BABY MARRY AWAJIBU WAZEE WA SIMBA "VIONGOZI NDIO WANA MAMLAKA YA KUONGEA | WAWAACHE TUTAFUTE USHINDI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Daaa huyu dada nimemuelewa Sana .....ya pamoja na madhaifu yoote tuuachie uongozi........
Unahakili wew
Izo kauli tamuu sana oya SISI KAMA YANGA TUTAKUTANA TENA SI DUA TU
Machozi ya Wana msimbazi laana kubwa kwa kayoko
Simba hawana uwongonzi uliojitosheleza. Nikama wahuni walio amua kujikusanya pamoja.
Wazee wa zamani walikuwa na akili na walibariki kila kitu ila wazee wa sikuhizi wazee akili zao fyatu😂😂
Binti mdogo anawazidi uelewa mabibi, mababu na baadhi ya vijana.
Team yako iwe dahifu mala ngapi😂😂😂😂afu toka wanawake waanze kushadadia mpira umekuwa na matokeao ya ajabu sna😂😂😂
Mechi inayofuata mkamtafute refa wenu.
Welewa gn anaongea pumba huyo. Ww unafuraia kubebwa na refa
Ww ujaona kama refa kaboronga .kama vipi nenda kajiunge na yanga mjinga ww nikuwa nakweshimu kumbe kichwani hakuna kitu
Ww ndo huna akili
Hakukulazimisha umuheshimu ni shobo zako tuu 😂😂