WAJIKAANGA UJENZI WA SHULE YA SAMIA RC MAKONDA ACHUKIA AWABANA MASWALI MAGUMU..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ค. 2024
  • #OFFTRACKTV #offtracktv #samiasuluhuhassan #raissamia #ikulu #makonda #arusha
    KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
    PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
    / offtracktv
    Email | info@offtrack.co.tz
    🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
    🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 621 149 014)
    🔴 Email: info@offtrack.co.tz
    Www.offtrack.co.tz
    𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
    ...............................................................................................
    Subscribe: / offtracktv

ความคิดเห็น • 44

  • @emmanuelwarra1025
    @emmanuelwarra1025 28 วันที่ผ่านมา +7

    Competent engineer... Stop harassing her...

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 28 วันที่ผ่านมา +2

    Duh..!? Hii Kazi ni Shida mno..Makonda wape Nafasi tena wajitafakari...huyu Dada Engineer anajielewa mno Big up sana kwake...maana Kuyajibu Maswali ya Makonda si Mchezo ujipange.

  • @SaidiMiraji-lk3vm
    @SaidiMiraji-lk3vm 27 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda umepamia kwa huyo Dada leo anajua kujieleza. Sema uko biz kumtafutia sababu

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 28 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda fatilia vzur weka tume hapo kunashida kubwa hapako sawa hapo Kuna shida mkuu wa mkoa force ya akaunti ni cheap sana

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mnamwonea mwl WA watu yeye ni Engineer

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw 28 วันที่ผ่านมา +1

    Injinia anajibu vizuri sana.

  • @mhujoaloyce8766
    @mhujoaloyce8766 27 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu Dada nimempenda bure anajiamini Na Majibu sahihi

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 28 วันที่ผ่านมา +2

    Daa huyu dada kaaminiwa nae kazingua duu ila naamini watu wazuri wenye akili kubwa na msoto wa hali ya juu wenye uchungu waliopitia magumu ambao wanaouwezo wa kuwa wazalendo wapo vijiweni ni kwasababu tu hawakupata phd oooh my god natamani kutoa wazo lakn hakuna wa kunisikiliza mimi ni kama samaki ndani ya maji tu ninayo mengi ya kusema lakini..😢

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 28 วันที่ผ่านมา +4

    Una haki ya kumhoji bila kumfokea wala kumtamkia mtu mzima maneno yasiyo na staha.

    • @SaidiMiraji-lk3vm
      @SaidiMiraji-lk3vm 27 วันที่ผ่านมา

      Ni kweli kabisa, kuna muda anafeli ukali unazidi

    • @DSFAMILYGRAPHIC
      @DSFAMILYGRAPHIC 16 วันที่ผ่านมา +1

      Kwahiyo unataka kusema je?

    • @crispoleo8771
      @crispoleo8771 11 วันที่ผ่านมา

      Ukiona hivyo ujue naww nimwizi

    • @edrisalusonge4141
      @edrisalusonge4141 7 วันที่ผ่านมา

      Kaka Hawa watu hata wakitukanwa sawa tubwanatumiza sana usiwaonee huruma kabisaaaa sio Hawa anatunyonya sana kaka

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa kweli makonda wakati mingine unafeli

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 28 วันที่ผ่านมา +1

    Good makonda

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mnawatesa walimu wa watu. Siyo kazi zao kabisaaa.

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 28 วันที่ผ่านมา +1

    Walimu wamekosea kuomba pesa zipitie kwenye akaunti zao badala ya kupitia akaunti ya mkurugenzi na kosa kubwa kutumia force akaunti ni Bora kutafutwa mkandarasi angebananishwa mkurugenzi na mkandarasi wake

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli mwalimu kusimamia viongozi wa juu niwasumbufu sana mtu anakwambia mandalie mamilion

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 27 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda muache mtu aeleze"mbona unafos sana unataka ajibu nini

  • @sheikhabdillahmassawe5302
    @sheikhabdillahmassawe5302 24 วันที่ผ่านมา

    Makonda Mimi binafsi huwa nakuelewa Sanaa

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hii shule makonda Kuna shida Mzee milioni 25 vyoo nne tu

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw 28 วันที่ผ่านมา

    Injini mzuri dada oyee.

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 28 วันที่ผ่านมา

    Safi sana uchunguzi ifanyike mashimo ya choi manne million hamsini

  • @imeldamatemu-gg9rl
    @imeldamatemu-gg9rl 26 วันที่ผ่านมา

    Hii Mweshimiwa imepigwa

  • @seifumussa9493
    @seifumussa9493 28 วันที่ผ่านมา

    Tanzania my country

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 26 วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa nakukubali ila hapa huyu dada unamtafutia kosa kusema kweli

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 27 วันที่ผ่านมา +1

    Wakuu wa mikoa mingine waige mfano wako,

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw 28 วันที่ผ่านมา

    Dada anaelewa kazi. Msimcnanganye.

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj 27 วันที่ผ่านมา

    Injinia soma hio 😄😄🙏

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 25 วันที่ผ่านมา

    Makonda piga kazi, mil 460 yote ya nn tena engineer hayuko serious na kazi zake, mwal wa watu mwacheni so kazi zake

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 26 วันที่ผ่านมา

    Hayo maswali ni ya Engineer cio ya Mwalimu jamn yeye anadilii na wanafunzi

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 28 วันที่ผ่านมา

    Fundi analipwa baada ya kamati ya ufundi kujirithisha na kazi ambayo imefanyika n asilimia ngap kwa mujibu wa mkataba wake unavyoelekezaaa

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 28 วันที่ผ่านมา

    Huyu muhandisi hewa hajui taaluma yake ya uhandisi akasome ufundii

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 28 วันที่ผ่านมา

    Fundi ataomba nyongeza ya mkataba endapo amefanya kazi asilimia 80 na hela ikaisha kwa sababu maalimu , ndio ataomba nyengeza ya hela na kamati wataa pitia mradi na watakaa kikao kwa pamoja wakiridhia fundi ataomgezewa mkataba wa nyongeza.

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 28 วันที่ผ่านมา

    Walimu kwenye mirad hawan meno mh makonda ata kdg hoji mkurugenz,engenear na afisa manu nuzi

  • @elardurasa67
    @elardurasa67 28 วันที่ผ่านมา

    Hii kazi ni ngumu walahi

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 28 วันที่ผ่านมา

    Wazee msichukulie poa
    Nguvu kaz ya mafundi wameumia hapo na huenda wamepigana kwa kudaiana na wanacheleweshewa hela na hiyo kamati ya ufundi , na sisi mafundi tunailaumu serikali wanarusha hela ,hawalipi ,kumbe ni ambayo hawana aidia ya ufundi

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 28 วันที่ผ่านมา

    Anahema huyooo😂😂😂

  • @harunarashid6404
    @harunarashid6404 8 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂 mwalim komwe limechoka kbs jmn😅😅😅😅

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 27 วันที่ผ่านมา

    Huyo dada anafatiliwa na laana ya kutotetea haki za vibarua ndio maana mkuu anakula nae sahani moja 😂

  • @kelyjames5452
    @kelyjames5452 4 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu mkojo umekja ghafla 😅😅😅😅

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 27 วันที่ผ่านมา

    Mpumbavu sana wewe. Hela ni kodi za wananchi.

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 28 วันที่ผ่านมา

    mim ningekuwa mkuu wangenyooka

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 26 วันที่ผ่านมา

    Mnamwonea mwl WA watu yeye ni Engineer