"RAIS SAMIA ATOA NDEGE MPYA ZA MAFUNZO KWA JESHI LA WANANCHI (JWTZ), YAWEKA HISTORIA!"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024
- DAR ES SALAAM: RAIS wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua na kugawa ndege za mafunzo ya awali ya marubani pamoja na mabasi ya usafirishaji kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) jijini Dar es Salaam. Hatua hii ni sehemu ya jitihada za serikali kuimarisha uwezo wa jeshi hilo katika mafunzo na usafiri, kwa lengo la kuboresha ufanisi wa operesheni zake. Ndege hizo za mafunzo zinalenga kusaidia marubani wapya kupata ujuzi muhimu kabla ya kushika majukumu ya juu zaidi katika jeshi. Mabasi hayo yatawezesha usafiri wa wanajeshi na vifaa katika maeneo mbalimbali.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: ....
SpotiLeo: ....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: Ha...
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Tuonesheni izo ndege
Wameficha tusione aisee
Uwez kuonyesha rabda subria uhuru
TV kubwa nimwendo wa movie za kivt
Mbona ndegu hatujaona
Mmechoka kupanda malori ni mwendo wa yutong baba pamechangamka