MAHITAJI Vikombe 2 dagaa Vijiko 3 vya chakula mafuta ya kupikia Chumvi kwa kuonja Kijiko 1 cha chai binzari ya manjano Kitunguu 1 kikubwa Nyanya 2 za wastani Karoti 1 ya wastani Pilipili hoho 1/2 Maji kiasi
Nipo kwenye zoezi la kujifunzi kupika , leo nitajaribu kupika hawa dagaa. napenda sana nimpikie mke wangu leo nitampa hii ya dagaa asante sana. wewe ni mwalimu mzuri upo simple mpaka inavutia . Nimependa unavyomfundisha mtoto wako kupika.
Kwa walaji WA dagaa na maharage, Mimi sikuwahi kujua kama kwa wanaopata maumivu ya viungo hasa miguu, hawawezi kuamini kwamba ukiacha kula maharage na dagaaaa! Utashangaa!!( hakuna maumivu Teena! Tena! Tena kabisa!!. Mi ni shahidi. Nina mwaka mzima sijaugua au kupata maumivu ya miguu au mwili Kwa ujumla. Huwezi kuamini. Utaniambia.
Waoookk mtoto mzuri Mashaallah' unatufundisha mapishi na wewe Mashaallah
Ahsante kwa mapishi mazuri tumejifunza mengi
Shemelaaaaa lakeee unajua mwanangu anakusalim sana
I'll like dis video beautiful mum n doughter
Mummy baby times are best when both are learning from each other 🥰🥰🥰 I love this video. Usiiache njia hii. Mbarikiwe sana🙏
Salam alekum mashaallah mtoto mzuri sana
Leo nimejifunza upishi ule sijui and looking 👌 yummy 😋 😍 😜
MashaAllah Nana anajitahidi
Asante mommy umeniboresha kwa hilo
Tamu sana,ukiongeza Nazi kidogo na kapilipili
Very kind...I love your CO cook ...your daughter,easy to follow recipes
Jiongera hapo
Umejua kupika dada hongera
Nimempenda mwanao😁😁
Safi sana, leo nimejifunza kupiga
Mie napenda niwatilie nazi thanks sister
Wow nimeipenda iyooooo😄😄
Nimependa sana unavyotuelekeza na kutufundisha
Maahallah napik sana madagaa hiv Matam ajaab inaenda nakila kitu😋😋😋Hapo upat kwaugal au mkate boflo au wa ajem😋😋😋😋😋😋😋😁🙈🙏
Good daughter.
Mbona nyanya hazijaivaa bdo nzma nzmaaa ndim hkna Wala pilpil mmmh cjpenda
😂😂😂😂😂
Acha kula😅😅
yummyyyyyy mmm nakuja kula sister
Karibu sana zipo za kutosha😊
girl is fine a best insipiration ever
Wow nice Mwanza Dagaa recipe n results supper with Ugali huh 2 good I'm pleased n happy watching ur post from TANGA amen
Ahsante sana kwa feedback, nimefurahi umeipenda recipe na umefurahia ugali wako. I hope utafurahia na recipe nyingine pia😍😍
Nipo kwenye zoezi la kujifunzi kupika , leo nitajaribu kupika hawa dagaa. napenda sana nimpikie mke wangu leo nitampa hii ya dagaa asante sana. wewe ni mwalimu mzuri upo simple mpaka inavutia . Nimependa unavyomfundisha mtoto wako kupika.
Nimempenda mwanao jaman ❤❤
I like your recipe, I will definitely try it with some coconut.
The small girl did a very good job
Wee ni fundi sanaaa nmeelewa had bas
kapika vzur limao ao ndimu so kila mtu anapenda uchachu kama nisho kaweka viungo au angeweka swaum tangawizi
Mamii ungeweka na ndimu au limao kupunguza shombo
Its the baby for me 🥰🥰😍😍
Vip Royce haiwekw kwa dagaa
Nimependa mtomto
Dagaacwa mwanza mchanga sana...mnasafishaje jamani?
Ndio mtoto mzur anapenda kupika Kama Mimi
Smart girl ☺️
Napenda upishi wako
Ahsante sana, enjoy:)
Cutest baby ❤😊
Mapishi mazuri mashalaah
Mwanza oye
Nyumban tunapenda dagaa na tunapikaga hivyo hivyo Mimi pia napendagao liwe na maji kidogo mchuz
Uk vzr
pretty nice recipe for my favorite meal!! #UgaliDagaaGang all the way. beautiful daughter btw😇😍.. definitely subscribing
Safi sana! Namaliza kupiga dagaa kufwate recipe yako! Unaishi wapi? Asante!
Jaman haka katoto hai kananikosha kweli
Mashaallah mapshi mzr
MashaAllah very pretty girl
Asante sana
Nyanya mbichi kabisa, mi sijakuelewa
I will try this😍
Hao dagaa huweki ndimu na kapilipili ka mwendo kasi ili wanoge zaidi mamy? Bila ndimu c shombo?
umeona eeee
Bongevla shombo utatapika
Kitunguu swaumu kinaondoa pia shombo
Kiukweli cjamwelewa🤣🤣🤣upishi wangu unanitosha🤦🤦
Hawana mvuto Wala Nini,shombo tu hapo
Kwa walaji WA dagaa na maharage, Mimi sikuwahi kujua kama kwa wanaopata maumivu ya viungo hasa miguu, hawawezi kuamini kwamba ukiacha kula maharage na dagaaaa! Utashangaa!!( hakuna maumivu Teena! Tena! Tena kabisa!!. Mi ni shahidi. Nina mwaka mzima sijaugua au kupata maumivu ya miguu au mwili Kwa ujumla. Huwezi kuamini. Utaniambia.
Masha Allah
Nice
Unaish wapi mdada nimependa jinsi ulivo
Nahizo kiss zenu msitemee mate sasa
I like your daughter 🤣🤣🤣
Napataje hao dagaa wa mwanza? Niko Uk
Beautiful
Hogera sana dad kotot kazuri kwer daah 💞💞👍
Hi
Je nikiweka nyanya ya kusaga itanoga
Mi milaa ndo kanivutia zaidi fujo zake na ubize wake....
Yummy
Mwambye huyo dogo aache kiherehereee
😂😂😂😂mwache digo
The daughter 🥺🥺🥺❤❤❤
Katoto kazuriiiiiii
Ahsante kwa niaba yake😊😍
Cute gal
Huo mkono wa sufuria ungegeuza uwe mbali na upande wa mtoto
Sorry dada pishi lako zuri, nataka kuuliza ni lazima kuweka binzari
Siyo lazima, weka ulichonacho ☺️
Once ob it
I love everything in there
😍😍
❤دjjv😂
👍👍👍👍👍👍
😘😘😘
Hudagaa bila ndimu no. Uchafu
Mmmhh jamani uchafu tena duh
P
Mtoto anafujo huyo mama toa mtoto huyo nje ataungua bure
Kabisaa,mtoto hatar
Owa umekosa kaziii hadiii utufundshe kupikaaa dagaaaaa😾😾
We mbwa nn
Shoga una makasiriko Kwan ulitumwa uangalie😏
Dah basiii yaisheeee mbwa tna
@@raven-mele7496 sawaa bana moi fellow Mbwaa😂😂😂
@@maliamkagali5814 sasa wenzako hatujui kupika dagaa vizuri, su kwa design hii🤣🤣🤣🤣🤣, do tunahitaji muongozo
Boring
I can totally understand you, I pray you find love and happiness in life, we all need it😊
Jaman naenda pika leo
Nice
Nice