LIVE : : NDOTO NA TAFSIRI ZAKE PASTOR SUNBELLA KYANDO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 มี.ค. 2021
  • HUDUMA YA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) IPO SINZA MORI DAR ES SALAAM INAONGOZWA NA MTUMISHI WA MUNGU SUNBELLA KYANDO
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our TH-cam: th-cam.com/channels/67L.html...
    #Realityofchrist# #SunbellaKyando#

ความคิดเห็น • 172

  • @georginakanje8879
    @georginakanje8879 7 หลายเดือนก่อน +1

    Shaloom mimi nnaota ndoto narudi shule iwe nmevaa sare ya shule ya msingi au sare ya shule ya sekondari nlizomalza huwa inajirud jirudia sielewi tafsiri yake

  • @BrianMunyasa
    @BrianMunyasa 3 หลายเดือนก่อน

    Am emily from kenya ni neno zuri pastor ubarikiwe

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 2 ปีที่แล้ว +2

    Nakupata vizuri kabisa mtumishi. Niko marekani . Davies kutoka kenya

  • @magrethmukaja4776
    @magrethmukaja4776 6 วันที่ผ่านมา

    Huduma istawi sana na kuleta Utukufu na ukombozi Kwa wengi.

  • @annemyombo8089
    @annemyombo8089 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi Bwana Yesu asifiwe .
    Mtumishi ktk ndoto nilimuona rafiki yangu kazini ambaye amepandishwa cheo kizuri Nov mwaka jana ,akiwa ananiletea viatu vipya akanikanidhi

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l ปีที่แล้ว

      Viatu n mamlaka, yoshua naambiwa kila ziingiapo nyayo za miguu zenu nimewapa kumiliki NA pia ni uinjilisti ila kulingana nawe cheo utapandishwa ko ingia maombi y kumshukuru bwana

  • @agneskadzo1726
    @agneskadzo1726 2 ปีที่แล้ว +1

    Watching from lamu Kenya,niliota nmeingia Kwa duka ya chakula ya mifugo aina ya kuku,gafla ndege aina ya kuku wakaanza kunizunguka wakichana vazi langu nyuzi sikuwa na nafasi ya kutoka nikaitisha msaada na gafla Tena Mzee katokezea kakata zile nyuzi walizokua wanachana na kumaliza akawa amenikwamilia

  • @magrethmukaja4776
    @magrethmukaja4776 6 วันที่ผ่านมา

    Mimi Sina fedha wala dhahabu,natolea maombi na shukrani muda wa saa moja Kwa siku tisa Kwa YESU .

  • @winfridamrema796
    @winfridamrema796 2 ปีที่แล้ว

    Mimi niliota nimeenda kusali kanisa analoongoza mchungaji au mmiliki wakike kanisa hilo lipo mbali na makazi ya watu, nilitoka eneo la ibada na ndugu yangu kuelekea bustani kuchuma machungwa lakini yalikua ni machanga, alitokea huyo mama akatufokea ikimaanisha turudi ibadani , maombi yalianza nikatoka na kukimbia nikihisi hawamuamini Mungu wa kweli, mimi na ndugu yangu tulikimbizwa sana na vijana wakiume WAWILI, Ad kuingia kanisa fulani lililokuwepo mbali na eneo la ibada hyo , nilisali sana na kuwaombea na kukemea hawakutudhuru. Mtumishi, naomba nisaidie tafsiri ya ndoto hiyo. Asante.

  • @ruthmahene9733
    @ruthmahene9733 ปีที่แล้ว

    Asante mtumishi neno limenisaidia sana si hili tu bali yote kwangu naona yananipa kitu kipya Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu

  • @josephthine5036
    @josephthine5036 3 ปีที่แล้ว +1

    Joseph Thine, from Nairobi, Kenya. Watching.

  • @highonebalo8289
    @highonebalo8289 3 ปีที่แล้ว +2

    Niko Arusha.
    Nina shahuku sana uanze kufundisha tu mwalimu.
    Maana huwa nakuelewaga na napata mwendo sana nikikusikiliza.
    Karibu tcha wangu.

  • @sulleadiana4504
    @sulleadiana4504 2 ปีที่แล้ว

    Amen mchungaji Mimi niliota Mzee ambaye simjui akiwa ananikatalia ananipenda na ukweli hakuna mahusiano yanayodumu na nimekuwa nikimlilia mungu ,,arejeshe uhusiano wangu ambao sielewi shida ilitokea wapi

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 2 ปีที่แล้ว

    Asante mpakwa mafuta
    Masomo yananifunguwa sana
    Najifunza na kupokea barikiwa sana mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI,

  • @happynesskapela1153
    @happynesskapela1153 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏

  • @regalistrrlyimo8827
    @regalistrrlyimo8827 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuelewa Mtumishi na nimejifunza mambo mengi sana.Ubarikiwe sana Mtumishi

  • @veronikaaugustino2258
    @veronikaaugustino2258 3 ปีที่แล้ว +1

    Kutoka Tbr baba Namwambia MUNGU Asante kwa Neema hii ya maarifa haya

  • @yohanajulias142
    @yohanajulias142 2 ปีที่แล้ว

    Aminaaaaaaaaa sanaaa servant of God barikiwaaaa mnooooo nimebarikiwaa

  • @annandossi1022
    @annandossi1022 3 ปีที่แล้ว +1

    Nawapata nikiwa ujerumani 🙏🏾 Asante sana Mtumishi 🙏🏾

  • @elizabethrabanus3990
    @elizabethrabanus3990 3 ปีที่แล้ว +3

    Nipo Lindi,,Nakuelewa Mtumishi hata Kama ilishapita nimejifunza vitu vingii

  • @rashilohenterprises1452
    @rashilohenterprises1452 2 ปีที่แล้ว

    shalom thanks for the details on the dreams translation niko Kenya Mombasa mariakani

  • @salamamapendo6461
    @salamamapendo6461 2 ปีที่แล้ว +1

    Salama mapendo kutoka American nakuelewa sana Baba yangu

  • @peninahgetau1362
    @peninahgetau1362 2 ปีที่แล้ว

    shalom watching from Mombasa Kenya

  • @winniesainet8635
    @winniesainet8635 3 ปีที่แล้ว

    Amen.....mi niliota vichwa viwili vya Bonge la masimba wakiunguluma mawinguni

  • @bildadlema2547
    @bildadlema2547 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana mtumishi,nakufatilia kwa karibu nimebarikiwa sana

  • @bonheurmungalambuyu8015
    @bonheurmungalambuyu8015 ปีที่แล้ว

    Asante mutumishi mkuu ninakua Niki vutwa sana kwa mafundisho Yako kila Siku n'a kila muda

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 ปีที่แล้ว

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @mercyfaidajumaa9793
    @mercyfaidajumaa9793 2 ปีที่แล้ว

    Asante mungu 🙏🙏🥰

  • @marygeorge3459
    @marygeorge3459 2 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa mtumishi sunbella. Mary from Kenya

  • @mercyfaidajumaa9793
    @mercyfaidajumaa9793 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana mtumishi

  • @elizabethstephen15
    @elizabethstephen15 2 ปีที่แล้ว +1

    Elizabeth from London Manchester

  • @zakiaabdulrahman3013
    @zakiaabdulrahman3013 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki mtumishi niapata funzo

  • @mariamfrank9795
    @mariamfrank9795 2 ปีที่แล้ว

    Unanibariki sana mtumishi

  • @elishasoka6692
    @elishasoka6692 2 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kukupa afya njema na upako zaidi ili tuyafaidi Yale yote Aliyoweka ndani yako Mchungaji Wangu.

  • @jacksonkahindi1294
    @jacksonkahindi1294 2 ปีที่แล้ว

    Amen nakutazama kutoka Mombasa Kenya

  • @rahabumwangoka6803
    @rahabumwangoka6803 3 ปีที่แล้ว +1

    Bwana yesu asifiwe mimi nimeota nimezungukwa na nguo chafu nyingi na imejiludia mala Tatu
    Mungu nisaidie kuiekewa

    • @neemashuma4302
      @neemashuma4302 3 ปีที่แล้ว +1

      Mara 3 ni hakika. Kaa magotini,

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l ปีที่แล้ว

      Karama yko haipo vzuri unafaa kuingia ktk toba

  • @antoniaemmanuel6754
    @antoniaemmanuel6754 2 ปีที่แล้ว

    Asante nimepata majibu ya ndoto yangu hata kama sijaisema hapa.

  • @angellawrence1844
    @angellawrence1844 2 ปีที่แล้ว

    Angel Lawrence kutoka Nairobi,God enlarge you Man of God

  • @angelkanoga2175
    @angelkanoga2175 2 ปีที่แล้ว +1

    Yan uwa nakaa natazama hii video kuangalia prophecy yangu najua iko siku itatimia tu

  • @stellamulenga7532
    @stellamulenga7532 2 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa vizuri sanaa mchungaji

  • @elizabethrabanus3990
    @elizabethrabanus3990 3 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sanaaa Mtumishi wa Mungu, barikiwaaa sanaaa

  • @mankamassawe5605
    @mankamassawe5605 2 ปีที่แล้ว

    Shaloo baba ,je mtu akikuotea Sana uko katikati ya watu walokufa manake nn baba

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l ปีที่แล้ว

      Roho za mauti zinakuandama au familiar spirits au spiritual husbands au imitating spirits

  • @paschalmeela8530
    @paschalmeela8530 ปีที่แล้ว

    Mwalimu Mungu akuinue nashiba

  • @mamelithaemmanuel2976
    @mamelithaemmanuel2976 2 ปีที่แล้ว

    Mamelitha Emanuel kutoka finland Ninakupata vizuri

  • @jacqulinekasondera5326
    @jacqulinekasondera5326 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimeota naenda chooni kunisaidia, nikaingia mlango was kwanza sikuona tundu LA choose na ukuta mmoja ulikuwa umeanguka, chumba cha pili hakukuwa na tundu pia Ila kulikuwa na nyayo za watoto chumba cha tatu kilikuwa kumefungu nikawasha taa haikuwaka, nilivyojaribu kuvuta mlango ulitoboka na kwenye tundu hilo kilitokea kitu kilefu kama nyoka kilochofunikwa na nguo chafu kisha kikanikata shavu LA kushoto kisha kisha nikabana kichwa na mkono was kulia huku nikikemea na huku nasikia sumu inasambaa mwilini nikiwa napamba gafla nikashituka usingizini.

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 2 ปีที่แล้ว +1

    Naendelea kujifunza hapa maana mimi ni mmoja wa ndoto nyingi,always I need translation,nipo 🇴🇲 Omani nafuatilia

  • @paulinecharo5408
    @paulinecharo5408 3 ปีที่แล้ว +1

    Bwana yesu asifiwe,mm nimekua nikiota nikiosha choo kichafu sana naimekua ikijirudia siku nyengine niliota nikiwa na dadangu nikiwa naosha hicho choo dada akaniambia wachana nimeomba tayar then ikaja scene hapo kwenye choo nikatoa mkungu wa ndizi uliokuwa umeiva sehemu, hii sehemu ya chini ndizi kadhaa zikawa hazijaiva

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l ปีที่แล้ว

      Kutosha kitu ni utakaso ulipoona ndizi za kuiva bwana anakuambia kuna uponyaji NA life pia green means life john 10 :10 the thief comes to steal kill and destroy but i come so that you may have life thus the emiralds

  • @gracemwakabonga5029
    @gracemwakabonga5029 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sana.
    Ila wakati mwimgine sikumbuki vyote

  • @JackKamundia-wh4hd
    @JackKamundia-wh4hd ปีที่แล้ว

    Asante mtumishi

  • @epimakntalindwa7241
    @epimakntalindwa7241 3 ปีที่แล้ว

    nakupata sana Pastor niko rwanda

  • @annstersianganga6772
    @annstersianganga6772 2 ปีที่แล้ว

    Amen Amen nawapata kutoka Kenya

  • @joycekariuki46
    @joycekariuki46 2 ปีที่แล้ว +1

    Mm huwa naota Sana Sana vitu zinatokea pia naota nikiwa shule primary but kulingana na vile nimefuatilia masomo ya mtumishi nimejua niko na shida

  • @graciasmasila5838
    @graciasmasila5838 3 ปีที่แล้ว +5

    Amen, hello mimi niliota mchana eti nina jaa nilipo fika kwenye kimbanda kununua chakula nilikuwa na jiona nipo sawa nina hela, muuzaji alipo kuja aliniambia bei ya juu kiasi kwamba pesa zangu zote hazingeweza tosha kununua chakula, muuzaji akaniambia basi wacha nikupe mahindi bila maharagwe kulingana na pesa yako, na alipokuwa hakinipakulia ndoto ilipotea nika situka nakuammka, na kawaida yangu mimi kuota nikikimbizwa na ng'ombe sehemu tofauti, ama nikifanya mapezi na watu tafauti ata wazimu na wanawake pia na wanyama 😪😪😪🙏please nisaindia nakusiii😪😪

    • @josegashiko3111
      @josegashiko3111 2 ปีที่แล้ว

      God be with may God rescue your soul from evil family members.Ukiona ng'ombe huyo ni mwanamke wa familia yako.

    • @gloriapraise3313
      @gloriapraise3313 2 ปีที่แล้ว

      @@josegashiko3111 ngombe haisimamii mwanadamu.... A woman can't b a cow in a dream... Rem cows were used to carry the ark of the covenant of in the Bible n after that God strike them dead... Cows r nt a good spirit and or dimandion in the spiritual world realm

    • @gloriapraise3313
      @gloriapraise3313 2 ปีที่แล้ว +1

      2. Uko na njaa ya kiroho... U have to soak urself in the word of God so that blessings can b poured on. U.... Ndo unaona uko na njaa Tena unaenda the wrong plc Kibandani!!!.... N either way kanisa ambalo bado haliwezi hudumia watu bila pesa.... Ama mtumishi ambaye fr them to serve u lazima umpe hela

    • @Frankjuma254
      @Frankjuma254 2 ปีที่แล้ว

      Mungu akuonekanie

  • @revocatusngomele4905
    @revocatusngomele4905 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @miraclemoses2327
    @miraclemoses2327 2 ปีที่แล้ว

    Ameni mtumishi

  • @user-hb2hr5vb6v
    @user-hb2hr5vb6v 10 หลายเดือนก่อน

    samahani baba naomba kuuliza nimeeota nilikua jikon hafu mvua na na upepo mkali vikavum na mwishowe kuta za jiko zikaniangukia

  • @happinessngogo1999
    @happinessngogo1999 2 ปีที่แล้ว

    AMEN

  • @gregorynyamas1234
    @gregorynyamas1234 2 ปีที่แล้ว +1

    Gregory Penn, kutoka, Naivasha kenya 🇰🇪

  • @evetaswai9387
    @evetaswai9387 2 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sana

  • @graciasmasila5838
    @graciasmasila5838 3 ปีที่แล้ว +2

    Niko saudia jeddah natoka Kenya

  • @florencekwamboka9717
    @florencekwamboka9717 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @phabianmathew9484
    @phabianmathew9484 3 ปีที่แล้ว

    Nipo mwanza nakupata Sana mtumish

  • @zakiaabdulrahman3013
    @zakiaabdulrahman3013 3 ปีที่แล้ว

    Nimeelewa

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 2 ปีที่แล้ว

    Nampata kutoka katar bas naomba mafundisho kitu siku🙏🙏🇰🇪

  • @estherulikaye3268
    @estherulikaye3268 3 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa san

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 3 ปีที่แล้ว +1

    Shalom mm naota sana naombea vilema na wanapona wanakuwa wazima

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l ปีที่แล้ว +1

      Bwana nakuambia huduma yko n ya deliverence

  • @rusiwadonatrusi3603
    @rusiwadonatrusi3603 2 ปีที่แล้ว +1

    Sijui nilikuwa wapi siku zote hizi mchungaji ubarikiwe sana hata nimechelewa commenti

  • @zabibuhassan9792
    @zabibuhassan9792 2 ปีที่แล้ว

    Nashukuru Mtumishi nakuelewa sana mafundisho yako yananivusha sana. Mmi nikiota ndoto huwa zinatokea hazichukui hata muda!! Na nikimuota juma kapata tatizo inakuwa ni juma huyo huyo. Haibadiliki na nikiomba hakitokei ila nikipuunzia maombi kinatokea. Nimekuwa nikionyeshwa vitu vya watu hata naogopa. Chochote kinachotaka kutokea kiwe kizuri au kibaya ni lazima niote na kinakuja vile vile.
    Wakati mwingine nikiwa ofisini hata nimepumzika kidogo mchana, naweza ota jambo fulani ninafanyika huko nje, mara nikishuta nikitoka nje nakuta kinafanyika hivyo hivyo.

  • @dadaagnes4483
    @dadaagnes4483 2 ปีที่แล้ว

    Japo ni kipindi kilichopita lkn bado nafatilia. Nakupata vuzuri mtumishi wangu nikiwa Iraq

  • @mankamassawe5605
    @mankamassawe5605 2 ปีที่แล้ว

    Baba mm manka nimetuma ndoto yangu mapema Sana hujaisoma babangu

  • @annmutuma2519
    @annmutuma2519 2 ปีที่แล้ว

    Mimi ni Ann gakii from Mombasa, niliota napigana na paka wakubwa sana weusi na mara nyingine naota ngombe wako kwa nyumba yangu wakikula takataka kwenye dustbin

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l ปีที่แล้ว

      Ng'ombe tribal spirits from your fathers side, spiritual husbands but according to your dreams it symbolises wealth

  • @erickmuhanga8062
    @erickmuhanga8062 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakupata Nikiwa Oman

  • @dorahmajura7409
    @dorahmajura7409 3 ปีที่แล้ว

    Nipo Zanzibar baba

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 2 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa

  • @magrethmukaja4776
    @magrethmukaja4776 6 วันที่ผ่านมา

    Kweli

  • @rebeccajacob1795
    @rebeccajacob1795 2 ปีที่แล้ว

    Asante mtumishi Kwa mafundisho mazuli yananitoa sehem moja kwenda nyingine

  • @peninahgetau1362
    @peninahgetau1362 2 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sana mchungaji na nina jifunza mengi,

  • @winfridamrema796
    @winfridamrema796 2 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa mtumishi

  • @jerehjeremy007
    @jerehjeremy007 ปีที่แล้ว

    Kuna channel gani ya TV naweza kufuatilia mafudisho yko, hunibariki na kunielimisha Jeremiah from 🇰🇪

  • @nasiantamary1739
    @nasiantamary1739 3 ปีที่แล้ว

    Nairobi

  • @veronikaaugustino2258
    @veronikaaugustino2258 3 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa baba kwa maarifa

  • @patriciashao372
    @patriciashao372 2 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sana baba

  • @rosemrutu9069
    @rosemrutu9069 3 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sana mchungaji,ubarikiwe sana, ila kwebye ndoto ya Yusufu unawezaje jujua kuwa miakavsaba na sio miezi au siku saba?

  • @trisherantony
    @trisherantony ปีที่แล้ว

    Nimeota kuwa naenda shule Mimi na wa kaka sita ila mmoja wapo alikuwa mkaka mzuri sana ya mno na nilikuwa nipo kwenye mahusiano ya shule, sasa wakati wa breakfast tulienda kupata vitafunwa na juice, baada ya hapo siku iliisha ikafika usiku sasa kwenye ndoto nilikuwa naona kwamba nimepanga kwenye apartment, ilivyofika usiku nikaenda bafuni kuoga nikamaliza ila wakati naenda kulala nikaenda sehemu ya kunawiya mikono nikalala hapo ila puwa yangu ikawa ipo kwenye bomba na maji yanatililika

  • @janemwakanyamale6170
    @janemwakanyamale6170 ปีที่แล้ว

    Ninawapata kutoka malawi lilongwe naitwa Jane mwakanyamale nabarikiwa sana

  • @perpetuaidafa4698
    @perpetuaidafa4698 3 ปีที่แล้ว

    perpetua michael.Niliota kulikua na magari mawili ya kijeshi,na mimi nilikua mmoja wapo niliyopanda katika gari moja wapo,nilipofika sehemu nilishuka,na gafila gari langu nililokua nimepanda mwanzo likaniacha,ghafla wakatokea watu waliokua wananifahamu wakawa wananishanga kuwa mimi nimwanajeshi

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l ปีที่แล้ว

      Ndoto yko ina tafsiri mbili, we are soldgers of the Lord Gari kukuacha spirit of delay

  • @neisamartin4087
    @neisamartin4087 2 ปีที่แล้ว +1

    Neisa Toka Marekani , bwana asifiwe

    • @neemamathews2525
      @neemamathews2525 2 ปีที่แล้ว

      Asante pastor sunbella kwa mafundisho mazuri

  • @rukiasalum7628
    @rukiasalum7628 ปีที่แล้ว

    Usiku wa leo nimehamia nyumba ila nikatoka sokoni nilipo rudi nikipotee nipokuwa naitafuta nyumba nikakutana na mdogo wangu ila amekufa miaka mitatu iliyo pita anasema dada twende ila mie nikakataa akaingia kwenye nyumba moja wakaanza kumbaka nikawa najitahijdi.kusaidia.ila.sikuweza

  • @paulopaulopeter8307
    @paulopaulopeter8307 ปีที่แล้ว

    Pastor kila ndoto nikiota naota pesa, kiasi ni sh. M1 kwann hakibadiliki???

  • @teknosparck9386
    @teknosparck9386 2 ปีที่แล้ว

    Natoka Kenya nairobi

  • @catherinekiondo955
    @catherinekiondo955 2 ปีที่แล้ว +1

    Baba kuna mtu aliniambia ameota tupo nae tumeenda sehemu inamlima kunawatu wengi kwenyehuo mlima Ila tukakuta kumefungwa ...tukaendelea kwenye mlimamwingine hatukufika baba hii inamaana gani??

  • @magrethmukaja4776
    @magrethmukaja4776 6 วันที่ผ่านมา

    Nipo Spain nimekubariki napata kufahamu mambo

  • @levismachaka9859
    @levismachaka9859 2 ปีที่แล้ว

    nakupata kabisa

  • @saidisuhuzwa9959
    @saidisuhuzwa9959 2 ปีที่แล้ว

    nawapata nikiwa kigoma tanzania

  • @thelesiakabadi2155
    @thelesiakabadi2155 2 ปีที่แล้ว

    Nakupata mtumishi

  • @tedynyenza8953
    @tedynyenza8953 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa haswa

  • @Reborn_WC
    @Reborn_WC ปีที่แล้ว

    Baba mimi juzi naliota ndoto nikiwa sehemu kama yenye watu wengi,sehemu hiyo ilikuwa kama darasa ila watu walio nzunguka ni watu wazima wote tulikuwa tumekaa lakin glafla wale watu walitoka nje nakuanza kunyolewa nywele wakitumia visu vyembamba kama visu vyaku fanyia operation, pia wakati wakiwa wananyolewa wa kichwani mwao kulionekana msitali mwanzo wa utosi baada ya hilo naliona mmoja wa wale wanyozi akimyoa mmoja pembeni nakumtoboa kitu kama jipu nikamuuliza mbona unamtoboa ivyo wakati ajakuomba hakusema kitu lakini wakati anamtoboa alitoa kitu kama kiumbe kama umbo la paka na chenye rangi nyeupe harafu akambeba hicho kiumbe nakuondoka nacho miminilishangaasana

  • @winfridamrema796
    @winfridamrema796 2 ปีที่แล้ว

    Mtumishi umezungumzia idadi au namba, naomba tusaidie namba 2 inamaanisha nini kulingana na ndoto yangu niliyoelezea hapo na kimbizwa na watu 2.

  • @pendoremunge9087
    @pendoremunge9087 3 ปีที่แล้ว +1

    UPENDO Niko Arusha nimebarikiwa sana baba

  • @juliethscott1129
    @juliethscott1129 2 ปีที่แล้ว +1

    Niko kigoma

  • @evamiraji2379
    @evamiraji2379 2 ปีที่แล้ว

    Naelewa sana Mchungaji, Mungu akubariki sana..