ALINIFUKUZA NA MSHAHARA ALIGOMA KUNILIPA | SIKUA NAJUA NAELEKEA WAPI | NIKAISHIA KUISHI SHELTER

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 156

  • @HadasaGallant
    @HadasaGallant 3 หลายเดือนก่อน +6

    Wow wow I’m happy for u Hafsa nakukumbuka Roho yako nzuri mnoo Hafsa uliniokotea pesa nilizodondosha za Kodi ya nyumba yaani Mungu azidi kukufanyia wepesi akufungulie milango yoote ya baraka akupe Amani na furaha daima Nakupenda Sanaa

    • @hafsasaid5148
      @hafsasaid5148 3 หลายเดือนก่อน

      Daah jamani wallah nmefurahi mno kupata hii comment yako za masiku?

    • @RahmhRr-d9v
      @RahmhRr-d9v 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@hafsasaid5148dada hafsa unitafutiye connection niko single mwezio natamani sana kufika ula haswa America

  • @misanamohamedi8438
    @misanamohamedi8438 3 หลายเดือนก่อน +10

    pole dada etu.watanzania popote mlipo kwenye nnchi za watu tusitupane tusaidianeni ndugu zangu km mlivo msaidia dada etu mungu ndo mwenye kuwalipa

  • @ImeldaIsdory
    @ImeldaIsdory 3 หลายเดือนก่อน +6

    Sawa kabisa Hafsa, Dhahabu huwa inapatikana baada ya kupitia kwenye tanuru la Moto mkali sana! You are a very strong Lady!

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 3 หลายเดือนก่อน +13

    Pole sana Hafsa na hongera kwa kuvumilia hayo ni mapito tu,utafika mbali sana.Shukurani sana Shenah kwa kumleta huyu dada tumejifunza mengi sana❤

    • @FatoumiaMango
      @FatoumiaMango 2 หลายเดือนก่อน

      Huko wanataka watu waumri kuanzia Mika mingapi nakuishia mingangapi

  • @mloweapple8678
    @mloweapple8678 3 หลายเดือนก่อน +9

    Nakuona mbali sana dada, ukiona changamoto zimezidi ujue kunakaribia kupambazuka.continue shinning baby

  • @hadiyajuma3974
    @hadiyajuma3974 3 หลายเดือนก่อน +11

    Wakongo ni watu wazuri sana hasa huku nje wanasaidia watu wengi mungu awabariki kwa kweli

    • @RahmhRr-d9v
      @RahmhRr-d9v 2 หลายเดือนก่อน

      Amen 🙏

  • @radhiamponda1047
    @radhiamponda1047 3 หลายเดือนก่อน +23

    Mdada wa kwanza kututia moyo sisi wenye ndoto ya kutoka Tanzania..umepitia magumu ila hauwavunji moyo wenye kiu ya kuja huko ila wale ooh siwashauri waje huku kheri wabaki nyumbani fulsa nyingi huwa wananikera bhasi tu..,pole kwa mapito Hafsa na Allah akuongoze kwa kila hatua zako na hongera sana kwa kupambana💪🙏❤❤

    • @angelinamachibya-nb8sh
      @angelinamachibya-nb8sh 3 หลายเดือนก่อน

      Aisee dada umenipa moyo

    • @TausShaban-t1d
      @TausShaban-t1d 3 หลายเดือนก่อน

      Yaaan me wananiboa sn

    • @LinahRwambali
      @LinahRwambali 3 หลายเดือนก่อน

      Yan naisi we hawakuboi, mi wananikera kwelikweli

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 3 หลายเดือนก่อน +6

    Nimempenda huyu dada ni mpambanaji ndio inavyotakiwa kwenye maisha kuna mafunzo mengi kwenye story yake❤

  • @RealtorZanzibar
    @RealtorZanzibar 3 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu dada ni strong jamani mungu akubariki❤😢 utafika mbali

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ooh pole mdogo wangu umepitia makubwa ,Bado unatabasamu Mungu asikia ache

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera sana Hafsa wewe ni jembe,kuna kitu unacho, umepita kwenye tanuru la moto utafanikiwa mpaka hizo shida utazisahau👍👏🏼

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akucmamie kipenzi ufanikiwe kwa kila jambo❤❤❤

  • @RahmhRr-d9v
    @RahmhRr-d9v 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wa congo tunaroho nzuri💓💗❤️

  • @Dericksimba
    @Dericksimba 3 หลายเดือนก่อน +1

    Duuh nimefarijka hii xtori Nzuri Mungu akubariki sana sana naukutie nguvu nuru ya uso wake akuangazie Mamy

  • @NassorAbdalla-u9o
    @NassorAbdalla-u9o 3 หลายเดือนก่อน +3

    Pole sana ndo safari ya maisha dada Hafsa you're very strong 💪

  • @lilianmasaki3596
    @lilianmasaki3596 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana dada .you are suçh a strong lady.wengi wamejifunza

  • @allyafif
    @allyafif 3 หลายเดือนก่อน +6

    Habari zenu wapendwa,naona mambo ni motomoto mashaallah ❤❤

  • @mahbibymirza4037
    @mahbibymirza4037 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mashallah she is very smart..😊

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akufanyie wepesi

  • @GoodGoodz05
    @GoodGoodz05 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana Hafsa mim ningeshaur because Umekuja na visiting visa na hauna work permit then don’t put your story in public u will be deported coz uliomba visa ya training sio kaz. Ukipata greencard then come tell ur story.
    Also ni vyema utafute short course online ili uweze kupata work from home jobs or kaz za officn baadae ikipata work permit. pia Washington is a good place to get driving license work on it hata kama Huna gari ukishajichanga ufanye DoorDash or uber. Pia jifunze kusuka au kama unajua andika tangazo lako market place, styleseat or booksy.
    All the best karibu US 🇺🇸

  • @deolynemollel427
    @deolynemollel427 3 หลายเดือนก่อน +4

    Nimeelimika sana ❤❤❤ asante sana hafsa Mungu akubarki na kukuongoza

  • @bertina-q1d
    @bertina-q1d 3 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana hafsa pia hongera kwa ujasili uliokuwa nao❤❤

  • @HappinessAhia-ey1lq
    @HappinessAhia-ey1lq 2 หลายเดือนก่อน +1

    Da pole na Hongera sana.
    Mungu anakupenda sana.
    Nakuombea unfamiliar zaidi

  • @madinaomar679
    @madinaomar679 3 หลายเดือนก่อน +3

    Pole sana. Uyo mama alikuwa mkorofi kweli, madhali watoto wake wanachangamoto za akili alikuwa akusaidie alee watoto wake nayeye.

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 3 หลายเดือนก่อน +2

      Nadhani amewachukua kuwalea sio wake hapa USA wanaigeria wanafanya sana hiyo kazi wanawachukua hao watoto serekalini na kuwalea alafu wanalipwa hela nyingi sana ni vile tu hawezi kukwambia kua sio wake

  • @salehkhamis3000
    @salehkhamis3000 3 หลายเดือนก่อน +11

    Ukiwa nje kufanya kazi kw Wanigeria na Wakenya hauwezi toboa hao watu Wana roho mbaya sana wanaangalia masali ya pesa tu, hivyo usibweteke jjiongeze utafute sehem nzuri ambayo utakuwa comfortable na Hali yako,

    • @JulianaNakwawi
      @JulianaNakwawi 2 หลายเดือนก่อน

      Mmh!!!aki wewe

    • @salehkhamis3000
      @salehkhamis3000 2 หลายเดือนก่อน

      @JulianaNakwawi siongopi nawajua ndugu zetu wakenya wadhaifu na hamjali hat km mtu ana shida atajua mwenyewe mnachoangalia pesa mbele ila Kuna utu na maish ya baada ya kufa na Dunia duara Leo kwake kesho kwako hivyo utu kwanza pesa badae

    • @RahmhRr-d9v
      @RahmhRr-d9v 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@salehkhamis3000unasema kweli ata wa meninyima muzungu wa kenya watatu ati pesa mbere nikiwabebereza ila wapi nikasema namuachiya mungu

    • @salehkhamis3000
      @salehkhamis3000 2 หลายเดือนก่อน

      @@RahmhRr-d9v wakenya roho mbaya, waganda ubinafs, watz unaweza fika nje akakupokea vzr bdae anakuibia na anakimbia mji mwengn

  • @ahmadiahmadi6437
    @ahmadiahmadi6437 3 หลายเดือนก่อน +5

    Dada yangu na kasauti kake mwenyewe.. proud of you dada😀😀❤️

    • @hafsasaid5148
      @hafsasaid5148 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hahaha😅I miss you jamani

    • @ahmadiahmadi6437
      @ahmadiahmadi6437 หลายเดือนก่อน

      Me more❤❤​@@hafsasaid5148

  • @giboncebarnabas9667
    @giboncebarnabas9667 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nice interview. Nimejifunza vingi. Kwenye maisha ni kupambana bila kukata tamaa.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 หลายเดือนก่อน +2

    WANIGERIA NDIVYO WALIVYO MAMA . WAKIPATA KIDOGO BASI HAKUNA HESHIMA KWA WENGINE.

  • @karenkitana8732
    @karenkitana8732 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hatusikii Wollof ukimaanisha nini maa. Wew ni jembe Mungu atazidi kukuongoza keep up the good faith😊

  • @hellenelias8854
    @hellenelias8854 3 หลายเดือนก่อน +3

    pole sana dada! wanigeria wengi huwa hawasemi kama watoto wana changamoto ukiishi nao ndo utawajua wanigeria wako very rude, na huwa hawawezi kuwakanya watoto wao wanapokosea.

  • @Pgm170
    @Pgm170 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana sister unafanyakazi nzuri sana Mungu akubariki mno

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera Sana dada kwa kupambania kile ulichokuwa ukikiamini maashallah ❣️🌹

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mwanamke wa shoka.Hongera

  • @zainabufeka87
    @zainabufeka87 3 หลายเดือนก่อน +4

    Nakukumbuka hafsa tuko group moja my love ❤❤❤❤

  • @MJM52
    @MJM52 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana diasporas,,,kusaidiana ni jambo jema sana,,,pia kumsaidia mtu ni baraka kubwa sana.
    Tuendelee kusaidiana

  • @Jamiljamal-i4f
    @Jamiljamal-i4f 3 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu dada kanitia hasira sana yaani yeye na hali yake kaweza kupambana kiasi hicho Mimi nalala TU hapa nasubiria muujiza,,noo sista umeniamsha leo nianze kupambana kwa speed ya 5g dadeq

    • @FreadBland
      @FreadBland 16 วันที่ผ่านมา

      Uingie madrid

  • @ngwakamongateko8696
    @ngwakamongateko8696 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera ukweli binti ni mpambanaji. Anajiamini...

  • @suso_26
    @suso_26 3 หลายเดือนก่อน +5

    Tz to America🎉🎉

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 หลายเดือนก่อน

    Ooh pole sn Kuna kitu pia sisi watanzania tukifika hapa hatujui mambo mengi sana namna ya kuishi Huku tofauti na wakenya wakifuka tu wanatafuta namna ya kuishi Kwa Uhuru japo changamoto Ni nyingi sn lkn ukitulia unatoboa

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  หลายเดือนก่อน

      Pia hatuambiani, watu hawana information
      Karibuni kwenye kipindi, mnayoshare yanawaponya wengi

    • @victoriamaige2862
      @victoriamaige2862 หลายเดือนก่อน

      @OfficialDatingAssistance Mimi natamani kushare na watu wetu sn ttzo lingerie watanzania baadhi yetu hatupendi kbsa kumsaidia MTU Mimi Hayo yoote nimepitia kufukuzwa unakaa na MTU Kwa uzuri kbsa lkn unapomwambia tu kuwa ungependa kuondoka muda flani unafukuzwa kabla ya ule muda kufika kukosa kujua miezi yetu ya viza ni sita tu lkn jitahd sana ndani ya huo muda nenda kwenye ofisi za department of license.kabla ya mwaka kuisha.

  • @estherkeba24
    @estherkeba24 3 หลายเดือนก่อน +3

    one day yes, ntaongea na wewe kama mwanajeshi wa marekani kama kaka mshana

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 3 หลายเดือนก่อน +2

    Pole kwa changamoto

  • @KIMALEX255
    @KIMALEX255 3 หลายเดือนก่อน +2

    naomba ukipata chance uende shule ndugu yangu

  • @madinaomar679
    @madinaomar679 3 หลายเดือนก่อน +3

    Uko brave kweli ❤

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice หลายเดือนก่อน

    Pole dada dunia nimwalimu tosha 29:19

  • @madinaomar679
    @madinaomar679 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wa tanzania ni wakarimu sana

  • @AliMohamed-w3b
    @AliMohamed-w3b 3 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu kaka yako aliyeko marekani hakukupigania vizuri kama mwenyeji wako

  • @mamaabduly
    @mamaabduly 3 หลายเดือนก่อน +5

    HAFSA NAMJUA ALIKUWA ANASOMA JANGWANI... ALIISHI MAGOMENI.. JAMANI

  • @SeifMjawir
    @SeifMjawir 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pole endelea kupambana sana ❤

  • @AlexMchizi
    @AlexMchizi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dada iyo ndio hitakuwa sababu ya maisha yako uko uliko na utakuwa na maisha mkubwa sn mung hakupa njia kubwa zaid

  • @angelinamwenda4133
    @angelinamwenda4133 3 หลายเดือนก่อน +8

    Wakatoliki hoyee Catholic church ❤woyoooooo

    • @Rawdha-y8t
      @Rawdha-y8t 3 หลายเดือนก่อน

      na ushoga wenu

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 2 หลายเดือนก่อน

      Was this necessary?​@@Rawdha-y8t

  • @lightnessanthony8527
    @lightnessanthony8527 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana bidada ❤❤❤❤❤

  • @irenemichael
    @irenemichael 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera dear

  • @rehemabonifasi-zj2zc
    @rehemabonifasi-zj2zc 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mmh pole kwa mapito🎉 dia, natamani kujiunga na magroup ya what's up ya wa Tz , please assist..

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashehe wa Africa wanachojua ni Kuoa na Kuongeza Wake, huwa hawafikirii mambo ya Maendeleo Kwa Mwanamke zaidi ya Kuolewa na Kuwa Object ya Mwanaume ya kutumia. Kwenda kumwomba Shehe ushauri wa Kimaendeleo ulikosea na Unabahati hakukwambia Anataka kuongeza Mke na hivyo Wewe uwe Mke wake wa 4.

  • @Dericksimba
    @Dericksimba 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nilijua shagala kumbe yuko melikani 😊😮

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ila inasemekana wanaijeria kudhurumu ni kawaida kwao
    Wanapenda Dhuruma

  • @georgefrancis3415
    @georgefrancis3415 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa wanigeria ni nyoko sana ndivyo walivyo tafadhali wadada zetu wa tz msije mkawaamini mbwa sana Hawa wapopo

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice หลายเดือนก่อน

    Samahani nimeandikavibaya lakini mutanielea 40:04

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice หลายเดือนก่อน

    Hatukusikie

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 3 หลายเดือนก่อน +1

    dah hyo dada alikua na roho mbaya maana kazi ya kulea wtt dizain hyo si kazi ndogo yani huhitaji hata kufanya kazi yoyote uwashuhulikie wao tu it's not easy pole sana ndo mthn watu wengine hata shukrani hawana

  • @Ashi_Mushi
    @Ashi_Mushi 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @madinaomar679
    @madinaomar679 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hafsa yupo open sana mashallah. Mtu mzr

    • @hafsasaid5148
      @hafsasaid5148 3 หลายเดือนก่อน

      Ahsante dear😍

  • @giboncebarnabas9667
    @giboncebarnabas9667 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kama umeview usisahau ku like na kukomenti jamani. Kulike ni kuclick tu wala hakuli bando lako

  • @queenalharthy4446
    @queenalharthy4446 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sauti hamna

  • @ibrahimKimati
    @ibrahimKimati 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hii stori imenihuzunisha 😢😢

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 หลายเดือนก่อน

    Ndani ya miezi 6uweze kupata kitambulisho Cha hapa Cha kukusaidia kupata kz nzuri na haki ht MTU akikufukuza hauwezi kuteseka

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dada. HAFSA pole sana ndio maisha ya ulaya

  • @mariamanase5429
    @mariamanase5429 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba na mimi nimuwekee kaka yangu kwa hiyo project. Nipo usa pia ila sina njia ya kumsaidia

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hajatuambia Ile training alioombea Visa iliishiaje na ndio iliompa access kuingia Marekani?

    • @AliMohamed-w3b
      @AliMohamed-w3b 3 หลายเดือนก่อน

      kwe kabisa

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 หลายเดือนก่อน

      Training ndio iliyomfanya apate visa ya kuingia Marekani

    • @AliMohamed-w3b
      @AliMohamed-w3b 3 หลายเดือนก่อน

      @@OfficialDatingAssistance only visa? bila ya kazi na mahali pa kulala?

    • @benjaminiisaya3428
      @benjaminiisaya3428 3 หลายเดือนก่อน

      @@AliMohamed-w3bnice question bro

    • @Lizy98067
      @Lizy98067 3 หลายเดือนก่อน

      @@OfficialDatingAssistance naomba niunganishe nae. Niko NY

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice หลายเดือนก่อน

    Wungu ni mukubwa atakusaidia 40:04

  • @Dericksimba
    @Dericksimba 3 หลายเดือนก่อน

    Msenge huyo shekhee ingekuwa kanisan ungesaidika chap waislam wana roho ngumu sana

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ho gera jamani Dada kumbe. Inawezekana kutoka jamani

  • @GloryMshanga-n5r
    @GloryMshanga-n5r 2 หลายเดือนก่อน

    Hatumsikii

  • @rithersospeterkati3355
    @rithersospeterkati3355 3 หลายเดือนก่อน

    Hatukusikii

  • @MaaneML
    @MaaneML 3 หลายเดือนก่อน +2

    Recording inakata sana maeneo mengi

  • @thrillthings
    @thrillthings 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ushauri wangu kwa dada au kaka yoyote akipata matatizo au ku kwama mahali ni bora kuenda BALOZI hutakosa mahala pa kulala. Ni kazi yao kusaidia wananchi waliokwama.

    • @Jeff_Tz
      @Jeff_Tz 3 หลายเดือนก่อน

      Huyu kaenda kufight life, akienda Ubalozi bila kukaza si atamrudisha

    • @thrillthings
      @thrillthings 3 หลายเดือนก่อน +3

      @ hapana , bâlozi hawawezi kukurudisha bila idhini yako . Wana kusaidia temporarily . Mfano waeza kukupa malazi au kukuweka hôtel kwa muda ili utatue shida zako . ishatokea kwa Wa dada wengi sana kuwa balozi wanakustiri usiwe homeless

    • @thrillthings
      @thrillthings 3 หลายเดือนก่อน +4

      @ kuna HAKI flani mwanamchi ako nazo chini ya ubalozi lakini wengi hawafahamu. Wana ona huko ni mambo ya serikali tu . Lakini kuna benefits nyingi ukikubwa na shida kama homelessness au kuibiwa fedha, kuwa stranded . Wataku-accommodate kulingana na shida zako . Ni fedha za Umma( tax money)

    • @jessicamwasandube944
      @jessicamwasandube944 3 หลายเดือนก่อน +2

      Sio Kwa balozi za kitanzani,Hakuna msaada kabisa

    • @thrillthings
      @thrillthings 3 หลายเดือนก่อน

      @ basi itakuwa ni Wa binafsi au wavivu kwasababu wametolewa huko foreign affairs headquarters kuja kuhudumia ummah Wa Tz nchini ulaya . Ndio kazi yao haswa. Sema tu……corruption

  • @mamags8828
    @mamags8828 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ndio mana ukiomba visa unatakiwa ujue unafikia wapi pole sana.

  • @HusnaSalum-t9u
    @HusnaSalum-t9u 20 วันที่ผ่านมา

    Yani wenzetu wana process nyingi had kwenye mfumo wa maisha ya kawaida

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 หลายเดือนก่อน +2

    Amejiamini huyu bint endelea kupambana bint yetu

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 หลายเดือนก่อน +1

    Dah west africans sio watu kabisa

  • @ChrispinBahizireATUOKOWE
    @ChrispinBahizireATUOKOWE 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni mukongomani

  • @zenamasesa821
    @zenamasesa821 2 หลายเดือนก่อน

    Mtoto wangu jamani

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 หลายเดือนก่อน

    TATIZO SISI WATANZANIA TUNAFIKILI UKIFIKA TU AMERICA AU ULAYA, BASI MAMBO NI RAHA TUU. MAISHA YA WENZETU AMERICA NI KAZI TU. NA NDO KAZI INAYOTUPELEKA NASHANGAA WENGI WANALALAMIKA ETI KAZI NGUMU.

  • @HawaIssa-q2w
    @HawaIssa-q2w 3 หลายเดือนก่อน +1

    Toa namba yako tueasiliane dada

  • @GloryMshanga-n5r
    @GloryMshanga-n5r 2 หลายเดือนก่อน

    Hatumsikii tena

  • @MariettaNyoni
    @MariettaNyoni 3 หลายเดือนก่อน

    Dada mm naomba unisaidie mawasiliano ya huyu mdada ili anisaidie kupata huo mchongo wa treni ili mwakani nijikanyage

  • @joynnko8997
    @joynnko8997 หลายเดือนก่อน

    Maskini nimejiskia vibaya jaman huyo mama watoto 3 wote wanamatatizo

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 3 หลายเดือนก่อน +1

    Me nahitaji kujua anatumia jina gani social media zake

  • @mayatione6
    @mayatione6 3 หลายเดือนก่อน +1

    all i can say hafsa ni mtu mwema anaroho nzur,ata jinsi anavyozungumza.ila pole sana umepitia motihani na hakika Allah azidi kujulinja

    • @hafsasaid5148
      @hafsasaid5148 3 หลายเดือนก่อน

      Allahumma Ameen ahsante dear

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 3 หลายเดือนก่อน

    najifunza

  • @immaculatategete3998
    @immaculatategete3998 3 หลายเดือนก่อน

    Namba yako ya simu hapa USA?

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa halo yako wewe ni SUPER WOMAN umenitia moyo sana hata Mimi nipo njiani.

  • @julianamassawe2508
    @julianamassawe2508 3 หลายเดือนก่อน +1

    Atuambie aliulizwa maswali gani ubalozini

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 3 หลายเดือนก่อน +3

    Maisha hutakiwi kukata tamaa mwaya pigania ndoto yako

  • @ShangweMariki
    @ShangweMariki 3 หลายเดือนก่อน

    She has to be carefull she is new no documents na yuko tayari kwenye mitandao

    • @hafsasaid5148
      @hafsasaid5148 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 this is America watanzania acheni uoga ndo maana hatuendelei kwa mauoga ya kijinga 😂

  • @KIMALEX255
    @KIMALEX255 3 หลายเดือนก่อน

    daaa network imetukoesesha Mamboo

  • @CiscaRecaps2015
    @CiscaRecaps2015 3 หลายเดือนก่อน

    Hasfa,bank statement ulionesha nin au ulifanyaje ,kila kitu ninacho kasoro bank statement

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n หลายเดือนก่อน

    nasisi ututafutie nafasi hata ya kufanya usafir chuoni

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 3 หลายเดือนก่อน

    Hatukumsikia dada kama shena utaweza mrekodi then tutumie recoding zake

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 3 หลายเดือนก่อน +1

    Duuh, mtu mwenye Autism kumlea ni mtihani jmn daah