WAJIKAANGA UJENZI WA SHULE YA SAMIA RC MAKONDA ACHUKIA AWABANA MASWALI MAGUMU..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
  • #OFFTRACKTV #offtracktv #samiasuluhuhassan #raissamia #ikulu #makonda #arusha
    KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
    PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
    / offtracktv
    Email | info@offtrack.co.tz
    🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
    🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 621 149 014)
    🔴 Email: info@offtrack.co.tz
    Www.offtrack.co.tz
    𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
    ...............................................................................................
    Subscribe: / offtracktv

ความคิดเห็น • 47

  • @emmanuelwarra1025
    @emmanuelwarra1025 4 หลายเดือนก่อน +7

    Competent engineer... Stop harassing her...

  • @SaidiMiraji-lk3vm
    @SaidiMiraji-lk3vm 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda umepamia kwa huyo Dada leo anajua kujieleza. Sema uko biz kumtafutia sababu

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 4 หลายเดือนก่อน +4

    Una haki ya kumhoji bila kumfokea wala kumtamkia mtu mzima maneno yasiyo na staha.

    • @SaidiMiraji-lk3vm
      @SaidiMiraji-lk3vm 4 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kabisa, kuna muda anafeli ukali unazidi

    • @DSFAMILYGRAPHIC
      @DSFAMILYGRAPHIC 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwahiyo unataka kusema je?

    • @crispoleo8771
      @crispoleo8771 3 หลายเดือนก่อน

      Ukiona hivyo ujue naww nimwizi

    • @edrisalusonge4141
      @edrisalusonge4141 3 หลายเดือนก่อน

      Kaka Hawa watu hata wakitukanwa sawa tubwanatumiza sana usiwaonee huruma kabisaaaa sio Hawa anatunyonya sana kaka

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda fatilia vzur weka tume hapo kunashida kubwa hapako sawa hapo Kuna shida mkuu wa mkoa force ya akaunti ni cheap sana

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 4 หลายเดือนก่อน +2

    Duh..!? Hii Kazi ni Shida mno..Makonda wape Nafasi tena wajitafakari...huyu Dada Engineer anajielewa mno Big up sana kwake...maana Kuyajibu Maswali ya Makonda si Mchezo ujipange.

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw 4 หลายเดือนก่อน +1

    Injinia anajibu vizuri sana.

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mnawatesa walimu wa watu. Siyo kazi zao kabisaaa.

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 3 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana muheshiwa 😂😂😂😂 simadogo wape vibanio hai wamezoeya halo spaner😂😂😂

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mnamwonea mwl WA watu yeye ni Engineer

  • @mhujoaloyce8766
    @mhujoaloyce8766 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Dada nimempenda bure anajiamini Na Majibu sahihi

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 4 หลายเดือนก่อน +2

    Daa huyu dada kaaminiwa nae kazingua duu ila naamini watu wazuri wenye akili kubwa na msoto wa hali ya juu wenye uchungu waliopitia magumu ambao wanaouwezo wa kuwa wazalendo wapo vijiweni ni kwasababu tu hawakupata phd oooh my god natamani kutoa wazo lakn hakuna wa kunisikiliza mimi ni kama samaki ndani ya maji tu ninayo mengi ya kusema lakini..😢

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli makonda wakati mingine unafeli

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sana uchunguzi ifanyike mashimo ya choi manne million hamsini

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw 4 หลายเดือนก่อน

    Injini mzuri dada oyee.

  • @SophiaMnzava
    @SophiaMnzava 3 หลายเดือนก่อน

    Mh wapo vizuri ww mkali bana?

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hii shule makonda Kuna shida Mzee milioni 25 vyoo nne tu

  • @sheikhabdillahmassawe5302
    @sheikhabdillahmassawe5302 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda Mimi binafsi huwa nakuelewa Sanaa

  • @SophiaMnzava
    @SophiaMnzava 3 หลายเดือนก่อน

    Mh unawachanganya unakuwa mkali sana unawazodoa mh busara kidogo pliz hawa watu wapo vizuri tuuu ?

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw 4 หลายเดือนก่อน

    Dada anaelewa kazi. Msimcnanganye.

  • @imeldamatemu-gg9rl
    @imeldamatemu-gg9rl 4 หลายเดือนก่อน

    Hii Mweshimiwa imepigwa

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 4 หลายเดือนก่อน

    Fundi ataomba nyongeza ya mkataba endapo amefanya kazi asilimia 80 na hela ikaisha kwa sababu maalimu , ndio ataomba nyengeza ya hela na kamati wataa pitia mradi na watakaa kikao kwa pamoja wakiridhia fundi ataomgezewa mkataba wa nyongeza.

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 4 หลายเดือนก่อน

    Walimu kwenye mirad hawan meno mh makonda ata kdg hoji mkurugenz,engenear na afisa manu nuzi

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 4 หลายเดือนก่อน

    Mpumbavu sana wewe. Hela ni kodi za wananchi.

  • @harunarashid6404
    @harunarashid6404 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂 mwalim komwe limechoka kbs jmn😅😅😅😅

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu muhandisi hewa hajui taaluma yake ya uhandisi akasome ufundii

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 4 หลายเดือนก่อน

    Wazee msichukulie poa
    Nguvu kaz ya mafundi wameumia hapo na huenda wamepigana kwa kudaiana na wanacheleweshewa hela na hiyo kamati ya ufundi , na sisi mafundi tunailaumu serikali wanarusha hela ,hawalipi ,kumbe ni ambayo hawana aidia ya ufundi

  • @elardurasa67
    @elardurasa67 4 หลายเดือนก่อน

    Hii kazi ni ngumu walahi

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda muache mtu aeleze"mbona unafos sana unataka ajibu nini

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 4 หลายเดือนก่อน

    Mnamwonea mwl WA watu yeye ni Engineer

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wakuu wa mikoa mingine waige mfano wako,

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Walimu wamekosea kuomba pesa zipitie kwenye akaunti zao badala ya kupitia akaunti ya mkurugenzi na kosa kubwa kutumia force akaunti ni Bora kutafutwa mkandarasi angebananishwa mkurugenzi na mkandarasi wake

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda piga kazi, mil 460 yote ya nn tena engineer hayuko serious na kazi zake, mwal wa watu mwacheni so kazi zake

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 4 หลายเดือนก่อน

    Hayo maswali ni ya Engineer cio ya Mwalimu jamn yeye anadilii na wanafunzi

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli mwalimu kusimamia viongozi wa juu niwasumbufu sana mtu anakwambia mandalie mamilion

  • @kelyjames5452
    @kelyjames5452 3 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu mkojo umekja ghafla 😅😅😅😅

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 4 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa nakukubali ila hapa huyu dada unamtafutia kosa kusema kweli

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo dada anafatiliwa na laana ya kutotetea haki za vibarua ndio maana mkuu anakula nae sahani moja 😂

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 4 หลายเดือนก่อน

    Fundi analipwa baada ya kamati ya ufundi kujirithisha na kazi ambayo imefanyika n asilimia ngap kwa mujibu wa mkataba wake unavyoelekezaaa

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Good makonda

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj 4 หลายเดือนก่อน

    Injinia soma hio 😄😄🙏

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 4 หลายเดือนก่อน

    Anahema huyooo😂😂😂

  • @seifumussa9493
    @seifumussa9493 4 หลายเดือนก่อน

    Tanzania my country

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 4 หลายเดือนก่อน

    mim ningekuwa mkuu wangenyooka