BII KHADIJA NAJUA ALLAH NDO MWENYE KUHUKUMU ZAIDI BUT KUJISTIRI NYELE ZAKO NI FAIDA ZAIDI HAIFAI KWA MWANAMKE WA KISLAMU. ALLAH AKUHIFADHI NA AKUONGOZE NA NAKUTAKIA MWISHO MWEMA
Kila mwanamke anatakiwa kujua hilo furaha ndo afya mama kopa aongea maneno mazuri sana mungu tuekee mama zetu hawataki chochote kwetu shida zote walopitia kwa ajili yetu wanatuombea tu furaha mungu wabariki kina mm wato dunia walotangulia mungu awarehemu. Aa mis umama
Ndo Naangalia saa hii.🤣🤣DIDAH .JUMA .IDRIS. leo mume patikana.🤣🤣🤣👋👋poleni na pongezeni .kwa kuya himili majibu. Ya wa zanzibari..leo hadi raha..wanzanzibari hao.👋👋🤣🤣 wame niowa hao..mbona !. nawaelewa.munga MKANGAYA !..ANA WAZUNGUSHA....Pole nyingi kwa juma leo amepatikana 🤣🤣🤣 BI KHADIJA HOYEEEEEEE👋👋👋👋👋❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪
I Looooooove you! Khadija Kopa. Mungu azidi kukustiri malkia wetu.
Mm kiupende wangu mm naona hapa karogwa mtu nomba like 100 plz
Sichoki kumskiliza huyu mwanamke wallah nakupenda khadija
This mum is so generous and courageous much love from this side 🇨🇦🇨🇦
Mm ninachomshauri zuchu Kama kweli anaolewa na dangote ajipange kuzalashw nakuachwa kwakweli kaingia chakike
Sikujua amepitia mambo hayo kama mimi na mimi nimesolve ka
Alivyosolve
This is the best interview for me
Zuchu angefata uzuri wa mamaake angekuwa moto,manshaallah khadija kopa.
Mashallah mashallah aunt Khadija Maneno kuntuuuu 😘😘❤️❤️❤️
BII KHADIJA NAJUA ALLAH NDO MWENYE KUHUKUMU ZAIDI BUT KUJISTIRI NYELE ZAKO NI FAIDA ZAIDI HAIFAI KWA MWANAMKE WA KISLAMU. ALLAH AKUHIFADHI NA AKUONGOZE NA NAKUTAKIA MWISHO MWEMA
Mama u r one in a million....so courageous confident kip up
Woooooow I love the way she answer questions,, so long us the child is comfortable with his/ her choice is ok
Mimi hapa Kenyan nawapenda bure 🤣 Juma rafiki yangu pokea salamu zangu.👌
Heheiyya sigombei mwanaume nikajitia mashaka,mwanamke najiamini nipatacho naridhika,mama wakwa Alinatu wewe humdharau mtu,Na khasa awe muungwana moyoni aloridhika ❤️❤️❤️I love you bii Khadija,
Mama kama mama. So full of wisdom.
Kila mwanamke anatakiwa kujua hilo furaha ndo afya mama kopa aongea maneno mazuri sana mungu tuekee mama zetu hawataki chochote kwetu shida zote walopitia kwa ajili yetu wanatuombea tu furaha mungu wabariki kina mm wato dunia walotangulia mungu awarehemu. Aa mis umama
Malkia wa mipasho ,😆😆😆upo Nyonyo 🇰🇪🇩🇪💯 Nakupenda Bureeee Bi Khadija na mashamsham!
Bi khadja nampenda sana💟💟mungu akuweke
I love you more 💕 mum
Wazanzibary tunayaweza kwa mahaba ndindi wazanzibary oyeeee tunamchukuwa diamond mzima mzima mzima
😀😀😀😀😀😀 una uhakika tunamchukua
Kwakweli WANAWAKE Somo Hilo kwa Bi Hadija🔥
Leo ahsante bi khadija interview pambe leo
Hadija kopa hachuji.mama mzuri jamani
Hongera khadija omar kopa
Adidja kopa unachekesha sana ❤❤❤❤❤❤
Nakupenda bure bikhadija mzanzibar pambe hatar😍😍😍😍
Nakuped mama bure
Mashaalah hadija kopa wambie subra hawana
Mama mama huyo…nakukubali
Tarehe 14 itakuwa noma I can’t wait
Juma upooo Leo umekutana na size yako 😆😆😆
Khadija Kopa kweli malkia wa mipasho Tanzania
I love you mama
I love mama hadijah kopa mama anae Jiamini kwa kila jambo, hongera mama kwa bidii yako
Mama hongera 😍😍😍.
Leo mambo shegaaa 🥰🥰😍😍😍😍
Amna harusi wala kirusi, wasaf wanajua kutafuta hela kiujanja Wala awatumii nguvu nyingi
Mama nampenda huyu somu😀😀😀😀
😂😂😂😂😂😂😂😂 mama zhuuu umeongeya Kweli Kbs Zhuchu anasifa zote zakuwa mke 💪💪💪💪
Hahahaha bi hadija unaongea vizuriiii unanipa mafunzooo piah💯❤❤❤
Khadija kopa is beautiful, has beautiful eyes likewise her daughter zuchu
🔥❤🔥
Hi
Wanao sema ohh ! Zuchu ni mbaya ohh ! Zuchu haendani na diamond....BI KHADIJA AME WAPA JIBUUUUUU.! MUPOOOOOOO !🤣🤣🤣🇰🇪
Mmmh hadija kopa tupeeeeee 😘😘😘
Love you Queen wa mipasho ♥️♥️💙💙
Jimbo pambe👍🏼👍🏼👍🏼
Nimepata darasa.
Nakwambia 👌🏿👌🏿👌🏿👌🏿
Hakuna ndoa kiki wanataka watu wajae wapige pesa tu
Akh kweli,,,
Ni khadija kiboko yao, nakupenda bure
Nimependa hyo bwana nchakazee
juma kapatikana
😂😂😂 Khadija nampenda sanaa
Hhhh dawa zinapishana 😆😆 uyu njo atamukomesha, Mama wa diamond 🤣🤣🤣 paka mimi naogopa kukutanisha, awa wa bibi bawili!!!
Wallah nimecheka 😀😀
Hadija kopa nakupenda bure🤣
Hahhhh mashaa Allah
Mama dangote watapatana maana bi khadija ananguruma. Wachezea wazanzibary na manjonjo halooo
Ok merci
Ahaaaa nawapenda Saaana
Nakukubali mama kweli zuchu kafu nzwa heshima kweli kitu muhimu
Nakupenda bure dida
Mkitafakari alichokiongea Bi Khadja wenye uelewa tumeshaelewa kuwa hakuna ndoa ni kk tu 😜
Pambe🔥🔥🔥
Huyu dida kabarikiwa na sauti
Mashaallah kwakweli
😀😀😀anajuwakufunda tu ilakujifunda hajuwi
@@johasaeed391 9⁴
Ndo Naangalia saa hii.🤣🤣DIDAH .JUMA .IDRIS. leo mume patikana.🤣🤣🤣👋👋poleni na pongezeni .kwa kuya himili majibu. Ya wa zanzibari..leo hadi raha..wanzanzibari hao.👋👋🤣🤣 wame niowa hao..mbona !. nawaelewa.munga MKANGAYA !..ANA WAZUNGUSHA....Pole nyingi kwa juma leo amepatikana 🤣🤣🤣 BI KHADIJA HOYEEEEEEE👋👋👋👋👋❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪
Asante
Juma leo utajua hujui 🤣😅😅😅😅😅😅
Kumbe Juma nae huwa anakibikooo yake😁😁😁😁😁😁
Leo juma umeishiwa maneno yako yameisha🤣🤣🤣
wallah mama zuchu ww nakupend san
Mama lao Khadija kopa mwenyeweeee
Mama Khadija ninakupenda bure Wallah hadi umempa juma kukikimbia kiti kwa kweli Ninapenda majibu yako Juma haoni ndani 😅😅
Kwani yule aliekaa nyuma ya bi khadija anaejitikisa vile nani😄
Bordigard 😅
😅😅🤣🤣🤣🤣
@@jazeerajuma4746 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimekupenda bi Hadija ni ukweli mtupu
Nani ame gundua Juma lokole anampenda Zari sana? Mana kila interview ana taja jina la Zari.
Nampenda huyu mama
Sema kimeumana 🤣🤣🤣
Ta bien parlé maman
Juma leo umekoma😀😀😀😀😀😀😀
Nice
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 R.I.p DiDA
Jumaa hujambooooo
Ma Khadija mna mambo
Uswahili mingi 😅ngojeni tu yajayo yanafrahisha….
Juma leo umepatw 😄
Kime umana
🤣🤣🤣🤣 juma lokole,bii khadija ongelea kwenye Mikee.
Bora nimesepa zangu mie 😂😂😂
WCB kwa kiki hawana mpinzani
Kwani huyo jamaa wa ngepa ya blaki hana words😂😂😂🔥🔥
Hakuna ndoa hapo
Ingekua umeishinao vizuri hungeachwa hakunamwanamke haitajikua Na mume
Ha ha ha 🤣 khadijah 😂 jamani much lov frm kenya
Juma ukweli umekoma😀😀😀😀😀😀
Chenye kina fanya nipende zuchu ako na wimbo zamapenzi yani anavyo imba ananikwaruza moyo wachane na zuchu kabisa
Mama Hadija huchuji
A/c ya bank kwani tunafanya kazi pamoja 🤣🤣🤣 hapo chacha
Swadaqta mapenzi ni kitu cha mwisho
Harusi tunayoo
Hatuna
Na ww juma,ivi amina lokole alipotelea wapiii
😅😅😅😅😅😅😅😅kipindi kizuri hadi raha nacheka sana😅😅😅😅
Malikia wa mipasho nakupendaga mm ww atii hujambo lakini umenikumbusha bibi ann haataariii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wapashe mama maana wamezidi umbeaa
Shuuli tareh kumi na NNE inaanza sangapi io shuuli