TRC YAZINDUA KAMPENI SAFARI SGR DAR - DOM, NAULI DARAJA LA BIASHARA NA TRENI YA "MCHONGOKO" ZATAJWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 47

  • @MaghobaGeorge-lq4yg
    @MaghobaGeorge-lq4yg 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera Director Masanja Dogosa kwa kazi kubwa muliyo ifanya pia sifa zimuendee mkuu wa nchi kwa kuliona na kusuport mpk lilipofikia hongera Sana wote ila hamuna haja ya kampeni zozote nauri tuu mulizo panga ni kampeni tosha

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 7 หลายเดือนก่อน +2

    Jeshi litumike kulinda miundombinu ya reli isihujumiwe pesa nyingi sana zimetumika

  • @ELIREHEMATULO
    @ELIREHEMATULO 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ni jambo la kumshukuru sana Mungu kwamba hatimaye YAMEKUA

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nauli zimeendana na uhalisia. Kila tabaka limeguswa kwendana na kipato. Kazi kwetu sasa👏🏿

  • @3aliq
    @3aliq 7 หลายเดือนก่อน +7

    Vipi mkiandaa videos zinazoonyesha kuanzia ukataji tickets Hadi wakati WA safari ili watu wakapata picha ya uhalisia WA jinsi ya kusafiri na treni za kisasa itawasaidia sna siku za kuanzia operations.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 7 หลายเดือนก่อน +5

    Tumkumbuke JPM na EMU moja iitwe JP-Magufuri Express ili kumuenzi kwa uthubutu wake!

  • @johnb.j.m206
    @johnb.j.m206 7 หลายเดือนก่อน +5

    Tulitegemea tovuti yenu ingekuwa imeboreshwa na kuendana na mnayosema. Mtu akitaka kupata picha kamili ya akienda kwenye tiketi mtandao ataona maboresho. Ila sikuona maboresho yanayoendana na TRC SGR. Tazemeni tovuti ya Kenya ilivyokaa vizuri. Watu wa mtandoa wa TRC amkeni kumekuchaa.

    • @karyori69
      @karyori69 7 หลายเดือนก่อน

      Masanja ana-bore!

    • @mwikamwika4851
      @mwikamwika4851 7 หลายเดือนก่อน

      Kenya wajifunze kwetu bhana

    • @mduda_i
      @mduda_i 7 หลายเดือนก่อน

      @@mwikamwika4851Kwenye ishu ya Online service na website sisi bado tujifunze kutoka kenya. Tumelala mno

    • @beatricefelix1271
      @beatricefelix1271 7 หลายเดือนก่อน

      Wamezoea siasa hapo ni kisiasa zaidi sio biashara ndugu yangu. Biashara waiachie private sector wao wabaki kumange reli tuu

    • @dremmytz888
      @dremmytz888 7 หลายเดือนก่อน

      Awa jmaa wapo ovyo kbsa yan wanasema t onlne ticket af hkuna chochote

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mh Kadogosa, usafiri wa treni ya SGR kwa mikoa ya kusini na kazkazini. Lini utaanzishwa

  • @ibrahimsaid133
    @ibrahimsaid133 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ratiba za safari zikoje

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 7 หลายเดือนก่อน

    First class Tsh 120,000/- Safi sanaaaa.

  • @abbumwaipopo2940
    @abbumwaipopo2940 7 หลายเดือนก่อน

    Hongereni sana

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 7 หลายเดือนก่อน

    Very reasonable

  • @htx1873
    @htx1873 7 หลายเดือนก่อน +1

    Guys we need to fix TAZARA

  • @DanielMakunja
    @DanielMakunja 6 หลายเดือนก่อน

    Mm nalia na serikali nadhani ingebaki kutengeneza miundo mbinu kama reli kisha uendeshaji ubaki kuwa wa sekta binafsi ili ipungeze uendeshaji

  • @SoudOmar-lu7we
    @SoudOmar-lu7we 7 หลายเดือนก่อน

    1:01

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 7 หลายเดือนก่อน +2

    Inamaana kufika mwanza na mchongoko itakuwa 200k+ that mean it will be equal with flight, hapo wangosha tutachagua wenyewe ni utalii upi zaidi una faida kwa macho

    • @isackrichard6356
      @isackrichard6356 7 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂 Bora utalii wa anga ndugu

    • @mwikamwika4851
      @mwikamwika4851 7 หลายเดือนก่อน +2

      Acha kupotosha hizo nauli zina classes. Lazima useme ni class gani?

    • @eddechriss2664
      @eddechriss2664 7 หลายเดือนก่อน

      @@mwikamwika4851 kwani wewe umeelewa nini kutoka kwenye maelezo ya Director Kadogosa

    • @Anti-socialSocialClub
      @Anti-socialSocialClub 7 หลายเดือนก่อน

      Kweli , nahic wameweka bei kubwa mno kwenye business na first class. Wanahitaji kuwa competitive na ndege , haswa kwenye safari za Tabora na Mwanza where there's direct competition.
      Hakuna mtu atapanda treni kwa bei ya ndege business class or otherwise !

    • @vinny.morales
      @vinny.morales 7 หลายเดือนก่อน +1

      Nauli hizi ni kwendana na madaraja. Kuna daraja la JUU na daraja la KAWAIDA.

  • @ahmedkyama4734
    @ahmedkyama4734 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tiketi mtandao jamani

  • @BarakaKitale
    @BarakaKitale 7 หลายเดือนก่อน

    Escape from sobibo

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 6 หลายเดือนก่อน

    LATRA nauli hii bado ipo juu, haipaswi kufanana na bus hata kidogo.
    Huu ni Usafiri salama na bei yake ni nafuu duniani pote.
    Nauli ya laki Dodoma lazima ipunguwe

  • @lameckkategile8657
    @lameckkategile8657 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sijaelewa hapo kwenye Treni mchongoko umetaja mwanzo Business umesema Elfu Sabini lkn Baadae umesema Laki Moja imekaaje hiyo mkuu?

    • @kisutabora5914
      @kisutabora5914 7 หลายเดือนก่อน +1

      Laki moja business class kutoka Dar mpaka Dodoma kwa reli mchongoko, kama nilivyomsikia mkurugenzi Kadogosa. Hio elfu sabini ni business kwa treni ya express isiyo mchongoko. Laki moja na ishirini elf ni Royal class

    • @danielmutei-hw6dk
      @danielmutei-hw6dk 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kuna business class mbili business ya kawaida (70k) na royal business (100k)

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 7 หลายเดือนก่อน

      Kuna business (70,000) na royal business (120,000).

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 7 หลายเดือนก่อน

    Masanja tupe taarifa ya ujenzi wa vipande vingine.

    • @mohamedmbalazi748
      @mohamedmbalazi748 7 หลายเดือนก่อน

      Vishabuma vile, japo niko kigoma naona tawi la kwenda burundi wachina wamejaa hapa uvinza washajenga kambi. Ila vile vipande ndani ya nchi vimebuma

  • @kisutabora5914
    @kisutabora5914 7 หลายเดือนก่อน +1

    Na kuhusu mizigo (mabegi) ya abiria imekaaje? Kilo ngapi zinaruhusiwa?

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 7 หลายเดือนก่อน

      Kilo ngapi kwani ndege hii😂

    • @vinny.morales
      @vinny.morales 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@h.alshidhani8971Yes, kutakuwa na kiasi cha uzito utakacho ruhusiwa kisafiri nacho. Hili sio kama lile treni la zamani mnalopanda na mafurushi, hapana

    • @kisutabora5914
      @kisutabora5914 7 หลายเดือนก่อน

      Kwa mfano una mabegi matatu makubwa, je unaingia nazo kwenye behewa au kuna sehemu ya kuhifadhia mabegi makubwa ndani ya behewa kama vile mabasi?

    • @mduda_i
      @mduda_i 7 หลายเดือนก่อน

      @@kisutabora5914Parcel ndogo za chini ya kilo50 huwa inakua bure ila tusubiri tuone watatuambiaje juu ya hili

  • @beatricefelix1271
    @beatricefelix1271 7 หลายเดือนก่อน

    Train inazinduliwa kesho na hamsemi tiketi zinapatikanaje.....biashara tutaiweza kweli? No important information ambayo shirika limeinform mfano ratiba za safari zikoje?, usafirishaji wa parcel ukoje? how convinient its? tukae kibiashara ili ku usustain mradi otherwise few years to come itakuwa kama reli ya kati na Tazara tu

    • @beatricefelix1271
      @beatricefelix1271 7 หลายเดือนก่อน

      Biashara serikali muiachie private sector, siasa na biashara haviendi pamoja

    • @beatricefelix1271
      @beatricefelix1271 7 หลายเดือนก่อน

      maintenance

  • @bashirbaruan3969
    @bashirbaruan3969 7 หลายเดือนก่อน

    Toleeni maelezo pia behewa za ghorofa lini zitaanza kufanya kazi?

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 7 หลายเดือนก่อน

      Kwanza acha ianze chini kwanza

    • @vinny.morales
      @vinny.morales 7 หลายเดือนก่อน

      Tulia, isiwe na mchecheto