Sasa hapo ukatili gani alioufanya mshaambiwa mtu ana matatizo ya akili na anapelekwa milembe ni hospital ya vichaa sasa mlitaka amuachie apige watu au aluke dirishani ss lipi jema.acheni lawama zisizo za msingi.angemnyanyasa porisi wasingemuacha.kichaa yeyote huwa anafungwa kamba kwa tahadhali@@yousifyousif-p7f
Safi Sana raia wema kutoa taarifa na pongezi Kwa Polisi kufatilia hata Kujua ukweli, Good job Ayo tv.
Wanafatilia mtu ambe amefungwa Kamba na anasafiri na gari la abiria,hawafatilii watu wanaopetea na kurejeshwa wamekufa, taarifa muhimu. ...
😢😢 huyu polisi nafanana na Millard Ayo kabisa
Millard Hawa watangazaji umewapa kazi we mwenyewe!??
We learn from mistakes
Jaman wanadam wamekuwa wakatiri sana kuliko hata huyo shetani mwenyewee
Kbs
Sasa hapo ukatili gani alioufanya mshaambiwa mtu ana matatizo ya akili na anapelekwa milembe ni hospital ya vichaa sasa mlitaka amuachie apige watu au aluke dirishani ss lipi jema.acheni lawama zisizo za msingi.angemnyanyasa porisi wasingemuacha.kichaa yeyote huwa anafungwa kamba kwa tahadhali@@yousifyousif-p7f
HAO HUWA WANASEMA ANA MATATIZO YA AKILI AU YA KIAFYA KUMBE NI UONGO WANA JAMBO LAO ASANTE POLISI TUNAOMBA HUYO ALINDWE ASIPOTEE.
Polisi wa tanzania 🇹🇿 asanteni sana 😭😭😭😭 yaani wanaotekwa 😩😩😩😩😩😩 ila bc