Kaii ❤❤❤❤❤❤❤😂😂 yani tokajana hata hiyo yakuangalia movie sina ilasaii imerud mahal pake baada yakumuona kaka kai yuko sawa hata kama anamaumivu ❤❤pole sana kai
Jamani wale wakuomba likes hata hamuwezi support Bustani Tv kwa kazi nxuri kaxi zenyu ni kuomba tu likes anyway much love🎉❤ from Kenya watching from Saud Arabia
Wow hongera sana zuu na kai kwa kuvalishana Pete ❤❤❤🎉🎉🎉 Mmeninshtua mliposema kai kapata ajali juzi zuu jana kai aaaaaah nawapenda bur team yote ya busati hongereni sana
Kuazdia leo,kila mtu ajipe like mwenyewe,juu tumejuwa watu hawaangalii movie hadi mwisho, wale wote wameomba like wasipewe like juu niwasumbufu 😂😂 huwa hawaangalii movie hadi mwisho🎉🎉🎉
Zatiti na shoga ake wazur sana anaewakubali like hp
Munipe number za Zatiti bc Kuna 10 linazagazaga hapa
Tena wanatak fanana cjui Ni mtu Na mdg wake
@@manajr9155🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Mimi huu hapa toka mwanzo wa movie nilimpenda sana zatiti
@@ashuramuhammed3257 kweli warembo sana
Mm pia nimekuwa surprised 😂 kama unamkubali mr tasha pita apa
😅😅😅 pole yak Kendy Mme umekosa na nyumba pia duu kweli mkataa pema pabay humuitaa aliyependezwa na sapraz ya kai week leki yako
Asante Mungu kwa zawadi ya uhai uwaponye wagonjwa wote wote tuseme ameeen 🙏❤️❤️😢
Ameen
❤❤❤❤❤❤ Aamin ya rabby Aamin
Amen
Zuuu nakupenda
Amen🙏🙏
Wanao mcheka candy hebu tusaidiane😅😅😅😅kwa like hata Moja......daa zuu na Kai hongereni sana tunasubiri harusi ❤❤❤❤❤
hhhhhhhh😂😂😂😜
Amina kaka
Tupo kwa wingiii🎉🎉🎉🎉❤❤
Tupoo❤❤❤❤❤❤❤
Dada anae mshauli zatiti walai nimzuli dada chukua maua yako kwakwel🎉
Hakikaa
Pia mimi like Tatu kwa zuu jamani❤❤
Tukubaliane kwahili waliokuwepo umu kwenye house girl wote vyuma kiufupi wameupiga mwingi🙌🙌🙌🎉 wanajua wanajua tenaaa🎉🎉
Kweli kabisa
Team strong hoyeee nimefika mapema kwa ajili ya kuwawakilisha kwa team zuu n kai nikiwa Dammam wap wenzangu tuwapongezen akina zuu 🎉🎉❤
Team strong tupoo tukose tuchekwe❤❤
@@DoreenWanyonyi-x8y harusi tunayo hatuna 😂😂❤️
Hoyee Sana nipo nkiwa Ali hassa
Nipo😊
Tupo sana
Wow!my happiness kai and zuu forever woooooow 😂😂
Dada zanguni naomba like ata kama ni kumi jameni
😂 ukaamua utuombe wa dada tu
Kisha ujui kubajet like ukipew unatumia vibay mar umemaliza zajana😮😂😂😂😂😂
I Like.
😂😂😂😂Wawoooooo
Hizi like nizakufanyia nini jaman
❤❤❤Alhamdlillah dah kumbe kay uko mzm wa afya 😅😅😅jmn 😍😍😍🤣mmejua kutuumiza vichwa khaaaa sio poa
Mamb
@@KhadijaMdee poa
Watazamaji wa hii movie weka like kwa busati TV
Unaeka na wapi nieke mimi
Ira mm munaniuzi tu kutafsiri iranawaomba muifkishe kwenyemia
Kisma ukweli picha umeikalia nakama nichakura kimeiva vizuli nanitmu
Ila kiufupi tu, niseme hii movie ni nzuri sana inafundisha na inafariji na inafurahisha sana hongera sana wahusika wa hii movie wote
Mama acha candy kikurambe maan ulijikuta mjanja sana jmn team Kai na zuu weken like za kutosha😂
😁😁 surprise 😆💃
Hu ndo mda wa çandy kulia na kusaga meno 😂 wap team zuu harusi tunayo🎉😂
Ambao walihumia kai ikipata ajali tujuwane 😢😢😢😢
Ilibak kidog ni ichukie hii move wall ah😂😂😂🎉🎉
yani kidogo movie niachane nayo😂😂😂😂😂😂😂
Wametutesa kweli kwa kuwaza ajar
😢😢😢
Asanteni 🎉🎉🎉
Tunaofurahia kai akiwa hai like hapa
❤❤❤
Wakwanza leo konga like coment tukisonganga from 🇰🇪🇰🇪
Zatiti unaniluza unanikumbusha nilivyotimuliwa jmn wanaume munaviti vyenu mbinguni zatiti nipe like 5
Wallai tena
oooooooy wale tunaempenda kai nimenjoy san
Tasha we nimpuuzi sana umesababisha nimelia leo nikajua mpnz wangu khai hatuko nae❤❤❤❤
From Mozambique 🇲🇿 tunaomuombeya mazuri zuuu ebu gonga like apaa
MashaAllah Allah awaongoze kwa kila jambo kusema ukweli hii movie ina fundisha sana keep it up good work ❤❤❤❤❤
Daaaah hii kweli surprise bwana Kai mmetufanyia 😂 ila fresh tuu... Afu sijaomba izo like zenu 🙄 niwakute sasa
Kilaba na mkewe mnababa sana...😂😂😂😂
Wa pili leo nipeni like wapenzi furaha yng kwa kumuona kai yuko mzima ❤❤❤😊
Mashallah
❤❤
@@SleepingEyes-ej3ir ❤
Mibariki télé mulicheza muzuri sana nawapenda sana, zatiti njo mbala sana ni mzuri na mupenda mno ❤
Woow harusi tunayo hebu hatuna tunayo 😂😂🎉🎉🎉🎉
Hiii movie nzuri Sana jameni tu Nangoja episode 58 Bana Ila msicheleweshe
Kai anajua sanaa ila dah aise nafurahia sana hii movie
Wao Kai and Zuu congratulations ❤❤❤❤❤❤
Nimefurah kukuona Kai hata ugali cjala nilikua nakuwaza Kai pole zuu kwa maumivu ya mda Tasha hiyo saplaiz Asante mwaaaa❤
Mungu awape mwendelezo mwema Yani mnajua mpaka basi hongereni sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hello the first one kudonjo Leo wishing Kai quick response watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Daaah mwazo nililia sana nikajuazuutena basi ila nimechekasanaleo ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote 😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Candy kimekulamba vizuri 😂😂😂kilichobaki sasa mchezo WA mimba nayo tujue itaangukia nani😢😢
Aswaaaa
The script is quite professional. Appreciate it !
Tunao mwuombea kai apone haraka gonga like🎉🎉🎉🎉
Me np p1 na ww atapn ❤❤❤❤❤❤🎉
Kihelehele Cha kucomment kabra ya kuangalia movie mpaka mwisho
Kihelehele Cha kucomment kabra ya kuangalia movie mpaka mwisho
Kai nakukubali sana
@@VeronicaIbrahim-wv4dg kai alikua aumwi bana waliamua kufanya sapraiz kama iyo ya ajali🤣🤣🤣🤣🤣
Nimefurahia saaana kai kuvalisha zuu pete 😂😂💕💕
Hapa kutoka Kenya mnipe zangu like
yessss yessss 💪🏻💪🏻 nilijw t kai hajafaaa😂😂😂😂❤❤
Wa kwanza kabisa❤❤ Team Kai gongeni like tukitizama❤
Kedi mumemuwezaaa hahaha hahaha kwahio ndoa tunayo
Uyo mzee bola wangemuacha2 nyumbn watamsababishia balaaaa bule bd anaumwa.
Kai kafanya wengine wetu damu hitembei ila mzima God is good guys
Duh watu mko sharp na kuwai kotee nkajua nipo mwenyewe Kumbe duuh!
Ndo ujuwe unafiki so mzr alafu usimudhalau usiye mjuwa cndy muchezo wake umeiaha dazur hongela❤
Leo nimewahi team strong kujeni tumliwaze Zuu wetu
Jaman waomba like tupumzishen sasa wajameniiiii😂😂😂😂😂😂au na mimi naombeni basiiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂
😂😂😂😂 ngoja nifate mmja baada ya mwengine
Kama unahis tasha ata kutana n zatiti n wawe n mahusiano hbu gonga like hapa tukisonga❤❤😊😊
Alhamdulilah ❤❤nimelala kwa wasiwasi ungekufa Tu nami house girl bas🎉
🙏🙏
Zazatt msikilize mwenzio ila nimekupend pia
Jomn kai love yuo❤❤❤❤❤ jomn nawapenda na zuu❤❤❤
Napenda sauti ya Kai zuu nisongelee niwe mke mwenza
Haha napenda candy anavyoongea Asa akifoka😂
Jana nililia leo nimecheka😂😂😂
Hii namba ndo imepita maunyama kuliko zote ongereni saan ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Ci mniulize ni nini kinafanya natabasamu na meno nnje. Nyie mapenzi ukipendwa unakopenda ni matamu jamani🎉🎉🎉
Kabisa🎉
Kaii ❤❤❤❤❤❤❤😂😂 yani tokajana hata hiyo yakuangalia movie sina ilasaii imerud mahal pake baada yakumuona kaka kai yuko sawa hata kama anamaumivu ❤❤pole sana kai
weee tenaaaaaaaaaa leo wakwanza ila sitaki like zenu nyokoooo zanguuuuuuuùuùuuu njoooni niko peke yangu jamn kai
😂😂😂😂😂
😅😅
😂😂😂😂
Kai na tasha mlinifanya jana siku lala badala ya ajali sikujua mko vipi kumbe mko salama ❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪ndio nyumbani
Yani tumbo joto nikajua Kai kabadilisha mawazo na akarudi kwa Candy
wow huyu tasha noma asee upewe maua yako
Maashallah ndoa tunayo nilikosa furaha Alhamdulilah kaka Kai mzima ❤❤❤❤
Jamani hii kipidi ni nzuri sanaa naomba ifike ata kama ni episode mia moja 👍
Capu ya zuu na dada Ake Wana mabuno sura funika polo lakin sepu wapo SAWA kama umekubal like hp
😂😂
Alie muonea uruma zatiti kwamaumivu anayopitia😢😢aeke kiimoji Cha uzuni
Daaah jamani mnipe ata like 😂mojaaaa
Candy anaumwa jamani 😂.....hongera kai na zuu
Nmewai pia Alhamdhulillah 😊
Jamani wale wakuomba likes hata hamuwezi support Bustani Tv kwa kazi nxuri kaxi zenyu ni kuomba tu likes anyway much love🎉❤ from Kenya watching from Saud Arabia
Asante sana🙏
Wakwanza kutoka Burundi Bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 like kumi basi
Sijachelewa sana🎉🎉team gulf mko wp au mnaandaza ghawa
Number one from Saudi arabia
Nimeipenda hiyo kalinaina toa machozi
tunakiwasha mpaka paeleweke coment nani unamkubali zaidi kwenye series hii kama kweli ww ni team busati tv
We love Kai and her team movie tamu sana hakika
Mi nimeogopa ili likai jaman nikajua limekufaa eh,,😭😭😭😭
Stelingi afi naakifa mchezo umekwishaaaaa
😅😅
Nyie muwe mnamariza kuangaliza 😂😂😂nimelia hatal kumbe wanayakwao
Jaman jaman 😂😂😂😂 house girl 👧 imenoga hatariiiiiiiiii
🙏🙏🙏
Kai Na Tasha Mukona Mipango Mizuri Tena Mingi Sana lakn Uhuu Pango Aki Mutamuuwa Mzee.. Bt Ongerani Sana
Hii movie imeanza kunice wapi likes zangu
Mkichuguq vile nimetetemeka hdi n Kwa matako l say 😅😅😅 kai Wangu Zuuu Wangu yoooyeee 😂😂❤❤Zuu take that one 💍💍💍💍
Penzi kama Penzi haliwezi kua Penzi ndani ya wapenzi.ila Penzi kama Penzi linaweza kua Penzi bila wapenzi
Wow hongera sana zuu na kai kwa kuvalishana Pete ❤❤❤🎉🎉🎉
Mmeninshtua mliposema kai kapata ajali juzi zuu jana kai aaaaaah nawapenda bur team yote ya busati hongereni sana
Lake kwanini inatokaga ep Mojave Mojave Jaman ninaombba ziendele kwamala Moja
Ila Kai akichukia mzur jaman ❤❤
Kaz kazi nafurahije mie tim zu na Kai 😂😂😂
😂😂😂 Kumbe ilikua surprise Kai na Tasha walikuwa wanaandaa
Kuazdia leo,kila mtu ajipe like mwenyewe,juu tumejuwa watu hawaangalii movie hadi mwisho, wale wote wameomba like wasipewe like juu niwasumbufu 😂😂 huwa hawaangalii movie hadi mwisho🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂
@@NiyodusengaBetty kweli
@@sifamaureen2792 ni kwel kbx maana hawa waomba like wanaboa sana
😂😂😂 hiii😂episode inachekesha sana niuyo mpumbavu mwenzangu 😂😂
Nimeipenda iyo plan hongera sna Tasha ❤❤❤Nice boy
Haya masofa kwa da masozy yapo,kwa rafiki ake kai yapoo😅
Waaah kama naona caddy anavyo hudhuruia zuu akivalishwa pete na Kai patam hapo ❤
Jmn kumb kai hajaf n surprise duuh., Like kwa mchong wao jmn ❤️❤️😊
Jamn tulio huzunika Kwa ajili ya ajali ya Kai tujuane
Jmn kwann Sasa wakae wawili wawili😂😂
Walai Leo nimewahi from Kenya 🎉🎉❤❤
Hiyooo surprise aloifanya kai mpaka Sim imenidondoka duuuuh movie Ndani ya movie kweli bongo pameanza kuchangamka