Unaweza kuwa mwepesi kulaumu au kuwa na mshangao sana inawezekanaje,ila ukweli ni kwamba hii ni roho ya adui inaweza kumvaa mtu yeyote usipokuwa Nguvu ya Mungu kukusaidia kushinda; wapo watu waheshima na hawanakitu wanakosa ipokuwa ni uvamizi wa adui.
Unaweza kuwa mwepesi kulaumu au kuwa na mshangao sana inawezekanaje,ila ukweli ni kwamba hii ni roho ya adui inaweza kumvaa mtu yeyote usipokuwa Nguvu ya Mungu kukusaidia kushinda; wapo watu waheshima na hawanakitu wanakosa ipokuwa ni uvamizi wa adui.