MWANAMKE ANAYEDAIWA KUFUMANIWA AONGEA "ALINIIBIA LAKI TISA,SIKUFUMANIWA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 3K

  • @storylovelytv7025
    @storylovelytv7025 4 ปีที่แล้ว +4

    Uyu diwani namba moja katika ufatiliaji wa matatizo ya wananchi wake ..big up diwani .

    • @SimonMwita-k8s
      @SimonMwita-k8s หลายเดือนก่อน

      Diwani huyo ana hekima sana nikama alisomea Kenya hiyo akili ako nayo ni buzara

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 4 ปีที่แล้ว +90

    Uko alipo anajinyea nyea hasira hasara🤦🏽‍♀️ anaenda kuozea ndani sasa.... Power of social media🙌🏽

    • @lucykanuti6138
      @lucykanuti6138 4 ปีที่แล้ว +1

      Pole dada kweli niliumia sana alivyokudhalilisha vile na uyo Mwanaume kwa nini alikimbia Naye akamatwe

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 4 ปีที่แล้ว +2

      Kasema yeye kamanda .
      Haya akakutane na makamanda wenzake .

    • @ziadasalim1459
      @ziadasalim1459 4 ปีที่แล้ว

      Hasira hasara

    • @kuruthumyahaya5871
      @kuruthumyahaya5871 4 ปีที่แล้ว

      Alafu watu wakifanya matukio wanajirekodi!

    • @mtanzaniamzalendo7001
      @mtanzaniamzalendo7001 4 ปีที่แล้ว +1

      Akomeshwe mshenzi halafu Mwizi yule dada
      Kumbe aliachika

  • @estermedson4273
    @estermedson4273 4 ปีที่แล้ว +2

    Mkuu wa mkoa diwan Sister Joice🙏🙏 Asanten Sana siku ya Kwanza nimeona iyo clip niliumia Sana na kusema kimoyo moyo uyo Dada akamatwe haraka! Najua icho ndio kinafuata 🙏🙏🙏

  • @makokoropeter493
    @makokoropeter493 4 ปีที่แล้ว +56

    Pole sana dada yng uyo mwanamke aliyempiga mwenzie achukulowe atua za kisheria Aisee

  • @carofatma8110
    @carofatma8110 4 ปีที่แล้ว +27

    Ilove u so much Mumy god blessing u u took like 100 people Mumy that amazing nenda ukatibiwe Dada angu upone na maisha iendelee

    • @reymgusi1616
      @reymgusi1616 4 ปีที่แล้ว

      Ungeandika tu kiswahili hiyo kingereza 😀👋

    • @angelzighe4254
      @angelzighe4254 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣sijakuelewa dada

    • @carofatma8110
      @carofatma8110 4 ปีที่แล้ว

      @@reymgusi1616 Andika wewe kama huelewi jipange kwani coment ni zako

  • @claudemanirambona5985
    @claudemanirambona5985 4 ปีที่แล้ว +7

    Pole sana mama laaa watanzania wallai munaupendo sana big up ingelikuwa nasisi warundi tunaupendo kama nyinyi kama inchi yetu iko vizuri nawatakiya Amani

  • @doriskadzo4920
    @doriskadzo4920 4 ปีที่แล้ว +26

    Mimi ni mkenya, hilo tukio liliniskitisha Sana.
    Pole dada, huu Ndio mwanzo wa baraka zako

    • @sylfiailavonga9867
      @sylfiailavonga9867 4 ปีที่แล้ว

      Lakini mambo ya kupigania coz ya mwanamume huo ni ushamba. Wanaume Malaya tu

    • @princessramihakim3828
      @princessramihakim3828 4 ปีที่แล้ว

      Wakenya nanyiye ndo wengine munavyo penda ku pigana juu ya wanaume

  • @faisalwaafrica7478
    @faisalwaafrica7478 4 ปีที่แล้ว +36

    Uyu diwani kweli ni kamanda big up diwan👍

    • @faisalwaafrica7478
      @faisalwaafrica7478 4 ปีที่แล้ว

      Yuko vinzur sana aise nimemuona kweny matokeo mengi hua yuko mstari wa mbele sana 👍

  • @janealfa1979
    @janealfa1979 4 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa Anna Ngwira...Mungu akuzidishie na akupe maisha marefu....

  • @leotena8456
    @leotena8456 4 ปีที่แล้ว +29

    RC Anna mgwira! I love you soo much mama, wish ningekua on your family!
    Always I feel happy to see you!
    Congratulation to you Mom!

  • @sarafinaraymond6819
    @sarafinaraymond6819 4 ปีที่แล้ว +10

    Pole sana Dada.. Hao ni matapeli tuu wachukuliwe hatua

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 3 ปีที่แล้ว

    Pole sana Dada. Wanawake tunakurupuka sana. Bila kujua waume zetu wakati mwingine utaftaji wao Ili tule na watoto ni lazima washirikiane na wanawake wengine katika utoftaji wao. Wanawake tunachowaza ni wanaume Malaya bila kufkiri namna Ya utaftaji wa waume zetu.

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 4 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana viongoz wangu mmefanya jambo la maana Mungu atawalipa....
    Hongera pia media kwa kurusha hili tukio....

  • @miss_mass6548
    @miss_mass6548 4 ปีที่แล้ว +3

    Mama pole kweli Mungu ako pamoja na ww utapona katika Jina la Yesu🤲🤲🤲

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 2 ปีที่แล้ว

    Shukrani kwa kuonyesha upendo ,jinsi ya kutatua tatizo, na kumsaidia pesa kidogo. Mungu awabariki

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 4 ปีที่แล้ว +3

    Kila mtenda ubaya ajuwe nyuma anadeni.Dada pole sana mungu atakulipia,nasheria itachukuwa mkondo wake

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 4 ปีที่แล้ว +3

    Duuuh pole San dad kwa hilo janga sometimes unawez kuhis umetengwa na dunia ila mapito2 hayo Never give up & don't trust any one Jah bless you.🙏

  • @celinamgundoi5601
    @celinamgundoi5601 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana Dada angu umeshalipwa na mungu sasa zamu yake kufunzwa adabu mungu akusaidie upone haraka ili uendele kupgania watoto wako sasa yeye amewapa shida watoto wake upumbavu wake umewaasiri watoto alizan anapgania haki kumbe alikua anapgania ujinga

  • @salomepaul3989
    @salomepaul3989 4 ปีที่แล้ว +36

    Daaah atajuta kumpiga mwenzie🙆sheria ifate mkondo wake 🚶🚶🚶

    • @danielmkama4636
      @danielmkama4636 4 ปีที่แล้ว

      Huo ni mpango wa Mume na Mke kwa maelezo ya Dada yanajitosheleza huyo Mume ndio chanzo na walikuwa wamepanga na ndio maana alikimbia hiyo ni gia Dada hao inatakiwa wafundishwe adabu

  • @zaneenbeauty
    @zaneenbeauty 4 ปีที่แล้ว +23

    Maskini 😢😢😢pole Sana mwenyezimungu atakulipia my dear jambo lolote lisiotoa uhai wako lichukilie kama changamoto katika maisha
    Pole Sana my love

    • @ashamohd61
      @ashamohd61 4 ปีที่แล้ว

      Pole Sana dada😭😭huyo mwanaume itakuwa wamepanga na mke wake ili kumtapeli huyo dada jamani tunaomba haki itendeke kwa dada huyo

    • @tunumakila2220
      @tunumakila2220 4 ปีที่แล้ว

      Pole Dada alafu mm naona huyo mwanaume walipanga na mkewe

    • @asiaokelay8421
      @asiaokelay8421 4 ปีที่แล้ว

      @@tunumakila2220 ni kweli mwanangu ni matapeli mke na mume

  • @mdachimensah1800
    @mdachimensah1800 4 ปีที่แล้ว

    mungu awabariki sana wote mlioguswa najambo hl...ningeshangaa sana kwaserikali hi ya magufuli jambo hl lingepita bila kuchukuliwa hatua...pole sana dada tunafahamu mamazetu mnapitia kwenye changamoto nyingi mpk tunafikia ktk hatua zakujitegemea...uyu nimama nauwenda bila kujua hata mama zetu wameyapitia haya...hakuna kama mama

  • @marymathew6529
    @marymathew6529 4 ปีที่แล้ว +45

    Milard hajawah kukosea,big up kwa taarifa nzuri.

    • @ramadhankambalame4681
      @ramadhankambalame4681 4 ปีที่แล้ว +1

      Huyu mama ni kahaba km walikua kwenye ishu za biashara je kilichomfanya yule mume akimbie ninini? N uongo hata na pesa hakuibiwa

    • @samsonjames5457
      @samsonjames5457 4 ปีที่แล้ว

      Uyo aliyemfanyie ivyo akamatwe fast

  • @hellenashely2167
    @hellenashely2167 4 ปีที่แล้ว +19

    Kweli ukipiga teke chura wamuongezea mbio na sikila anae jiuza ana penda 😍 pole sana Dada mungu akusaidie zaidi

  • @jonathankazimili4767
    @jonathankazimili4767 4 ปีที่แล้ว

    Daah pole sana Dada hatua za kisheria zichukuliwe kwa WOTE mke na mme ni wataperi hao

  • @eveimbusi5940
    @eveimbusi5940 4 ปีที่แล้ว +204

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 pole Dadangu....wale tuko Single like yako hapo Mungu atusaidie wengine C kupenda kwetu😭

    • @nkeshigomegwa1686
      @nkeshigomegwa1686 4 ปีที่แล้ว +4

      Ni kweli yaani sisi single mothers kiukweli jamii yaweza kutuchukulia vibaya wengi hatupendi kua single but shit happened no way out Mungu atusaidie tu

    • @eveimbusi5940
      @eveimbusi5940 4 ปีที่แล้ว

      Amen Coletha yuko nasi atatuepusha na Hawa wanaume wanja wasio sema ukweli

    • @subiradalabu6616
      @subiradalabu6616 4 ปีที่แล้ว

      🙊🙊🙊🙊🙊😰😰😰😰

    • @penanauae316
      @penanauae316 4 ปีที่แล้ว

      4really it's pain

    • @husnaibrahim1435
      @husnaibrahim1435 4 ปีที่แล้ว +1

      Nikweli hila ajafanya ubinadamu

  • @wanaupendotv7183
    @wanaupendotv7183 4 ปีที่แล้ว +36

    Pole sana roho iliniuma sana mpaka nasema ningekua apo kwenye ugonvi ungekua wangu pole sana

    • @morineinziani1080
      @morineinziani1080 4 ปีที่แล้ว

      Weww nawe

    • @zulekhaally3524
      @zulekhaally3524 4 ปีที่แล้ว +1

      Yan liliniuma kweli dah

    • @merinajuma139
      @merinajuma139 4 ปีที่แล้ว

      Yni ww mm kbsaaa sipndi mtu aonewe namuuska amekimbia

    • @saadyusuph5136
      @saadyusuph5136 4 ปีที่แล้ว

      Pole Sana Dada uyo jamaa ni mwizi na mke wake

    • @fatmakigula8634
      @fatmakigula8634 4 ปีที่แล้ว

      Wale wamepanga na mkewe majambazi kwann alimwambia aje na hela alaf alijuaje kama wapo sait dakika hyo

  • @witneyinary3679
    @witneyinary3679 4 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana dada na mwanamke yoyote anaesikiliza hii ikitokea umemfumania mume wako pambna na mume wako na sio mwanamke mwenzio kumbuka hujamaliza safari ya umwanamke. .unamdhalilisha mwenzako kesho yanakukuta.... Pia kimtazamo zaidi naona km ni mbinu iliopangwa mke na mume alijuaje huyu dada anapesa nyingi.

  • @withnesslazaro6287
    @withnesslazaro6287 4 ปีที่แล้ว +8

    Yes Hii ndo team work!!!!! Haijalish umekosea pia au umesngzw ila acha Serikali ichukue mkondo wake Naipenda Tz yangu!!!!!

  • @shishiojaneffer2812
    @shishiojaneffer2812 4 ปีที่แล้ว +25

    Asante mukuu Wa mkoa,waelimishe mama yetu

  • @annafridamsacky7487
    @annafridamsacky7487 4 ปีที่แล้ว

    Pole Sana mpendwa,Mungu atakusaidia utatoka tu kimaisha.Usikate tamaa kwa kilichokupata.

  • @mariammgeni8830
    @mariammgeni8830 4 ปีที่แล้ว +26

    Duuuuuu...Mungu msimamie huyu dada...ameniumiza Sana anavo ongea😭😭😭😭😭

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 4 ปีที่แล้ว +30

    Mkuu wa Mkoaaaaaaa 🔥🔥🔥 Hyu Mama wa Mkoa yuko vizur aseee

  • @tahiyalukio7036
    @tahiyalukio7036 4 ปีที่แล้ว +2

    Hii niwazi dhahiri kua yule bwana na mke waka walipanga njama ya kumtapeli na kudhalilisha huyu dada. My dear sister you are a super woman. Mazuri Yakima njiani. Polisi wakamateni hawa wauni.

  • @yusuphmaumba8231
    @yusuphmaumba8231 4 ปีที่แล้ว +66

    Kiukweli hili jambo liendeshwe kihaki dada amejieleza vizuri na kwangu nimemuelewa sana

    • @stevenpaul4818
      @stevenpaul4818 4 ปีที่แล้ว

      Sana kabisa hao jamaa ni matapeli yeye na mke wake mkono wa sheria uchukue mkondo wake

  • @nusaebahkeis6774
    @nusaebahkeis6774 4 ปีที่แล้ว +71

    Mependa sana mulivoshirikiana kumsaidia huyu dada mungu atawalipa kwa wema.wenu amiin

  • @faridaabdallah7620
    @faridaabdallah7620 4 ปีที่แล้ว

    Subhana llah polesana dada mwenyezimungu akupenguvu zaidi utashida kwauwezo namwenyezi mungu polesana dada

  • @mary.matullu8279
    @mary.matullu8279 4 ปีที่แล้ว +87

    Mnatia moyo viongizi wa Tanzania . Mnafuata nyayo za Rais wetu JPM
    Mungu ibaraki Tanzania. Wenye wivu wajinyonge , lol

  • @neemazephania9082
    @neemazephania9082 4 ปีที่แล้ว +58

    This is unacceptable ladies!!!
    utapiga wanawake wenzio wangapi kama mbwa wako hajatulia??
    saa zengine wanawake tumieni akili na mpendane.

    • @khadijaodumo415
      @khadijaodumo415 4 ปีที่แล้ว +1

      Ingekua ni Mimi..ningemtandika kwelikweli

    • @simpokidoti3946
      @simpokidoti3946 4 ปีที่แล้ว +2

      Mmmmh mwenye kosa mwanaume kwa nn alikimbia wakati wa tukio nae akamatwe

    • @sofiawangi8162
      @sofiawangi8162 4 ปีที่แล้ว

      Milad ayo tupe namba zako mabogini shabaha matukio mabaya yapo sana ili tuweze kukupata

    • @hopekayuni9972
      @hopekayuni9972 4 ปีที่แล้ว

      Kweny ile video akipigwa aliuzwa ulikuwa unaisikia simu ,na alikubali walikuwa ndani na mwanaume ukiangalia vzr utajua ukwel

    • @almasphilemon7529
      @almasphilemon7529 4 ปีที่แล้ว

      pole sana dada yangu kwakilicho kukuta

  • @bahatisunga1642
    @bahatisunga1642 4 ปีที่แล้ว

    Pole Sana Binadamu tunajisahau sana hasa sisi wanawake tulio olewa kuna leo na kesho unajikuta umeachika au unefiwa na uyo mumeo unae mlingia na kusababisha wanawake wenzio kuwaona malaya

  • @aliboss2736
    @aliboss2736 4 ปีที่แล้ว +127

    Napongeza sana viongozi wa Tanzania wako vxuri kufatilia mambo yanatokea kwa wanainchi wao

    • @hassanmsangi1155
      @hassanmsangi1155 4 ปีที่แล้ว +4

      dada anna barakoa itakata skio jmn

    • @cellinetarimo7664
      @cellinetarimo7664 4 ปีที่แล้ว

      Karibu tz

    • @mpenzizayumba1863
      @mpenzizayumba1863 4 ปีที่แล้ว

      Ahsante kwa kufuatilia.

    • @happymrema6728
      @happymrema6728 4 ปีที่แล้ว +2

      Yani huyo mwenye mume apelekwe mahakaman kwa kosa la kushambulia

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 4 ปีที่แล้ว +2

      Jamani nihatari wamemuumiza huyu Dada maskini. Jamani chukuweni hatuwa kwa huyu Dada wamemkashifu sana. Loooh

  • @monicawanza8779
    @monicawanza8779 4 ปีที่แล้ว +32

    So painful😭😭😭😭😭,. She deserve justice

    • @neemashayoo3104
      @neemashayoo3104 4 ปีที่แล้ว +1

      Wanawake jamani acheni unyama pambana na mumeo

    • @neemashayoo3104
      @neemashayoo3104 4 ปีที่แล้ว +2

      Mume walipanga na mke wake kumlagai huyu Dada wote wapate fundisho sheria ichukue mkondo wake

    • @rashidmakame2317
      @rashidmakame2317 4 ปีที่แล้ว +1

      Daa nimetowa chozz pole sana dadaagu

  • @injilinjeyakutazakanisa
    @injilinjeyakutazakanisa 7 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Mkuu wa mkoa, nimekuelewa. Na pole dada angu, lakini hao wote, kamata hao wafikishwe panapohusika

  • @marcxelly3624
    @marcxelly3624 4 ปีที่แล้ว +3

    Huo utapeli...haiwezekani amwambie aende na pesa kwenye nyumba ambayo hata haikaliwi ili wafanye biashara kisha atokee mkewe kutoka kusikojulikana eti amfumanie na chakushangaza mwanamume akimbie...kama huyo mwanamke alikuwa ameachana naye iweje akimbie...kuna mchezo walifanya ili kumtapeli huyo mama pesa yake. Pole sana dada..hao wezi na matapeli wasio na utu wataingia mkononi mwa sheria haki itatendeka. Mwanamume hakuwa na pesa akapanga mpango huo na mkewe ili kupata pesa ya dhuluma.

  • @zuhraindeku7219
    @zuhraindeku7219 4 ปีที่แล้ว +5

    😭😭😭Pole sana maman yangu i nshaallah malipo ni hapa hapa duni yani 🙏💋

  • @jescarwegoshola7231
    @jescarwegoshola7231 4 ปีที่แล้ว

    Mbarikiwe sana mlio jitoa kumchangia huyu Dada Mungu awazidishie.

  • @zulfatdidas369
    @zulfatdidas369 4 ปีที่แล้ว +58

    Pole dada namna watu walivokuongelea Daah hucchangie Mada husoielewa 🤗

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว +7

      Achana na wanawake bwana. Alisha sema hakujua ana mke na aka muomba urafiki. Hapa ni ana jaribu kufuta picha

    • @isayamasele7590
      @isayamasele7590 4 ปีที่แล้ว +2

      Kwer et kiherehere c poa

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 4 ปีที่แล้ว +1

      @@bjzee1981 Kweli kabadili kauli haziendani na video. Tena bora angeiacha ilivyokuwa tu maana kulingana na maelezo yake kwenye video,bado asingekuwa na kosa. Huyo mwanamke angepambana na mbwa wake tu.

    • @bahatimahone4922
      @bahatimahone4922 4 ปีที่แล้ว +2

      Nimekupenda we dada

    • @mrs2918
      @mrs2918 4 ปีที่แล้ว +1

      @@bjzee1981 mbona hiyo kauli kairudia kama alivyosema mwanzo?

  • @juliusakida6272
    @juliusakida6272 4 ปีที่แล้ว +14

    MAMA MGWILA ni mama mwenye hofu sna ya MUNGU kwa kweli

  • @muniraali1283
    @muniraali1283 4 ปีที่แล้ว

    Pole san mama .inshallh tupo pmoj n wew na M .mung atakusaidiaa

  • @mrmusab1402
    @mrmusab1402 4 ปีที่แล้ว +10

    Dah! Yan nimeshindwa kujizuiaa😢😢... Pole sana dadaa.....

  • @lydiamutunga7635
    @lydiamutunga7635 4 ปีที่แล้ว +11

    This is so human aki tanzanians you have good leaders

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 ปีที่แล้ว

    Subhannallah, mtihani kwakweli

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 4 ปีที่แล้ว +4

    Ulimchapa mama sasa cheki imekuwa blessings kwake,mugu amemfugulia njia, na wewe unaeda jela hahaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣😢😢😢malipo ni hapa hapa

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 4 ปีที่แล้ว +33

    Huyo mwanamke achukuliwe hatuwa harakaa Sanaa pole Sana Dada yangu😭😭😭

    • @emmymponji302
      @emmymponji302 4 ปีที่แล้ว

      Na kwel Mungu anamuona huyo mwanamke kwa kumzalilisha mwanamke mwenzie inauma Sana pole dada

    • @RoseRainaaaaa
      @RoseRainaaaaa 4 ปีที่แล้ว

      😭😭😭😭😭

    • @annem2980
      @annem2980 4 ปีที่แล้ว

      Wachana na Bwana wa mwenyewe, tafoya wako mfanye biashara pamoja.

    • @mbonilemwakatundu4607
      @mbonilemwakatundu4607 4 ปีที่แล้ว +2

      huyo mwanamke alishikwa na hasira tusimlaumu sana ni ubinadamu

  • @marymasima1307
    @marymasima1307 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akusaidie upone Dada pole kwa tukio lililo kupata

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 4 ปีที่แล้ว +37

    Huyo mume na mke nimataperi walipanga kumtapeli huyo mama

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว +8

    Huo mchezo umepangwa ila pole sanaaa bi mkubwa MUNGU 🙏 atakufanyia wepec ktk lfe yako

  • @lucykanyopa5350
    @lucykanyopa5350 4 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana Dada, huyo mwanaume ni mwizi kashirikiana na mkewe, na wewe kwa nini umemuamini mapema namna hii

  • @joycenahimana6079
    @joycenahimana6079 4 ปีที่แล้ว +22

    Mungu wabariki viongozi wetu wa Awamu ya 5.pele Dada😭

  • @ashunebebi4719
    @ashunebebi4719 4 ปีที่แล้ว +17

    Mungu awabariki Kila alotoa msaada mumeonesha ushieikiano MashaAllah

    • @ratifasalumu4021
      @ratifasalumu4021 4 ปีที่แล้ว

      Lkn jaman mama ana huyo dd alikuosea kwenda home kwamwenzie hizo nizalau hata mm ningemfyeka napanga kwann wasinge kaa seheem wakaongea hapana tumechoka mm angerud hana mguu

  • @isidingomosti1001
    @isidingomosti1001 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana dada yangu himeniuma sana hiii kitu safi diwani na mkuu wa mkoa kwa kufatilia hilo shwala haki hitendeke

  • @sabinashabani9742
    @sabinashabani9742 4 ปีที่แล้ว +27

    Pole sana akulipe ili pia iwefundisho kwake kama alivokua alisema mwenyewe

  • @safiyaissa3448
    @safiyaissa3448 4 ปีที่แล้ว +7

    😭😭😭😭😭😭😭Allah atawalipa kwa mujibu wa vitendo vyao😭😭😭pole Sana mama angu😭

  • @jofredykulanga3993
    @jofredykulanga3993 4 ปีที่แล้ว

    Pole San dada angu huyu Mama mungu anamuona kumfanya kumdhalilisha mtoto mwanamke mwenzie roo huna haya wew mama

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 4 ปีที่แล้ว +113

    Kwa jinsi anavyoongea huyu dada ni mkweli

    • @ayubnsajigwa1037
      @ayubnsajigwa1037 4 ปีที่แล้ว +4

      Sio mkweli kwa nini kama walikuwa kwenye biashara kwa nini amkimbie mke ,au wote walipanga kumwibia Huyu dada .mwisho mtu humjui ùnapanga kufanya naye biashara angekuwa anajua ana mke

    • @azizakipanya1994
      @azizakipanya1994 4 ปีที่แล้ว +1

      Ayub Nsajigwa hiyo inatokea kwa wengi sana dear wanawake wanatapeliwa sana

    • @khadijagundumu6210
      @khadijagundumu6210 4 ปีที่แล้ว +1

      Kwer kabisa dada aziza ujakosea tunataperiwa Sana wanawake

    • @nahyialetomia9284
      @nahyialetomia9284 4 ปีที่แล้ว

      Ayub Nsajigwa, walipanga wamuibe

    • @lydiaakimana7988
      @lydiaakimana7988 4 ปีที่แล้ว

      Ayub Nsajigwa iyo ni njama walipanga kumuibia

  • @neemamkami2029
    @neemamkami2029 4 ปีที่แล้ว +30

    Ndio maana yule dada alimuuliza wewe ndio namba inaishia 26 kumbe alikuwa hamjui dah 😭😭hadi nimelia jaman mama wawatyu 😣😣

    • @kwambokamkisii3870
      @kwambokamkisii3870 4 ปีที่แล้ว +1

      Huyo mama ni gaidi ndio maana mwanaume alimkimbia

    • @litclass7178
      @litclass7178 4 ปีที่แล้ว +1

      Hivi vidole rangi yake sijaitambua

    • @stratonmaembe2480
      @stratonmaembe2480 4 ปีที่แล้ว

      Kwa jinsi .nikivyosikiliza ile tukio vyombe vya usalama vifanye kazi haiwezekani we we mwanaume umeachana na mwanamke huwezi ukaleta changudoa ndani ya familia yako hao wezi washunghulikiwe

    • @neemamkami2029
      @neemamkami2029 4 ปีที่แล้ว

      @@kwambokamkisii3870 naona walipanga namme wake wamtapeli dada wawatu duh

    • @neemamkami2029
      @neemamkami2029 4 ปีที่แล้ว +1

      @@stratonmaembe2480 walipanga naona wamtapeli dada wawatu

  • @paschalirweyemum1066
    @paschalirweyemum1066 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana Dada mungu akubaki upone

  • @joykimaro6617
    @joykimaro6617 4 ปีที่แล้ว +13

    Mama anna mwingira oyeeee,Joyce kiria oyeeee

  • @elizabethjuma6133
    @elizabethjuma6133 4 ปีที่แล้ว +40

    Mkorogo mbaya dah aliyeona mkono tujuaneee🙄🙄🙄

  • @deboralyamabumbe6414
    @deboralyamabumbe6414 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana dadangu Mungu atakutendea tu nimeumia sana

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 4 ปีที่แล้ว +27

    uvumilivu ni kitu kizuri sana ,tazama mwanamama anavuna ndani ya uvumilivu wake hapo ndipo pakujifunza juu ya uvumilivu

  • @maryogotiny5033
    @maryogotiny5033 4 ปีที่แล้ว +54

    Huu ulikuwa ni mpango wao hawa kumtapeli huyu mdada, hakuna cha kufumania hapo

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 4 ปีที่แล้ว

    Wangapi wanaamini kwamba huu ni Mchezo wa Wizi na ujambazi na Utapeli, na wakamatwe na Kufungwa Kabisa .GONGA LIKE CHINI.

  • @magembesucha4791
    @magembesucha4791 4 ปีที่แล้ว +8

    Aisee yule mama aliempga yuko wapi aisee nnahasira nae vbaya sana

  • @conradjunior5940
    @conradjunior5940 4 ปีที่แล้ว +145

    Huyo mwanaume na mwanamke lazima wakamatwe inawezekana hii ilikuwa ni mission ya kupangwa kutapeli

  • @janethsamzigwa5574
    @janethsamzigwa5574 4 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki hongera Sana mama ngwira kwa kuonyesha mfano Ayo TV big up

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 4 ปีที่แล้ว +78

    Nahisi mke na mume lao lilikua moja, kwanini ajue unapesa na ndio akupata.

  • @eliachalamila2259
    @eliachalamila2259 4 ปีที่แล้ว +4

    Wanaume tubadilike, sio vizuri

    • @sikaadam9132
      @sikaadam9132 4 ปีที่แล้ว

      😭😭😭 kweli kaka,y chanzo kiwe mwanamume y?mungu awalinde wanawake wote,na awape imani wanaume wote wabadirike.

  • @restutazimbeiya3806
    @restutazimbeiya3806 4 ปีที่แล้ว

    Pole Sana mungu akutete na akulipe machozi uliyotoa yakawe ya furaha yote ulitendewa yakamrudie

  • @irenekitomary7271
    @irenekitomary7271 4 ปีที่แล้ว +47

    Pole dia huyo mama afunzwe adabu

  • @phineruge3480
    @phineruge3480 4 ปีที่แล้ว +4

    Daaaah nimelia sn😭😭😭 pole sn mpendwa Huyo Mume na mke pamoja na Dadake ni wezi na lilipangwa mke hakutokea bahati mbaya.Haki itendeke huyu Mama apewe haki yake. Pole My Mungu yu pamoja nawe

  • @araphasabra4498
    @araphasabra4498 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana dada ni mtihan sana kuibiwa na kudhalilishwa,hao walikua matapeli walipanga na huyo mwanaume wawajibishwe

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 4 ปีที่แล้ว +19

    Pole mamaangu😭😭😭huo ni mchongo tu

    • @wewe3394
      @wewe3394 4 ปีที่แล้ว

      Achakuliya dada Allah atakupiganiya

    • @zainaabdallah809
      @zainaabdallah809 4 ปีที่แล้ว

      Ndio ndio maana akamuimiza aende na pesa

    • @mauaamisaa1986
      @mauaamisaa1986 4 ปีที่แล้ว

      kabisa

  • @halimasulaimani9085
    @halimasulaimani9085 4 ปีที่แล้ว +23

    Wallah nimeumia km huyu mama ni ndugu yangu!!😭😭

  • @lashaaulymohamed1585
    @lashaaulymohamed1585 4 ปีที่แล้ว

    Mim naona n mpango,ulichezw na uyo Mwanaume,
    OK viongoz naomba uyu mama,baba,wachukuliwe hatua Kali
    Za kisheria,Na SKU zote Adhabu utolewa pindi sheria znapovunjwa,kwa wahuska na iwe fundisho kwa weny tabia hyo na iman sheria itafuatwa na kuadhibiw uyo mama NA Mme wke

  • @kelvincharles7263
    @kelvincharles7263 4 ปีที่แล้ว +43

    Barakoa ya mkuu wa mkoa sasa 😂😂😂😂

  • @wemaomarywema6852
    @wemaomarywema6852 4 ปีที่แล้ว +13

    Naomba akamatwe huyo mama jamani nawaomba jaman nimeumia sanaaa😭😭😭

  • @josephobado5063
    @josephobado5063 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana Dada, Ila huyo mama achukuliwe hatua Kali za kisheria , awe kamanda awe ni nani mpuuzi mkubwa huyo. Pole Sana dada

  • @tereseamasawe8111
    @tereseamasawe8111 4 ปีที่แล้ว +66

    JOYCE KIRIA OYEEEEEEEEE

  • @scolabahame2214
    @scolabahame2214 4 ปีที่แล้ว +19

    😭😭😭😭Naumia kama mwanamke mwezie Jamani Jamani tusipo pendana nduniani tutapendana wapi mungu tutie ujasiri nautu sisi wanawake 😭😭😭😭

    • @judithjacobs7328
      @judithjacobs7328 4 ปีที่แล้ว

      Af aliefanya hay et mwl.sijui mwl gan anakua mjinga hv

    • @stellamrema7576
      @stellamrema7576 4 ปีที่แล้ว

      Huyo mume ni tapeli mbon mwanaume ni taprli

  • @khadijachembela5946
    @khadijachembela5946 4 ปีที่แล้ว

    Pole Sana dd hao ni wezi wachukulie hatu

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 4 ปีที่แล้ว +5

    Pole sana achukuliwe hatua hatakama nimpenzi wako wewe hunakosa kwasababu mumewe ndokakuleta afungwe siwezikumpga mkemwenzangu kisamume hatasikumoja😪😪😪

  • @neemakoka599
    @neemakoka599 4 ปีที่แล้ว +27

    Jamani nimelia daaah
    Jamanii jamaniiiiiiiii
    Pls help her

  • @faharimohamedi8549
    @faharimohamedi8549 4 ปีที่แล้ว +7

    Pole Sana my dear wanawake tunajua mume anauma!lkn kuchukuwa hatua mkononi siyo sawa kabisa

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 4 ปีที่แล้ว +58

    Huyu mama namkumbuka tulipanga wote nyumba 1 dar,,Anaitwa mama karimu

    • @beatricetenywa4367
      @beatricetenywa4367 4 ปีที่แล้ว +5

      Maskin Pole yake inaonesha mpambanaji😥

    • @nyamogafamily4262
      @nyamogafamily4262 4 ปีที่แล้ว +13

      @@beatricetenywa4367 Sana tena mpole ,kipindi Ambacho tumeishi nyumba 1 wote ckuwahi kusikia kagombana na mtu

    • @martinyahaya331
      @martinyahaya331 4 ปีที่แล้ว +1

      Jamaniii jiraniii. Watu wana roho mbaya. Sana lao moja

    • @beatricetenywa4367
      @beatricetenywa4367 4 ปีที่แล้ว +2

      @@nyamogafamily4262 ale myawe 🙏

    • @nyamogafamily4262
      @nyamogafamily4262 4 ปีที่แล้ว +1

      @@beatricetenywa4367 Kumbe na ww wa iringa

  • @gahimbarebella8652
    @gahimbarebella8652 4 ปีที่แล้ว

    Huyo shetani ya mwanamke eti mungu ameniita nikuje kumuona mme wangu mungu wawapi we umbwa ya mwanamke pore sana dada Mungu atakuripia naumiaa sana jikaze uyo ibilisi atakutana na ibirisi mwenzake jikaze sana niko naiiona niko oman tangu bimeaanza mpaka sahiii naumiaa sana

  • @amissahassan3251
    @amissahassan3251 4 ปีที่แล้ว +10

    Jomon mamy umenitia uchungu sana ila Mungu akuteteye mamy💕💟🙏

    • @lucianicolaus1179
      @lucianicolaus1179 4 ปีที่แล้ว

      Amissa Hassan

    • @lucianicolaus1179
      @lucianicolaus1179 4 ปีที่แล้ว +1

      Milima haikutani binadamu hukutana cjui unanikumbuka!!!

    • @amissahassan3251
      @amissahassan3251 4 ปีที่แล้ว

      @@lucianicolaus1179 nakukumbuka my mzima ni check +96871147492

  • @ayshaaysha9265
    @ayshaaysha9265 4 ปีที่แล้ว +120

    Serikali uchukue hatua jmn hili tukio limeniudhi sana

    • @ayshasalim6118
      @ayshasalim6118 4 ปีที่แล้ว +1

      Kabsa yn

    • @mauayusufumauayusufu7862
      @mauayusufumauayusufu7862 4 ปีที่แล้ว +10

      Hata mi pia nimeumia sana sababu, hawezi kudharirisha mwezie angedili na mumewe

    • @jamilajamila4572
      @jamilajamila4572 4 ปีที่แล้ว +2

      Masikin Dada pole sana

    • @sheikhanasser4714
      @sheikhanasser4714 4 ปีที่แล้ว +1

      Saana hii ni dhulma ya watu walikuja hawana hatiya 😣

    • @scolamassawe5896
      @scolamassawe5896 4 ปีที่แล้ว +1

      Mama mjinga cna mama yetu mkuu wa mkoa msaidie dada huyo jaman mpk nimelia

  • @joycemourice1582
    @joycemourice1582 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana watz tunapendana mungu awabaliki

  • @winnie9076
    @winnie9076 4 ปีที่แล้ว +15

    Pole dear
    Ila wanaume nyie acha niwazoom tu asee

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta2578 4 ปีที่แล้ว +13

    Pole sana dadangu....😢😢😢😢😢 pole sana ila wakati mwengine wanaume wetu hutuangusha jamani 💔

    • @evodia4449
      @evodia4449 4 ปีที่แล้ว

      Sanaaaaa

    • @generosegastor2453
      @generosegastor2453 4 ปีที่แล้ว

      pole sana naMungu akutetee

    • @juliaayieta2578
      @juliaayieta2578 4 ปีที่แล้ว

      generose gastor shukran 😘😘😘😘

    • @juliaayieta2578
      @juliaayieta2578 4 ปีที่แล้ว

      Evo Dia yani sema pole pole 😘😘😘

    • @evodia4449
      @evodia4449 4 ปีที่แล้ว

      @@juliaayieta2578 bora tuseme kwa sauti ili wajue kuwa wanatukosea na kutuangusha Sana 😘😘