REV. DR. ELIONA KIMARO: LISIKIE NENO LA MUNGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 30

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan20 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Mungu kwa kuniunganisha na madhabahu huu.

  • @zainabujumarajabujumarajab8260
    @zainabujumarajabujumarajab8260 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mtumishi naomba kujua redio Gani unatumia na tivii steshen I Gani baba msaada mmi mgeni

  • @Jackson-br2km
    @Jackson-br2km 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hallelujah 🎉😊kweli ninaweza umeniinua katika mashaka yangu amen amen amen❤❤

  • @deboramhanga914
    @deboramhanga914 8 หลายเดือนก่อน

    Yaani mchungaji hakika mungu aendelee kukutumia kuponya nafsi zetu nabarikiwa mno

    • @miriammwakyusa5225
      @miriammwakyusa5225 8 หลายเดือนก่อน

      Shetani asikutumie kuchafua hali ya hewa

  • @jaspinbrasio674
    @jaspinbrasio674 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu anisaidie na anilinde nisiwe na mashaka juu ya Imani yangu...Amen

  • @dainasapali9822
    @dainasapali9822 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu nisaidie kuishika Imani yangu nisije nikanyang'anywa na mwovu shetani. Nilishabatizwa, nisibatizwe tena na hizo soda zao.

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 8 หลายเดือนก่อน

    Human resistance! Ukinzani! Bwana Yesu NISAIDIE ili nisiwe mashaka ktk jambo ninaloliendea mwaka huu. AMEEN.

  • @francescammari5337
    @francescammari5337 8 หลายเดือนก่อน

    Nisaidie nisiwe na mashaka kwa kazi militiaman
    Asante Yesu na mtumishi wa Mungu Dr Kimaro kwa kunitia nguvu

  • @alex_vincent
    @alex_vincent 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hallelujah

  • @winchriss9418
    @winchriss9418 8 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @sylviachikwindo7263
    @sylviachikwindo7263 8 หลายเดือนก่อน

    Àameen

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 2 หลายเดือนก่อน

    2 wafalme 7:1-2

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 2 หลายเดือนก่อน

    Lisikie Neno laMungu Jeremia Frank Isowe.

  • @chloecallie3619
    @chloecallie3619 8 หลายเดือนก่อน +2

    Na Mimi niliona Baba Mchungaji. Watu wanapita chini kwa kutambaa kama watoto. Mungu atusaidie

  • @ChristineNeema-s4h
    @ChristineNeema-s4h 8 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @Paschalnyambo
    @Paschalnyambo 8 หลายเดือนก่อน

    I agree

  • @JaneMwacyego
    @JaneMwacyego 8 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa baba

  • @EnockKombolela-f7x
    @EnockKombolela-f7x 8 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji ubarikiwe KWA neno lime ni bariki

  • @DeusdeditMichael
    @DeusdeditMichael 8 หลายเดือนก่อน

    HAYO SI MAKANISA YA YESU KRISTO, BALI NI MAHEKALU YA SHETANI.
    HIVYO USIYAITE MAKANISA.
    MARKO 16:16
    KWA JINA LANGU WATATOA PEPO....(HATUTUMII VITU TENA)

  • @naeema8155
    @naeema8155 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi nimekomenti huko face book huyo mtumishi kaniambia unatakiwa utoe elfu 10000 ya watoto yatima utume na picha ya mwenza wako majina yako matatu na picha yako na namba yako ya simu nimeshindwa kuelewa ni mambo gani haya

    • @samsonisaack5145
      @samsonisaack5145 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kuwa macho

    • @jacksonpallangyo1369
      @jacksonpallangyo1369 8 หลายเดือนก่อน +1

      Mtafute tapeli wako bhna...uyo baba wawatu hajawai kutangaza kua na uduma iyo

  • @IreneMtoto-un5lg
    @IreneMtoto-un5lg 8 หลายเดือนก่อน

    Kweli mtumishi mambo ya kushangaza mdada mzima anatolewa nguo mbele ya madhabahu eti anaoshwa dhambi hii ni aibu kubwa wanadhalilisha wakristo

  • @IreneLyse
    @IreneLyse 8 หลายเดือนก่อน

    I can I must I will to be a preacher

  • @SeluyaPhilimon
    @SeluyaPhilimon 8 หลายเดือนก่อน

    Dada haonimawakala wa shetani haiwezekani kabisa ukavuliwa nguo madhabauni eti unabatizwa hata kwa sili haiwezekani ndugu soma neno la Mungu

  • @fleviahella9818
    @fleviahella9818 หลายเดือนก่อน

    Chcvdyryh
    Ordhifj

  • @AminaKaywanga-qb2pb
    @AminaKaywanga-qb2pb 8 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @MaryMremi-x3u
    @MaryMremi-x3u 8 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @furahamtweve4222
    @furahamtweve4222 8 หลายเดือนก่อน

    Amen