MAKONDA AWAVUNJA WATU MBAVU - JAMAA NUSU AINGIE KWENYE 18 - ''HIYO SIMU YAKO AINA GANI?''...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • MAKONDA AWAVUNJA WATU MBAVU - JAMAA NUSU AINGIE KWENYE 18 - ''HIYO SIMU YAKO AINA GANI?''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 25

  • @emmyurio7735
    @emmyurio7735 26 วันที่ผ่านมา +4

    Thankyou Lord Jesus

  • @TravisJohn-q8r
    @TravisJohn-q8r 26 วันที่ผ่านมา +5

    Amepungua sana weight maskini, this man has been thru a lot 😔😪

    • @gmziwandanation555
      @gmziwandanation555 25 วันที่ผ่านมา

      Kabisaa macho yako kama yangu na hajachangamka hata

  • @OscerShop
    @OscerShop 26 วันที่ผ่านมา +6

    Mh. Makonda chapa kazi watanzania tunakupendasana.

  • @JumaKikoto
    @JumaKikoto 26 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda mungu akupiganie katika maisha yako

  • @OscerShop
    @OscerShop 26 วันที่ผ่านมา +4

    Na tunakuombea kwa mungu siku moja uwe Rais

  • @MirandaThomas-n3v
    @MirandaThomas-n3v 26 วันที่ผ่านมา +3

    Kwakweli siku ya leo nimefurahi sana Mungu akulinde baba

  • @ElishaSam-sy6lx
    @ElishaSam-sy6lx 26 วันที่ผ่านมา +3

    Nimefurahi mno., maishani mwangu nachukia sana mtu kuonewa kwa namna yeyote ile. Naheshim mchango wako kwa Wanaarusha.

  • @Winmbena
    @Winmbena 26 วันที่ผ่านมา +1

    ASANTEEEEEE YESUUUUUU.....WE love you mh. Makonda P.

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 26 วันที่ผ่านมา +3

    Mimi niko Morogoro nilikuwa anamwombea tu japo haniajui

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 26 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana mkuu kwa kurudi salama,safi sana super makonda kwa kuonekana kwa watanzania.Ninakuombea sana papaa

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 26 วันที่ผ่านมา +2

    Yote kwa yote Mungu akatende zaidi ya hapo ulipo

  • @OckendenMkandawire
    @OckendenMkandawire 25 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu anacheza na hajui kazi... Mavazi gani kwenye nchi inayojitapa kufuata maadili, hayo sio Mavazi ya mtumishi wa umma,

    • @sambulugu9988
      @sambulugu9988 25 วันที่ผ่านมา

      Mavazi sio kazi! Kufa maana najua hujapenda kumuona!

  • @georgemaziku6610
    @georgemaziku6610 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu aendelee kukulimda

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 26 วันที่ผ่านมา

    Mshike Yesu sana mwanangu Makonda

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i 25 วันที่ผ่านมา

    Kazi iendelee!...

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 26 วันที่ผ่านมา

    Mungu akupganie Mr. Makonda

  • @Jean-marieNiyonzima-f3e
    @Jean-marieNiyonzima-f3e 25 วันที่ผ่านมา

    karibu sana raxc

  • @user-et3hd7zk7z
    @user-et3hd7zk7z 26 วันที่ผ่านมา +1

    hakika umeona jinsi gn wananchi tunakupenda chapa kazi kiongozi wetu maramojmoj karibu bariadi

  • @furgasonfrancis9411
    @furgasonfrancis9411 25 วันที่ผ่านมา

    Mungu mwema tilikumiss

  • @mikepuzikakwaamnimkapajohn221
    @mikepuzikakwaamnimkapajohn221 26 วันที่ผ่านมา

    Asante
    Yesuumejibumaombi

  • @MarthaZabron-v9b
    @MarthaZabron-v9b 26 วันที่ผ่านมา

    🙏

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 24 วันที่ผ่านมา

    hy itakuwa alikuwa anaumwa 🤔

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 26 วันที่ผ่านมา

    Hali mradi karudi