ANDIKA JINA LAKO WEKA KWENYE MAJI YA CHUMVI USHUHUDIE MIUJIZA HII KWENYE MAISHA YAKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- ANDIKA JINA LAKO WEKA KWENYE MAJI YA CHUMVI USHUHUDIE MIUJIZA HII KWENYE MAISHA YAKO #fafanuomedia #knowledgeforyourfuture #tujengemahusiano
@FAFANUOMEDIA
AMEN AMEN AMEN leho vimetoka kwa jina la YESU
Asante sana ❤
Asante sana, ntakuja na ushuhuda
Nice
Amen
Uko vizuri sana bro pia tusamehe kwa maswali tunauliza ili tupate matokeo mazuri ukiweka Jina unamwaga Maji baada ya siku ngapi hapo Ndo umesahau mkuuu🤲🏻
Asante
Maji Haya na chumvi na jina vinakaa Muda. Gani na baada ya hapo nayafanyaje
Amina nimatumaini kua nitarudi juu ya ushuhudaaa
Asante sana kwa kupata haya mafundisho parikiwa sana
Ameeen
Amen, naenda ku_practice
Daaah asante sana mkuu
Umetuelekeza lakini kuna vitu hujaweka bayana .
Baada ya kuweka maji na chumvi umemaliza kuomba je maji unaoga,unakunywa au unamwaga tuelekeze vizuri
Inamwagwa
@@maulinemakungu5322baada ya siku ngapi
Amen amen 🙏
Mkuu hujasema BAADA ya kuweka JINA kwenye maji unayatumia vip kuyamwaga au kunywa au...
Unayamwaga ndugu
Mda wasiku gapi 🙏🙏🙏
@@FAFANUOMEDIAnaweka kwa siku ngapi ndo nimwage?
@@FAFANUOMEDIAmda wa siku ngapi
❤@@FAFANUOMEDIA
Amina
9:32
Asant
Ubarikiwe sana
The truth will set us free
Amina🙏🙏🙏💯My brother nisaidie niko job but boss lady hainipei resting tike na job ni mingi😢iam feeling tired
Nc
Asate Sana kwa mafudisho mazuri Sasa naweza kufanya kilasiku naile maji naweza kuimwanga
Asante kwa mafundisho
Thanks. But after the prayer, what should i do with water? Should i throw or drink or shower with the water.
Yes
Thanks
Amen 🙏 🙏 🙏
Wmen
Je! Mtumishi ,baada ya kumaliza hatua zote maji hayo unayaoga, unayanywa, unayamwaga, au unayaweka wapi? Naomba maelekezo.
Chumvi +maji this is really...nikiwa mdogo kunasiku nlienda kanisani (catholic ) nlijikuta tu nmeonja maji baraka nijue yana tofauti gani na yanyumbani nikagundua yalikua yana ladha ya chumvi , sikuwahi kuelewa maana yake hadi leo ndo nmeelwa kwanini chumvi.... ubarikiwe sana MOG.
Maji hayo yenye kina yana kaa wapi kwa muda gani na baada ya hapo kipi kinaendelea kunywa kuoga au kuyamwaga?
Amen 🙏🏽
Do we cover the glass or not please tell me.
Ahsant
Samahan nataka kujua kwa mimi nina jina nilopewa na wazazi wangu na ninajina la ubatizo kwaiyo kati ya haya majina mawili kati ya jina la wazazi au la ubatizo??
La wazazi
Asate ❤
Hiyo glass unaiweka wapi ukishachanganya maji na chumvi? tena kwa siku ngapi
asante kwa mafudisho mazuri nmeyapoke lakini baada maombi ya maji na chumvi ntamwaga au niweke kwa nyumba?
Asante asa iyo jina inaweza ku kaa kwa muda wa siku ngapi jumla?
Kalamu gani kk blue ama red
ni kweli baada ya hapa maji na jina lako utapeleka wapi
Unamwaga kwenye mgomba shinani
Apo ukimaliza una muaga a.m😮🎉🎉
Ukishaweka jina lako kwenye maji utayakunywa? Ao?
Haya maji ya chumvi huachwa kwa muda upi, ndiyo matokeo yawe sawa sawa?
Je naweza kuandika majina ya wanangu kuwasafiisha kwa chumvi ya mawe
Ukisha weka vina kaa siku ngapi
Akuna uchawi apo ni imani broo
Samahani maji ya chuvi na karatasi ya jina Nita ya mwaga au nakunywa
Unamwaga kwenye mgomba shinani
Hayo maji unayamwaga wapi?
Nikweli hukusema maji tuyafanye nini tuyanywe ama tuya ogee ama tuyaweke tuu kwa siku ngapi.?naomba utuelezee.
Baada ya hapo maji tunayafanyaje
Nikiweka hivo na nikiomba vp hayo maji nayaweka au nayamwaga .! by moabu
Yale maji utayamwaga lini tena
Ss ukishafanya hv maji unayafanya nn niyameage au niyafanye nn hy maji
haya maji badae ya hapo
Ukimaliza unamwaga au unakunywa
Naeza eka pesa pia kwenye maji ya chumvi au sio vema
Alafu ukimalz ayobmaji unayafanyaje
Mbona huwelezi kwambpangilip je mengine unasahau ukimaliza kufanya hivyo unamwaga na kile kikaratasi unak8fanya ni chenye jina lako tuelezeni vizuri hutwambi hafu uje utupe utak7ja kusema umekoseya mashari ile nursing zinazid badala ya kuondoka
Flash,inkaa,siku,ngap,ikiw,ina,jina,namaji,,tenured,chumvi
MUNGU akatende muujiza nitarudi kutoa ushuhuda.
Alafu ukishaweka majina kwenye maji hayo unafanya nin
FC m❤p
Bado hujasema mkuu
Huo ni uchawi msijaribu. Ni kweli Biblia mara kadhaa imenukuu habari za chumvi, Je context ya maandiko unayonukuu ni kweli yalilenga chumvi itumiwe hivyo? Maandiko yanasema tutumie jina la Yesu we unasema tutamkie chumvi we huoni huo ni ushirikina? Hayo maelezo ya kuweka chumvi kwenye glass na uweke jina kwenye Biblia yameandikwa kitabu gani?
Sio uchawi mbn watumishi waa Mungu wanatumia mwenyewe padre alikuja alichukua maji na chumvi akaombea akamwaga kwangu hata sio uchawi
@@farajaflorence1690 unapotea kwakuwa haujui maandiko wala uweza wa MUNGU. Jitahidi kusimama katika Neno la Mungu si watu ulionao kama mapadre na hao unaowasema
Acha ushamba wewe Ndo hujui kufafanua biblia Mbona kulihani ni neno la mungu lakini kila kila tu huwa wanatoa maneno kwa kuluhani hata wakitaka kumuua mtu wanasoma vifungu vya kolahani na mtu kweli anakufa so hapo ni uchawi WAPi?
Ahsnt
2 Wafalme 2:20-22
[20]Akasema, Nileteeni chombo kipya, mtie chumvi ndani yake. Wakamletea.
[21]Akatoka akaenda mpaka chemchemi ya maji, akatupa ile chumvi humo ndani, akasema, BWANA asema hivi, Nimeyaponya maji haya; hakutatoka huko tena kufa wala kuzaa mapooza.
[22]Hivyo yale maji yakapona hata leo, sawasawa na neno la Elisha alilolinena.
Nina majina mawili nfanye kwa majina yote
Punguza kukopi maudhui ya watu
Fqffwwgwgwgwhth-cam.com/channels/csh_MamETjVbacronGcXxw.html
Asante lakin hujasema karatas na maji kish yamwage yakae sik ngap hukusema bosi
Tunaomba jibu
@@SaudaMfaume❤
❤
Amen
Ameeen
Asante
Yes
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen