❤

  • @FetyOmary
    @FetyOmary หลายเดือนก่อน +6

    Jamani Kai bwana harus tena anapata ajali

  • @user-pg6jr7kp2w
    @user-pg6jr7kp2w หลายเดือนก่อน +6

    Mm ulike tu za wenzangu lkn mm hamujawai nipa ata like moja😢😢

  • @user-tx8su6vd1x
    @user-tx8su6vd1x หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzur nawapend wote team kai ❤

  • @YuvessLeonard
    @YuvessLeonard หลายเดือนก่อน +2

    Kaz nzur sana mungu aendelee kuwasimamia ❤❤

  • @mwanakomboali8374
    @mwanakomboali8374 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani namim Leo nimewahi😅😅 kutoka Kenya ❤

  • @AmanIiShy
    @AmanIiShy หลายเดือนก่อน +4

    Naona house girl ikifika mwisho😢😢😢

  • @SalmaBakari-z8l
    @SalmaBakari-z8l หลายเดือนก่อน +3

    Jaman Kai Allah amfanyie wepesi apone 🙏🙏🙏

  • @user-cc7vq9wo3e
    @user-cc7vq9wo3e หลายเดือนก่อน +6

    Mm nimefrah xan mud huu kuinjoy na house garl md huu

  • @FammaMaboko
    @FammaMaboko หลายเดือนก่อน +1

    Chiko n'a Rahman mtaumbuka Candy mimba niya papa boss 😅😅😅😅

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi หลายเดือนก่อน +7

    Lak kwa wa buzat tv wote🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @OneniMahenge-wm8ji
    @OneniMahenge-wm8ji หลายเดือนก่อน +4

    Tuma namba tukutumie like

  • @ZahidahAli-ys1fg
    @ZahidahAli-ys1fg หลายเดือนก่อน +6

    Jaman kai pon ban tule ubwabwa

  • @user-wk5yv4um4m
    @user-wk5yv4um4m หลายเดือนก่อน +2

    Jamen musiingize mambo yakufa jamen😭😭😭😭😭tunaomba hiii movie iishe wote wakiwepo pole sana kai

  • @peterphilipo5103
    @peterphilipo5103 หลายเดือนก่อน +2

    Daaa so sad mpaka candy kaumia kweli tunagombana wakat wa afya tele ila kwenye magonjwa huruma kama kawa

    • @busatitv
      @busatitv  หลายเดือนก่อน

      Kabisaaa

  • @aishaally6602
    @aishaally6602 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu zatiti nimzuri bora aachane nae huyo chiko,na dadake chiko ndo walewale ma wifi nuksi

  • @RebekaBagaile
    @RebekaBagaile หลายเดือนก่อน +3

    Jaman mungu amsaidie kai apone

  • @user-st3wo7qi2v
    @user-st3wo7qi2v หลายเดือนก่อน +5

    Nmewahi leo ❤❤❤

  • @user-ij1sk9iu2t
    @user-ij1sk9iu2t หลายเดือนก่อน +3

    Leo nimewah jamani naomba Na mimi like Tano tu zinatosha

  • @aminamareta9297
    @aminamareta9297 หลายเดือนก่อน +2

    Tunakuombea mungu upone

  • @DidaSalumu
    @DidaSalumu หลายเดือนก่อน +4

    Jamaniii watyu hawalaliii

  • @user-oe7xe1dv3w
    @user-oe7xe1dv3w หลายเดือนก่อน +2

    Yani mm kila siku nalala kuchelewa ila hata like sipewi😢😢team Kai kama unaamini kai Ako hai kama mm gonga like tuki songa❤❤❤

  • @MatridaPaschal
    @MatridaPaschal หลายเดือนก่อน +4

    Yani kunawaka move ila kunawakat mna zingua alafu dakik mna weka chache

  • @khalidabdallah-i3c
    @khalidabdallah-i3c หลายเดือนก่อน +1

    Kwa ninavyoona mimi rafiki yake kai na zatiti watakuwa mke na mume nani anaamini hivyo agonge like za maana hapa

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 หลายเดือนก่อน +3

    Oya Nyinyi wangese acheni kuomba like toeni maoni 😂

  • @NuruenezaJosephEnock
    @NuruenezaJosephEnock หลายเดือนก่อน

    Daaaahhh Ee Mungu nakuomba sana umponye Khai jaman

  • @user-os8uq2xi2j
    @user-os8uq2xi2j หลายเดือนก่อน +3

    Jamani namimi naomben like zenu

  • @NuruIbrahim-ue1if
    @NuruIbrahim-ue1if หลายเดือนก่อน +1

    Atapona hajafa wanaoamini gonga lk

  • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
    @SusanJulius-cu8xp4vx4m หลายเดือนก่อน +4

    Oooh my God 😮kai maskini kapata accident

  • @Barakahtz41
    @Barakahtz41 หลายเดือนก่อน +1

    Sipati picha huyu jamaa akija kujulikana kama hana uwezo wa kutia mimba......ongea lakin weka akiba ya maneno😢😢