WAJIKAANGA UJENZI WA SHULE YA SAMIA RC MAKONDA ACHUKIA AWABANA MASWALI MAGUMU..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- #OFFTRACKTV #offtracktv #samiasuluhuhassan #raissamia #ikulu #makonda #arusha
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
/ offtracktv
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 621 149 014)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe: / offtracktv
Competent engineer... Stop harassing her...
Makonda umepamia kwa huyo Dada leo anajua kujieleza. Sema uko biz kumtafutia sababu
Una haki ya kumhoji bila kumfokea wala kumtamkia mtu mzima maneno yasiyo na staha.
Ni kweli kabisa, kuna muda anafeli ukali unazidi
Kwahiyo unataka kusema je?
Ukiona hivyo ujue naww nimwizi
Kaka Hawa watu hata wakitukanwa sawa tubwanatumiza sana usiwaonee huruma kabisaaaa sio Hawa anatunyonya sana kaka
Makonda fatilia vzur weka tume hapo kunashida kubwa hapako sawa hapo Kuna shida mkuu wa mkoa force ya akaunti ni cheap sana
Duh..!? Hii Kazi ni Shida mno..Makonda wape Nafasi tena wajitafakari...huyu Dada Engineer anajielewa mno Big up sana kwake...maana Kuyajibu Maswali ya Makonda si Mchezo ujipange.
Injinia anajibu vizuri sana.
Mnawatesa walimu wa watu. Siyo kazi zao kabisaaa.
Ahsante sana muheshiwa 😂😂😂😂 simadogo wape vibanio hai wamezoeya halo spaner😂😂😂
Mnamwonea mwl WA watu yeye ni Engineer
Huyu Dada nimempenda bure anajiamini Na Majibu sahihi
Daa huyu dada kaaminiwa nae kazingua duu ila naamini watu wazuri wenye akili kubwa na msoto wa hali ya juu wenye uchungu waliopitia magumu ambao wanaouwezo wa kuwa wazalendo wapo vijiweni ni kwasababu tu hawakupata phd oooh my god natamani kutoa wazo lakn hakuna wa kunisikiliza mimi ni kama samaki ndani ya maji tu ninayo mengi ya kusema lakini..😢
Kwa kweli makonda wakati mingine unafeli
Safi sana uchunguzi ifanyike mashimo ya choi manne million hamsini
Injini mzuri dada oyee.
Mh wapo vizuri ww mkali bana?
Hii shule makonda Kuna shida Mzee milioni 25 vyoo nne tu
Makonda Mimi binafsi huwa nakuelewa Sanaa
Mh unawachanganya unakuwa mkali sana unawazodoa mh busara kidogo pliz hawa watu wapo vizuri tuuu ?
Dada anaelewa kazi. Msimcnanganye.
Hii Mweshimiwa imepigwa
Fundi ataomba nyongeza ya mkataba endapo amefanya kazi asilimia 80 na hela ikaisha kwa sababu maalimu , ndio ataomba nyengeza ya hela na kamati wataa pitia mradi na watakaa kikao kwa pamoja wakiridhia fundi ataomgezewa mkataba wa nyongeza.
Walimu kwenye mirad hawan meno mh makonda ata kdg hoji mkurugenz,engenear na afisa manu nuzi
Mpumbavu sana wewe. Hela ni kodi za wananchi.
😂😂😂😂😂😂 mwalim komwe limechoka kbs jmn😅😅😅😅
Huyu muhandisi hewa hajui taaluma yake ya uhandisi akasome ufundii
Wazee msichukulie poa
Nguvu kaz ya mafundi wameumia hapo na huenda wamepigana kwa kudaiana na wanacheleweshewa hela na hiyo kamati ya ufundi , na sisi mafundi tunailaumu serikali wanarusha hela ,hawalipi ,kumbe ni ambayo hawana aidia ya ufundi
Hii kazi ni ngumu walahi
Makonda muache mtu aeleze"mbona unafos sana unataka ajibu nini
Mnamwonea mwl WA watu yeye ni Engineer
Wakuu wa mikoa mingine waige mfano wako,
Walimu wamekosea kuomba pesa zipitie kwenye akaunti zao badala ya kupitia akaunti ya mkurugenzi na kosa kubwa kutumia force akaunti ni Bora kutafutwa mkandarasi angebananishwa mkurugenzi na mkandarasi wake
Makonda piga kazi, mil 460 yote ya nn tena engineer hayuko serious na kazi zake, mwal wa watu mwacheni so kazi zake
Hayo maswali ni ya Engineer cio ya Mwalimu jamn yeye anadilii na wanafunzi
Kweli mwalimu kusimamia viongozi wa juu niwasumbufu sana mtu anakwambia mandalie mamilion
Mwalimu mkojo umekja ghafla 😅😅😅😅
Mheshimiwa nakukubali ila hapa huyu dada unamtafutia kosa kusema kweli
Huyo dada anafatiliwa na laana ya kutotetea haki za vibarua ndio maana mkuu anakula nae sahani moja 😂
Fundi analipwa baada ya kamati ya ufundi kujirithisha na kazi ambayo imefanyika n asilimia ngap kwa mujibu wa mkataba wake unavyoelekezaaa
Good makonda
Injinia soma hio 😄😄🙏
Anahema huyooo😂😂😂
Tanzania my country
mim ningekuwa mkuu wangenyooka