MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE: KONGAMANO LA PENTEKOSTE, KARISMATIKI KATOLIKI JIMBO KUU DODOMA. DAY 2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- POKEA NGUVU ZILIZOMBADILISHA SAULI AWE PAULO.
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
MANA MINISTRY # CADF # MWAKASEGE
Ngome ya udini na dhehebu inazidi kuanguka,Utukufu kwa Mungu
🙏
hakikaaa
Mungu ni mwaminifu
Asante Yesu kwaajiri ya mtumishi wako mwalim Christopher mwakasege Mungu akutunze ,umekua mmbaraka mkubwa sana kwangu 🙏🙏🙏❤❤
Mtumishi, Bwana asifiwe. Wakati mama anaomba nguvu za Mungu zikanishukia nikiwa kitandani nikatemeka kama vile mtu aliyepigwa na shota ya umeme. Nilijawa na nguvu nikahisi kulewa. Namtukuza Mungu kwa ajili ya upendo wake. Natokea mkoa wa mwanza.
Mungu akubariki sanaa sanaa
uamsho unakuja ,dini sio issue! mambo ndo haya
Mungu ni mwaminifu sana
Semina ilikuwa safi sanaaa....hongera kwa Mama kutupa funzo la kumkaribisha roho mtakatifu🙏
Asante Mwl/Nabarikiwa sana pale nnapo sikiliza neno la Mungu kupitia wewe Glory to god 👏
Mungu Akupe maisha marefu 🙏
Asante yesu kwa watumwa wako kwetu,tusaidie kuishi sawa na neno lako
Amen Glory to God
Thank you Jesus kwa neno lako
Asante Yesu! Kwa namna ilivyokupedeza we Mungu, mi niwe moja ktk kusikia na kujua na kutambua mapenzi na Upendo uliyonao Mungu kwangu.na watoto wangu, ambao Unibariki ! Nami nikakutolea Sadaka yako Mungu. Amen. Imekuwa hivyo, inavyokupendeza.
ASANTE YESU SIFA KWA YESU 🙏🙏🙏
Hallelujah
Asante kwa Neno la Uzima...nimeungana nanyi kutokea Ujerumani🙏🇩🇪
Ujerumani sehemu gani mpendwa
@@edsonyotham7081 Hessen
Ameen
Kweli Mungu ni mwema ni wakati wa uamsho kabisa,Asante Yesu
Jina la bwana litukuzwe milele huu ni upendo wa agape Mungu huyu hana ubaguzi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏hongereni sana wanaDodoma🤝
Ubarikiwe mteule wa Kristo.
Mungu amenifundisha kitu ktk ujumbe huu
👏👏👏 Amina . MUNGU AKUBARIKI MWALIMU .
Tangu ningali mdogo nilikuwa naamini kwamba waromani katoliki nao wanaenda mbinguni,asante YESU kwa kutuunganisha na kutuokoa.
Amen
Ninakushukuru Mungu hakika wewe ni Mkuu sana katikati ya maisha yangu!
Amen Amen Amen
Haleluya!!
Tunakushukuru Mungu Mungu baba kwa kongamano hili na kwa Viongozi wetu walioliandaa
ninakupa sifa zote mbinguni na duniani,ninakupenda bwana yesu kwa moyo wote kwa moyo wote,
Yesu iandike kwa herufi kubwa
nimefurahi kumuona mtoto wa mama Oscar, Mwenyezi Mungu azidi kukutumia
This is great and very great evangelism
Mungu bariki watumishi wote!!!
Amen 🙏 my God bless you 🙏
wastahili Bwana
Mungu awabalikii
ngoja nirudie sasa vzr
asante Yesu
Glory to God Almighty
Mwalimu alipiga watu na kitu kizito, Wakina Sauli Walipigwa na nyuno nzito 😊
Roho Mtakatifu ni mzuri sana
WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO.
1 Wakorintho 11:13
Ubarikiwe saaana
Haleluyaa
Nimemtafuta mwalim Kwa 4 years now God help me this year 😭😭😭🙏🙏nimpate
kumtafutaje
😭😭😭
Unastahili sifa zote Bwana!!!
Ni siku yangu na nilipokea
Namba ya kutumia sadaka
Waruni 8:26-28
Na mimi pia naungana na maserafi na makerubi ninakuabudu
Wafilipi 3-10
Matendo 13-9
UFALME WAKO UJE BABA WA MBINGUNI ....ASANTE BABA WA MBINGUNI KWA KUFANYA NJIA PIA KWA INJLI KUPITA KWA NAMNNA YA AJABU MAHALI AMBAPO ILIKATALIWA
1Korintho 2-4-5
Warumi 8-11
Naomba namba ya kutuma sadaka
Fiatilia semina za neno la Mungu za nyuma huwa anataja namba hizo
Ifungue hiyo title ya semina hapo juu itafunguka yote utaona namba
Najiunganisha na mahali hapa nikiwa DSM.
Kwa nini tena mama Mwakesege ka rudiliya kufanya aina ya promotion ya hizi nywele bandia kichwani, tena nywele za watu wengine; kwenye wakati huu wa uamsho?
Huyu mama ananisikitisha Sana, kujiremba mahereni, nywele bandia, n.k, namuombea YESU amkumbke aache mapambo haraka
makubwa ,kajiremba wapi mama wa watu?kwamba ukiokoka usipake poda usivae hereni😀wokovu wa kijinga huo ushapitwa na wakati Nina Yesu ndo nisipake poda? nisinukie,khaaaa
halafu nyie watu bwana kila moja anasoma neno,ana Roho Mtakatifu ndani yake ambae anamshuhudia chochote afanyacho km kibaya au kizuri!
muacheni!
mnataka kusema nyie ndo mnamsikia sana Mungu kuliko yeye?
kwanza mambo ya imani haya kwann umpangie mtu?
@@christinewomanoffaith5479 Zaidi sana mimi ni hizo nywele bandia, tena za watu wengine ; ijapo Waafrika nawo wana zakwao tena nzuri zaidi ; mambo mengine hayanihusu.
Amen
Haleluyaa!!!
Wastahili Bwana
Amen Amen
Amen
Amen
Amen
Amen