Ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu maana unasema unaweza kuzaa mwezi wa Tano sasa na uyo mwandishi au mtunzi wanatokea wapi wakati unatuaminishi kuwa story ya kweli story nzuri ila kuwa makini kama uongo tuweke kwenye uongo kama kweli tupeleke kwenye ukweli mungu akubaliki Kwa story nzuri🙏🙏🙏🙏🙏🕌🕌⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪
Stori yako imeniingi vyema kabisa kikubwa t Mimi kama Mimi naombea mungu penzi lenu wewe na saiboge lipate kudumiu da ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mwamba saiboge umepambana kweli onera zako
Dah! ebwana jamaa amepambana sana hadi kukupata ila amenikumbusha mbali sana kipindi nilivyokuwa namtongoza mama watoto wangu coz nae alikuwa msumbufu sana, hakika mungu hawasimamie ktk maisha yenu ya ndoa....😘😘😘
Nashukuru San simurizi nzuri San nimejifunza Ving namie nikimupata my Wang nitamupenda San na nitamuahidi Sito musarit mungu awe nanyi na awashushie watoto Asante sn shemu musarimie brath
Jamaa ni kama harmonize vile yeye huwa hapendi kukatishwa tamaa na chochote kitu hasa linapokuja suala la mapenzi....ilove the story pia hongera sana kwa usimulizi mzuri uliojaa mvuto na hisia ya kuvutia
Dunian kuna fumbo mshukuru mungu kukupa saibogi mwamba anae jitambua na kujua dhamani ya make nn kwa bora kukosea vyote sio kuoa au kuolewa hogera sana mungu awabariki❤❤❤❤❤😁😁😁😁😁🤝🤝🤝
Natamani sana mtu Fulani angelisikiliza simulizi huu angalau angeweza kuelewa hisia zangu na mm ,,naumia nateseka kwa sababu ya vnye nampenda..... nampenda sana uyo mdada
Wanaume tunapitia changamoto kubwa Sana kwenye maisha, hasa suala zima la mahusiano kumbadilisha mtu asiekupenda mpaka akupende so Kaz lahis na migogoro yote iliyotokea Ila jamaa kashikilia msimamo wake ama kwel TRUE LOVE 💞💓NEVER DIE💔. hongera kwa mhuni kapambana kwakwel saibog .
Mapenzi ni popote, ni jinsi ya uvumilivu wako na kujikaza tu pale mwanamke anavyo ku puuza, Your the best, unajua kusimulia kamama, Hongera sana. keep it up,
Hakika story na simuliz yako ni nzr sana kuna wakati tunakuwaga na hisia na watu flan lakn kulingana na hazi tulizonazo tunaamua kuzikatiri hisia hizo tunamshukru Kelvin kwa kuwa muwazi juu yq hisia zake kwako .ujumbe au funzo la story nililopata ni kwamba usiogope kufanya kitu kwa kuhofia hali uliyonayo hasa suala la mahusiano ni kujitahidi kuwa na mahisiano mazr na ishawishi mzr kwa asiyekupenda ili akupende zaidi ya ulivyozan ww
Woww nimeipenda simulizi ya kwako Allah aendelee kuwalinda na kizazi chenu Inshaallah❤
Ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu maana unasema unaweza kuzaa mwezi wa Tano sasa na uyo mwandishi au mtunzi wanatokea wapi wakati unatuaminishi kuwa story ya kweli story nzuri ila kuwa makini kama uongo tuweke kwenye uongo kama kweli tupeleke kwenye ukweli mungu akubaliki Kwa story nzuri🙏🙏🙏🙏🙏🕌🕌⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪
Stori yako imeniingi vyema kabisa kikubwa t Mimi kama Mimi naombea mungu penzi lenu wewe na saiboge lipate kudumiu da ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mwamba saiboge umepambana kweli onera zako
Saibongi(saibogi🤦♀️) bwanaaaa 😀😀😀😀asante ❤❤❤❤❤
Mapenz hayana mdhamana mdhana moyo wako ❤ kwhy ukitokea kumpenda mtu umependa kwel❤❤
Story nzuri za mapenzi
Wow 👌 simulizi ni mzuri sana nimemiss sana❤
Ubarikiwe sana Kwa sorry nzuri,
Naomba muokoke
Wallah nakupenda wee dada kutoka moyoni
Love you too muna
Yan wewe dada mda wote naku miss jaman napenda san simuliz❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dah! ebwana jamaa amepambana sana hadi kukupata ila amenikumbusha mbali sana kipindi nilivyokuwa namtongoza mama watoto wangu coz nae alikuwa msumbufu sana, hakika mungu hawasimamie ktk maisha yenu ya ndoa....😘😘😘
Alikuangaish ety😂😂😂
Yeah! 😁😁😁
❤❤❤❤wallah kweli penzi niopofu na Wala kwenye penzi hakuna ushaur nmeipenda nasa hii simulizi
❤❤❤❤ stor imevutia sana pia umeeleza vizuri kweli mdada❤❤❤ pamoja sana kama vile nawaona mlivyo kulana
🤣🤣
Muhuni akipenda anapenda kweli ❤❤❤❤
❤❤❤❤masha Allah kabisa nime enjoy wallah hadi nasisimka
😂
Ww unaionaje
❤️❤️❤️❤️❤️nimeipenda sana mapenzi nikama tindikali yakokuangukia yanaharibu hisia zako za kale zote unajikuta ushapenda huwazi kuacha tena
🎉😅😂❤
❤❤❤❤❤❤❤😂😅❤❤
Kwanza hongera sana dada kwa kuona kuwa mapenzi hayangalii rangi kabila wala cheo cha mtu hisia nimuhimili mkubwa sna wa maisha nimekufahmu sna
O
Nakupa hongera kwa ushunjaa wako wa kumpenda jambazi mungu awape nguvu mpendane milele
Nimejifunza ❤uvumilivu ❤
Nimejifunza mengi kupitia hii simulizi mana inastory nzuri na yenye kufunza katika maisha ya mapenz 😍 i like it😍
I like❤😂😂😂nimeipenda sana story yako🎉
❤❤❤❤❤Simulizi iko vizuri sana mmejuwa kuipangilia ongeren🎉🎉🎉🎉🎉
Ameena Ameena mambo
❤ naipenda sana sauti yako kwasbb unajuwa kusimulia halaf unasauti nzuri ya mvuto kwaiyo ningeomba simuliz zote usimulie wewe
Oyaa
❤❤❤❤mapenzi kma maua
Jamanii story nzurii sanaa❤😍😍😍😍😍😘👌👌👌👌❤
Nashukuru San simurizi nzuri San nimejifunza Ving namie nikimupata my Wang nitamupenda San na nitamuahidi Sito musarit mungu awe nanyi na awashushie watoto Asante sn shemu musarimie brath
Mapenzi nikitu cha ajabu kweli,unachagua shule kazi na hata sehemu zakuishi ila tumeshindwa kabisa kuchagua wakumpenda 😘😘
wauni mmeona iyo
Mungu awatangulie katika maisha yenu
@@IsOmari-o1o😅😅😊😊😅 0:21
@@IsOmari-o1o ekiss
kwani shule, kazi na mahali pa kuishi hzo sehemu zinaongea au
Jamaa ni kama harmonize vile yeye huwa hapendi kukatishwa tamaa na chochote kitu hasa linapokuja suala la mapenzi....ilove the story pia hongera sana kwa usimulizi mzuri uliojaa mvuto na hisia ya kuvutia
Dah pole kamanda umepitia mtihani mgumu sana mungu amekusaidia
Hongera ila na mm kunam2 nampenda je nifanye Kama alivyo kufanyia carven
Dunian kuna fumbo mshukuru mungu kukupa saibogi mwamba anae jitambua na kujua dhamani ya make nn kwa bora kukosea vyote sio kuoa au kuolewa hogera sana mungu awabariki❤❤❤❤❤😁😁😁😁😁🤝🤝🤝
Nimependa Sana simlizi hii japokuwa sijawahi kuingia kwenye mahusiano mungu akutangulie ujifungue salama salimini dada yangu
Asante sana kwa hadithi izuri
Mapenzi ni tunda au kitu roho inapenda malikiaaa❤🎉 achakabisa.
Tunatakiwa kujifunza kwa hili naomba sna tujifunze na kujali maisha ya wale ambao waliongoza ktk majanga kama hyo ya ulevi
Jamn hay mapenzi❤❤❤❤❤❤
Upendo wa kwel kabisa ndivo ilivyo ukimpat anae kupnda kwel ila dah muishi daima..MUHUNI KAPENDA❤❤❤
Hogera sana nimeierewa sana simerizi hii hero waooooo
aisee mapenzi kweli ni mambo moto
Ki ukweli nimeipenda Sana hii hadithi big up
Nice storry be blessed
❤❤❤❤❤❤❤ nimekubali mapenzi ni shule
Mungu akubali dada umenifunza kitu
❤❤❤❤
STORY MZURI SANA 🌹❤👏🙏🇹🇿🇬🇷⛴⚓
Nakupendaga sana we dada
Mie pia Nakupenda Sauda
Nimeipenda sana❤
Natamani sana mtu Fulani angelisikiliza simulizi huu angalau angeweza kuelewa hisia zangu na mm ,,naumia nateseka kwa sababu ya vnye nampenda..... nampenda sana uyo mdada
My siset wew ni.mwanamke sabite sasa mimi sina mengi mungu akubaki san ten.san ujifungue salam uwe kam mke na heshima zake
Wanaume tunapitia changamoto kubwa Sana kwenye maisha, hasa suala zima la mahusiano kumbadilisha mtu asiekupenda mpaka akupende so Kaz lahis na migogoro yote iliyotokea Ila jamaa kashikilia msimamo wake ama kwel TRUE LOVE 💞💓NEVER DIE💔. hongera kwa mhuni kapambana kwakwel saibog .
Yeah ni kwel kabxaa yaan😊😊
Bonge lastor iseeee congraturation
Mapenzi ayana rangi wala kabila mungu akubaliki ujifunguwe salama
Story nzuri kabisa 🎊❤️🇨🇩✌️
Kongore kwenu so ❤❤❤❤ hatar na nusu
Nace simulizi nimependa kwl na imenijenga kinamna furani I love it ❤️❤️
Daaaah asanteh kwa simulizi
Stor nzuri san afande
Umetisha dada❤❤❤
Dah historia nzur sanaa
Mungu awalinde na penzi lenu lizindi kubarikiwa
Kwaiyo ii.simulizi ni truu stori au vipi dada nakam ni kweli hongera Sana kwa kumpata mweza wako
Nimeipenda mno, mapenzi hayachagui
THE POWER OF LOVE💖
Simuliz n tam jmn n imenifundish ktyu kikubwa San congratulations
Mapenzi ni popote, ni jinsi ya uvumilivu wako na kujikaza tu pale mwanamke anavyo ku puuza,
Your the best, unajua kusimulia kamama, Hongera sana. keep it up,
Hongera sana
Muhun akipenda ana penda kweli ana mbamba❤❤❤❤❤❤
Aiseee dada yang mm sina hata rakuongea ila nimejifunza mengi sana ubalikiw sana nime injoy
Nakuombea kw mungu kwanza ujifungue salama na mungu ampe uwezo wa kuiwacha bange
Story imeniingia sana ila penzi ni fumbo ambalo kulifumbuwa kwake kazi, sawa na kusema in the impossible there is a possible
history zuri kabisa, acha Mungu azidi kukupa ukingo wakutosha ili uje kujifungua kwa usalama
Hakika story na simuliz yako ni nzr sana kuna wakati tunakuwaga na hisia na watu flan lakn kulingana na hazi tulizonazo tunaamua kuzikatiri hisia hizo tunamshukru Kelvin kwa kuwa muwazi juu yq hisia zake kwako .ujumbe au funzo la story nililopata ni kwamba usiogope kufanya kitu kwa kuhofia hali uliyonayo hasa suala la mahusiano ni kujitahidi kuwa na mahisiano mazr na ishawishi mzr kwa asiyekupenda ili akupende zaidi ya ulivyozan ww
Napenda kisaut chako
Napenda sana kusikiliza story asante sana
Mapenzi Konyoo ❤😂😂
Nimeipenda sn hii story maana inamaanisha❤🎉
Hii story ime nifunza mwana mke au mwanaume mwenzio anavo kwambia neno nakupenda jalibu kuli fikili kamaanisha nn yn kiufup daah ni story tam xaan❤❤❤❤
Ubarikiwe na ujifungue salama
Ubarikiwe sana afande mapemzi ni kitu Cha ajabu sana nimefurahia mapemzi wenu
Dah kwel
Simulizi hii nmemkubali sana kelvin kwa kubadilika, na bangi pia ninauwakika ataacha kuvuta....
Mungu awajaharie mje kua wazazi bora 🙏
This stry is so nic n qwa akika hii stry hinasema wacha kudharau mtu mungu hubadilisha kila kitu qwa wakti wake ham njia yake
Ongera mrembo ❤❤❤❤❤❤ kama poris wote wsngekuwa kama wewe tusingebaki na vibaka mtaani atammojaa😊😊😊❤❤❤❤
nime hipenda sana ❤❤❤❤🎉
Love story nmeipenda
Nimependa sanaaaaa
Nice job
Nice usmhukm MTU pia tafkari kabla yakutenda
Mapenzi ni busara za kipekee zenye kuleta matumain makubw san❤❤
❤️❤️ mapenzi ya kweli
Wanangu ambao tupo upande wa saibog tujuane hap🔥🔥🔥
👍
Saibogi ameonesha ushujaaa wake apo
Balaa
Aseee we Dada unasimulia vizuri saana nakupenda bure jaman
Kweli mapenz ayachagui nimejifunza pia asante
Mapenzi haya chagui wala hakna mwalimu wamapenzi
❤kwel mapenz ni safar ndef
Good San nimependa story Yako mazi
It's good I love it
Ongera san mapenzi haychagui🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Uvumiliv hu0 nd0 una0takiwa mom ❤❤
Kweli Asante sana kwaiyi adisi
Aisee story nzur sana inafunza yan v2 vingi yan uzimzarau m2 kabsa
The story is so lomantic
Vizuri San dada maana umetoa isitoria yenye mafundisho mazuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏👍
Story inafundisha
Vzr nimependa