Safi saaana hapana chezea Chama kubwa , waliachiwa tu warukeruke kama Bisi kwenye kikaango, Sasa ona mambo haya , hatari Saaana alafu hapa kampeni bado kabisaaaaaaaa Ni kusalimia tu Wananchi
WATU AKITAJWA RAIS KWENYE MAENDELEO MNAKASILIKA, HV MNAZANI ASIPO KUBALI KUSAIN PESA ZITOKE WANGEJENGA AU MALENGO YAKE YASINGEKUA ELIMU NA AFYA, MAJI NA KAZALIKA VINGEJENGWA, PESA ZA SERIKALI ZINASMAMIWA NA RAIS, TUNAPANGA BAJETIIIIII ZEN ANAPELEKEWA YEYE ANAWEZA KUAMUA HILI LIWEPO NA HILI LISIWEPO, ANAEZA KUAMUA KUJITENGEA PESA KUFANYA SHOPING ZAKE TU LKN YEYE BAJET YA MAENDELEO INAYOPELEKWA KWAKE NI MWEPESI KUTOA TOFAUTI NA WENGINE WALIKUA HATOI KWA KIWANGO CHAKE LENGO NI KUMALIZA KERO NDOGNDOGO KWA WANANCHI, SASA MNAO CHUKIA MNACHUKIA NINI AKITAJWA KUA KAFANIKISHA...
Mama samia ninakuombea mugu akulinde ,una busara za kutosha sana ,ningetamani siku moja nikuone nikuchie baraka lakini nafasi kama hizo za kukuona ni ndogo sana watu sisi, lakini nakuombea mungu uzidi kutuongoza,
Mmejitahidi kusomba watu. Na hayo mabendera mmeyanunua KWA Bei gani? Hamjanishawishi hata kidogo. Eti kawapa nanihiii, nanihiii!! Hizo ni Kodi zetu, msidanganye Watanganyika!!
@@jumamdoka7867 Ufyatu wa mipumbavu ya ccm Bunge ndilo linalo dhihinisha bajet hakuna hisani ya Rais hizo ni kodi za wananchi yeye amepewa kazi na wananchi ya kusimamia tu mtapata akili lini mbwa nyie
Safi saaana hapana chezea Chama kubwa , waliachiwa tu warukeruke kama Bisi kwenye kikaango, Sasa ona mambo haya , hatari Saaana alafu hapa kampeni bado kabisaaaaaaaa Ni kusalimia tu Wananchi
You did it my brother
Silinde
Mama samia mungu akubarik san
You did it my brother 🎉🙏
jamani kuweni na aibu kidogo basi! ccm myaka 62 inatosha, nawengine watawale.
WATU AKITAJWA RAIS KWENYE MAENDELEO MNAKASILIKA, HV MNAZANI ASIPO KUBALI KUSAIN PESA ZITOKE WANGEJENGA AU MALENGO YAKE YASINGEKUA ELIMU NA AFYA, MAJI NA KAZALIKA VINGEJENGWA, PESA ZA SERIKALI ZINASMAMIWA NA RAIS, TUNAPANGA BAJETIIIIII ZEN ANAPELEKEWA YEYE ANAWEZA KUAMUA HILI LIWEPO NA HILI LISIWEPO, ANAEZA KUAMUA KUJITENGEA PESA KUFANYA SHOPING ZAKE TU LKN YEYE BAJET YA MAENDELEO INAYOPELEKWA KWAKE NI MWEPESI KUTOA TOFAUTI NA WENGINE WALIKUA HATOI KWA KIWANGO CHAKE LENGO NI KUMALIZA KERO NDOGNDOGO KWA WANANCHI, SASA MNAO CHUKIA MNACHUKIA NINI AKITAJWA KUA KAFANIKISHA...
Mama samia ninakuombea mugu akulinde ,una busara za kutosha sana ,ningetamani siku moja nikuone nikuchie baraka lakini nafasi kama hizo za kukuona ni ndogo sana watu sisi, lakini nakuombea mungu uzidi kutuongoza,
Mama samia tunahitaji hospital ya kanda ya kaskazin
Utanilipia kila k2 lkn kur ni xriii
Mmejitahidi kusomba watu. Na hayo mabendera mmeyanunua KWA Bei gani? Hamjanishawishi hata kidogo. Eti kawapa nanihiii, nanihiii!! Hizo ni Kodi zetu, msidanganye Watanganyika!!
Hiyo ni sawa na kuuza nyumba nakununua nguo na chakula halafu kulala barabarani
Silinde na samia miaka mitano tena.
Siasa za Tanzania ngumu sana. Maji yanasumbua muda wote Tunduma wananchi wanateseka usiku kucha. Lakini mbunge anasema maji yapo. Mbomboo ngafuuu
Hapo nimependa upinzani msiuue,,
Mwakajoka alilamika bei ya mahindi"
Leo mumebadirisha.
Tunahitaji hospital ya rufaa ya kanda ya kaskaazin
Kila kitu rais wewe umefanya nini
Acha wivu , akitajwa Amri Jeshi Mkuu we unaumia nini? Pambana na hali yako
Huu ni ujinga sana kodi za wananchi lakini mipumbavu inasema hela ametoa Rais ametoa zake mfukoni?
Kajinyonge huko hujui bila Rais kisaini hakuna pesa itakayoenda Field
@@jumamdoka7867 Ufyatu wa mipumbavu ya ccm Bunge ndilo linalo dhihinisha bajet hakuna hisani ya Rais hizo ni kodi za wananchi yeye amepewa kazi na wananchi ya kusimamia tu mtapata akili lini mbwa nyie
Hakuna uwongo mtupu ,watu wanateseka, hakuna maji, Elimu mbovu.
Uongo ? We unatokea wapi? Mbona wenyewe wanashangilia?
😂
Na wewe nimuongo sana
Ujinga huu utaisha lini ? Unafiki huu utaisha lini ?.. aibu hii itaisha lini ..... Kujitoa ufahamu na uelewa .. ili kujikomba .. kujipendekeza .. kusifia ujinga ....
You did it my brother
You did it my brother