Ahsante sana mtu wa Mungu chumvi ya mawe nilikuwa nasikia wanaizungumzia wala sikuitilia manane sasa kwa mafundisho yako umenifumbuwa macho kabisa n'a nimeamini kwamba kutumia chumvi ya mawe ni kitu muhimu sana nilikuwa napuuzia sana,sasa ndo nimeamini kabisa vile walikua wanasema wengina kwamba ni ukweli mtupu.nilikua nafikilia ni watu wa yutube wanijitafutia hela nama views tu.Ahsante sana ubarikiwe sana.Kingine hujatwambia utatumia chumvi ya mawe mda gani.
Niko mbali Na watoto Wangu Na wanasumbukana sana hata mmoja amekataa kuenda shule,wapili naye nimkojwa sana naomba unisimame Na Mimi mtumishi, nafanya umeiti Kwa ajili yawo
Aaaah nimejaribu haya yote na Kwa kweli nimeona kazi imefanyika hakika nashukuru Kwa mafundisho na pia nashukuru mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 barikiwa
Usiwe natoa ushuda kumbe wewe ni mmoja waho
Aksanti kwamafundicho mazuri Mungu akubarikisana
@@calvinm.mulamba8257hajasema uongo chumvi ni dawa kubwa
Naomba nielekeze umefanyaje fanyaje mpendwa
Wewe ni muongo
Asante Sana kaka nimekupata vizur nimenunua gunia la chumvi ya mawe😊
😂😂😂😂😂😂😂khaaa!
Safi sana
😂😂😂😂😂😂
😂😂umenifanya nicheke wallah 😅
😂😂😂 inapatikana wapi tafadhali
Hae, thanks kwa somo, na nikuulize jinsi gani unaeza tumia mdos amekwajili akupende aache kuchukia na kuonea
Asante. ubalikiwe. mtu. wa mungu
Asante sana kaka,mimi niko uganda ,nina ulizo kidogo hiyo chunvi ikiwa mutu anasumbuliwa nauchawi ukimpikia kwachakula ni aje
Asante sana kka mngu azdi kukupa ujasiri umenifumbua macho nmmi mna sikwahali hii niliyo nayo shukran sana😊
Ahsante sana mtu wa Mungu chumvi ya mawe nilikuwa nasikia wanaizungumzia wala sikuitilia manane sasa kwa mafundisho yako umenifumbuwa macho kabisa n'a nimeamini kwamba kutumia chumvi ya mawe ni kitu muhimu sana nilikuwa napuuzia sana,sasa ndo nimeamini kabisa vile walikua wanasema wengina kwamba ni ukweli mtupu.nilikua nafikilia ni watu wa yutube wanijitafutia hela nama views tu.Ahsante sana ubarikiwe sana.Kingine hujatwambia utatumia chumvi ya mawe mda gani.
💯💯💯🔥
@@FAFANUOMEDIAchumvi ya mawe ni ile ya kuwapa ngombe au
Cunvi nyeupe
@@priscilamroso5827 amen
Chumvi ya mawe ni nzuri Sanaa jmn
Unaweza kutumia kuoga chumvi ya maji chooni?
kweli kabisa Mimi natumia chumvi ya mawe kuna muchawi nilimufukuza chumvi ya mawe kiboko cha wachawi
Mungu akubariki sana nimetumia chumvi imenisaidia sana.
Una tumia aje
@@ZahraBabujibabu oga kila na chumvi
Niko mbali Na watoto Wangu Na wanasumbukana sana hata mmoja amekataa kuenda shule,wapili naye nimkojwa sana naomba unisimame Na Mimi mtumishi, nafanya umeiti Kwa ajili yawo
Asante kaka
Tunakupenda pia ubarikiwe asant kwa kutujuza
Nashukuru sana kwa mawaida yako mszuri, swali ni je? Nawezaje kuipata hapa nchini kenya maeneo ya kisumu
Hata mimi niko Kenya. Enda kwa maduka ya wahindi yakuuza viungo(spices) utaipata hapo
Hello me nko Kenya naenza ipata ni ile chuvi ya kuku?? Ya mawe
@@anitashishi4118Sea salt. Buy from spice shops.
Jambo nashukuru sana Sasa mutu anaipata wapi Asante kwa mafunjo
💯🔥🔥🔥
Kwenye maduk ya asili unapata
Mungu akubariki🙏🏾
Asante Mungu akubariki sana
Nashukuru kwa ujumbe huu malimu mu barikiwe sana
Asante sana❤❤❤❤🙏
Barikiwa sana kwa kutufundisha
Asante nA mungu akubaliki
Asante nipo kutendes kazi
Asante sana kwa mafunzo mazuri
Asante kwa mafundisho
Asante kwa mawatha hakika,naomba kuipata chumvi ya mawe,kwangu naishi na popo kwa nyumba.
Asante sana kwakutuereze
Lakini nauriza hivi ukioga unatumia sabuni,au ukipiga deki unachanganya nasabuni?au unatumia cyumvitu
Tunakupenda sanaa
Asante sana Mimi naomba unisadie nikipata mume anaondoka masiliano yanaisha hapo naomba hunipe hushauri Asante sana mungu hakubariki
Unahishi wapi
Asante sana kwamafunzo unadupatia kira mara
Amen🙏
Asante sana
🔥🔥🔥🤝🤝🤝
Asante sana tubakupenda pia
Asant sana mtumishi barikiwa sana
Asante nitajaribu 🙏
Asante Sana ndugu
Asante sana nimejifunza pakubwa sana sana
Ahsant san 🎉🎉
Amen sana pastor ❤
Amen namini kila kitu kitanda sawa
Nivizuri pia kunywa kwa hio maji kidogo baada ya kuichanga na chunvi? Pia ni vizuri kuiombea?
Umesema kweli ndiyo maana wachungaji wanaitumia
Asante
Barikiwa sana,asante kwa somo zur
Asante sn
Amen.
Ubarikiwe sana mtoa mada
Jamn mm uwa naona giza kwenye macho yangu jmn nisaidie jamn nitumie nn naambiwa nyota yangu.imeshachukuliwa plx nijb
Asante kwasomo nzuri
Asante sana Kwa elimu hiyo
Naishi mashariki mwa Congo DRC nashukuru
Asante ubarikiwe
Amina kaka
Mungu akubariki sana kaka kwa somo zuri sana
🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu nitumie namba yako nitume Hela ya soda nilisha Fanya hivyo nimeanza kufanikiwa
asanty jana tu nimepata matokeo
Mungu akutunz
Thanks
nashukuru chumvi ya mawe ilinisaidia sana .
Rafiki tuerimishane uliitumiaje na ilikusaidiaje asante
Amen
Amina
@FAFANUO MEDIA,
Chumvi ya mawe ndio inaitwa sea salt
Rock salt
@@janjaz😂
Daah asante sana
Asante sana mfafanuzi
asanti.kaka
Samahani nimetoka njeyamaada weunajulia wapi
Asante sana kakangu naukiyaka kuoga waonga choni amavarandani
Ahsante kweri kaka ukiwa unafanyia balabalani unaitumiaje?
As ante San ❤
Ahsante sana
Asante ndugu yangu nitaipata wapi chumvi ya mawe?
Barikiwa kaka.🎉🎉
Shukran 🙏❤️
Ahsante mutumishi🙏🙏 8:01
Asante sana kwa somo,mungu akubariki ❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥💯
Chumvi ya mawe inapatikana ktk maduka gani
@@KevinHizza Sasa mwezangu
@@KevinHizza kwa supermarket ask for sea salt
Sea salt inapatikana kwa duka gani
Thats true
Nipo tayari kuipokea miujiza
Asante sana ubarikiwe kaka
Naukisha kupiga deki kazini maramoja haifaitena marayapili kutumiya kakangu
Nisawa inasaidia ila kinawatu wamefungwa hatari unatumia lakin hakuna kitu
Wakina mimi ao😢😢😢😢
Msiogee siku moja tu fanyeni kama ni ada yenu
Nakubali
Jambon nikiw Burundi Bujumbura chumvi hiy inapatikana wapi???
Duka la daw ya kiarabu
Iyo chumvi ndan ya gras Inadum Kwa muda gan au Kila siku naweka maji Mapya
🙌🙌🙌👏👏👏👏
Asante lakini samahani Chumvi ya mawe kama unaikoga nikiasigani unaweka ndani ya majii
Ubalikiwe🙏🙏🙏
Ndiyo maana wachungaji wanaitumia kwa kuiombea kisha utaambiwa ukaogee na kudekia ndani na kwenye biashara
Ninamna gani kutumia
.ashante mumenifunza..chunvi ya mawa ndio sijaerewa poa vile inabatikana
To be continued
Asaate sana kaka
Inauzwa wapi nipo singida nosaidien namim
Kila kinachosemwa nisawa
Ishi milele
Hello ni chuvi ya mifugo kama chuvi wa kuku hvi ama?
❤
Naamini asilimia mia moja KBS
Naomba no yako plss
Je kama unatatizo lakupata wachumba lakini mnakaa ndani yamwezi mmoja tu mnaachana unafanyj kuhs na chumvi hiyo
Mtumishi naomba kuhusu kumtibu
Anayekojoa kitandani nifanyeje
My question too
Anayekojoa kitandani loweka mchele kwenye maji halafu mpe maji ayanywe...anywe kidogo tu mara kwa mara
Shukurani
Tarime chumvi hivi ni nyingi sana niagize nikulee ulipe nauli
Unayitumiya kirasiku ao?
Nashukul jmn duuuu!!!
Hii ni kweli kaka mungu akubariki.