NSYUKA 2 ( 2003 )
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2020
- Dorin anajikuta katika mazingira magumu baada ya kuarifiwa kuwa hapati ujauzito kwa sababu ya Nsyuka, roho hatari ya ukoo wa ukoo wake. Mambo yanakuwa magumu baada ya kuambiwa na kasisi wa jadi Kaningola kwamba anapaswa kufanya mapenzi naye ili kuondoa shida yake.@swahiliwood @BongoCinematv @bongofive @millardayoTZA @middlesimba @Wasafi_Media @CLOUDSMEDIA @BongoCinematv @negrombavu5889 @ITVTanzaniaTz @TBC_Online @globaltv_online @bmtvtanzania @SinemaGo @mambo_media-KTz @CinemaSins @BongoBDMovies@allmovies8606 @madebelidai10 @SimuliziNaSauti @SamMisagoTV @Bongo-BD @BongMotivation
Oyawe sis weny tunaitizam 2024 tujuwane hapa kw like
Nipo hapa kuuaga mwaka 2023 welcome 2024
2024,gonga like hapa
Tunaoangalia mwaka 2024 like hapa 😅
2022 bado nkiangalia hii movie naogopa jmn
ongeza tena jmn ... i will watch of all these❤️❤️❤️❤️
2024 tuonane Apa
2023 bado naicheki hii movie
Who's still watching this movie 2021🤚
🤝
The best of the rest from TANZANIA🇹🇿. ALL ACTORS deserves enough 💵 not only appreciation, they did great job,.
Still watching this movie 2022
Mimi
Na mm pia
move kama hizi zirudiwe tena...wazimu balaa
Nilitazama hii movie,nmekumbuka mbali 🥺🥺🥺🥺
Tarehe 26 mwezi wa 1 mwaka 2022 naangalia ila bd naogopa sana...!!!
I loved it
Nmekutana na nsuuka leo, walai ana ngozi nzuuuri Sana bado kijana yaaaaaaan
Watching this movie in 2054 gonna like hapa
Hatariiii kitambo Sana walio itazama hii 2020gonga like
Safi sana hivi ndio vitu vya kiutu uzima leten mpk mwisho watazamaj tupo
🤣🤣🤣daaah kaka una moyo wa kuangalia
Sana broo
Azam wangetuwekea sinema zetu
Bora,👌👌
Jamn hii move inatisha daah yaan sio kidog
Hizi ndyo filamu bhana sio siku hizi jini anavuka barabara huku anaangalia magari😂tuletee Kihongwe,mzee wa busara pamoja na Sawaka
Umeonaaa eh
Mambo ya kina mussa Banzi
Wewee🤣🤣🤣
Mm. Apa nop siwezi lala 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Nime enda 🙋♀️🙋♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️💃💃💃💃💃
Yani nimeangalia hii muvi nimecheka sana leoo mm niliyekwa siendi ata kuoga wala kulala pekeangu kumbe ni hawa watu walopakwa unga na tomato 😹😹😹😹😹🤣
Utakom 😂😂😂😂
Kiukwel mpka Leo hii movie naiogopa
Inatisha Sana sana
Jamani inatisha hii movie hata nilikua sikujui wakati huo nangalia 3,12,2022
Mambo
paparazi roho ya mwandishi ihusike pia hapa pls
km vipi irudiwe kw HD
one of the best of bongo move
waooooo ahsant jmn
Leo tareh 14 /12/2022 bad naogp jamn but npend san movie kam hiz💕💕💕 kaz mzur 👍👍
tunasubiria ya mwaka 2023
Ringo na jimmy mafuru nawapa hi 😂😂😂😂😂
😂😂😂
❤😊 naipenda sana
nilkw silali kwa sababu ya hii move😂😂😂😂😂
Chite ukae please
Hakika Hakuna jipya chini ya Jua, ilkw ni zamani sana sana lakin filamu imebeba madhari ya uhalisia Wa kiafrica ,,,.na kusisimua kongore, wasanii kizazi kipya wanarakw kujifunza utunzi huu,....
2020.
Naomba weka roho sita ya chuchu hansi
Bora ata hii sauti inaeleweka,,,
Nilikuwa naogopa enzi hizo😅😅
Tunaomba Harusi ya Candy,My Darling,Neno,Shamba Kubwa, Behind the Scene,Masaa 24,Mfalme Seuta, Shumileta,Chozi la urithi,Mtemi
Kuna bosi YA kawambwa, Safar YA chiku Na kapili,mzee Wa busara part 1 YA zinduna Na somoe,jinamizi YA Kisa cha kweli kilichotokea Rufiji, Hasidi,Pete YA usaliti,Noti,mahabati
Nilikua na miaka 5 nikiangaalia hi move nilikua naogopa sana 😂😂😂😂
aisee mpaka leo na miaka yangu 30 bado naiogopa hii muvi kinoma,.........
Hahahaha punguza uoga
Aaaaa😂😂😂😂pol san
Mm hata udogon sikutakaga kuangalia nilivoambiwa inatishaaa
@@kefaprince6250😂😂😂 kulalina
Mpaka leo tarehe 13/7/2022 bado naitizama move hii nawapenda sana jmn
Sijui nitapta wapi jinamizi haki naipenda sana hyo movie
Mm tareh 14/12/2022 inatish san sio sir yaan 😖😖😖
Usisahau na fungu la kukosa ya riyama
Ipo you tube
Like this au
Nakumbuka hii muvi nilikua nikitoka kuingaria kwenye Banda la video kizaazaa kinaanza wakati was kurudi nyumbani ukisikia hata mbwa kabweka mbiiiooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Nom sanaaaa
leo ni tarehe 7/7/2022 siku ya alhamis naangalia muvi hii na hapa ni usiku lakini bado naogopa.... kazi nzuri hii sio muvi zetu za kipindi hiki za kuhamasisha ngono tu...
Zilikua love kali sana
Jamaa navuruga kikao mzee msisili kakomaa khaaaa
Nilikuwa naogopa huu usenge 😅😅
dah eti aliyeigiza insyuka amelipwa elfu 30
😂😂😂😂
Elfu 30 mwaka 2002 ilikuwa kama laki 5 ya sasa
Enzi ezoo et but not now
Yeah ilikuwa kubwa Sanaa .... Maan mpk sh 5 zilikuwa Bado zatumika
Watching 2023😅😅😅
Kama mm😂😂
Kwel
😭😭😭Jamani
Chite ukae part2 pls jmn
Sasa mie nilikuwa naogopa nini hapa 🤣🤣🤣wa 2022 mwez wa 10
Best director Mussa banzi
Nsyukaaa,alitutisha huyu baba
❤❤
Ilikua Atari sana hii movie
Ila zamani walikua wanaigiza bana yan ni 🔥
Sana
Leo nakumbuka siku ile niliogopa kukaa gizani
nliangalia hii move mwak 2006 daras l kwanza Hadi 2022/22 naogopa bdo
Qatar man know Zoe
Sauti inakatakata jmn
Tujuane hapa tuliokuja kuangali limovie lililotutisha miaka 20 iliyopita😂
Hakuna filam iliyo nitishaga kama hiyi daah 🤔nilikuwa siwezi kuingiya ndani pekeangu..🤣🤣
Ongea ww mm nilikuw nalia mkojo ukiniban au nikitumwa ndani
@@aminatanzanya7475 daah 😁😁
Hata kuingia bafun ulikua ishu kwahy nkawa mchafu kuoga
Nahic wote hamnifikii na hivyo nili kuwa mdogo
@@amybrown469 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 ugomvi wa mke na mume duuuh
Mamamamamamaeeee dude hili lilitisha watu wengi enzi hizo sito sahau 😂😂😂 dah
Shenziii
Duh Et jini nae linacheza na kuimba ngoma za tambiko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Niliitazama 2001
Jamani nimemuona da nai the don wamzingani
Inatisha jamn naogop kwel😰😰😰😰
2024 tunaitzama ❤❤❤❤❤❤❤❤
Kipindi naangaliya iyi igizo nilikuwa namyaka mi8. Imenikumbusha mbali sana. Izindozilikuwa igizo.
New generation hapa mutuache
Movie noma san
Muvi ilinitisha ata ndani sikua naingia au kukaa peke yangu
Dah
Aiseee naogopa
Huyu mwamba alinifanya nisiende dukan enz hizo atar san😂😂
...we inatisha sana hiii picha...
Huyu bibi Kama Hakuchukua Tuzo Miaka ile Basi labda hazikuwepo Kama ziliwepo na hakupata hajatendewa Haki
Jmn😅
Nc movie 🤣😭
Movie haijawah chosha
2023
Movie hii atari sana
Uyo Ringo chili na zimwi Nan kawaona Kam mimi
ngoja niwaangalie
Hii muvi ilinifanya nisiwe naoga kwa kuogopa kuingia bafuni
naitazama 2024
Duh mbona haina sauti visehemu jamani 😢
James lapulga jr
😅😅😅😅😅😅
Nani kamuona Mzee Msisiri Kwenye Kikao Cha mazishi Hapo kumbe Kitambo Kwenye game. 😂
Aiseee hii movie inlikua na miaka mitatu ndo ilitoka ilaa naiogopa ad sasahv ila ndomovie ya kibabe lete mzee was busala zoote ziludiwe
Leta saradini
Kweli aiweke
Tuwekee kihongwe na saladin party two tunakuomba
Tunaomba kihongwe please
@@husseinramadhani2059 iko tayari tizama
Shenaiza itupie pia
Kmmke nkajua nikiiangaloa ukunwani haitishi🤣🤣 mbona ka yashtua shutua kidogo
😂😂😂😂😂😂huyu nsyuka alnfanya mm nkashndwa kulala yn nkiiangalia movie kma hii nkiwa sjaoga hakiii siog au uwe unaangalia hii movie ghfla umeme ukatike weeeeh patamujee hapoo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Eti ulikua na mwanamke au kinyago sanjo nimekuambia house girl wangu daaah 🤣🤣🤣🤣