KUPAMBANUA ROHO II (MAONO YA USIKU) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our TH-cam: www.youtube.co....
    #sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist

ความคิดเห็น • 44

  • @Victoriawambura
    @Victoriawambura หลายเดือนก่อน +2

    Haijalishi imepita mda gani najiungamanisha katika jina la yesu

  • @mjumbewayesu6779
    @mjumbewayesu6779 ปีที่แล้ว +7

    Asante mchungaji kwa somo zuri linalofungua macho ya rohoni

  • @alfricksungu3769
    @alfricksungu3769 ปีที่แล้ว +1

    nimeona maono mingi hadi nikakuona sunbella ukija kuninusuru kwenye hali niliokuwa nayo mara mbili ningependa sana kujua mengi kuhusu hiyo

  • @rispercharo810
    @rispercharo810 ปีที่แล้ว +3

    Naam.!...nko apa mtumishi!!...nakupata na kukuelewa vizuri sana.

  • @elizabethmwamdanga7377
    @elizabethmwamdanga7377 5 หลายเดือนก่อน +1

    AMEEN

    • @JohnMuli-ld9ml
      @JohnMuli-ld9ml 5 หลายเดือนก่อน

      Hamjambo mm huota na kujipata sina amani

  • @EvelnLaison
    @EvelnLaison 4 หลายเดือนก่อน

    Aksnte nimeelewa na kufunguka

  • @mashakamahendeka4995
    @mashakamahendeka4995 ปีที่แล้ว

    Ni somo zuri pastor Nina swali katika hili nawezaje kuitawala ndoto

  • @neemamarko176
    @neemamarko176 ปีที่แล้ว

    Asante sana pastor Mimi nimhanga sana wakuota kula,nashukuru Mungu umenifunulia ufahamu wa hii ndio Barikiwa sana na familia yako

  • @happinessakim2679
    @happinessakim2679 5 หลายเดือนก่อน +1

    🙌🙏🙏🙏

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 ปีที่แล้ว

    Hiyo ni kweli. Mala nyingine Mungu anazungumza na sisi shida tunadhindwa kutafsili ndoto

  • @nehemiahsima1389
    @nehemiahsima1389 ปีที่แล้ว

    Amen bado nazidi kujifunza zaidi.....

  • @tasokwamichael2433
    @tasokwamichael2433 ปีที่แล้ว +2

    Amen ubarikiwe 🙏👍

  • @alicesafari6019
    @alicesafari6019 ปีที่แล้ว

    Be blessed Pastor ni kweli hizi ndoto huwa naziona Sana lakini Sina ufahamu wa ndoto naomba Mungu anifungue

  • @neemakyando9591
    @neemakyando9591 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 ปีที่แล้ว

    AMEEEEEEN

  • @upendolaizer4775
    @upendolaizer4775 ปีที่แล้ว +3

    Shalom mtumishi! Mimi Jana niliota nilikuwa nimefanya mtihani matokeo yakatoka nimechaguliwa na nimeletea form ya kujiunga na chuo cha kanisa sasa sielewi nini maana ya hii ndoto

    • @WinfredWanjiru-iu9zj
      @WinfredWanjiru-iu9zj ปีที่แล้ว

      Mtumishi... i am a pastor here in Kenya kirinyaga county.. but i have a lot of difficulties in the ministry, for 30 year's serving under my Bishop.. know they are pushing me out.. without any thing.. nikotu kwa mpango wa mungu kweri??? Niko down Sana, please help

    • @antoniaemmanuel6754
      @antoniaemmanuel6754 ปีที่แล้ว +1

      Wewe ni mtumishi na utaenda kusoma chuo cha biblia Roho mtakatifu akusaidie

  • @antoniaemmanuel6754
    @antoniaemmanuel6754 ปีที่แล้ว

    Asante kwa mafundisho

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana

  • @neemamarko176
    @neemamarko176 ปีที่แล้ว

    Asante Kwa ushuhuda mzuri

  • @drvidah7030
    @drvidah7030 ปีที่แล้ว

    Am really blessed with these teachings...Thanks pastor

  • @elishasoka6692
    @elishasoka6692 ปีที่แล้ว

    barikiwa Mtu Wa Mungu

  • @ZenaMasanja
    @ZenaMasanja 7 หลายเดือนก่อน

    Ameni

  • @ellenatilio5666
    @ellenatilio5666 11 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏

  • @fedrickyohana7433
    @fedrickyohana7433 3 หลายเดือนก่อน

    Naota nakula nama mara nyingi nikiamka najisikia kutapika siku nzima

  • @drvidah7030
    @drvidah7030 ปีที่แล้ว +2

    Yaan mimi kila ndoto ninyoota lazima itokee sema hua sielewi ni nzuri au mbaya nikiamka ni kuvunja yaaan😅😅😅😅😅😅😅maombi ya kukemea kumbe nyingine sio mbaya

    • @jefrineliaselias691
      @jefrineliaselias691 ปีที่แล้ว

      Ndio ufatilie Soma Sasa na uelewe ili uwemakini

    • @irenelyamuya5466
      @irenelyamuya5466 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂unaweza kuvunja na baraka zako fuatilia somo vizuru 😅

  • @MagdaleneMagdalene-rz1sp
    @MagdaleneMagdalene-rz1sp ปีที่แล้ว

    Shalom pastor Mimi nimgeni hapa ila naomba unisaidie hii ndoto hivi machuzi niliota nimenyaganywa kiti na mwanamke sijuihebu nisaidie

    • @sophiagomoka
      @sophiagomoka ปีที่แล้ว

      Unatakiwa uelezee vizuri maana ipo fupi haina maelezo ya kutosha. Pia ni vizuri tizama sehemu ya kwanza.
      Lakini kwa haraka umenyanganywa kiuharisia sasa sijui ni ndoa, uchumi?

    • @antoniaemmanuel6754
      @antoniaemmanuel6754 ปีที่แล้ว

      Umeondolewa ,au utaondolewa kwenye nafasi yako, sijui ni eneo gani ila wewe ndio unajua .

    • @ilynnkawa4038
      @ilynnkawa4038 ปีที่แล้ว

      Am blessed🙏🧎‍♀️

  • @deliverancelifetestimonydl3908
    @deliverancelifetestimonydl3908 ปีที่แล้ว +1

    Kila pando lisilopandwa na MUNGU litang'oka siku si nyingi

  • @joycekaphevemba7215
    @joycekaphevemba7215 ปีที่แล้ว

    Mtumishi mimi huota ndoto za ajabu sana yaani kwa mda wa dakika tano naeza ota nimeenda mahali nimekaa huko mpaka nimelala hkuko na kesho yake nikaamka ...ila kumbuka hio ni ndoto ya dakika tano pekee😂😂 yaani nimenda kwa mtu nimelala mpaka naona ni kesho yake na ni mda wa 5min pekee

    • @salimjulio7421
      @salimjulio7421 ปีที่แล้ว

      Hauko siriasi unacheka Nini .

    • @joycekaphevemba7215
      @joycekaphevemba7215 ปีที่แล้ว

      @@salimjulio7421 nipo serious nacheka tu maana najishangaa but a'm very serious si uongo

    • @salimjulio7421
      @salimjulio7421 ปีที่แล้ว

      Take action my friend.

    • @joycekaphevemba7215
      @joycekaphevemba7215 ปีที่แล้ว

      @@salimjulio7421 Wich action Sasa!! Na sijui nafanyaje

    • @salimjulio7421
      @salimjulio7421 ปีที่แล้ว

      Muone mtumishi wa Mungu.