Yan Tin na mkojani kwenye movie zenu ladhima mgombane, ila mkojani pasua kichwa, big up unafanya kazi na watu wazuri Mungu awabariki katika kazi zenu baba mkwe shemeji wangu mie, big up Tin tena sana wewe na mkojani na mwaneo Mme wangu Nagwa salute 👏👏👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️
Jukumu.letu sote kuwapenda na kuwathamini wake zetu.Katika ndoa yyte hakukosi misukosuko kila mmoja ako na umuhimu na mwenzake. Move nzuri na mafunxo mubashara. Napenda kuangalia move za mkojani na tin.
wanawake wazuri wapo ila inafaa umjue vizuri mwanamke wako. mwanamke ni kama udongo wewe ndio unaetakiwa kumtengeneza, kwa hiyo wewe ukimfanyia ubaya mwanamke anaeza kubadilika kutoka kwa malaika akawa shetani
Aisee nimeipenda sanaa mko vizuri Mama yangu alishafanya jambo kama ilo kwa Marehemu Baba yangu naye aliichezea kichapo kinoma ... baadae Mama akamwambia ukweli kwamba pesa alinunua kiwanja ..Tangu siku iyo Mzee akuwahi kumpiga Mama mpka mungu alivyomchukua Mzee ........GOOD MOVIE
Kama umemsikia Tin White akisema nipime na thermometer yngu.Msimnyime likes zake na zangu.Hhhhhh
Kama hawa watu wanakula bando lako kama mm gonga twendwe sawa
Pamoja sana
Dah nampongeza sana mume wa sauda anajua sana ku act kwa kweli kwanza hiyo part anayojaribu kumuamsha sauda dah its like a real life. Big up sana Man
Yan Tin na mkojani kwenye movie zenu ladhima mgombane, ila mkojani pasua kichwa, big up unafanya kazi na watu wazuri Mungu awabariki katika kazi zenu baba mkwe shemeji wangu mie, big up Tin tena sana wewe na mkojani na mwaneo Mme wangu Nagwa salute 👏👏👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️
nawakubali sanaaaaaa...... ndio bongo movie pekee ninayoiangalia bana
Jamani hi movie nzuriiiiiiii sana aiseeee. Nimeshindwa kuipredict mbele Nini kitatokea toka naanza! Tofaut na bongo movie zetu
Dah mkojani noma achoshi kumtazama tin mkovizur san
Kazi nzuri tiny, mkojani Asante OSO ONLINE TV
Jukumu.letu sote kuwapenda na kuwathamini wake zetu.Katika ndoa yyte hakukosi misukosuko kila mmoja ako na umuhimu na mwenzake. Move nzuri na mafunxo mubashara. Napenda kuangalia move za mkojani na tin.
Mko vizur Sana wallah Allah awaweke zaidi mzidi kutupa elimu na burudan ndan yake Ila msichelewe xna kutupa v2 vipya
Tini mkojani 😀😀😀mke n mume Wallahi mko na akili nyingi nawapend sn ,nakuja bongo kuwaona ,napata raha nikiwa saudi Arabia
Wapo kwli wanawake waina hii Mungu awalinde wanawake wote wazur kama hawa
Amin 🙏
Sio kwa karne hii ya sasa maana wasasaivi wanaabudu pesa ata kuliko kitu kingine na ikitokea amekuibia ivyo basi izo pesa utoziona maishani mwako.
Ameen summa Ameen🤲 allah atulinde
wanawake wazuri wapo ila inafaa umjue vizuri mwanamke wako. mwanamke ni kama udongo wewe ndio unaetakiwa kumtengeneza, kwa hiyo wewe ukimfanyia ubaya mwanamke anaeza kubadilika kutoka kwa malaika akawa shetani
@@alfanm.8221 mwanamke ukimtongoza ukitumia pesa basi jua yeye atakua akikunyonya tuu mpaka ushangae, maisha yanataka ushauri mzuri na umakini
Kwelii inafundisha sana. Mmeicheza movie hiyo. Ki dini kabisa
Ukweli saida alipigwa kila cku ila binti alikuwa na maono ya mbali na mwambaaa umedondoka 😢 paradise bila mtoto daaah hatari hii comedy nzuri sana
Baada ya kuona busara zake ndiyo unajifanya mke wangu wapendeni wake zenu wengne ni zawadi
"Baba endelea kulewa ili aweke na bati"
Mkojan mseng san
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣Mbavu zangu
😂😂😂😂
Mkojani sio mtu wa sayari hii ni noma
Aisee nimeipenda sanaa mko vizuri Mama yangu alishafanya jambo kama ilo kwa Marehemu Baba yangu naye aliichezea kichapo kinoma ... baadae Mama akamwambia ukweli kwamba pesa alinunua kiwanja ..Tangu siku iyo Mzee akuwahi kumpiga Mama mpka mungu alivyomchukua Mzee ........GOOD MOVIE
👍
Daaa amakweli nyinyi mnaujuzi mzuli wa kupangilia adidhi iko poa sana tupieni sehemu ya 3
Eti endelea kulewa mke wako atiye bâti 😀😀😀👌👌👌
😂😂😂😂😂😂ety wote umewakumbatia bado mm duh ii Kali ya 2020
Mjawai koxea tinwhite plus mkojani n homa ya jiji
Yani washkaji mko poa sana...bongo move waachani wasubiri sana
Nawapenda sana kazi zenu ni nzuriii balaaa
Umeni mis aroipata iyo link tufuraiwote
Tin unajua mpaka kimamba 😂 kweli wewe unatembea
Ndio kwao huko
Alikuja kilosa kila nyumba akula bule
Hawa jamaa washaniroga na hizi move wallah
Duh na Mimi hivyo hivyo
Aisee sinaga Cha kusema kila nikiwaona ila kiukweli movie inagusa na inasikitisha zaidi inafundisha
Wa kwanza kufungua
wa 2 kucomment
Duh! Tini ni nongwa anavituko balaa 😂😂😂😂 my number 1 supersta wa bongo
Yan Sikuiz SIANGALII MOVIE
MPAKA NILIONE jina LA MKOJAN
na TIN WHAYT
Na nagwa
Yes
Tupo pamoja yan
Tupo wengi kumbe.
Kabisa tupo wengi
Nawakubali hamna kaz mbovu🔥
Nyie watu noma sana sijutii bando languo
Anko kama preginanti daah mkojani mjamzito 😂😂
mwanamke wahivi walikufa vita yakwanza ya dunia akuibie pesa ajenge nyumba bila ww kujua harafu hati andike jina la mwanaume karne ya Leo hakunaga
Tinnnnnn baba endelea kulewa🤣🤣🤣🤣🤣
Wallah nimependa hapo endelea kulewa ili ajenge na bati
Endelea kulewa baba 😂😂😂
✅✅🙏🙏 kazii nzuriii
Wakwanza leo 🙏🙏🙏
KaTV kadogo lakini ndan linaonekana GHOROFA🤣🤣🤣🤣
Nice we need the last episode
Huyu ni sauda lkn siooo mwilima
Amazing movie big up tinni
Film safi xn
😂😂😂😂😂Tini weweeee!!!
Acha mambo ya kishenzi bhana 😀😀😀😀
Tama mbaya jamani🙈🙈🙈🙈🙉🙉🙉🇧🇮
Much 💖 from damam city
Oggg nawaelewa xn part 3
Am lover boy, am pregnant 🤣🤣🤣kizungu waachieni kina giggy money
Inafundisha mno we acha tu
hahahahahahah tamaaaa bwana mkojani unatamaaa
Mko vzur sana jaman Mungu awabark kwa mov nzurii
Kwa Tanzania haijawahi tokea nambamoja
Movie Nzuri Yenye Mafunzo, Wanaume Mupende Wake Zenu Kwa Hali Yoyote Ile Kabla Mtu Akuondokee Ndio Ujue Umuhimu Wake
😂😂😂😂😂😂😂😂yaani jamani khatar kazi nzur sana tin😘😘😘😘😘😘
Mkojani the Master Planner!
Hongeren washirik wote
Nawakubalisana hawajamaa nawakubalisana OSO
Wap..??,Nagwaaa..!!
Perfect
Lkn hongera ziwafikie mwafanya vizuri sana
Baba enderea kulewq ili aje kujenga bati pombe diri bhn nimechek mm😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
I am lover boy hahahahhahahaha
Hebana eeehhee so mchezo maisha bana
Sauda anaringa huyo hatariiii
Nakubali sana miamba nawafuatilia san
Mashallah
Tini unavituko hiyo kofia umeikatakata mwenyewe fashion yapekeyako nawapenda 😀😀😀😀😀
Nakubali sana mokojan apana nakataa
Yeyote anayewakubali hawa jamaa naomba like zenu hapa jmn
Mkojan n tin wanvirojaa😂😂😂
Eti umenimis hayaa njoo😂😂😂😂😂
Mwaluvnda anatia uluma
Wa Kwanzaa hapaaa
Watu wote umewakumbatia kasolo mimi
Etty endlea kulewa😂😂😂
Hahaha ety umenimiss 🤣🤣🤣🤣
Asanteni sana tunawaomba sehem ya 3
Thanx tayari
😂😂😂 mkojani tamaa mbaya iyo
Nawaku kubali sana hawa watu sana zaidi ya sana ila muwaruvanda kauwa sana 👍
Nzur
Good movie
Hongern san
Nzuli sana
Nyie ndio mlioback bongo tu
Safi sana
Duuh Atari sanaa
Tamaa mkojani😂😂 mv inafunza sana
Iam uncle am pregnant😂😂
Alie skia tini akisema endelea kulewa gonga like
Endelea kulewa aweke bat
mko vizur sana
Nzuri
🤣🤣🤣eti we endelea kulewa tu baba
Sauda au Saida mm nilijua karoli sauda gambe nimeacha
Hahahaha endelea kulewa baba
Nawapenda xana co wale bongo movie
Mafunzo mazuri
good movie