ALINIHARIBU UZAZI | ALINITESA KWA MIAKA 10 | ALINIACHIA MSONGO WA MAWAZO NA NITAMANI KUJIMALIZA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Akiwa na umri wa miaka 19 Rose alikutana na Mzungu wa miaka 57 ambae aliharibu maisha ya Rose na kumfanya Rose aishi kwenye mateso kwa miaka 10.
    Thank you Rose for sharing and allowing this to be online

ความคิดเห็น • 345

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  3 หลายเดือนก่อน +35

    Please subscribe to Rose TH-cam channel
    th-cam.com/video/LGupM24hUvM/w-d-xo.htmlsi=H66gCWkoAR4FQn6i

    • @tecklachavala118
      @tecklachavala118 3 หลายเดือนก่อน

      Tiktok yake inaitwaje

    • @23568982
      @23568982 2 หลายเดือนก่อน +3

      Which part of Europe huyu mzungu.?I know Ireland wazungu not good.

    • @alhajikangalawe6178
      @alhajikangalawe6178 2 หลายเดือนก่อน

      Rose is innocent, beautiful and very kind girl...thanks for sharing....I will share with my daughter. You have served many lives...GOD BLESS YOU

    • @AngelBulo
      @AngelBulo หลายเดือนก่อน

      My utapata mtoto. Rafiki yangu alitolewa mrija mmoja Mungu ni mwema saa hii ako mtoy. Utapata mtoy

  • @milimathias
    @milimathias 2 หลายเดือนก่อน +7

    Very interested life story , It is true I have learnt something very important in my life, but let our Almighty Lord bless Rose for this story.

  • @fatmahussein1238
    @fatmahussein1238 2 หลายเดือนก่อน +13

    Hii ndio Ile baada ya dhiki faraja.. Pole Sana Rose kwa mitihani yote uliyopitia. Much love from 254

  • @winniemalle8876
    @winniemalle8876 2 หลายเดือนก่อน +6

    45 has never been this cute🥰.. Mungu akurejeshee vilivyopotea. Ameanza na ujana. You look young Rose

  • @naombaelsamwel7226
    @naombaelsamwel7226 2 หลายเดือนก่อน +5

    Rose pole mnoo na big congratulations, you are the super woman ever, nakupenda huwa nakufuatilia sana na nkajihoj kama wengne wangekusikia wangesaidika mno, finally TH-cam wanakupata yote

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 3 หลายเดือนก่อน +19

    Rose andika kitabu na kitabu kigeuzwe film. Pole sana. Huyo baba mzee alikuwa hafai kabisa

    • @kadzo6614
      @kadzo6614 2 หลายเดือนก่อน

      I just watched her last month and she was happy with him. When did this all transpire? 🤔😭

  • @khamisiali1334
    @khamisiali1334 27 วันที่ผ่านมา +2

    Hyu rose amepitia Mambo pole dada rose mungu Yuko na wewe sana

  • @ummykavira5539
    @ummykavira5539 3 หลายเดือนก่อน +14

    Rose nilimuona tuko talks na hii story...nikatamani kujua ikawaje after kutoka kwa mzungu baada ya kuteseka saana...
    Nimefurahi kusikia kumbe ulipata mzungu mwengine na sasa yupo happy

    • @kadzo6614
      @kadzo6614 2 หลายเดือนก่อน

      Had to be a mzungu 😂😂😂🚮

  • @هلالحمدالندابي
    @هلالحمدالندابي 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nice story ya life yako 🌹 nimeisikiza kwa makini wema wako na nia yako nzuri ndio mungu kakuraisishia mambo yako kakupa mtu sahihi kabisa nawatakia wote wawe mfano kwako kwa subra nakua muaminifu

  • @roseblogger
    @roseblogger 3 หลายเดือนก่อน +50

    Thank you so much, Shena, for hosting me🙏🏽🙏🏽🙏🏽

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 หลายเดือนก่อน +3

      Thank you Rose, you are awesome 🥰🙏

    • @EmiliaYona-g9e
      @EmiliaYona-g9e 3 หลายเดือนก่อน +2

      Rose please niambie huyu mzungu aliye kutesa ni kutoka nchi gani?

    • @RealtorZanzibar
      @RealtorZanzibar 3 หลายเดือนก่อน

      Jina lako la Instagram or TikTok

    • @rosewangwe8965
      @rosewangwe8965 3 หลายเดือนก่อน +1

      Rose hongera sana mungu amekufungulia njia kila la heri mwanangu

    • @MaryJoseph-mv1pz
      @MaryJoseph-mv1pz 3 หลายเดือนก่อน

      Niliona story yake kwa Lynn ngugi show

  • @lovenessmallya816
    @lovenessmallya816 3 หลายเดือนก่อน +6

    Best Interview unacheka unalia maisha yanaendelea😂😂❤

  • @JohaDomi-bg5yh
    @JohaDomi-bg5yh 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nakupenda sana dada we ni mcheshi sana ❤ leo umemleta huyu rose kanifurahisha ni mkweli mcheshi mungu azidi kuilinda furaha yake ❤😊

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 3 หลายเดือนก่อน +67

    Hii interview ni kali sanaaa Shena itunze sana, hii na ile ya yule dada aliyepitia changamoto nyingi sana njiani akitembea kwa miguu mpaka kufika Germany zinafundisha sana sanaaa naweza sema ni interview bora kuliko zote ulizowahi kufanya binafsi nimejifunza vingi mno mnoooo

    • @nashnene6326
      @nashnene6326 3 หลายเดือนก่อน +6

      Na ya yule kijana alieenda US kipitia mwitu kwa mwitu toka Brazil

    • @jackiesfood
      @jackiesfood 3 หลายเดือนก่อน +2

      Sanaaa

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt 3 หลายเดือนก่อน

      Sanaaaa

    • @SarahIsike
      @SarahIsike 3 หลายเดือนก่อน +4

      Sorry hiyonunayoisemea imeandikwaje ili niangalie

    • @ZainabJolie
      @ZainabJolie 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mnitag kwa izo interview nizione pls

  • @nataliaemanuely4046
    @nataliaemanuely4046 3 หลายเดือนก่อน +5

    Pole rose
    Asante kwa story nzuri..
    Mungu awatunze

  • @HijaKaura26
    @HijaKaura26 3 หลายเดือนก่อน +7

    😢😢😢 never giveup mshukuru mungu kwa kila jambo

  • @Baba-nm4qz
    @Baba-nm4qz หลายเดือนก่อน +1

    Story nzuri sana,naamini wadada watajifunza na kuacha kukurupuka

  • @MillyOwnio
    @MillyOwnio 3 หลายเดือนก่อน +29

    Rose speaks so well, her Swahili is so fluent ni kama aliishi uko Tanzania kiasi

    • @trayfosaharrison9199
      @trayfosaharrison9199 3 หลายเดือนก่อน +4

      Ana kiswahili kizuri kweli lkn watanzani hawaongei kama yeye. Ni kiswahili cha Kenya lakini anaeleweka vizuri kabisa😊

    • @chumchum1526
      @chumchum1526 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@trayfosaharrison9199kweli. Mombasa moja hiyo lakini kimechanganyika kidogo sababu ana asili ya bara

    • @Athuman-r2j
      @Athuman-r2j 2 หลายเดือนก่อน

      Mombasa kiswahili chetu kisafi na sanifi sawa na tz,chakwenu huko nairobi ndo sheng

  • @ruthkyambila397
    @ruthkyambila397 2 หลายเดือนก่อน +5

    Shena ahsante kwa Story hizi ambazo huwa unatuletea hasa hii ya Rose ni mkweli pia ana Mungu yote aliyopitia ni uwepo wake hongera kwa yote na uvumilivu

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 3 หลายเดือนก่อน +6

    She's so beautiful 😍 I remember her story.

  • @diamondkaigili1291
    @diamondkaigili1291 3 หลายเดือนก่อน +14

    Rose ni mwanamke wa nguvu

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 21 วันที่ผ่านมา

    Da haisee pole sana kwa mapito dadangu (hakuna kama watu wenye loho mbaya kama wazungu dunia hii nimekaa nchi zao nyingi nimeona jinsi wanavyo nyanyasa madada zetu waafrica

  • @klotildasusuma2220
    @klotildasusuma2220 2 หลายเดือนก่อน +3

    Yaani dada huyu nimempenda sana,halafu ni mzuri kama jina lake Rose..Kila la heri.❤

  • @JaneSchurmanns
    @JaneSchurmanns 2 หลายเดือนก่อน +3

    Rose story yako ni nzuri sana na inamafunzo ndani yake Asante sana

  • @TausShaban-t1d
    @TausShaban-t1d 2 หลายเดือนก่อน +7

    Daaaaaaaaaah!me jmn nilimuomb sn mungu huu mwaka nipate mzungu na nifike Zanzibar mungu katimiza kwl ila mzungu niliyepew ni mzee jmn na niko nae hapa Zanzibar naogopa hata kushirk nae ila kwakuwa ninapenda wazungu na ni ndoto pia nilimuomb sn mungu huu mwaka usiiishe najikut navumilia

    • @naombaelsamwel7226
      @naombaelsamwel7226 2 หลายเดือนก่อน

      Hongera mno kipenz,,enda nae sehemu usizozoea,vaa kofia na miwan,fanya namna zote mpaka umzoee lovie ucjal watu hawakup kuishi,nkiongea ntajaza page I hope umenielewa

    • @Rhobimdenish
      @Rhobimdenish 2 หลายเดือนก่อน

      Tafta mwngn

    • @naombaelsamwel7226
      @naombaelsamwel7226 2 หลายเดือนก่อน

      Wakat ukiendelea nae ukiona huzoei hali, utawajua vzr wazungu na ivyo rahs kumpata mwingine ikibid

    • @TausShaban-t1d
      @TausShaban-t1d 2 หลายเดือนก่อน

      @@naombaelsamwel7226 yaaaaan dada ni mtihan Sana

    • @TausShaban-t1d
      @TausShaban-t1d 2 หลายเดือนก่อน

      @@naombaelsamwel7226 hapa nawaza kuondok mwz12

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 3 หลายเดือนก่อน +7

    Niwapatie maua yenu na ninaendelea kujifunza ingawa kuna mda niliinngiwa na simanzi kubwa kisha nikaangua kicheko,safari ya maisha sio lelemama.

  • @mariamtumwebaze389
    @mariamtumwebaze389 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mashallah shena shukulan Sana mgeni wa Leo amenifulahisha sanaaaaa ni mkweli kaibisa❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 2 หลายเดือนก่อน +14

    Nimejifunza wazungu wengi wana roho za wanyama, Rose Mwenyezi Mungu atakulipia.

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 2 หลายเดือนก่อน +2

      Naogopa sana wazungu

    • @janewangombe5668
      @janewangombe5668 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wazungu ni kama wafrika tuu dawa ni uchague uone ule mutawezana.si ati si ku suffer aliponipeleka Europe but mombasa ilinichanua na mimi sasa ni citizen wa Europe. Maisha si bed of roses 🌹. Weee

    • @talented569
      @talented569 2 หลายเดือนก่อน +1

      Apana. Ni kama sisi. Kuna wema na wabaya.

  • @dorcaspendo
    @dorcaspendo 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana rose usijali mungu bado ana haja nawe umtumikia

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 3 หลายเดือนก่อน +10

    Asante sana kwa elimu dada Rose ❤ una moyo mzuri na wa ujasiri 😊

  • @anesiusrweikiza4850
    @anesiusrweikiza4850 3 หลายเดือนก่อน +7

    Kwakweli this is a very interesting story,i never heard!
    Sister unajua wewe ni mwana fasihi simulizi🙏🙏🙏

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana dada Rose kwa uliyopitia hakika mwenyezi mungu ni muweza wa kila jambo

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle795 3 หลายเดือนก่อน +5

    Interview inaelimisha kwa kweli❤❤❤❤

  • @DorethMselem
    @DorethMselem 3 หลายเดือนก่อน +21

    Hadi nimemkumbuka Mwamposa aliwah kusema hapa duniani kila utakacho kitaka na ukikipata bado hutakuwa vile unavyofikiri ni zaid sana tumpende Mungu ndipo mema yatakapo tujilia,asante Rose sasa yule panya sasa😂😂😂😂

  • @ShadaiyaMustapha
    @ShadaiyaMustapha 3 หลายเดือนก่อน +6

    Pole sana rozi mtihani kwelikweli

  • @Desertstorm3046
    @Desertstorm3046 2 หลายเดือนก่อน +7

    Rose anavyo ongea raha sana, she speaks from the heart

  • @StephenSelelya
    @StephenSelelya 20 วันที่ผ่านมา

    This is a very true story! Rose you have awakened many young girls!

  • @vero57
    @vero57 3 หลายเดือนก่อน +5

    Pole sana Rose 🌹 usikate tamaa

  • @agathekibobe
    @agathekibobe 2 หลายเดือนก่อน +3

    Pole sana dada uyo muzungu hakuwamwema ulifaza vi zuri kutoka mwisho angeku uwa ame kufunga uzazi pa sipo wewe kujuwa na vilevile ange kumaliza bila wewe kujuwa

    • @RahmhRr-d9v
      @RahmhRr-d9v 2 หลายเดือนก่อน

      Ata mimi nataka,,muzungu ila wananiomba hela sijui nitamupata aje??

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 2 หลายเดือนก่อน +4

    Sijawahi mwamini Mzungu kamwe,na nahisi wana ubaguzi sana na watu weusi

  • @peterfania1005
    @peterfania1005 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kiswahili nzuri sana kama Tz❤

  • @SamiraMakame-w9c
    @SamiraMakame-w9c 3 หลายเดือนก่อน +3

    Pole dada rose,mungu akulipe wema

  • @JulianaJackson-lz6vq
    @JulianaJackson-lz6vq 3 หลายเดือนก่อน +11

    Nmecheka sana leo..Rose ni mcheshi na Tumejifunza pia..be bless shena and Rose

  • @rachelmgema6930
    @rachelmgema6930 3 หลายเดือนก่อน +2

    Aiseh nimeumia sanaa.
    Mungu ni mwaminifu kakufuta machozi. Enjoy life dear.
    Endelea kumtukuza Mungu.

  • @NanaMugisha-e4i
    @NanaMugisha-e4i 2 หลายเดือนก่อน +5

    Rose nimwanamke mtulivu kwenye ndoa japo alipitiya mtihani

  • @JudyMarcus-w9s
    @JudyMarcus-w9s 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana R Yani nimeumia kuhusu kizazi wakati yy alikua na njia ya kujizuia yy asizae🥲imeniuma😭

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 หลายเดือนก่อน +12

    Hapo kwa kutolewa mishiipa ya uzazi moyo umeniuma kha. Pole Rose 😢😢

  • @janekmerveilleuse3954
    @janekmerveilleuse3954 หลายเดือนก่อน

    Rose, mungu akubariki upate watoto . Ninakuombeya hâta mapasa kwa j'inaugure la yesu

  • @RebecaRebby
    @RebecaRebby 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pole Rose nimejisikia uchungu sana japo nimejifunza sana

  • @christinaclemence1237
    @christinaclemence1237 3 หลายเดือนก่อน +4

    Rose you are so blessed mydear

  • @RealtorZanzibar
    @RealtorZanzibar 3 หลายเดือนก่อน +15

    Huyu ndio kaeleza tabia za wazungu very toxic
    Wanawake wengi hawasemagi Siri za maisha ya kuwa na mzungu
    Wazungu wanamambo mengi mno jamani😢

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 3 หลายเดือนก่อน

      Usiamini hivyo kwani hâta ukisema ukweli wengi hawataamini kabisa ni kama ya kusadikika kumne ni kweli

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 2 หลายเดือนก่อน

      Ni bahati mbaya tu ukikutana na mtu mbaya au mtu mwenye mastress yake, pia naona apo shida alishakua mtu mzima yani ujana alimaliza na wengine hivo si rahis kumetch

    • @JohaDomi-bg5yh
      @JohaDomi-bg5yh 2 หลายเดือนก่อน

      Asilimi 90 wazungu washenzi ni shida tuu ila sio watu.​@@atutweve4160

  • @sarahweber5659
    @sarahweber5659 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana Mwanamke mwenzangu! Na huyo Mzungu ametokea Nchi gani ? Anaishi Kenya sawa lakini ametokea Nchi gani? Maana ni mshenzi sana na ana Roho mbaya sana pole sana mdogo wangu Mungu akulinde

  • @SumaiyaRichard
    @SumaiyaRichard 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani rose kidogo story yako inaendana nayangu nimejisikia vibaya sana

  • @sadiqmwafrica6759
    @sadiqmwafrica6759 3 หลายเดือนก่อน +4

    Subhanah Allah dada yangu pole kwa mitihani ya maisha

  • @UpendoLema-bx9ji
    @UpendoLema-bx9ji หลายเดือนก่อน

    Pole sana Rose na hongera kwa ujasiri❤

  • @AnnMariam-g5e
    @AnnMariam-g5e หลายเดือนก่อน

    Rose,pole ...umetufunza sana Asante

  • @maryamChumas
    @maryamChumas 2 หลายเดือนก่อน

    Asanteni sana❤❤❤❤❤

  • @sarahsamila4936
    @sarahsamila4936 3 หลายเดือนก่อน +6

    Shena asante kutuletea huyu dada leo ,story nzuri dada mkweli hapindishi story 😍😍😍

  • @bettyreuter1255
    @bettyreuter1255 หลายเดือนก่อน +2

    Ulikua unamkimbilia ukidhani utamuua uchukue Mali, ukakuta anajua ku kuliko. Waafrika wengi hufanya hivyo

  • @heritoomasoud363
    @heritoomasoud363 3 หลายเดือนก่อน +3

    Dada Rose amenichekesha sana panya WA New York ni noma..

  • @mashaali6519
    @mashaali6519 8 วันที่ผ่านมา

    Ila wazungu ni wa swaili mno pole sana rose

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 3 หลายเดือนก่อน +4

    Rose nimependa historia yako wow. Mimi naishi Amsterdam Holland

    • @janewangombe5668
      @janewangombe5668 หลายเดือนก่อน

      @@abdulsimbarakiye4145 allis goed?.ik won da ok.

  • @radhiamponda1047
    @radhiamponda1047 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daaaaah hii interview 🙌🔥🔥🔥

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daaa,alimkuta ni binti mdogo yamkini alimbikiri yeye,akamchosha kwa mapenzi ya mdomo hakuridhika akaona amharibu mfumo wake wa uzazi,looo wazungu hapana jaman waafrica tujifunze hapa

  • @Mwakaismsociety
    @Mwakaismsociety 2 หลายเดือนก่อน +2

    Shena umecheka Leo!!!,inaskitisha ila so interesting story

  • @EstherPhinias
    @EstherPhinias 3 หลายเดือนก่อน +4

    Jamaniiii nimefurahia hii video😂😂😅😂 naona ninge enjoy zaid live mie.

  • @MaryGowans
    @MaryGowans 2 หลายเดือนก่อน +3

    Dadangu amepitia magumu lakini sister yuko roho safi.maisha nimagumu nadio ufaulu mpaka upitie shinda.i love you gal.❤

  • @sherry7339
    @sherry7339 2 หลายเดือนก่อน

    Namuelewa sana Rose hata huku Africa ukiolewa na mtu mzima huwi mtoto hakutreat kama mtoto anakufanya anavyotaka yeye na ukianza kuridi kwa watoto wenzako hufit wNakuona mama ukirudi kwa wamama wanakuona mtoto sasa mtu pekee anaebaki ni huyo aliekuoa ambae nae anakuwekwa kugumu kwakuwa hana mapenzi tena na wewe uko na mapenzi kwake anaanza kukuwekwa kama mfanyakazi wake na vipigo juu na hata akikununulia nguo anawapa house girl ambae ni hawara zake na watoto mkipata wanakuwa ni wako si wake maana haitaji watoto anahotaji maisha yake yasiyokuwa na muelekeo uko sasa Rose

  • @fatmaalbeity9097
    @fatmaalbeity9097 11 วันที่ผ่านมา

    Hii story iwe nifunzo kwa madada wa kiafrika kuwa maisha na mzungu sio bed of roses kuna wazungu wengine wana akili za kinyama japo siwote na kama hawa wazungu wamewasoma zile mentality za kiafrika kuwa mzungu kwao nimkombozi wa matatizo yao ukiingia kwenye mahusiyano Ingia ukiwa umejipanga

  • @hamidasaid2544
    @hamidasaid2544 2 หลายเดือนก่อน +2

    Usiku mwema ❤

  • @safiam5338
    @safiam5338 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana 😢
    Alakini maisha lazima yaendeleye mungu ni mwema🎉

  • @ViolethMazengo-nd8cy
    @ViolethMazengo-nd8cy 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nimempenda sana huyu dada

  • @hawababy120
    @hawababy120 หลายเดือนก่อน

    😂😂rose anachekesha kwahio story sasa ya panya bana😂😂ila pole san ulipitia magumu dada.

  • @mariambakari8065
    @mariambakari8065 3 หลายเดือนก่อน +2

    Rose Pole sana kwa yote uliopitia, binafsi kupitia interview hii ndio naelewa ile elimu unayotoa tiktok lkn wengi wamekuwa sio waelewa daah hakika mungu nimkuu yote lkn akakubariki mume mweema hongera sana ww ni shupavu sana

    • @radhiamponda1047
      @radhiamponda1047 2 หลายเดือนก่อน

      Tiktok anatumia jina gani?

  • @ruthiemacharia5152
    @ruthiemacharia5152 2 หลายเดือนก่อน +3

    Waah... Rose is such a pure heart. I believe that a good person will always attract good things. I'm glad things are going well for her.
    P.s Karma is real... that first marriage guy will regret one day

  • @RadhinaWinniepooh
    @RadhinaWinniepooh 2 หลายเดือนก่อน

    Rose nakupenda sana ❤❤❤

  • @janewangombe5668
    @janewangombe5668 2 หลายเดือนก่อน

    Atleast nimewachanua.mambo America sinjui but becareful online dating. Enda kenyan Coast wazungu wako kibao. Unaweza pata MZUNGU au family friends wakutengenezee maisha. Enda ukutane na wao face to face.

  • @emiliaschroeder2275
    @emiliaschroeder2275 3 หลายเดือนก่อน +3

    Dah panya wa new york shikamoo 😮

  • @mamadouapouha930
    @mamadouapouha930 2 หลายเดือนก่อน

    Rose na mpenda sana kuhusu story yake lakini bahati mbaye amesha olewa
    Pole sana Rose

  • @modybestmodybest9796
    @modybestmodybest9796 12 วันที่ผ่านมา

    Pole sana dada

  • @section8ight174
    @section8ight174 2 หลายเดือนก่อน +1

    UPUMBAVU WA HALI YA JUU!! TATIZO WANAWAKE WENGI WA KIAFRIKA HAWAJIELEWI NA HAWAFAHAMU WAZUNGU VIZURI NA MTAKOMA WAPUUZI NYIE!!

  • @isayahlesurwa307
    @isayahlesurwa307 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mdogo wangu. Kumbe mzungu ni hasara sana.

  • @buzanation1040
    @buzanation1040 2 หลายเดือนก่อน +2

    Panya anataka kupigana 😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻 1:39:46

  • @LutfiaRashid
    @LutfiaRashid 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hilo zungu lilikua kizunguzungu tu😅😅😅😅😅😅

  • @RasJoeMwasenga
    @RasJoeMwasenga 3 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana dada angu mungu akulinde

  • @MariettaNyoni
    @MariettaNyoni 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nimempenda sana huyu na nimecheka sana hapo kwa panya wanataka kukupigana na ww 😅😅😅ila nimempenda interview yote ameingea kiswahili safi kbs ila nashangaa watanzania hapo kiingereza kingetapakaa😅

  • @ramadhanjefwa9879
    @ramadhanjefwa9879 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nataka kuzugumza na Rose ❤

  • @Desertstorm3046
    @Desertstorm3046 2 หลายเดือนก่อน

    Amazing lady

  • @timejames5099
    @timejames5099 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nimewakubali Sana dada zangu

  • @YuyuMp-d8y
    @YuyuMp-d8y 3 หลายเดือนก่อน +1

    We dada jasili sana jamani MUNGU akulinde❤
    Wazungu wanatuzarau sana naju wanawake wa kibongo mnawashobokea sana

    • @Oliva_Meela
      @Oliva_Meela 3 หลายเดือนก่อน +3

      Si wazungu wanatuzarau, ukiwa desperate mwanaume yeyote anajua kusense mwanamke desperate, iwe afrika au wapi wanaume wanaofanyia wanawake ubaya wapo achana na kulebo wazungu kuwa ndio wabaya au wanashobokewa

    • @YuyuMp-d8y
      @YuyuMp-d8y 2 หลายเดือนก่อน

      ​@Oliva_Meela kwani huwa mnaelewa mnafosi ndo mana hamuelimiki

    • @ashaidei5680
      @ashaidei5680 2 หลายเดือนก่อน

      @@YuyuMp-d8ykila rangi ukiwa na bahati mbaya utakutana na watu wa hivyo tena afadhari ufanyiwe na rangi tofati, lakini ikiwa rangi yako ndio yanauma zaidi.watu wabaya wapo kote naogopa mtu anaekutenganisha na marafiki na ndugu.

  • @ednamugezi3560
    @ednamugezi3560 3 หลายเดือนก่อน +3

    Rose penzi cha wengi ❤❤❤

  • @delphineotto5451
    @delphineotto5451 2 หลายเดือนก่อน

    Ukiona simba mzee amekwepa Mishale mingi. Hongera na pole dada

  • @mwanaidikingazi4222
    @mwanaidikingazi4222 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hii story inafundisha sana shena mungu azidi kukusimamia kwenye kila hatua

  • @gwennipah9072
    @gwennipah9072 3 หลายเดือนก่อน +3

    Duh pole Sana Rose....

  • @DaynessZakayo
    @DaynessZakayo 2 หลายเดือนก่อน

    Nimefurahi sana mungu akupe maisha marefu 😅😅😅😅

  • @aprilrosaliapanda4895
    @aprilrosaliapanda4895 2 หลายเดือนก่อน +3

    Atakuwa mjerumani uyooo 😅😅

  • @PillyMadame
    @PillyMadame 2 หลายเดือนก่อน +2

    😊

  • @rehemadearing3380
    @rehemadearing3380 2 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa kushare story yako❤

  • @YuniahOkemwa-jb9nz
    @YuniahOkemwa-jb9nz 2 หลายเดือนก่อน

    Sorry rose you went to a crazy guy. In New York same places are very beautiful. Where in New York did you stayed?

  • @janerosempeta5662
    @janerosempeta5662 12 วันที่ผ่านมา

    New York city hiyoo mwanangu Shena😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @BahatiNtaro-h8c
    @BahatiNtaro-h8c 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dah pole san dada