Ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu maana unasema unaweza kuzaa mwezi wa Tano sasa na uyo mwandishi au mtunzi wanatokea wapi wakati unatuaminishi kuwa story ya kweli story nzuri ila kuwa makini kama uongo tuweke kwenye uongo kama kweli tupeleke kwenye ukweli mungu akubaliki Kwa story nzuri🙏🙏🙏🙏🙏🕌🕌⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪
Stori yako imeniingi vyema kabisa kikubwa t Mimi kama Mimi naombea mungu penzi lenu wewe na saiboge lipate kudumiu da ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mwamba saiboge umepambana kweli onera zako
Dah! ebwana jamaa amepambana sana hadi kukupata ila amenikumbusha mbali sana kipindi nilivyokuwa namtongoza mama watoto wangu coz nae alikuwa msumbufu sana, hakika mungu hawasimamie ktk maisha yenu ya ndoa....😘😘😘
Hakika story na simuliz yako ni nzr sana kuna wakati tunakuwaga na hisia na watu flan lakn kulingana na hazi tulizonazo tunaamua kuzikatiri hisia hizo tunamshukru Kelvin kwa kuwa muwazi juu yq hisia zake kwako .ujumbe au funzo la story nililopata ni kwamba usiogope kufanya kitu kwa kuhofia hali uliyonayo hasa suala la mahusiano ni kujitahidi kuwa na mahisiano mazr na ishawishi mzr kwa asiyekupenda ili akupende zaidi ya ulivyozan ww
Wanaume tunapitia changamoto kubwa Sana kwenye maisha, hasa suala zima la mahusiano kumbadilisha mtu asiekupenda mpaka akupende so Kaz lahis na migogoro yote iliyotokea Ila jamaa kashikilia msimamo wake ama kwel TRUE LOVE 💞💓NEVER DIE💔. hongera kwa mhuni kapambana kwakwel saibog .
Jamaa ni kama harmonize vile yeye huwa hapendi kukatishwa tamaa na chochote kitu hasa linapokuja suala la mapenzi....ilove the story pia hongera sana kwa usimulizi mzuri uliojaa mvuto na hisia ya kuvutia
Umesema hujajifungua ila unataraji mwakani utapata mtoto maana yake ulicho simulia ni kweli,, sasa ukasema mtunzi na msimuliaji,, hapo ndio umenichanya,, hiki kisa ni utunzi wako ama uandishi,, kwanza tuanzie hapo kisha ndio tujue mapenzi ni nini
@@user-dl8bn3oc8c oooh,, sasa kama hivyo ndivyo badi asiseme mtunzi nadala yake aseme msimuliaji wako ni...... kwasababu si hadithi za kutunga ila ni jambo lililotokea,, hivyo yeye amesimulia siyo ametunga 😂😂😂
Usimdharau mtu kwa mwonekano wake ama hali alio nayo kwa maana moyo wako ukimridhia hakika penzi litaota hata wewe usipo kubalia utajikuta umekwama kwake mzima mzzima na hitamsikiza mtu yeyote kwa vile penzi limeshika kushika
Nashukuru San simurizi nzuri San nimejifunza Ving namie nikimupata my Wang nitamupenda San na nitamuahidi Sito musarit mungu awe nanyi na awashushie watoto Asante sn shemu musarimie brath
Natamani sana mtu Fulani angelisikiliza simulizi huu angalau angeweza kuelewa hisia zangu na mm ,,naumia nateseka kwa sababu ya vnye nampenda..... nampenda sana uyo mdada
Mapenzi ni popote, ni jinsi ya uvumilivu wako na kujikaza tu pale mwanamke anavyo ku puuza, Your the best, unajua kusimulia kamama, Hongera sana. keep it up,
Ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu maana unasema unaweza kuzaa mwezi wa Tano sasa na uyo mwandishi au mtunzi wanatokea wapi wakati unatuaminishi kuwa story ya kweli story nzuri ila kuwa makini kama uongo tuweke kwenye uongo kama kweli tupeleke kwenye ukweli mungu akubaliki Kwa story nzuri🙏🙏🙏🙏🙏🕌🕌⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪
Yan wewe dada mda wote naku miss jaman napenda san simuliz❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Woww nimeipenda simulizi ya kwako Allah aendelee kuwalinda na kizazi chenu Inshaallah❤
Stori yako imeniingi vyema kabisa kikubwa t Mimi kama Mimi naombea mungu penzi lenu wewe na saiboge lipate kudumiu da ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mwamba saiboge umepambana kweli onera zako
Mapenz hayana mdhamana mdhana moyo wako ❤ kwhy ukitokea kumpenda mtu umependa kwel❤❤
Story nzuri za mapenzi
❤ naipenda sana sauti yako kwasbb unajuwa kusimulia halaf unasauti nzuri ya mvuto kwaiyo ningeomba simuliz zote usimulie wewe
Oyaa
Saibongi(saibogi🤦♀️) bwanaaaa 😀😀😀😀asante ❤❤❤❤❤
Wallah nakupenda wee dada kutoka moyoni
Love you too muna
Dah! ebwana jamaa amepambana sana hadi kukupata ila amenikumbusha mbali sana kipindi nilivyokuwa namtongoza mama watoto wangu coz nae alikuwa msumbufu sana, hakika mungu hawasimamie ktk maisha yenu ya ndoa....😘😘😘
Alikuangaish ety😂😂😂
Yeah! 😁😁😁
❤❤❤❤❤Simulizi iko vizuri sana mmejuwa kuipangilia ongeren🎉🎉🎉🎉🎉
Ameena Ameena mambo
❤❤❤❤masha Allah kabisa nime enjoy wallah hadi nasisimka
😂
Ww unaionaje
Muhuni akipenda anapenda kweli ❤❤❤❤
❤❤❤❤wallah kweli penzi niopofu na Wala kwenye penzi hakuna ushaur nmeipenda nasa hii simulizi
STORY MZURI SANA 🌹❤👏🙏🇹🇿🇬🇷⛴⚓
Hakika story na simuliz yako ni nzr sana kuna wakati tunakuwaga na hisia na watu flan lakn kulingana na hazi tulizonazo tunaamua kuzikatiri hisia hizo tunamshukru Kelvin kwa kuwa muwazi juu yq hisia zake kwako .ujumbe au funzo la story nililopata ni kwamba usiogope kufanya kitu kwa kuhofia hali uliyonayo hasa suala la mahusiano ni kujitahidi kuwa na mahisiano mazr na ishawishi mzr kwa asiyekupenda ili akupende zaidi ya ulivyozan ww
❤❤❤❤ stor imevutia sana pia umeeleza vizuri kweli mdada❤❤❤ pamoja sana kama vile nawaona mlivyo kulana
🤣🤣
Kwanza hongera sana dada kwa kuona kuwa mapenzi hayangalii rangi kabila wala cheo cha mtu hisia nimuhimili mkubwa sna wa maisha nimekufahmu sna
O
I like❤😂😂😂nimeipenda sana story yako🎉
Mapenzi nikitu cha ajabu kweli,unachagua shule kazi na hata sehemu zakuishi ila tumeshindwa kabisa kuchagua wakumpenda 😘😘
wauni mmeona iyo
Mungu awatangulie katika maisha yenu
@@user-jl8oz9ix1j😅😅😊😊😅 0:21
@@user-jl8oz9ix1j ekiss
kwani shule, kazi na mahali pa kuishi hzo sehemu zinaongea au
Hongera ila na mm kunam2 nampenda je nifanye Kama alivyo kufanyia carven
Nimependa Sana simlizi hii japokuwa sijawahi kuingia kwenye mahusiano mungu akutangulie ujifungue salama salimini dada yangu
aisee mapenzi kweli ni mambo moto
Asante sana kwa hadithi izuri
Wow 👌 simulizi ni mzuri sana nimemiss sana❤
Nimejifunza ❤uvumilivu ❤
❤️❤️❤️❤️❤️nimeipenda sana mapenzi nikama tindikali yakokuangukia yanaharibu hisia zako za kale zote unajikuta ushapenda huwazi kuacha tena
🎉😅😂❤
❤❤❤❤❤❤❤😂😅❤❤
Wanaume tunapitia changamoto kubwa Sana kwenye maisha, hasa suala zima la mahusiano kumbadilisha mtu asiekupenda mpaka akupende so Kaz lahis na migogoro yote iliyotokea Ila jamaa kashikilia msimamo wake ama kwel TRUE LOVE 💞💓NEVER DIE💔. hongera kwa mhuni kapambana kwakwel saibog .
Yeah ni kwel kabxaa yaan😊😊
Ubarikiwe sana Kwa sorry nzuri,
Naomba muokoke
Jamaa ni kama harmonize vile yeye huwa hapendi kukatishwa tamaa na chochote kitu hasa linapokuja suala la mapenzi....ilove the story pia hongera sana kwa usimulizi mzuri uliojaa mvuto na hisia ya kuvutia
Story imeniingia sana ila penzi ni fumbo ambalo kulifumbuwa kwake kazi, sawa na kusema in the impossible there is a possible
❤❤❤❤mapenzi kma maua
Jamanii story nzurii sanaa❤😍😍😍😍😍😘👌👌👌👌❤
THE POWER OF LOVE💖
Aiseee dada yang mm sina hata rakuongea ila nimejifunza mengi sana ubalikiw sana nime injoy
Upendo wa kwel kabisa ndivo ilivyo ukimpat anae kupnda kwel ila dah muishi daima..MUHUNI KAPENDA❤❤❤
Tunatakiwa kujifunza kwa hili naomba sna tujifunze na kujali maisha ya wale ambao waliongoza ktk majanga kama hyo ya ulevi
Nakupendaga sana we dada
Mie pia Nakupenda Sauda
Dah pole kamanda umepitia mtihani mgumu sana mungu amekusaidia
Tafsida inaitajika,,utandawazi ni mwingi mpaka kwa wtt
Nimeipenda sana story yako Asante sana pia nimejifunza
Umesema hujajifungua ila unataraji mwakani utapata mtoto maana yake ulicho simulia ni kweli,, sasa ukasema mtunzi na msimuliaji,, hapo ndio umenichanya,, hiki kisa ni utunzi wako ama uandishi,, kwanza tuanzie hapo kisha ndio tujue mapenzi ni nini
Yey kapewa stor asimulie na muusika maana muusika awez kusimulia kwaiyo iyo ndo kazi inayomweka mjin
@@user-dl8bn3oc8c oooh,, sasa kama hivyo ndivyo badi asiseme mtunzi nadala yake aseme msimuliaji wako ni...... kwasababu si hadithi za kutunga ila ni jambo lililotokea,, hivyo yeye amesimulia siyo ametunga 😂😂😂
Mapenzi haya chagui wala hakna mwalimu wamapenzi
Nimejifunza mengi kupitia hii simulizi mana inastory nzuri na yenye kufunza katika maisha ya mapenz 😍 i like it😍
Mapenzi ni tunda au kitu roho inapenda malikiaaa❤🎉 achakabisa.
Usimdharau mtu kwa mwonekano wake ama hali alio nayo kwa maana moyo wako ukimridhia hakika penzi litaota hata wewe usipo kubalia utajikuta umekwama kwake mzima mzzima na hitamsikiza mtu yeyote kwa vile penzi limeshika kushika
No point
Nimeipenda sana❤
Nashukuru San simurizi nzuri San nimejifunza Ving namie nikimupata my Wang nitamupenda San na nitamuahidi Sito musarit mungu awe nanyi na awashushie watoto Asante sn shemu musarimie brath
Kongore kwenu so ❤❤❤❤ hatar na nusu
Hii story ime nifunza mwana mke au mwanaume mwenzio anavo kwambia neno nakupenda jalibu kuli fikili kamaanisha nn yn kiufup daah ni story tam xaan❤❤❤❤
Wanangu ambao tupo upande wa saibog tujuane hap🔥🔥🔥
👍
Saibogi ameonesha ushujaaa wake apo
Balaa
Mungu awajaharie mje kua wazazi bora 🙏
history zuri kabisa, acha Mungu azidi kukupa ukingo wakutosha ili uje kujifungua kwa usalama
Nice storry be blessed
Jamn hay mapenzi❤❤❤❤❤❤
Daaaah asanteh kwa simulizi
Mapenzi ayana rangi wala kabila mungu akubaliki ujifunguwe salama
Napenda kisaut chako
Mungu awalinde na penzi lenu lizindi kubarikiwa
Nace simulizi nimependa kwl na imenijenga kinamna furani I love it ❤️❤️
Nakupa hongera kwa ushunjaa wako wa kumpenda jambazi mungu awape nguvu mpendane milele
❤❤❤❤❤❤❤ nimekubali mapenzi ni shule
Mungu akubali dada umenifunza kitu
❤❤❤❤
The story is so lomantic
Simulizi hii nmemkubali sana kelvin kwa kubadilika, na bangi pia ninauwakika ataacha kuvuta....
Nimeipenda sn hii story maana inamaanisha❤🎉
Simuliz n tam jmn n imenifundish ktyu kikubwa San congratulations
Love story nmeipenda
Nakuombea kw mungu kwanza ujifungue salama na mungu ampe uwezo wa kuiwacha bange
Natamani sana mtu Fulani angelisikiliza simulizi huu angalau angeweza kuelewa hisia zangu na mm ,,naumia nateseka kwa sababu ya vnye nampenda..... nampenda sana uyo mdada
Aisee story nzur sana inafunza yan v2 vingi yan uzimzarau m2 kabsa
Mapenzi Konyoo ❤😂😂
Hogera sana nimeierewa sana simerizi hii hero waooooo
The Power of Love is undefined and incredible
Ekiss
Asate sana simlizi mix
I love you bottom my heart ❤❤❤❤🎉
Love you back dear
My siset wew ni.mwanamke sabite sasa mimi sina mengi mungu akubaki san ten.san ujifungue salam uwe kam mke na heshima zake
Mwamba anastaili penzi lako
Story nzuri kabisa 🎊❤️🇨🇩✌️
Muhun akipenda ana penda kweli ana mbamba❤❤❤❤❤❤
Kwaiyo ii.simulizi ni truu stori au vipi dada nakam ni kweli hongera Sana kwa kumpata mweza wako
Ki ukweli nimeipenda Sana hii hadithi big up
Ubarikiwe sana afande mapemzi ni kitu Cha ajabu sana nimefurahia mapemzi wenu
Dah kwel
Ongera mrembo ❤❤❤❤❤❤ kama poris wote wsngekuwa kama wewe tusingebaki na vibaka mtaani atammojaa😊😊😊❤❤❤❤
This stry is so nic n qwa akika hii stry hinasema wacha kudharau mtu mungu hubadilisha kila kitu qwa wakti wake ham njia yake
❤️❤️ mapenzi ya kweli
Dah historia nzur sanaa
Nakobali sana mapezi onapenda popote palé
Kweli mapenz ayachagui nimejifunza pia asante
Simulizi nzur sna❤
Mimi niseme kwamba mungu awe nanyi daima
Bonge lastor iseeee congraturation
Vizuri
❤ this story
Jini kisirani❤
Mapenzi ni popote, ni jinsi ya uvumilivu wako na kujikaza tu pale mwanamke anavyo ku puuza,
Your the best, unajua kusimulia kamama, Hongera sana. keep it up,
Hongera sana
Mapenzi ni busara za kipekee zenye kuleta matumain makubw san❤❤
Maisha ndivyo yalivyo yanachangamoto zake na mapenzi Ni kitu hatari Sana katika ulimwengu huu
Wawooooooo 🎉🎉🎉🎉
Napenda sana kusikiliza story asante sana
Celine Dion ( The power of love )
nime hipenda sana ❤❤❤❤🎉
Ongera san mapenzi haychagui🎉🎉🎉🎉🎉🎉