Siri Nzito ya Azimio la Arusha, Ugomvi wa Kambona na Nyerere Yafichuka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 76

  • @musakihama5480
    @musakihama5480 6 ปีที่แล้ว +6

    nilitamani Sana kuujua ubora wa Nyerere na kambona mtangazaji umenitoa kwenye focus.

  • @kayzarbalama6214
    @kayzarbalama6214 6 ปีที่แล้ว +2

    Hongera kwa Mzee wetu. Ila kwa huyu Host hapana

  • @cosmaskamugisha5918
    @cosmaskamugisha5918 ปีที่แล้ว

    Good history let every one love our country CCM keep peace for lever

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana dada kwa kipindi hiki, hivi ndivyo vipindi tunavyotaka

  • @sillasokew6045
    @sillasokew6045 6 ปีที่แล้ว

    naamini watu kama huyu Prof. bado wapo wengi tu hapa tz historia ya nchi ingeandikwa ila ifundishwe na iishi katika mioyo ya wananchi. viva prof viva mtangazaji

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 4 ปีที่แล้ว

    Dr Mohamed said ,anafundisha sana mambo hayo na mimi humfuatilia sana makala zake you tube,hajawahi sema Nyerere aliibadilisha TAA kuwa chama cha siasa kazi yake ni kumlaumu na kuzigeuza juhudi zionekane za kidini.Hapa tuna shuhuda aliye wahi afanya kazi na wakati huo,amjibu sasa prof hapa.

  • @hajiharun3587
    @hajiharun3587 6 ปีที่แล้ว +2

    Historian yetu inakanyagwa sana, poleni wazee wote mliopoteza Maisha na kufilisika kwa ajili ya Uhuru hewa mlioupigania ktk Nchi hii.

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 2 ปีที่แล้ว

    Histori ya Tanganyika ,

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 2 ปีที่แล้ว

    Kambona mungu amrehemu sana,

  • @babumrisha
    @babumrisha 3 ปีที่แล้ว +2

    vyovyote vile, but I think kina Kambona walikua na hoja ya msingi....tanzania ya leo imetokana na siasa za ajabu-ajabu za kijamaa. Look at our fellow Kenyans, Zimbabwean, Zambians, Ghanaians, Nigerians etc...

    • @Mapenzi2635
      @Mapenzi2635 17 วันที่ผ่านมา

      Ujamaa kama Nyerere alivyo uandika ndiyo nadharia bora (tenable) ya Serikali Kwenye falsafa zingine kitaaluma. Kwa vipimo vyovyote, Tanzania ni bora kuliko nchi nyingi duniani.

  • @lawmarcusmwakagenda355
    @lawmarcusmwakagenda355 6 ปีที่แล้ว +9

    Ufike wakati historia Kama hii itumike mashuleni. Ile ya ukoloni na kutawaliwa na utumwa ibaki kwenye vitabu library maana kizazi chetu kinaathirika na historia hii na kujisikia inferior sana kulinganisha na kizazi cha waliotutawala na kututumikisha

  • @kfastak
    @kfastak 6 ปีที่แล้ว +3

    Vijiji vya ujamaa .. hatar sana

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 4 ปีที่แล้ว +2

    Kambona was for multi party politics nyerere refused and kambona fled to UK mzee is not sincere

  • @111dudi
    @111dudi 2 ปีที่แล้ว

    Nyerere hakutaka mtu yeyote Ainue kichwa.Azimio la Arusha liliua nchi, nyerere aipotoka na lenyewe likafa

  • @chabakakilumanga2206
    @chabakakilumanga2206 6 ปีที่แล้ว

    Hongera binti you have a bright future ahead of you.

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 6 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji ovyoooo

  • @izzi198
    @izzi198 6 ปีที่แล้ว +3

    Huyu dada kazingua, you can't interrupt mtu akiwa anazngumza listen first then utajua your next question.

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 5 ปีที่แล้ว

    Huyu mwandishi yuko vizuri sana na ndiyo maana yeye ndiye aliyemhoji mavazi sio kosa lake tuanzie huko kwenye familia zetu na kwenye Imani zetu.... Chamsingi aongezee tu Juhudi

  • @frenkmatei7992
    @frenkmatei7992 6 ปีที่แล้ว

    Pamoja

  • @gabrielmzomkunda4881
    @gabrielmzomkunda4881 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyo host hafahi kabisa

  • @mwanawetumwagora6283
    @mwanawetumwagora6283 6 ปีที่แล้ว +5

    Nikweli wana historia wa Tanzania hawaelezei viongozi wengine from primary to sec. Ninyerere tu anaelezewa kamavile yeye ndiye mpigagitaa yeye ndo mwimbaji, yy ndo mchezaji

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 6 ปีที่แล้ว +17

    Siku nyengine unapokwenda kuwahoji watu wazima ujue kuvaa nguo za heshima

    • @jisamjose2184
      @jisamjose2184 6 ปีที่แล้ว +1

      Maalim mombo na mirangi ya mdomo ka kahaba linamtege mzee

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 6 ปีที่แล้ว

      Jisam José sojakuelewa

    • @wisdomkyando5165
      @wisdomkyando5165 6 ปีที่แล้ว

      kwani kavaa nn cha ajabu

    • @bensonmaselle2372
      @bensonmaselle2372 6 ปีที่แล้ว

      sawa kabisa

    • @bensonmaselle2372
      @bensonmaselle2372 6 ปีที่แล้ว

      we huoni ama! ni vazi la heshima hilo?

  • @ibrahimerasto2888
    @ibrahimerasto2888 6 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 4 ปีที่แล้ว

    Naikumbuka hadithi ya mtu wa kale ndani yetu.. na hapa nimemfikiria mtikila, huku kuogopa wafu kwakuamini mizimu hubaki hai ndio itazidi kutuondolea maana halisi ya kujuwa history halisi. Leo watu hawajuwi waasisi wa chama cha TAA. Wala TANU. Aliye stahili azungumzwe ndio history haita badili rangi za bendera ya nchi ila itatufanya tujuwe wajibu wake katika taifa lake. Tukianza kwa uwongo hakika tutamalizia katika ukweli. Lkn kwakuwa iko hivyo kwa killa nchi tufundisheni tu ila ikifika kipindi cha maswali na mjibu😊😊

  • @manungda9955
    @manungda9955 3 ปีที่แล้ว

    Wewe dada please mwaechie Mzee aeleze historia kwa utulifu unamzonga na maswali yako

  • @isacksteven755
    @isacksteven755 6 ปีที่แล้ว +1

    Nikweli huyu ndie the hero of social justice aliona mbali, aliona mengi, wapo wakumubadili lakin nyerer atabaki kuwa nyerer

  • @kenanmalindisa6430
    @kenanmalindisa6430 5 ปีที่แล้ว +1

    huyu mzee ana mambo mengi ya kuzungumza, sema sasa huyu mtangazaji ndo mpuuz...anakera balaa

  • @ferdinandmakore5002
    @ferdinandmakore5002 7 หลายเดือนก่อน

    Host ameharibu hii interview muhimu kwa historia ya Taifa. Intervation yake was unnecessary.

  • @azorysallah9304
    @azorysallah9304 5 ปีที่แล้ว

    Channel makini,,mrembo ni mzuriii sanaa bright in mind as well

  • @bernadobaran6178
    @bernadobaran6178 6 ปีที่แล้ว

    dada yuko vizuri kwa kuhoji...hongera sasa!

    • @alihamad6046
      @alihamad6046 6 ปีที่แล้ว

      Mm sifuatilii hay mahojiano naangalia huuu mdomo wa huyu mtangazaji nimeupenda sanaaa😀😀😀😀

  • @monicaashery1
    @monicaashery1 6 ปีที่แล้ว +12

    So unprofessional and under-qualified to interview such a person; there is a substantial intellectual gap between the interviewer and interviewee. Global TV, can you do better to prep your staff? Are they trained Journalists? If so, how come they cannot even ask follow up questions? What a waste of an opportunity? Too scripted!

    • @bogohe
      @bogohe 6 ปีที่แล้ว +2

      Poor Journalist indeed- Please hire qualified journalists- what a missed opportunity!

    • @Julitha12
      @Julitha12 5 ปีที่แล้ว +1

      Global 📺, Please don't repeat again to waste this Opportunity.

  • @conradmwingira684
    @conradmwingira684 ปีที่แล้ว

    So unprofessional journerlist

  • @fintanmkesha4338
    @fintanmkesha4338 6 ปีที่แล้ว +1

    We dada hujasomea uandishi wa habar

  • @petermwalubinga9921
    @petermwalubinga9921 4 ปีที่แล้ว

    mlimhoji mzee kwa muda mfupi na kutunyima uwezekano wa tusiowaandishi wa habari kuyajua mengi yanayozunguka mgogogoro wa Hayati Mwl Nyerere na Hayati Kambona ni vyema mkaweka muendelezo wa mahojiano yote

  • @ignasmwamwenda3154
    @ignasmwamwenda3154 6 ปีที่แล้ว +4

    Hawa ni hazina kuu ya Taifa. Tunapo kuwa tunawahoji, tutumie mafundi wa kuhoji maana macho mengi hutegemea asali kutoka kwao. Nashauri mahojiano yarudiwe na watangazaji makini.

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 6 ปีที่แล้ว +6

    HUYU DADA ANAHITAJI SHULE ZAIDI YA KUHOJI MTU,SABABU KWANZA HAANGALII NA UMRI WAMTU, AKIJANGE VIPI KATIKA KUHOJI.SASA UNAMUULIZA BABU YAKO,HUKU UNAMMINYIA PUA! HII SI HESHIMA KABISA

    • @monicaashery1
      @monicaashery1 6 ปีที่แล้ว +1

      Amepoteza nafasi kubwa ya kuelimisha watazamaji na unna kwa ujumla kwa kutojua namna ya kuuliza maswali na kuunganisha points zaidi kwa kuuliza follow up questions. Hmm!

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 6 ปีที่แล้ว +2

    Dkt Shika tu ndo unamuweza dada, hujajipanga kwenye siasa.

    • @monicaashery1
      @monicaashery1 6 ปีที่แล้ว

      she is hopeless! Just wasted a golden opportunity to educate the public.

  • @danyrichojoro4004
    @danyrichojoro4004 6 ปีที่แล้ว +3

    Kipindi kilikuwa kizuri ila mtangazaji amekiaribu. Ametukosesha point za msingi..mwandish maswali yake hayakuwa na utaratibu..amekuwa akimuondoa mzee masha kwenye truck.. Hasa kwenye habar ya Kambona na Nyerere

    • @monicaashery1
      @monicaashery1 6 ปีที่แล้ว

      Thank, felt the same way; she missed the opportunity to get more info from such a golden source,

    • @clarauisso4044
      @clarauisso4044 6 ปีที่แล้ว

      Danyr ich Ojoro

    • @jacksonmeshack6582
      @jacksonmeshack6582 6 ปีที่แล้ว

      Huy Dada siyo kipaji chake amegushi coz anatok nje ya mada husika jamani

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 6 ปีที่แล้ว +1

    usione kusita kuongea hvy mzee akuzoea kuona mavazi ya ajabu kama hayo vaa mavazi kulingana na yule unaeenda kukutana nae

  • @shumsum7833
    @shumsum7833 6 ปีที่แล้ว

    Kipindi ni kizuri ila Huyu msichana hafai kwa nafasi hii

  • @akwilinaphilbert1320
    @akwilinaphilbert1320 6 ปีที่แล้ว

    poor dressing code to you Dada..Mzee wetu huyo

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 4 ปีที่แล้ว

    Kuna wazee wengi wazamani waliojiunga kwenye hii taa wengi Sana tena mikoan wakina Mzee fundikira, Yule babu watabora ndi ana historia zote mpaka Nyerere kumkaribisha tabora wakina azizi Ally mtuy nakaka take Mzee saksi fatilien wale wazee wakina mkapa WA juzi Tu hawo wazee hamna hata mmoja anae takes wala vyeo hawana ni mafukarakupindukua Baba wataifa kama aliwafunika vile hawatajwi mpaka Kesho hata historia hawa po

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga7455 6 ปีที่แล้ว +1

    Mmh watu wengine km hamjui theory za interview msikoment. Taratibu za interview zinamtaka mtangazaji anapomhoji mtu, amchukulie km wanalingana ndiyo atamhoji vizuri, sasa wanaomkosoa huyu dada naona hawajui science ya interview

  • @idrissannacho5612
    @idrissannacho5612 6 ปีที่แล้ว +4

    Inasikitisha nchi haina historia

    • @monicaashery1
      @monicaashery1 6 ปีที่แล้ว

      Hata waulizaji hawajui wanauliza nini na wafuatilie na swali gani.

  • @josephharri9015
    @josephharri9015 6 ปีที่แล้ว +2

    wivu unatusumbua sn watz

  • @jamesmashauri8315
    @jamesmashauri8315 6 ปีที่แล้ว

    Muulizwaji naona amevumlia xana kwa sababu n mtu mkubwa na muhimu kwenye nchi,ila huyu dada nadhan anahtji elimu zaid

  • @yonaboaz4109
    @yonaboaz4109 6 ปีที่แล้ว +5

    unatumia lugha za kihuni hata kwa wazee? mfano unaposema unaweza ukafunguka mzee

    • @monicaashery1
      @monicaashery1 6 ปีที่แล้ว +1

      Amepoteza nafasi nzuri ya kufundisha taifa.

    • @hugowilfredlukoo4971
      @hugowilfredlukoo4971 6 ปีที่แล้ว

      kufunguka siyo lugha ya kihuni yuko sahihi

  • @joelnaja9935
    @joelnaja9935 6 ปีที่แล้ว

    huyu mdada aisee apewe msaada wa nguo make naona mshahara hautoshi kununulia mavazi,kanunulia rangi za midomo na kucha,kasahau mavazi

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 4 ปีที่แล้ว

    Huyu Mzee haelezi. Vizuri kama anafukia matuta. Mimi simuelewi kabisa Yule Mzee wa tabora anaeleza open alihojiwa ntampata huyu babu kama smenti na mchangaa hanacho

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 6 ปีที่แล้ว

    waislam tu ndo wanajistiri ujue...

    • @msetimarwa1438
      @msetimarwa1438 3 ปีที่แล้ว +1

      Mtangazaji anarukiarukia matukio kabla Mzee Masha hajamaliza hoja anayoielezea! . Nlimatamani nifahamu kisa cha mtafaruki kati ya JKN na Kambona ila mtangazaji kamvuruga Masha na akaniondolea usikivu kabisa. Mtangazaji anazungumza kwa kupasapasa macho kama vile anaongea na boyfriend wake!