Hongera Director Masanja Dogosa kwa kazi kubwa muliyo ifanya pia sifa zimuendee mkuu wa nchi kwa kuliona na kusuport mpk lilipofikia hongera Sana wote ila hamuna haja ya kampeni zozote nauri tuu mulizo panga ni kampeni tosha
Vipi mkiandaa videos zinazoonyesha kuanzia ukataji tickets Hadi wakati WA safari ili watu wakapata picha ya uhalisia WA jinsi ya kusafiri na treni za kisasa itawasaidia sna siku za kuanzia operations.
Tulitegemea tovuti yenu ingekuwa imeboreshwa na kuendana na mnayosema. Mtu akitaka kupata picha kamili ya akienda kwenye tiketi mtandao ataona maboresho. Ila sikuona maboresho yanayoendana na TRC SGR. Tazemeni tovuti ya Kenya ilivyokaa vizuri. Watu wa mtandoa wa TRC amkeni kumekuchaa.
Inamaana kufika mwanza na mchongoko itakuwa 200k+ that mean it will be equal with flight, hapo wangosha tutachagua wenyewe ni utalii upi zaidi una faida kwa macho
Kweli , nahic wameweka bei kubwa mno kwenye business na first class. Wanahitaji kuwa competitive na ndege , haswa kwenye safari za Tabora na Mwanza where there's direct competition. Hakuna mtu atapanda treni kwa bei ya ndege business class or otherwise !
LATRA nauli hii bado ipo juu, haipaswi kufanana na bus hata kidogo. Huu ni Usafiri salama na bei yake ni nafuu duniani pote. Nauli ya laki Dodoma lazima ipunguwe
Laki moja business class kutoka Dar mpaka Dodoma kwa reli mchongoko, kama nilivyomsikia mkurugenzi Kadogosa. Hio elfu sabini ni business kwa treni ya express isiyo mchongoko. Laki moja na ishirini elf ni Royal class
@@h.alshidhani8971Yes, kutakuwa na kiasi cha uzito utakacho ruhusiwa kisafiri nacho. Hili sio kama lile treni la zamani mnalopanda na mafurushi, hapana
Train inazinduliwa kesho na hamsemi tiketi zinapatikanaje.....biashara tutaiweza kweli? No important information ambayo shirika limeinform mfano ratiba za safari zikoje?, usafirishaji wa parcel ukoje? how convinient its? tukae kibiashara ili ku usustain mradi otherwise few years to come itakuwa kama reli ya kati na Tazara tu
Hongera Director Masanja Dogosa kwa kazi kubwa muliyo ifanya pia sifa zimuendee mkuu wa nchi kwa kuliona na kusuport mpk lilipofikia hongera Sana wote ila hamuna haja ya kampeni zozote nauri tuu mulizo panga ni kampeni tosha
Jeshi litumike kulinda miundombinu ya reli isihujumiwe pesa nyingi sana zimetumika
Ni jambo la kumshukuru sana Mungu kwamba hatimaye YAMEKUA
Nauli zimeendana na uhalisia. Kila tabaka limeguswa kwendana na kipato. Kazi kwetu sasa👏🏿
Vipi mkiandaa videos zinazoonyesha kuanzia ukataji tickets Hadi wakati WA safari ili watu wakapata picha ya uhalisia WA jinsi ya kusafiri na treni za kisasa itawasaidia sna siku za kuanzia operations.
Tumkumbuke JPM na EMU moja iitwe JP-Magufuri Express ili kumuenzi kwa uthubutu wake!
Tulitegemea tovuti yenu ingekuwa imeboreshwa na kuendana na mnayosema. Mtu akitaka kupata picha kamili ya akienda kwenye tiketi mtandao ataona maboresho. Ila sikuona maboresho yanayoendana na TRC SGR. Tazemeni tovuti ya Kenya ilivyokaa vizuri. Watu wa mtandoa wa TRC amkeni kumekuchaa.
Masanja ana-bore!
Kenya wajifunze kwetu bhana
@@mwikamwika4851Kwenye ishu ya Online service na website sisi bado tujifunze kutoka kenya. Tumelala mno
Wamezoea siasa hapo ni kisiasa zaidi sio biashara ndugu yangu. Biashara waiachie private sector wao wabaki kumange reli tuu
Awa jmaa wapo ovyo kbsa yan wanasema t onlne ticket af hkuna chochote
Mh Kadogosa, usafiri wa treni ya SGR kwa mikoa ya kusini na kazkazini. Lini utaanzishwa
Ratiba za safari zikoje
First class Tsh 120,000/- Safi sanaaaa.
Hongereni sana
Very reasonable
Guys we need to fix TAZARA
Mm nalia na serikali nadhani ingebaki kutengeneza miundo mbinu kama reli kisha uendeshaji ubaki kuwa wa sekta binafsi ili ipungeze uendeshaji
1:01
Inamaana kufika mwanza na mchongoko itakuwa 200k+ that mean it will be equal with flight, hapo wangosha tutachagua wenyewe ni utalii upi zaidi una faida kwa macho
😂😂😂😂😂 Bora utalii wa anga ndugu
Acha kupotosha hizo nauli zina classes. Lazima useme ni class gani?
@@mwikamwika4851 kwani wewe umeelewa nini kutoka kwenye maelezo ya Director Kadogosa
Kweli , nahic wameweka bei kubwa mno kwenye business na first class. Wanahitaji kuwa competitive na ndege , haswa kwenye safari za Tabora na Mwanza where there's direct competition.
Hakuna mtu atapanda treni kwa bei ya ndege business class or otherwise !
Nauli hizi ni kwendana na madaraja. Kuna daraja la JUU na daraja la KAWAIDA.
Tiketi mtandao jamani
Escape from sobibo
LATRA nauli hii bado ipo juu, haipaswi kufanana na bus hata kidogo.
Huu ni Usafiri salama na bei yake ni nafuu duniani pote.
Nauli ya laki Dodoma lazima ipunguwe
Sijaelewa hapo kwenye Treni mchongoko umetaja mwanzo Business umesema Elfu Sabini lkn Baadae umesema Laki Moja imekaaje hiyo mkuu?
Laki moja business class kutoka Dar mpaka Dodoma kwa reli mchongoko, kama nilivyomsikia mkurugenzi Kadogosa. Hio elfu sabini ni business kwa treni ya express isiyo mchongoko. Laki moja na ishirini elf ni Royal class
Kuna business class mbili business ya kawaida (70k) na royal business (100k)
Kuna business (70,000) na royal business (120,000).
Masanja tupe taarifa ya ujenzi wa vipande vingine.
Vishabuma vile, japo niko kigoma naona tawi la kwenda burundi wachina wamejaa hapa uvinza washajenga kambi. Ila vile vipande ndani ya nchi vimebuma
Na kuhusu mizigo (mabegi) ya abiria imekaaje? Kilo ngapi zinaruhusiwa?
Kilo ngapi kwani ndege hii😂
@@h.alshidhani8971Yes, kutakuwa na kiasi cha uzito utakacho ruhusiwa kisafiri nacho. Hili sio kama lile treni la zamani mnalopanda na mafurushi, hapana
Kwa mfano una mabegi matatu makubwa, je unaingia nazo kwenye behewa au kuna sehemu ya kuhifadhia mabegi makubwa ndani ya behewa kama vile mabasi?
@@kisutabora5914Parcel ndogo za chini ya kilo50 huwa inakua bure ila tusubiri tuone watatuambiaje juu ya hili
Train inazinduliwa kesho na hamsemi tiketi zinapatikanaje.....biashara tutaiweza kweli? No important information ambayo shirika limeinform mfano ratiba za safari zikoje?, usafirishaji wa parcel ukoje? how convinient its? tukae kibiashara ili ku usustain mradi otherwise few years to come itakuwa kama reli ya kati na Tazara tu
Biashara serikali muiachie private sector, siasa na biashara haviendi pamoja
maintenance
Toleeni maelezo pia behewa za ghorofa lini zitaanza kufanya kazi?
Kwanza acha ianze chini kwanza
Tulia, isiwe na mchecheto