Diamond + Zuchu = Love birds. Mpende msipende hao wawili ni komesha. Esma na Mama Dangote tulizeni Boli. Chakula kila mtu hula kwake na hawatangazi,. Hizo zenu ni Daaah 😂😂😂
Hajaimbia mtu mnashukwa na nini nyie jamaniiii toka Esma sikupendi wewe muache mtoto wa batu apumue mnamusema sema ili iweje shii zuchu super woman mm mbona mnaonekana hamumpendi na diamond tayali amesha mpenda mtabadirisha nini nyie😂😂😂😂
Walikua na tabia mbaya sana kumfuata diamond kila mahali Hadi Kwa dinner outs na mpenzi wake yaani ni kama kunguni...zuchu amewafunza kushughulika na yao😂😂😂😂😂
@vickynyakio7346 Naam 😂😂 kwa kweli wamekomeshwaa haswaa kwenye show na maparts jawaonekani ni zuu TU na domo kushikanq mikono na kuenjoy diamond kawachoka nyie
Mmh et vocha ya kukwangua umesahau kua ulikuwa unadanga ad na waume za watu mfyuu .nyoo ulitoa mkuu tandale ad kwa ma Teja ulikuwa unagawa ad ukiwa mwezini limbukeni
@@JamillahMustaphaYaani Mungu azidi kumtunza huyu mtoto kajua kutuliza watu😂walikuwaga wamezoea wanapohamishia majeshi yao tunawafata safari hii wameyatimba,kuanzia Juma Lokole na mama yao kitambo hawasapoti nyimbo za Zuchu lakini mashabiki tumesimama na Zuchu wala hatuwakohoi Zuchu anapepea tu bila wao
@@rosemahenge9071Nyie wajinga Sana sasa zuchu si Yuko kwenye record label Yao?hela inaingia wasafi yeye anapata asilimia tu sasa mtu anayewaingizia hela watamenda hata kinafiki
It's Lioness Queen Zuchu &Lion Diamond Platnumz forever IJMN amen ❤❤❤❤❤
Zuch Forever 💯💯
Mama dangote congratulations kwa kutuzalia dangote ❤❤❤❤❤❤ubarikiwe sana.
Mama dangote I love you so much mom umejua kuwajibu mahetaz
Ahsante mama neno 1 anapenda mwanae katulizwa wambea wacheni fitna 😂😂😂😂 nimefurahi.
Kabsaa watu huwa wanamsema vibaya mama
Diamond + Zuchu = Love birds.
Mpende msipende hao wawili ni komesha.
Esma na Mama Dangote tulizeni Boli.
Chakula kila mtu hula kwake na hawatangazi,. Hizo zenu ni Daaah 😂😂😂
Zuchu ❤❤❤❤wanaendana
Penda sana mama Dangote mie wali kauzu kisamvu❤❤❤❤
asma nataka nikuoe tuachane na akina zuchu coz ur soo cute
Nyooo msofanya yenu
Mungu jalia zuchu na Abdouli waowan
Mta subiri saaaana 🙄🙄🙄😂😂😂
Mama Daimond upo vizuri toka yupo na Zuchi katulia
Wambiye mama wasi kugomba nishe namkwe wako ❤❤❤❤❤
Safi Sana mama Diamond ametuliya kweli ❤❤
umbea muache asima Haifa kwa muisilamu wacheni chuki binassi mutajibu nini siku ya molawenu
❤❤❤❤nampendaga huyu mama❤❤❤❤❤❤
Hajaimbia mtu mnashukwa na nini nyie jamaniiii toka Esma sikupendi wewe muache mtoto wa batu apumue mnamusema sema ili iweje shii zuchu super woman mm mbona mnaonekana hamumpendi na diamond tayali amesha mpenda mtabadirisha nini nyie😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤ Zuchu and Diamond. Super fan 🇺🇸
Aya mama diamond kasema mwanae ametulia kwa ajili ya zuchu..muache fitina
Hawaendani niheri zari
Mmewezwa na zuchu hamfurukuti kwake kamkamata diamond hatari
Bibi tifa kopi ya nillan
mama dangote kashusha silaha chini atakuanambinu mbadalaaa yaanitunasemaje miaka hii maji mtaita mmaa
Asante mnasikiy manyema😂😂😂😂
ww esma siulisema wema malaya sasa hvunataka kupigisha shot iloooo tumekujuaaa unlo bb limekugandaaa
Esma na mama yake ni mbwa haswa.
Unajichamba mwenyewe
Ease ge
Jamani mama dangote umefanana na biryani ona mwanya
Esma Leo umewakomesha wambea hao wagombanishi wanafurahi wakiona mama dangote WA watu wanavyo mzalilisha hawataki wakuoneni mkiwa na furaha
Wewe dada unatia aibu Yani unaonekana una wivu na zuu alafu wewe ni mshamba ela mmeikuta jioni ndo mana mngeikuta asubuhi msingepata tabu
Mugangawenu kafeli
Mbona Hawa hawataki mond aowe mbona family mnachekesha mmmm
Dai katulia wapi
🎉❤❤🎉🎉🎉
Hujambooo
Hamna lolotte wanafki😊
Mpaka dakika hii zuchu 90 mama dangote 0 😂😂😂😂
esma unahaha bb tulia tengeneza mjiwako sasa hv naona unamuingiza wema sasa wema ananini kwisha habar yakeeee
Ile familia haitachoka kumpenda wema aliishi nao vizuri kwa jua na mvua.
Hatar sana asaiv hakuna safari za pamoja Dubai south Africa domo asaiv kila akienda sehemu n zuchu nyie kaeni mle visamvu vyenupaka mseme na bado😂😂
Walikua na tabia mbaya sana kumfuata diamond kila mahali Hadi Kwa dinner outs na mpenzi wake yaani ni kama kunguni...zuchu amewafunza kushughulika na yao😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂jaman ñyie@@vickynyakio7346
@vickynyakio7346 Naam 😂😂 kwa kweli wamekomeshwaa haswaa kwenye show na maparts jawaonekani ni zuu TU na domo kushikanq mikono na kuenjoy diamond kawachoka nyie
😂😂😂😂@@AsiaShaban-zz4yr
😂😂😂
Usiwajibu usiwape Airtime
Haina Maana kuendeleza ujinga
Wapo kazini wanapromote album ya zuchu
😅😅😅
Hii familia haitaki diamond awe namahusiano yakudum au ndoa
Apatoki boyi manyema
Nkpnd mama dangote ,wachane🤣🤣🤣
Hhhhhhhhhhhhhhhh duuuuu diamonde atouchezeya tout diamonde ampenda aliyah
Ww waumia ukiwa wapi Kwan...
When people are talking about important things ,you bring Aliyah who is she?Stop dragging Aliyah into mud 🙄
Aaliyah ana mpenzi wake usimkosee heshima
Mama una taka kutobwa ww
We adabu uyo nimutu muzima acha ivo
Uwe na heshima kwa mama wa mwenzako jamani,mweeeee!
WW mwenyewe ulikua mdangaji mkundu ww
😢
Hujambooo
Mmh et vocha ya kukwangua umesahau kua ulikuwa unadanga ad na waume za watu mfyuu .nyoo ulitoa mkuu tandale ad kwa ma Teja ulikuwa unagawa ad ukiwa mwezini limbukeni
Hamna lolotte mmekomesha
Na nyie mnaye mpa Sifa huo esme ndio mnampa kichwa ishi maisha yako
Huyu mbwa na mama yake siwapebdi
Were you invited here.Get lost.
😂😂😂
Yeye mwenyewe hakupendiiiii
@Peterchila-un2lx kajambie hiko
@@Peterchila-un2lx kajambie kipapa
Mage kijiti njoo hapo na mifupa yako usikie
Naonag mma dagote nimpole aped ogea meg
Hamna lofoten nyie wachawi tu hakuna atakae dumu milele tupo na Zuchu nyie mna hila
walijua zuchu hana mafans sasa wameyakajagaa
😂😂😂😂@@JamillahMustapha
@@JamillahMustaphaYaani Mungu azidi kumtunza huyu mtoto kajua kutuliza watu😂walikuwaga wamezoea wanapohamishia majeshi yao tunawafata safari hii wameyatimba,kuanzia Juma Lokole na mama yao kitambo hawasapoti nyimbo za Zuchu lakini mashabiki tumesimama na Zuchu wala hatuwakohoi Zuchu anapepea tu bila wao
@@rosemahenge9071Nyie wajinga Sana sasa zuchu si Yuko kwenye record label Yao?hela inaingia wasafi yeye anapata asilimia tu sasa mtu anayewaingizia hela watamenda hata kinafiki
@@hopefully7090 Toka ametoa album umeona wapi mama Dangote au Asma amepost kumsapoti?