sema ndugu yangu mkojani cha msingi tafuta watendaji wazuli na wasimamizi wazuli wa kazi zako utafika mbali sana kitu kingine usitoe mala kwa mala movie jitaidi kuchukua mda kidogo kama wenzetu ulaya ili kazi inapotoka inakua kazi nzuli na imetulia sema big up tumepata mlisi wa king majuto mungu azidi kukupa uwezo wa kuigiza na afya njema
Yani hawa jamaa mnatutoa stress huku ugenini tulipo kwa classic and exclusive sensitive comedy can't call bongo movie coz akuna bongo movie anymore just drama's and so on....
Mkojani uko vzr na tin white
sema ndugu yangu mkojani cha msingi tafuta watendaji wazuli na wasimamizi wazuli wa kazi zako utafika mbali sana kitu kingine usitoe mala kwa mala movie jitaidi kuchukua mda kidogo kama wenzetu ulaya ili kazi inapotoka inakua kazi nzuli na imetulia sema big up tumepata mlisi wa king majuto mungu azidi kukupa uwezo wa kuigiza na afya njema
Da mmewapoteza bongomuv hongeren👏👏
Aloo nyie wakali kwel mungu awape umri mrefu ili muzidi kutuburudisha mafance wenu
Thanx for your support
Thanks
Wakwe wengin ni shida mama eeeeeeeh mkojani mkali kama pilipili😂😂😂😂😂
Yani mkorofi balaa 😂😂😂😂
Hii movie mzuri sana.. Big up kwa washiriki woote wa movie hii.. Mungu awabariki sana.. Inshaallah
Wakwe bw
Nomaa sana
Kumbee ng'ombe hunijuwiii hahahahaha mkojani
Awa washikaji nawaelewa sana
Makini sana mabroo
Iyoooooo ndo mbaya
Hahahaahahahaa Mkojani kasikia tulia tumpge faini katulia
Kalisanaaaaaaaaa
Mkojan kwa wizi
Kazi ipo pow sanaaaaah
Mkojani yani wewe akilizako unajuwa mwenyewe
White nakubar jalibu kupiga korabo na brother k@
Mkojan dah ww ni fire
na kukubali sana brother
Hahahahahahahah mkojan na Tin akili zenu mnazijua wenyewe
Mke Mkeo
Mbuzi wa bwana kheri, Kaiba katika shamba la Bwana kheri, Kila kitu ni kheri🤣🤣🤣🤣
Koo hizi mbili ukaziita wizi ,thief, Chori hahahahahaaaaaaah 🤣🤣🤣
Nimesimama upande wa umamani, Ladies First.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 balaaa sasa koa mbili zimekutana duh
kabisa kheri 😂😂😂
Nakubali kazizenu
Munajua sana sana
🤣🤣🤣🤣🤣Mkojan kaulzwa unanyumba alvo nywea Kama sio yeye,🤣🤣🤣 alafu anajitetea eti nayeye angekua anakunywa pombe mke wake angeficha akamjengea nyumba
Kinonke tisha mbaya
Hahahahaaaaa kooo zote mbili ni chori 😂😂😂😂tin white mkojani hatari sana aisee
Msiwe mnatuchereweshea jmn tin mkojan nagwaa kilangaso barut nomaaa
Hongereni kwa kazi nzuri
Mbona kubwa kuliko hamuiachii tunaisubilia kwa hamu sana
Juma pili ijayo
Mmh maajabulaa !eti uliingilia na afu 50 jera halikuwa walimsaula ko ulikoficha leo ndo ulikokaficha iyo siku
Hamjawah kuniangusaha
Mwaka huu litakufa jitu , mahana sio kwa speed iyo big up pongezi kwenu. Mnafanya vizuri sana
Thanx for your compliment
Eti umenikuta sijacharuka kati hapo kacharuka ngumi 21 duuh 😅😅😅
Wangapi wamemiss #kubwakuliko
Nimekuona mkojani na kofia ya nagwa
Nawakubali sana
😄😄😄😄😄😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijamaliza ata kuangalia nishaanza kuvunjika mbavu,,wallah mkojan mkorofi
Weeeweeeee twende sawa
Unaielewa eheeeeeee hii
Mkojani alikuwa alewi ndio mama Ana nyumba 😂😂😂😂😂
Mkojani una nhumba 😂😂😂😂😂
iyo ndo mbayaaaa iyooooo
Good one🙏
Mkojan na Tin white naomba kuuliza namnijibu pls ile move ya kubwa kuliko ilishatoka au bado nasubiri jibu
Saf sana
Mkojani umeoa kweli maana nakupenda Sana km ujaowa njoo unioe nakupenda mnoo
Misis mkojani mweeeee
Duh mnanipaga rahaaaa
Kelele ya kwanza kwa wakwee zakeee haaaa mnanifuraisha kweli penda sana nyiee watu
Weraaa auuu part mbili(2)
Anaolewa leo leo hyu
Hhahhahaha ww unanyumbaa tuli mute umetuliaa nyie bwana balaaa
Kama na ww ulikua unaisubilia kwa hamu wakwe gonga like yako
K
Tupo p1 hahhhh
Yaan nilikuwa naisubilia kwa hamu zote hapa naangalia ila nacheka balaa yaan tin na mkojan nyie watu hatar kwakweli 🤣🤣😂😂😂😂
Ebanawe hii ngoma nikali hamjawai kosea wajomba.
Nice
Wakwe kama Wakwe😂😂😂😂😂😂
Mkojani😂😂😂😂
Kwahyo mmeona mtuwekee wakwe kabla ya kubwa kuliko
Sawa acha tuangalie japo kinyonge
Juma pili ijayo kubwa kuliko
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hakiri zaki umamani mkojani utaniwuwa nitatoka Burundi nikuje kukuona bwana
Kbla sijamaliza kuangalia nagwa yupo
😂😂😂
Kbisa yn
Hhhhh mpo vizur
MKOJANI NOMA
Mko vizuri ila kubwa kuliko tunatka
Juma pili ijayo
Nomaaa kweli
nice
Mkojani toa kofia ya kisharobaroo huoni tini alivo tokelezea ki uhalisiaa naomba mlifanyie kazi hilo
@lionel nibitanga mbona kuna wazee wanavaa hizo kofia
@lionel nibitanga kweli nimeona katoa
Well done wadau
Huu mchezo mkali sana
🤣🤣🤣🤣🤣mkojan unanifurahshaa unavopanic😂😂😂😂
Mwendelezo jamani penda Sana nyiee
Tayari
Nawakubalii sana
😂😂😂😂😂😂😂yaani tin wewe
Kipupwe ati laxima nimpige hata kama babake Jay zyyy acha huyu muvivu🤣🤣🤣🤣
Hata kama mume wake sio babake.
Mkojani achana na hiyo kofia inakutoa kwenye uhalisia
Kweli bro
Umesema kweli
Sauda ana akiri kama ya mkojani kununua kiwanja
Mkojani
Jami tuekeeni kubwa kuliko jamani mbona mnatutesa😥😥😥
Yani hawa jamaa mnatutoa stress huku ugenini tulipo kwa classic and exclusive sensitive comedy can't call bongo movie coz akuna bongo movie anymore just drama's and so on....
kabisaa yaan ugenini jau asanten sana tunajikuta tupo home
Nawapenden san
Mashaallah
Ng'ombe nyieeeeeeee😁😁😁😁😁😁
Mkojani nakupenda bureee
Unanyumba ww🤣🤣🤣
Nice and funny
Nilikua najiuliza master anko jan yuko wapi😅😅😅😅😅😅😅
Uwa nawafatiliaaa sn kutokaaa🇺🇸🇺🇸🙏🙏
Thanx for your support
Tunasubiri part2
Mkojani hatuiitakii kofiaa hiyooooo
Ladies first🤣🤣🤣🤣
Kweli wakw😀😀😀
Wanawake wanyenyekevu Kama huyu dada wapo kwel
Sauda umenifuraisha🙏🙏🙏😭😘😘
Safi
Mkojani kofia binafsi yng nimeichoka hebu jaribu kutubadilishia ladha
You always entertain... Watching from kenya
Thanx for your support
Naicheck mda huuu nipo kwenye gari naelekea Tanga
Mkojani una nyumba 😂😂😂😂😂
Wizi wa akiri
😂😂😂😂😂nawapenda sana, tena sana💋💋
Hi sio family yakuowa hii🤣🤣🤣🤣
Kumbe ng'0mbe hunijui 🤗🤗
Super of solomoni
Mkojani ana biti 😂😂😂