UMBAMBAMBA EP 01 | MSIBA NA MUZIKI - KWA SAMOFI MSIBA, KWA MKOJANI SHEREHE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 เม.ย. 2023
- UMBAMBAMBA EP 01 | MSIBA NA MUZIKI - KWA SAMOFI MSIBA, KWA MKOJANI SHEREHE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Alopiga colour hii movie hafai asee jamaa wamuongeze mshahara maana ile ya kina mkojani ilikua kichovu sana ila hii ki international zaidi ❤❤❤
ngoma saiv wanacmmia wasaf wenyw chama kubwa lazma ing'ae😀
He ni 🔥 mzee
Wasafi baby
Umba mbamba ndani ya wasafi kumenoga kweli waiyendeleze basi
Yaaan inaonyesha safiiiiii kabisah
Zanzibar tujuane mikono juu
Kilichomtokea mambwende kishawahi kunitokea pia asee😀😀😀😀😀😀😀😀
Wasafi chama lawana 🔥🔥🔥🔥🔥🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Nilijua tu mimi hamna cha ugomvi wala nini 🤣🤣
Wasafi wasafi burudani kwa wote we love you 🔥🔥🔥🔥🔥
Noumaaa sanaa 🔥💯👊💪 👏 pindi la kijanja
Mkojani 🔥🔥🔥
WOW nice work bro umetisha simba kwa kurushika hii kipindi
Ikifika sehemu yetu tulipofikiaaa mtanishtuwaaaa
Naona umeanza mwanzo asaa dahh
Ndo utulie
Sio ote walio kua Wana fuatilia mshamba ww wenan ata usipo shituka una mchango gan nabando lako labuku
@@christianfelex5078 kua mpole kaka
Mliishia sehemu ya ngapi ndugu
Maa shaa Allah Wasafi TV.Tunaomba mtuletee na Zahanati ya kijiji pia plz
😂Apo unajidanganya kazi ya azam aiwezi rushwa kirahisi hivyo
@@innomchaga 😅😅
@@innomchaga 🤣🤣🤣🤣🤣atasubir sana etii
You did it guys love you from OZ 🇦🇺😅😅😅😅😅😅
Hongera 🔥🔥🔥 sana mkojani God bless mkojani family
Thanks so much wasafi for support, love More 🔥🔥🔥🔥💪💪💪🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kumbe ndy mshahamia makao makuu eeh😂😂
Waooo baga nimekumic bro
Samofi na mkojani 😂😂
Ikifikia sehem yetu tutasituana
Sawa usijali wwe
I miss you mambwende
Wasafi tv 🔥🔥🔥
Wow tunasubiriya sana tu
hapo sawa tunashukuru kuirudisha
Bongo you nailed it hi
❤❤❤
Mkojani hii movie ilikua Kali sana lkini ulipoileta wasafi zengine hatuskii sounds effect zako haziko ni miziki isiokua na maan tuu
Kazi imeanza
Inaonyesha juma ngapi na juma ngapi
Nakubali
Hatali
Uwo kwel unaitwa umbambamba mpa wenywe mnafanyiana umbambamba sasa diamond msimuangushe
tulkua mbali Sana , mmefail kuianza Tena upya
Inaruka lini na lini na nisaangap
Unyama mwingi
Tunasubur tulipo ishia
Msimba na muziki
Safi sana
Mkojan mtu sana
Wasafi mmetishaaaaaaaa!!!!!
Naona hii inaangara tena zaidi
Saiv imenyooka kinoma ya mkojani gang ilikua imepauka kinoma
Mbona umbamba
Love de pus Marseille France je sus fane de wasafi❤❤
Love it
❤❤❤umbamba 🔥🔥🔥😂😂😂
Yes diamond make umbamba on wasafi tv
Mziki msiba 😊😊😂
😂😂😂😂😂❤
Mambo motoo
🙌🙌🙌🙌🙌
🔥🔥🔥
Ikifika ile sehem tuambiane
❤❤😂😂😂😂cjapitwa
Nairudia tena aise
IV ni Kila Lin jamn
Sahihi
Wangu dh imerud hhhh tutainjow
💥💥💥💥💥
sisi tuliyo anza nayo mpaka eps 27 tuanze tena kuangali hia sio mbaya
Mjini shule apo imeanzishwa mwanzo ili MB zetu zipgwe watu wapge Hela
Noo ni kwasababu inaruka kwenye Tv chanel ya Wasafi so watazamaji wengine wa tv hawakuiona Mwanzo kwenye youtube ya Mkojani😊
Nice
Jamani kendi anafanana na dem wangu jamani 😄 🤣 😂 😆
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Goma limeaza jamani
🔥🔥🔥🔥
💥💥✨
Inarushwa saa ngap
Mashoga kweli nyinyi sasa mnaturegesha ukooo awali kwa nn msituekee muemdelezo episode 34 uko mabwege nyinyi😣😣😣😞😞
Msiba na Mziki
mkojani bin darwesh bin tarbush
Dh mkojn hawa w2 wananogesha
Chandimu ungwadu leo sio mganga
Msiba na mziki😂😂😂Akili Iko kwenye mziki kumbukumbu ziko msibani
Tunasubiri kwa hamu
Itakapo fika ep 27 naomba mnishtue nimekaaa paaaleee na namba yangu ndo ile ile
Wasaf imebeba kijit
Ikifika ya 32 mseme jmn
Apa sasa ndio pamenifanya nipende Wasafi TV
Ila daaah mbna ule wimbo mmeutoa
inaruka sa ngap na siku gan jaman
dar hii kitu tyr ishanikuta😫😫
Wameanzia Mbali duuh wacha tusubiri
♥️
😂😂😂😂😂safi wasafi 🔥🔥🔥🔥🔥🌟⭐️🌟
Acha na mimi niangalie maana huwa naadithiwa tu
Safi San Wasafi Tv
Ndo kama hivi 2nataka kazi tukoshe nafsi zeta kulumbana sio
Hatari xn
Good
🔥
Mbambamba
Asee mbna mume anza mwanzo
Ikifika sehem tulipoishia mtaniambia
Hii ndio EP 1 ama vipi
Banawe ikifika episode ngapi tulipoachia nitarudi
🥰🥰😍umbambamba oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mobwende hatari
Kuna mtu ishatokea ila ilikuwa Dah acha niishie hapo
Inaruka saa ngp jamn
Wasenge Sana hawa wameanza tena! 😂😂😂😂 Kweli nyinyi mapoyoyo.
Wasafi Hakika Niyakwetu Dah! 😭 Naipenda Wasafi❤🔥
🎉