Huyu Abu ibra anaekejeli simulizi na mas'ala ya makarama ya assayyid umar bin sumeit na kudai eti ni upuzi,niko nae sambamba,kwenye reply mkiingia mtaona mazungumzo yetu,hapo mtamuelewa kumbe apinga kitu asokijua.
Sheikh ni vizuri kuwaeleza mashekh wetu lkn haya mambo ya makarama sio wote wanoamini kuna watu bado majahil inatokea kuwatuka wazee wetu haya mambo yanataka elimu yaani kama kumambia mkwezi kuwa watu wanakwenda mwezini anajuwa yeye ndio mtu wa mwisho anofika juuu nafiki imeeleweka
Abdul gadir Adnan ndugu yangu wacha kuwakwashifu watu na kutumia urongo hio yako ya kusema sheikh taimiya ni shetani na watu wamekula kenyesi chake umetowa wapi unayo kitu ya kuthibithisha maneno yako ujuwe siku moja utahesabiwa kwa kila neno tafauti zenu musifike mahala kuwatukana wengine
alafu hii dini yetu pilau hili kila mtu aje na viung vyake kuviunga mashia na nyie masouf shirka moja Nyote mumenyimwa hidaya na Allah namuomba akuongowen
matus hayajeng tafuta hoja ya kukanush madai yang na wala haitabadilik wew weka katka akil yako t ati hapa pana mtume pembn Abubakar na Omar ati wanaruka na kuimba zikr hata akilin haingii seuze ktka dini inayotegemea kila kitu dalili mnfel hii din kila ibada ina dalili tafta dalil ya ibada yoyot y masouf kma utakut n uchaw t.
Mpaka sasa maskini Abu ibra ameshindwa kujibu na kufahamu maana ya neno makarama aloyaita eti ni upuzi huku akidai eti maswahaba hawakuwa na makarama,kauli zake hizi za ajabu ajabu za onesha wazi akejeli na kupinga asilolijua na kama ni uongo mfwateni kwenye reply mtamuona hana la kujibu wala hajitambui,kinacho udhi zaidi na ndio imenisababisha kumjibu kwa njia hii ni kukejeli jambo hasilolijua khaswa kwa mwanachuoni ya pili ni kujidai kuwa ni mfwataji wa quran na hadithi na wanavyuoni maarufu duniani na vyuo vikuu vya kiisilamu.nimemuuliza ni aya hipi au hadithi hipi au mwanachuoni yupi katika hao anayesema maarufu ulimwenguni hata mmoja amtaje au chuo cha kiisilamu ambapo kunapingwa kuwepo na karama ?hakuweza kujibu.
Seyyid Omar bin Khattab RA alikuwa na karama na hadith sahih zipo. Mara nyingi mtu ambaye hajui huwa mbishi badala aulize afahamishwe au afanye uchunguzi
فعار ثم عار لحسود أبي إبر(ABU IBRA) من حيث أنه يجحد الكرامات و في نفس الوقت لا يدري ما ذا تعني هذه العبارة!؟ومن العجب أن ينكر الشخص ما لا معرفة له ما هو بحقيقته! ثم يدعى أنه من أهل العلم وليس له علاقة بالعلم والمعرفة،ويظهر هذا في مراسلاته معي وسيشهد ذلك المشاهدون أجوبتنا له،مع شتمه وقلة فهمه في معلومات الدينية.فنسأل الله أن يهديه ويرزقه فهما حتى يعلم ما يعجزه فهمه.
Ndugu yng omar mjombo naomba utambue km mitume wao walikuwa hawana makarama bali wao walipewa miujiza kw hio makarama hupewa mawaliii wa Allah na masharifu wake
ما لك ABU IBRA؟ يطلب منك أن تأتي بأجوبة عما سألت تذكر الجامعات!هذه الجامعات لا تهمنا الآن ولا تتعلق بالموضوع الذي نحن فيه.فعار ثم عار عليك يا أبي إبراهيم ABU IBRA! ما لك و جزيرة لامو و بلد منبع الرو (ممبروي)؟اترك الغمط والحسد!إن كنت من المتخرجين في أزهر الشريف أو جامعة الملك محمد بن سعود الإسلامية فأت و لو بالربع من معلوماتك من هذه الجامعات التي ذكرت لنا.
Mashallwa Mashallwa Allah atujalie tuwe wachamungu tuwe na hushuu ktk ibada zetu.
sheikh tunashukuru kwa historia za maulamaa kwa historia unazozitoa sikuwa kuzisikia popote unafanya kazi kubwa allah akulipe inshallah
Huyu Abu ibra anaekejeli simulizi na mas'ala ya makarama ya assayyid umar bin sumeit na kudai eti ni upuzi,niko nae sambamba,kwenye reply mkiingia mtaona mazungumzo yetu,hapo mtamuelewa kumbe apinga kitu asokijua.
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️✨
اللهم اغفر وارحم لشيخ شيوخنا الحبيب العالم العلامة السيد عمر بن الحبيب العالم العلامة السيد أحمد بن أبي بكر بن سميط واسكنه في الجنة آمين
Allahumma aaamiin
Amin
Karama za mawalii
Allah akbar
WALLAHU A'ALAMU BIMA YAQUL
Mashallah
Masha Allah
حفظه الله شيخ سعيد بن عمر بن بسمة
سيد عمر بن سميط ***
Sheikh ni vizuri kuwaeleza mashekh wetu lkn haya mambo ya makarama sio wote wanoamini kuna watu bado majahil inatokea kuwatuka wazee wetu haya mambo yanataka elimu yaani kama kumambia mkwezi kuwa watu wanakwenda mwezini anajuwa yeye ndio mtu wa mwisho anofika juuu nafiki imeeleweka
Abdul gadir Adnan ndugu yangu wacha kuwakwashifu watu na kutumia urongo hio yako ya kusema sheikh taimiya ni shetani na watu wamekula kenyesi chake umetowa wapi unayo kitu ya kuthibithisha maneno yako ujuwe siku moja utahesabiwa kwa kila neno tafauti zenu musifike mahala kuwatukana wengine
Mziki wa nini jaman siuongee pasi nasaut yahuo mziki
Amin
Acheni upotoshaji.....
Abu Ibra kama huna akili wala hutokuwa nayo pima maneno yako kabla hujafungua mdomo wako.
alafu hii dini yetu pilau hili kila mtu aje na viung vyake kuviunga mashia na nyie masouf shirka moja Nyote mumenyimwa hidaya na Allah namuomba akuongowen
Nyinyi mbwa wa waengereza na vibaraka wao.
matus hayajeng tafuta hoja ya kukanush madai yang na wala haitabadilik wew weka katka akil yako t ati hapa pana mtume pembn Abubakar na Omar ati wanaruka na kuimba zikr hata akilin haingii seuze ktka dini inayotegemea kila kitu dalili mnfel hii din kila ibada ina dalili tafta dalil ya ibada yoyot y masouf kma utakut n uchaw t.
shekh unapatikana wapi
Niko Oman
shekh wangu endelea kutuwaiz me na subscribe sana chanal yako
Mpaka sasa maskini Abu ibra ameshindwa kujibu na kufahamu maana ya neno makarama aloyaita eti ni upuzi huku akidai eti maswahaba hawakuwa na makarama,kauli zake hizi za ajabu ajabu za onesha wazi akejeli na kupinga asilolijua na kama ni uongo mfwateni kwenye reply mtamuona hana la kujibu wala hajitambui,kinacho udhi zaidi na ndio imenisababisha kumjibu kwa njia hii ni kukejeli jambo hasilolijua khaswa kwa mwanachuoni ya pili ni kujidai kuwa ni mfwataji wa quran na hadithi na wanavyuoni maarufu duniani na vyuo vikuu vya kiisilamu.nimemuuliza ni aya hipi au hadithi hipi au mwanachuoni yupi katika hao anayesema maarufu ulimwenguni hata mmoja amtaje au chuo cha kiisilamu ambapo kunapingwa kuwepo na karama ?hakuweza kujibu.
Nimetoka kutzama mawaidha ya abdrog ila comment yako ndo ilinifanya nimfatlie sheikh Ahmed bin sumet ila nahuku nimekukuta mungu akzdshie
Achana nae mpuuzi tu huyo atakua ni kafiri coz makafiri nao cku hizi wanasoma quran cesar Ustadh Allah akubarik
Seyyid Omar bin Khattab RA alikuwa na karama na hadith sahih zipo. Mara nyingi mtu ambaye hajui huwa mbishi badala aulize afahamishwe au afanye uchunguzi
فعار ثم عار لحسود أبي إبر(ABU IBRA) من حيث أنه يجحد الكرامات و في نفس الوقت لا يدري ما ذا تعني هذه العبارة!؟ومن العجب أن ينكر الشخص ما لا معرفة له ما هو بحقيقته! ثم يدعى أنه من أهل العلم وليس له علاقة بالعلم والمعرفة،ويظهر هذا في مراسلاته معي وسيشهد ذلك المشاهدون أجوبتنا له،مع شتمه وقلة فهمه في معلومات الدينية.فنسأل الله أن يهديه ويرزقه فهما حتى يعلم ما يعجزه فهمه.
mwatuambia uongo mtume alichanganywa na pazia lilokaa mbele yake wakat anaswal kwakua lina michoro ijekua kikaragos huyo mziki saut ya bilis haimshtui nawap pole walio swalishwa na huyo mchaw
Subhaana llan allah akusamehe
Mtihan sana hawa watu... Kwanza hakuna anaewajua mawalii wa Allah ni mambo ya ghaibu.... Wanawapa vyeo walimu wao mpaka wanakufuru
Shika adabu yako we ndo kikaragos uliopotweza ukapotea
Shia siyo muislamu wewe unaetoa historia hii soma dini kwanza acha habari za kubahatusha.
Said A Lumuli :KWELI SHIA SIO WAISLAMU WANAFIQ .NAHUYU MJINGA ANATOA HISTORY ZA KIJINGA KUSINGIZIA WATU AMBAO WAMESHAFARIKI.
Ndugu yng omar mjombo naomba utambue km mitume wao walikuwa hawana makarama bali wao walipewa miujiza kw hio makarama hupewa mawaliii wa Allah na masharifu wake
Mimi nakubaliana na wewe kama pesa ya komoro ina picha yake kwa nn tusiamiani alikuja tanga kufungua marikazi kubwa ya tamta
ما لك ABU IBRA؟ يطلب منك أن تأتي بأجوبة عما سألت تذكر الجامعات!هذه الجامعات لا تهمنا الآن ولا تتعلق بالموضوع الذي نحن فيه.فعار ثم عار عليك يا أبي إبراهيم ABU IBRA! ما لك و جزيرة لامو و بلد منبع الرو (ممبروي)؟اترك الغمط والحسد!إن كنت من المتخرجين في أزهر الشريف أو جامعة الملك محمد بن سعود الإسلامية فأت و لو بالربع من معلوماتك من هذه الجامعات التي ذكرت لنا.