MAPYA yaibuka SAKATA la Prophet MALISA na MKEWE, mtu wao wa karibu afunguka MAZITO kuhusu NDOA yao
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Mbona unamlaumu huyu kaka wakati anaongea very straight, pia ni kawaida kumchagua mtu unayemuamini kufuatilia TALAKA yako.
Wanawake Mungu anawaona, niliwa kulazimishwa na mke wangu, akisema nikamwache kanisani, huku akijua kuwa kanisa haliachanishi ndoa Tena akinisumbua sana
Wanawake wa kileo wanafikirisha sana na sisi vijana tunayo kazi kubwa sana
Tobaaaaaa anayejiita mtumishi wa Mungu anazidi kuharibu, kujiaibisha
Manabii njaa kali sana. Mmeanza kurap kwenye media baada ya kumuasi Mungu.
Moja kwa moja wewe mbaba ndiye unavunja ndoa ya Hao watu,wewe ni mtu mbaya sana, Acha kumfundisha kazi Waziri Gwajima,
Eti apostle mbona huongei ukweli???
Yaan hilo tmbo nakuombea sana Mungu akuponye
Yesu Kristo alituambia tutawatambua kwa matunda yao na pia tuache magugu na ngano vimee pamoja Yesu atakuja kubagua ngano na magugu
😂😂😂Makubwaaa chawa Wamtumishi
Ivi uyu anajielewa kweliii 😂😂😂😂 aseeh kwel bora ujiombee mwenyew
HUWA NASEMA MBINGUNI KILA MTU ATAKWENDA PEKE YAKE MAMBO YA NDOA NI YAHAP DUNIANI TU .NDIO MAANA WA ASEMA MWILI MMOJA SIO ROHO MOJA😊
Mungu atusaidie sana
Dunia imeisha YESU tusaidie
Hakuna Mungu kwako wala kwa Malisa! Mlinganieni Mungu nawwomba
Najaribu kufikilia mke wa mtumishi mkubwa Lisa kaiba pafumu ya mtumishi mwingine wa hapo kanisani na kesi ipo ostabey polisi dah!!! Pole dada Lisa uliotungiwa ni mengi lkn Mungu pekee ndio tumaini lako.
Mungu turehemu! Mungu nifundishe kunyamaza!
Mwisho mba ya Kwa Huduma ya Mungu, Watu Wa Mwamini Nani waende Kwa Nani Kama Watumishi ni hivyo ,tumeangamiza wengi Kwa Namna hii
Ivi bado kuna watu wanaenda kwenye kanisa la uyo baba 😂😂😂😂kah kweli binadamu tumekosa utu wala akili yani mtu mpaka anatia hasira 😢 ivi unajiita mtumishi wa Mungu kisha unakuja kwenye media kuongea vitu kama hivi
Mnaacha kutafuta hela mnashindana na mlikotoka. Wanawake -always handle with care wanafanyaga maamuz yao wakati mwngne kwa kuongozwa na hisia.
Muhurumien mpeni anachotaka apite hivi otherwise mtachafua jina la kanisa na utumish wake.
Kingne elewen huduma hiz Za kiroho zna vita sana pigeni kaz achaneni na kesi.
Mtajua wenyewe bhana
Kwa kweli..
Dunia imeisha hekima ya kibinadam inaangamiza wanadamu .YESU anakhitaji wewe mnenaji
Goshhh Yani hii Dunia ina Mambo.. I'm floating here.. there's lisa n there's malissa.. uuuweeeeh tz iko na Mambo..
Nilichokiona hapo huyo Lisa kapata kiburi kisa anatoka na kiongozi mkubwa serikalini.
Kuna baadhi ya waimbaji wa kike wakubwa ndoa zao zimevunjika kisa vigogo wa serikalini wengine ndoa ziliyumba baada ya vikao vingi ndiyo zikatengamaa.
#Mungu_Aturehemu
I wish SNS msirushe vitu hivi. Haya maisha ya ndoa yana changamoto sana. Ukirudi nyuma utakuta hata dada zako na shangazi zako wanapitia hayo. Sasa suala kuyarusha haya yanasaidia nini?
Mngefanya maombi kwanxa,hiyo itakuwa ni vita,wa2 wa2 tofauti walisemaga kwa malisa wapo waxee wa kanisa wanaishi gamboshi,huenda wanaharibu ndoa yake.
Ninawahurumia kondoo wa hili kanisa sijui watakuwa na hali gani kutokana na mgogoro huu wa wazazi wao hawa wa kiroho.Tuwaombee ili jaribu hili liishe ili shetani aaibike na kazi ya Mungu iendelee
Hawa wachungaji wanakuwaga na mapito jamani tuwaombee sana
Kabisa kipenzi sio kuwalaumu nikuwaombea nao wanawindwa na ibilis jamani
Mbona naongea kama mwijaku au baba levo😀😀
Kwann unamchafua mwenzio chanzo wanajua wao na Mungu Haina haja ya kumchafua wenyewe wapo kimya lakini wewe unamchafua dada wawatu siyo vzur
Kwa haraka haraka hapo alikuwa anamtaka😅😅 mwangali ndevu zake😅
Kwahyo wew nimtumishi wa Mungu 😢 unaongea utumbo sana nakama Malisa anafanya uovu mbona watu wanafunguliwa kwenye kanisa lake kwa upeo wangu kama mtumishi au mtu yeyote mweny Mungu akifanya maovu, Mungu awezi kuwa ndani yke ata hivyo na watu wasingefunguliwa.
Upeo wa mdogo hata shetani anaiga miujiza kaka sio Kila nabii akiponya mtu anakuwa mtumishi wa Mungu Kuna waganga wa kienyeji wanajiita manabii na malisa yumo ndani.Ndio maana umewaambia utawatambua Kwa matunda yao
Kazi ya Mungu inahitaji MOYO
Ni wito haswaaa
Ni kweli haswaa
Huyu mbona ni kama chawaa jamani
Hivi kma mungu anaweza kumkomboa mtu!? Alishijdwa vipi kumuokoa Nabii!?
Jamaa kanyoosha sana, story balanced, wanawake muache mihemko ya kishamba japo ndio mmeumbwa hivyo. Huyo dada ni mshamba sana kama alichoongea na kunacho semwa hapa ni kweli . Akafie mbali
Tena akafie mbali kusikojulikana
Jaman Mambo ya ndani anayajua Lisa Sasa mkichangia kwa kumtukana anajua mungu mwenyewe
Sikweli uyu mbaba katumwa
Takataka wewe
Huyo na bii wako malaya
Hakuna mtu ajuae ukweli ,there is something behind hapa wanajua wao wanandoa....
Mpaka mwanamke amefikia kuanika mambo hadharani basi ujue kuna tatizo mahali ,all in all Mungu aingilie kati kwa wanandoa wote but njia ya muongo ni fupi
Wewe baba muogope Mungu
Yaani wanaume wa nchi hii wameamua kuwa hivi eeh Mungu wangu linda uzao wa tumbo la mwanamke!!!kitu gani hichi 😊
Ameen
Dada naomba nitafute. Dr. Boniphace
Hakika.Mungu atuponyee
Kwani wewe ninani sisi tunataka kumsikia mke sio wewe lazima utamtetea mwanaume mwezako kwendaaaaaaaaaa
Nchi ya dar es salaam e! 😯😯😯😂😂😂
Uongo ukizidi labda😂😂😂
😂😂😂😂😂 unajua ukiongea kitu cha uwongo ndo shida Lisa anahistory huyu kapewa gazet asome😊
Hilo limwanamke lizinzi mke mlakondoo jueni Mungu yupo mtapata shida Sana
Huu ujinga mmeutowa wapi. Kama talaka ilitoka jwa nini isihodhoreshwe na mali walizomgaiwia. Huyu baba si mtumishi mzuri
Walio kwenye ndoa wana majibu yao, na wenye akili timamu wanajua mpatanishi kwenda kwenye media anatafuta nini,na wanamajibu je ni mpatanishi au vinginevyo.
HIZO TARATIBU ZA KIMILA ZA KUISHI NA KUZAA NA MWANAMKE MWINGINE HALI NDOA OG IKIWA KWENYE MGOGORO WA MIAKA MITATU. MWILI ULIMSHINDA MTUMISHI🤗
Haya mashetani na matapeli makubwa mtujuta mbwa nyinyi matapeli makubwa.Mungu anawaona .
Watoto hamuwezi elewa anachokiongea huyu mwamba
Hawawezi
mbona kama anajicreem
Hakuna ukweli hapa!
Forensic seers tulishaona, mnachokitafuta ni kufanya defamation tu
Ata ivyo unamzalilisha adi pafium yawizi mnaitaja apo wakati uo pafium bei Gani?
Duh ila wachungaji wa sikuizi wana tetea adi upuuzi 😢😢😢. Yani muongo mkubwa na ka base upande mmoja ata roho yake ina mshuhudia 😢😢😢🙌🏻🙌🏻
Wewe ndio muongo kweri kweri kwann umetoa hukumu moja kwa moja na ukaamini kuwa ame base upande mmoja
@@garruwsuntilibreaththislif3681 hata kama asinge chukua upande kiongoz wa dini msuluhishi huwez kuja kumwaga vitu vya watu hewani hivi.. kibusara alipaswa kuwaacha wayamwage wenyewe. Hana ethics mwamba 😅
Kama angekuwa ni mtumishi wa Mungu angewaita na sio kuja kuongea ovyo Kama yeye ni mtu mzima anajikanyagakanyaga tu😅
@@garruwsuntilibreaththislif3681
Tushaona msg zenu za grupu nje mitandaoni mumtete mzee wenu😅😅
@@YothamBraitonkweli
Huyu baba simtu mzuri
Ya Mungu tumuachie yeye. Na ya Kaisali tumpe kaisali. Imeniuma kwakweli kuachana s vzr
Mi ninachomshauliwa mwanamke ni mapenzi yameisha mali si kitu tafuta upya utapata mali si kitu hauzikwi nayo mtafute Mungu atakupa kila kitu. Mapenzi yameisha. Usije ukatengana na mungu wako kisa kuachana
Hatareeee 😢
Shetan anaweza kukop vyote isipokuwa utakatifu tu
Pole Kaka Malisa Nnachojua mm una Mungu moyoni majibu atakupa tu. Hii kama ya Mbasha 😢😢😢
Kamuachamke wake sababua azai
Ushauri wangu kwa kusikia leo kwanza majina ya lizza sijui lissa ni ya kukaa nayo mbali sana hawafai kwa umalaya pili mchungaji malisa achana kabisaa na huyu mtu anaitwa lizza km ndoa imevunjwa asikusumbue huyu kinyago oa mke mwingine kabisaa nikuambie tuu ulioa pepo la ngono halifai
😂😂😂
Kwani hivi unafaidika na nini wewe??? Mbona inaonekana kama una peraonal issue na huyo Lisa? Aisee wanaume kuweni makini na mirafiki kama hii
Wachache sana watakuelewa
Wanaume tumefikia hali hii.. kha!!
Mwijaku wakanisa😂😂😂
Sheria ilikuwepo kabla yakuja Imani lkin sasa hayupo chini ya Sheria basi hapo yalibid maombi t Kwan kama anaweza kuiludisha ndoa lilizo vunjka kwann yake anakubali ivunjke
Yaan hata mtengeneze uongo sis tupo pmj na lisa hyo malisa kwa muonekano n mlev na mvuta bang
Ushawahi kusikia ananuka pombe?
Ndio
Lisa hana akili anamwambia mpaka mange maneno ya ndani😅 mwanamke si mtu wa kumuamini,
Nilicho kiona hapa huyu bro anajaribu ku mdifendi huyo mume wa lisa...
Nikama ametumwa kuzima moto....bro hujengi unaharibu cv za watu..
Inaonekana jamaa upo hapa kumkandamiza huyo dada ukweli huyo dada anao na wew bro humjui huyo dada kaka anavyo mjua mume wake,acha ushabiki wa kidunia hauto kusaidia mno
Huyu siyo mtumishi wa Mungu kabisaa
Duh utapeli sio poa hukumu zote zilipatikana kata huyo lisa alifika? Na hukumu inatolewa bila mgawanyo wa mali? Huyu jamaa ni noma
Ukisoma school of cancelling hurusiwi kufunua mambo ya, washauliwa wako public... Wanaoruhusiwa kuweka undani wao ni wauhusika wenyewe..... HUYU SIYO MSHAURI KABISA... Akutakiwa kuweka kesi ya pufyum.... Huyu aliitwa kumsikiliza Lisa akamgeuka Lisa
Wewe umjui malisa mkewe ndo anamjua vizuri
usikosee kuoa #mwanangu narudia tena usikosee
Hakuna kitu hatari kwa siku hizi za mwisho kama haya makanisa
Mwanamke akitaka talaka yake ni haki yake kabisa .Kama hampendi mume wake.kwa Dini y kislam kwenye kitabu kitakatifu Quaran iko sura nzima inazungumzia kuhusu Talaka
Wanawake wanajishauaga sana mwanzoni lakini baada ya kulipata wanalolitafuta huwa wanakuwa wapole sana.
Malisa songa mbele mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe. Na ukiwa na kusudi la Mungu ndani yako hata mke anaweza kutumiwa na shetani ili auwe kilicho ndani yako.
Mmmh ndoa hizi
Nikijua nimesikia yote kumbe Bado ee Mungu baba nifundishe kunyamaza
Sina hakika kama huyu nimtumishi wa Mungu
Wanawake wamwogopeni Mungu tu. Izi kesi za ubakaji zimekua fimbo kwa Wanaume wengi haswa wanawake wanapo amua kubadilika . Mimi hapa nilipewa kesi ya ubakaji na mke wangu kisa miradi tuliyo fungua na meneja mmoja wa benki. Malisa akubali yaishe kwa usalama wake na angalie watoto wake . Mke ukuzaliwa nae ni mtoto wa mwenzio siyo wako. Watoto wako ndiyo wakwako. Wanawake wengi ni tatizo haswa kukiwa na mwongozazi kwa picha. Ndiyo maana niliamu kukaa mbali nao. Wengi ni zaidi ya shetani na mashetani. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani kamanda. Amen.
Watoto ni wa mdogo wake Lissa ....waliwachukua kuwalea baada ya mdogo wake kufariki
Yaani baadhi ya wanawake wanastahili kwenda jehanamu,wamejaa wivu,roho mbaya wapumbavu sana
Mimi ni mwanamke , na kesi kama hizi kweeeeli zimekuwepo hasa pale mwanamke anapopata pedeshee , na kwakuwa tumemeonekana kuwa tinanyanyaswa basi tunatumia njia hiyo kuwachapia watoto wa watu wa kiume , tukasahau na sisi tuna watoto wa kiume ,na hiii tabia imekuwapo sana .
Kweli kabixa
Wachungaji wengi huduma ikikua wanawanyanyasa wake zao sana
Kabisa
Kwanza wewe ni nani mshenga ,msimamizi wa ndoa ,au msemaji wa ndoa hiyo na kwa nini sasa jambo la ndoa ya watu lizungumziwe kwenye media wakati wewe sio muhusika wewe ni muhuni kama wahuni wengine toka hapa
Ukweli askofu hatakiwi kuwa mtu asiye na lawama na mawaa Sasa kanisa ligawanywe Kwa sababu yatamaa ya sadaka za watu
Ndo maana yesu alisema huwezi kutumikia mabwana wawili Mali mke watoto na KAZI ya mungu ona Sasa yanayotokea aibu tupu
Ongea YAKO unayejiita mtumishi wa mungu iko wazi umesetiwa na upande wa malisa
Bila kujali wewe ni nani ktk jamii, ugomvi ktk ndoa unatatuliwa na wanandoa wenyewe ukiwa mkubwa kidogo utaenda kwa wazazi na mshenga basi, ikizidi hapo hakuna mwanandoa hapo bali watu wawili wenye viburi vilivyopita kiasi. Unakuta binti anasema ukifanya iki ntaenda kushitaki ofisini kwenu, mara ntasema kwa majirani na mambo ya ovyo kama hayo sasa unakuwa unaishi na mtu anayepambana na wewe, adui yako
Huyu amekula chake asubuh
Kama ni huyo mtumishi haina haja ya kumsema waombeni tuu Mungu ndio jibu lao huyu akaye pembeni haeleweki
Mmmmh hiiyo ni hatari Malisa angekaa na mkewe watatue hilitatizo lakini watu wapembeni watawaharibia kila kitu hatajulikana yupi mkosaji wayamalize bwana wasameheyane
Kwa nini wazee maarufu nchini,ma Kamanda,mama mlezi na kadhaa waliotajwa hao wahusike kupinga taarifa hii ikiwa wameisikia wapo kimya ni ya kweli,wanaume tieni maji wembe mkavu waja.
Kama kweli Lisa aliitaka talaka kwa nini hakuhudhuria mahakamani?Nyie waongo wakubwa.Eti Prophet 😅.Nyie ni wapigaji tu,mnatumia matatizo ya watu kupata sadaka.
Huu niuongo wanataka kumuharibia dada wawatu lakini ipo siku
Wewe ushapewa sadaka so Mwishi huujui
Eti alitumwa yeye Kwa sababu ya 'peofession' yake my foot!
Mbona PEOFESSION😂😂😂😂😂
Nime elewa jambo,ngoja nikae kimya.
Kwani magari feki haturuhusiwi? Tz
mh..
kwani prophet mwenyew anasemaje ,
Mungu ndo mwamuzi wa mwisho siku si nyingi atatoa majibu , tutajua mwema nani au mbaya nani
Wewe waombee mtu wa Mungu Leo kwao kesho kwako!
Huyo mama kadanganywa sababu ya hizo Mali walizochuma na malisa ili wagawane
Msijiite watumishi wa Mungu nyinyi hamuwezi kumtumikia Mungu kamwe ni njaa tu zinawasumhua
Wewebinaonekana ndio mvunja ndoa.kwa nini unakuja mitandaoni kumdhalilisha LISA..kama wewe ni mpatanishi kwa nn usiyamalize kiungwa
Na bado anasema kabisa et Mimi ndo nilifatilia taraka kwani yeye ndo alieoa kwanza ni mahakama Gani iyo ambayo inatoa taraka kwa mtu ambae sio muusika hapa kuna kitu Wanakificha Hawa watu,Maana wameona yule dada kaongea ukweli na kwanza yule dada ajataka kuvunja kanisa ametaka haki yake ya ndoa tukasikilize vizuri maongezi ya yule acheni kumchafua libaba lizima ovyoooo
Afai huyo kahongwa anatetea upande mmoja kwa nini
Wewe mwenyewe ndoa yako unashida.
Toka pepo
Jamani hapo sijaelewa unawezaje kwenda kuchukua form 3sehemu yao ya zamani ambayo walikuwa wanaishi hapa kuna kitu wewe unaejiita aposto mbingu utaisikia