Wow wow I’m happy for u Hafsa nakukumbuka Roho yako nzuri mnoo Hafsa uliniokotea pesa nilizodondosha za Kodi ya nyumba yaani Mungu azidi kukufanyia wepesi akufungulie milango yoote ya baraka akupe Amani na furaha daima Nakupenda Sanaa
Mdada wa kwanza kututia moyo sisi wenye ndoto ya kutoka Tanzania..umepitia magumu ila hauwavunji moyo wenye kiu ya kuja huko ila wale ooh siwashauri waje huku kheri wabaki nyumbani fulsa nyingi huwa wananikera bhasi tu..,pole kwa mapito Hafsa na Allah akuongoze kwa kila hatua zako na hongera sana kwa kupambana💪🙏❤❤
Pole sana Hafsa mim ningeshaur because Umekuja na visiting visa na hauna work permit then don’t put your story in public u will be deported coz uliomba visa ya training sio kaz. Ukipata greencard then come tell ur story. Also ni vyema utafute short course online ili uweze kupata work from home jobs or kaz za officn baadae ikipata work permit. pia Washington is a good place to get driving license work on it hata kama Huna gari ukishajichanga ufanye DoorDash or uber. Pia jifunze kusuka au kama unajua andika tangazo lako market place, styleseat or booksy. All the best karibu US 🇺🇸
Nadhani amewachukua kuwalea sio wake hapa USA wanaigeria wanafanya sana hiyo kazi wanawachukua hao watoto serekalini na kuwalea alafu wanalipwa hela nyingi sana ni vile tu hawezi kukwambia kua sio wake
Ukiwa nje kufanya kazi kw Wanigeria na Wakenya hauwezi toboa hao watu Wana roho mbaya sana wanaangalia masali ya pesa tu, hivyo usibweteke jjiongeze utafute sehem nzuri ambayo utakuwa comfortable na Hali yako,
@JulianaNakwawi siongopi nawajua ndugu zetu wakenya wadhaifu na hamjali hat km mtu ana shida atajua mwenyewe mnachoangalia pesa mbele ila Kuna utu na maish ya baada ya kufa na Dunia duara Leo kwake kesho kwako hivyo utu kwanza pesa badae
pole sana dada! wanigeria wengi huwa hawasemi kama watoto wana changamoto ukiishi nao ndo utawajua wanigeria wako very rude, na huwa hawawezi kuwakanya watoto wao wanapokosea.
Huyu dada kanitia hasira sana yaani yeye na hali yake kaweza kupambana kiasi hicho Mimi nalala TU hapa nasubiria muujiza,,noo sista umeniamsha leo nianze kupambana kwa speed ya 5g dadeq
Ooh pole sn Kuna kitu pia sisi watanzania tukifika hapa hatujui mambo mengi sana namna ya kuishi Huku tofauti na wakenya wakifuka tu wanatafuta namna ya kuishi Kwa Uhuru japo changamoto Ni nyingi sn lkn ukitulia unatoboa
@OfficialDatingAssistance Mimi natamani kushare na watu wetu sn ttzo lingerie watanzania baadhi yetu hatupendi kbsa kumsaidia MTU Mimi Hayo yoote nimepitia kufukuzwa unakaa na MTU Kwa uzuri kbsa lkn unapomwambia tu kuwa ungependa kuondoka muda flani unafukuzwa kabla ya ule muda kufika kukosa kujua miezi yetu ya viza ni sita tu lkn jitahd sana ndani ya huo muda nenda kwenye ofisi za department of license.kabla ya mwaka kuisha.
Mashehe wa Africa wanachojua ni Kuoa na Kuongeza Wake, huwa hawafikirii mambo ya Maendeleo Kwa Mwanamke zaidi ya Kuolewa na Kuwa Object ya Mwanaume ya kutumia. Kwenda kumwomba Shehe ushauri wa Kimaendeleo ulikosea na Unabahati hakukwambia Anataka kuongeza Mke na hivyo Wewe uwe Mke wake wa 4.
dah hyo dada alikua na roho mbaya maana kazi ya kulea wtt dizain hyo si kazi ndogo yani huhitaji hata kufanya kazi yoyote uwashuhulikie wao tu it's not easy pole sana ndo mthn watu wengine hata shukrani hawana
Ushauri wangu kwa dada au kaka yoyote akipata matatizo au ku kwama mahali ni bora kuenda BALOZI hutakosa mahala pa kulala. Ni kazi yao kusaidia wananchi waliokwama.
@ hapana , bâlozi hawawezi kukurudisha bila idhini yako . Wana kusaidia temporarily . Mfano waeza kukupa malazi au kukuweka hôtel kwa muda ili utatue shida zako . ishatokea kwa Wa dada wengi sana kuwa balozi wanakustiri usiwe homeless
@ kuna HAKI flani mwanamchi ako nazo chini ya ubalozi lakini wengi hawafahamu. Wana ona huko ni mambo ya serikali tu . Lakini kuna benefits nyingi ukikubwa na shida kama homelessness au kuibiwa fedha, kuwa stranded . Wataku-accommodate kulingana na shida zako . Ni fedha za Umma( tax money)
@ basi itakuwa ni Wa binafsi au wavivu kwasababu wametolewa huko foreign affairs headquarters kuja kuhudumia ummah Wa Tz nchini ulaya . Ndio kazi yao haswa. Sema tu……corruption
TATIZO SISI WATANZANIA TUNAFIKILI UKIFIKA TU AMERICA AU ULAYA, BASI MAMBO NI RAHA TUU. MAISHA YA WENZETU AMERICA NI KAZI TU. NA NDO KAZI INAYOTUPELEKA NASHANGAA WENGI WANALALAMIKA ETI KAZI NGUMU.
Wow wow I’m happy for u Hafsa nakukumbuka Roho yako nzuri mnoo Hafsa uliniokotea pesa nilizodondosha za Kodi ya nyumba yaani Mungu azidi kukufanyia wepesi akufungulie milango yoote ya baraka akupe Amani na furaha daima Nakupenda Sanaa
Daah jamani wallah nmefurahi mno kupata hii comment yako za masiku?
@@hafsasaid5148dada hafsa unitafutiye connection niko single mwezio natamani sana kufika ula haswa America
pole dada etu.watanzania popote mlipo kwenye nnchi za watu tusitupane tusaidianeni ndugu zangu km mlivo msaidia dada etu mungu ndo mwenye kuwalipa
Sawa kabisa Hafsa, Dhahabu huwa inapatikana baada ya kupitia kwenye tanuru la Moto mkali sana! You are a very strong Lady!
Pole sana Hafsa na hongera kwa kuvumilia hayo ni mapito tu,utafika mbali sana.Shukurani sana Shenah kwa kumleta huyu dada tumejifunza mengi sana❤
Huko wanataka watu waumri kuanzia Mika mingapi nakuishia mingangapi
Nakuona mbali sana dada, ukiona changamoto zimezidi ujue kunakaribia kupambazuka.continue shinning baby
Wakongo ni watu wazuri sana hasa huku nje wanasaidia watu wengi mungu awabariki kwa kweli
Amen 🙏
Mdada wa kwanza kututia moyo sisi wenye ndoto ya kutoka Tanzania..umepitia magumu ila hauwavunji moyo wenye kiu ya kuja huko ila wale ooh siwashauri waje huku kheri wabaki nyumbani fulsa nyingi huwa wananikera bhasi tu..,pole kwa mapito Hafsa na Allah akuongoze kwa kila hatua zako na hongera sana kwa kupambana💪🙏❤❤
Aisee dada umenipa moyo
Yaaan me wananiboa sn
Yan naisi we hawakuboi, mi wananikera kwelikweli
Nimempenda huyu dada ni mpambanaji ndio inavyotakiwa kwenye maisha kuna mafunzo mengi kwenye story yake❤
Huyu dada ni strong jamani mungu akubariki❤😢 utafika mbali
Ooh pole mdogo wangu umepitia makubwa ,Bado unatabasamu Mungu asikia ache
Hongera sana Hafsa wewe ni jembe,kuna kitu unacho, umepita kwenye tanuru la moto utafanikiwa mpaka hizo shida utazisahau👍👏🏼
Mungu akucmamie kipenzi ufanikiwe kwa kila jambo❤❤❤
Wa congo tunaroho nzuri💓💗❤️
Duuh nimefarijka hii xtori Nzuri Mungu akubariki sana sana naukutie nguvu nuru ya uso wake akuangazie Mamy
Pole sana ndo safari ya maisha dada Hafsa you're very strong 💪
Hongera sana dada .you are suçh a strong lady.wengi wamejifunza
Habari zenu wapendwa,naona mambo ni motomoto mashaallah ❤❤
Mashallah she is very smart..😊
Mungu akufanyie wepesi
Pole sana Hafsa mim ningeshaur because Umekuja na visiting visa na hauna work permit then don’t put your story in public u will be deported coz uliomba visa ya training sio kaz. Ukipata greencard then come tell ur story.
Also ni vyema utafute short course online ili uweze kupata work from home jobs or kaz za officn baadae ikipata work permit. pia Washington is a good place to get driving license work on it hata kama Huna gari ukishajichanga ufanye DoorDash or uber. Pia jifunze kusuka au kama unajua andika tangazo lako market place, styleseat or booksy.
All the best karibu US 🇺🇸
Nimeelimika sana ❤❤❤ asante sana hafsa Mungu akubarki na kukuongoza
Pole sana hafsa pia hongera kwa ujasili uliokuwa nao❤❤
Da pole na Hongera sana.
Mungu anakupenda sana.
Nakuombea unfamiliar zaidi
Pole sana. Uyo mama alikuwa mkorofi kweli, madhali watoto wake wanachangamoto za akili alikuwa akusaidie alee watoto wake nayeye.
Nadhani amewachukua kuwalea sio wake hapa USA wanaigeria wanafanya sana hiyo kazi wanawachukua hao watoto serekalini na kuwalea alafu wanalipwa hela nyingi sana ni vile tu hawezi kukwambia kua sio wake
Ukiwa nje kufanya kazi kw Wanigeria na Wakenya hauwezi toboa hao watu Wana roho mbaya sana wanaangalia masali ya pesa tu, hivyo usibweteke jjiongeze utafute sehem nzuri ambayo utakuwa comfortable na Hali yako,
Mmh!!!aki wewe
@JulianaNakwawi siongopi nawajua ndugu zetu wakenya wadhaifu na hamjali hat km mtu ana shida atajua mwenyewe mnachoangalia pesa mbele ila Kuna utu na maish ya baada ya kufa na Dunia duara Leo kwake kesho kwako hivyo utu kwanza pesa badae
@@salehkhamis3000unasema kweli ata wa meninyima muzungu wa kenya watatu ati pesa mbere nikiwabebereza ila wapi nikasema namuachiya mungu
@@RahmhRr-d9v wakenya roho mbaya, waganda ubinafs, watz unaweza fika nje akakupokea vzr bdae anakuibia na anakimbia mji mwengn
Dada yangu na kasauti kake mwenyewe.. proud of you dada😀😀❤️
Hahaha😅I miss you jamani
Me more❤❤@@hafsasaid5148
Nice interview. Nimejifunza vingi. Kwenye maisha ni kupambana bila kukata tamaa.
WANIGERIA NDIVYO WALIVYO MAMA . WAKIPATA KIDOGO BASI HAKUNA HESHIMA KWA WENGINE.
Hatusikii Wollof ukimaanisha nini maa. Wew ni jembe Mungu atazidi kukuongoza keep up the good faith😊
pole sana dada! wanigeria wengi huwa hawasemi kama watoto wana changamoto ukiishi nao ndo utawajua wanigeria wako very rude, na huwa hawawezi kuwakanya watoto wao wanapokosea.
Hongera sana sister unafanyakazi nzuri sana Mungu akubariki mno
Hongera Sana dada kwa kupambania kile ulichokuwa ukikiamini maashallah ❣️🌹
Mwanamke wa shoka.Hongera
Nakukumbuka hafsa tuko group moja my love ❤❤❤❤
Hello zainabu
Ahsante dear
Safi sana diasporas,,,kusaidiana ni jambo jema sana,,,pia kumsaidia mtu ni baraka kubwa sana.
Tuendelee kusaidiana
Huyu dada kanitia hasira sana yaani yeye na hali yake kaweza kupambana kiasi hicho Mimi nalala TU hapa nasubiria muujiza,,noo sista umeniamsha leo nianze kupambana kwa speed ya 5g dadeq
Uingie madrid
Hongera ukweli binti ni mpambanaji. Anajiamini...
Tz to America🎉🎉
Ooh pole sn Kuna kitu pia sisi watanzania tukifika hapa hatujui mambo mengi sana namna ya kuishi Huku tofauti na wakenya wakifuka tu wanatafuta namna ya kuishi Kwa Uhuru japo changamoto Ni nyingi sn lkn ukitulia unatoboa
Pia hatuambiani, watu hawana information
Karibuni kwenye kipindi, mnayoshare yanawaponya wengi
@OfficialDatingAssistance Mimi natamani kushare na watu wetu sn ttzo lingerie watanzania baadhi yetu hatupendi kbsa kumsaidia MTU Mimi Hayo yoote nimepitia kufukuzwa unakaa na MTU Kwa uzuri kbsa lkn unapomwambia tu kuwa ungependa kuondoka muda flani unafukuzwa kabla ya ule muda kufika kukosa kujua miezi yetu ya viza ni sita tu lkn jitahd sana ndani ya huo muda nenda kwenye ofisi za department of license.kabla ya mwaka kuisha.
one day yes, ntaongea na wewe kama mwanajeshi wa marekani kama kaka mshana
Pole kwa changamoto
naomba ukipata chance uende shule ndugu yangu
Uko brave kweli ❤
Pole dada dunia nimwalimu tosha 29:19
Wa tanzania ni wakarimu sana
Huyu kaka yako aliyeko marekani hakukupigania vizuri kama mwenyeji wako
HAFSA NAMJUA ALIKUWA ANASOMA JANGWANI... ALIISHI MAGOMENI.. JAMANI
Pole endelea kupambana sana ❤
Dada iyo ndio hitakuwa sababu ya maisha yako uko uliko na utakuwa na maisha mkubwa sn mung hakupa njia kubwa zaid
Wakatoliki hoyee Catholic church ❤woyoooooo
na ushoga wenu
Was this necessary?@@Rawdha-y8t
Hongera sana bidada ❤❤❤❤❤
Hongera dear
Mmh pole kwa mapito🎉 dia, natamani kujiunga na magroup ya what's up ya wa Tz , please assist..
Mashehe wa Africa wanachojua ni Kuoa na Kuongeza Wake, huwa hawafikirii mambo ya Maendeleo Kwa Mwanamke zaidi ya Kuolewa na Kuwa Object ya Mwanaume ya kutumia. Kwenda kumwomba Shehe ushauri wa Kimaendeleo ulikosea na Unabahati hakukwambia Anataka kuongeza Mke na hivyo Wewe uwe Mke wake wa 4.
Nilijua shagala kumbe yuko melikani 😊😮
Ila inasemekana wanaijeria kudhurumu ni kawaida kwao
Wanapenda Dhuruma
Hawa wanigeria ni nyoko sana ndivyo walivyo tafadhali wadada zetu wa tz msije mkawaamini mbwa sana Hawa wapopo
Samahani nimeandikavibaya lakini mutanielea 40:04
Hatukusikie
dah hyo dada alikua na roho mbaya maana kazi ya kulea wtt dizain hyo si kazi ndogo yani huhitaji hata kufanya kazi yoyote uwashuhulikie wao tu it's not easy pole sana ndo mthn watu wengine hata shukrani hawana
❤❤❤❤❤❤❤
Hafsa yupo open sana mashallah. Mtu mzr
Ahsante dear😍
Kama umeview usisahau ku like na kukomenti jamani. Kulike ni kuclick tu wala hakuli bando lako
Shukran sana 🙏
Sauti hamna
Hii stori imenihuzunisha 😢😢
Ndani ya miezi 6uweze kupata kitambulisho Cha hapa Cha kukusaidia kupata kz nzuri na haki ht MTU akikufukuza hauwezi kuteseka
Dada. HAFSA pole sana ndio maisha ya ulaya
Naomba na mimi nimuwekee kaka yangu kwa hiyo project. Nipo usa pia ila sina njia ya kumsaidia
Hajatuambia Ile training alioombea Visa iliishiaje na ndio iliompa access kuingia Marekani?
kwe kabisa
Training ndio iliyomfanya apate visa ya kuingia Marekani
@@OfficialDatingAssistance only visa? bila ya kazi na mahali pa kulala?
@@AliMohamed-w3bnice question bro
@@OfficialDatingAssistance naomba niunganishe nae. Niko NY
Wungu ni mukubwa atakusaidia 40:04
Msenge huyo shekhee ingekuwa kanisan ungesaidika chap waislam wana roho ngumu sana
Ho gera jamani Dada kumbe. Inawezekana kutoka jamani
Hatumsikii
Hatukusikii
Recording inakata sana maeneo mengi
Ushauri wangu kwa dada au kaka yoyote akipata matatizo au ku kwama mahali ni bora kuenda BALOZI hutakosa mahala pa kulala. Ni kazi yao kusaidia wananchi waliokwama.
Huyu kaenda kufight life, akienda Ubalozi bila kukaza si atamrudisha
@ hapana , bâlozi hawawezi kukurudisha bila idhini yako . Wana kusaidia temporarily . Mfano waeza kukupa malazi au kukuweka hôtel kwa muda ili utatue shida zako . ishatokea kwa Wa dada wengi sana kuwa balozi wanakustiri usiwe homeless
@ kuna HAKI flani mwanamchi ako nazo chini ya ubalozi lakini wengi hawafahamu. Wana ona huko ni mambo ya serikali tu . Lakini kuna benefits nyingi ukikubwa na shida kama homelessness au kuibiwa fedha, kuwa stranded . Wataku-accommodate kulingana na shida zako . Ni fedha za Umma( tax money)
Sio Kwa balozi za kitanzani,Hakuna msaada kabisa
@ basi itakuwa ni Wa binafsi au wavivu kwasababu wametolewa huko foreign affairs headquarters kuja kuhudumia ummah Wa Tz nchini ulaya . Ndio kazi yao haswa. Sema tu……corruption
Ndio mana ukiomba visa unatakiwa ujue unafikia wapi pole sana.
Yani wenzetu wana process nyingi had kwenye mfumo wa maisha ya kawaida
Amejiamini huyu bint endelea kupambana bint yetu
Dah west africans sio watu kabisa
Mimi ni mukongomani
Mtoto wangu jamani
TATIZO SISI WATANZANIA TUNAFIKILI UKIFIKA TU AMERICA AU ULAYA, BASI MAMBO NI RAHA TUU. MAISHA YA WENZETU AMERICA NI KAZI TU. NA NDO KAZI INAYOTUPELEKA NASHANGAA WENGI WANALALAMIKA ETI KAZI NGUMU.
Toa namba yako tueasiliane dada
Hatumsikii tena
Dada mm naomba unisaidie mawasiliano ya huyu mdada ili anisaidie kupata huo mchongo wa treni ili mwakani nijikanyage
Maskini nimejiskia vibaya jaman huyo mama watoto 3 wote wanamatatizo
Me nahitaji kujua anatumia jina gani social media zake
all i can say hafsa ni mtu mwema anaroho nzur,ata jinsi anavyozungumza.ila pole sana umepitia motihani na hakika Allah azidi kujulinja
Allahumma Ameen ahsante dear
najifunza
Namba yako ya simu hapa USA?
Kwa halo yako wewe ni SUPER WOMAN umenitia moyo sana hata Mimi nipo njiani.
Atuambie aliulizwa maswali gani ubalozini
Maisha hutakiwi kukata tamaa mwaya pigania ndoto yako
She has to be carefull she is new no documents na yuko tayari kwenye mitandao
😂😂😂 this is America watanzania acheni uoga ndo maana hatuendelei kwa mauoga ya kijinga 😂
daaa network imetukoesesha Mamboo
Hasfa,bank statement ulionesha nin au ulifanyaje ,kila kitu ninacho kasoro bank statement
nasisi ututafutie nafasi hata ya kufanya usafir chuoni
Hatukumsikia dada kama shena utaweza mrekodi then tutumie recoding zake
Duuh, mtu mwenye Autism kumlea ni mtihani jmn daah