EXCLUSIVE: KAJALA AFUNGUKA, PENZI LA PAULA NA RAYVANNY, TATTOO YA HARMONIZE..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- EXCLUSIVE: KAJALA AFUNGUKA, PENZI LA PAULA NA RAYVANNY, TATTOO YA HARMONIZE..
MUIGIZAJI Kajala Masanja na mwanae Paula, wametinga katika viwanja vya sabasaba leo Julai 01..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Kajala ukibadilika unakua mwanamke mzur Sana muongoze mwanao vizur
Daah
@@husamshorts950 aa
Mitapeli miwili......wana ganzi hao...they don't feel something called love.
Kajala your a great mum....keep doing you😘 Mungu awasimamie
Kajala unampenda sana mwanao....ongera sana ishi tu maisha yenu wanadamu ndvyo walvyo hawana pema
Bwana Yesu asifiwe dada
Hata hivo niwakawaida sema ninyi mnapenda sifa kiiilakitu kupost mitandaoni waiii🤣🤣🤣🤣 gonga like kama unakubaliana na mm👍
Kabisa
Huyu dada hata akili hana
@@udaku..travel8506 kabisa badala akasome anahanyahanya huku
Aisee wa kawaid kabis Sema mitandao ya kibongo mm
Kwel wao wenyew ndio wanataka
Nawapenda sana kajala na Paula ❤️❤️❤️
Mapenzi ya mama ni mema kajala na mwanao Paula zidisheni maombi Sana n mshkuruni Mungu
Picha inaeza tudanganya kwa rangi all the same she is beautiful
Yes ni mzuri na ana ngozi safi .kuliko zile.editing za insta
Hongera sana kajala mi nishabiki ako japo mshaachana na harmonize nakukubali sana
Safi kajala, kumbatiana na mwanao hivyo hivyooo kwa kila changamoto wazidi kuona wivuuuu.
Mtoto na mama pambeee 🥰😍❤️keep going mama 👌
Kajala uko sawa wote wenye coment nao wana watoto kajala achana nao nakupenda mama wa msimamo mtoto simtumi mm
Paula congrats kwa kuwa your mam n mamako wa karbu sana
paula and your mum i love you so much
Mimi sio msanii ila nakuomba Mtoto usimwongoze kisanii mtunze kama Mtoto wakati wake ukiukosea utaujutia.Mungu akusaidie
Chuiii nexti levo misic na ravnnyn
Acha kumuuza mtoto we mama jimama lenyewe nyooooooooo
Angependa kuwa mtoto wa kawaida angekuwa.
Anapenda to be on the limelight.
Duhu mtoto ana roho saba huyu sasa yule mtoto wa Fahima ndio ateseke kisa huyu mtoto mama ni mvunjaji majumba na mtoto pia mvunjaji baba kimya walai hawa mwisho
🥵❤️❤️❤️❤️ my God I love this family kajala be strong
Mzazi ni mzazi tu🥰 Mungu awapitie mbele
Paula xhem wetu NLM bhana gonga like apaaa 🔥 🔥
Kila.mtu ana njia yake so tusihukumiane nakupenda Paula na kajala..
Huyo Paula hamfikii fayma wa Rayvan kiukweli fayma mzuri haswaaa
Ila ana ngozi nzuri sana saaafi
Fayma mrembo
Aaah wapi dada Paula yuko vizuri utakuwa una upofu fayma mfupiiiiii
Bhana wot wazuri sem paula mzuri san kulik fahym faym ni mweup t,,
Madam kajala big up sana mamaa uko vizuri
Nakupenda sana kajala kutoka rwanda
Ninakupenda Paula na Kajala from Canada
Naona Paula ana anamtumia SMS rayvan njoo huku nipo na mama
Kwakwel
🤣🤣🤣
Nilijua tuuu mtawai
Nawapenda sana Kajala na Paula
Hamna Mama apa😌
Daah mmetisha Sana. Nawapenda Sana🥰🥰
Ni kweliiiiih mm paulah fact
Kubadilika kwa aina gani usemako?kwa maisha haya mnayoishi.Mungu ni mtakatifu usimchanganye na maisha unayotuonyesha ya kulukaluka na mwanao ndo maisha unamfundisha.
Kajala Na Paula nawapenda sn kwakweli🥰🥰🥰🥰🥰
Asante Sana kajala kwakuwachamba wambea
Kama umeona kama mm ista wazungu ila uwalisia wao ndo huu gonga like
Kumbe Sura za kawaida lakini insta😅😅
Kwanza Paula😂😂😂
Mm nawapendaga sana hawa wtu!!
Kwelii kajalaa anampendaa mtoto wakee 😂😂❤️ Niko na boss wangu yeye na msichana wakee nikama pakaa na mbwaa 😂😂😂
Duh
Akusikie huyo bossi wako, kazi huna
Nawapenda xana Paula na mama yake
Safi tufanye kazi tutaheshimika tu barikiwa sana
Did she just apologized for speaking the right Swahili word only to say the wrong one
Leave kajala and Paula to live their lives!
Haoo tu paula na rayvan waringe nikwamudaaaa lazmaaaaa wataachan mapenz ya bongo tushaa yazoweya Hata mama ako kaaachan na konde nawew mutaachanaa fata maisha yakoo usione unafatwa kisa uzuri unao wanaume niwatoto wabaya sanaa
Sasa kajala dada angu umevaa tishirt kubwa umelifunga juu tumbo liko wazi kabisaaa mtoto mkubwa basi ungefanya hivyo ukiwa unatoka usiku mwenyewe kuliko hapo mbona uzungu mwingi 🤔🤔
Yan na iko kitovu na kulishushashusha kutwa utafikili alitumwa
@@deelissa2746 Mtihan
Maman ni Maman wallah ona gis wanapendez adi raha yani mwey nawapend adi raha
Kajala mbona unapenda kutembea na mtoto kwani paula hana marafiki weeeeee🤣🤣😃😃😃
Trend yake hiyo.watu wana hasira nae.watampiga pombe alafu wafanye yao
Kajala nakupenda wewe mdad
kweli my dia nakupenda bure
They are strong
Upo vizulo umewakomesha wambea
Pole
mtangazaji makini.
Nawapenda Sana❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mlee mtoto katika njia ipasayo sisi niwapitaji hapa duniani tusijisahau Leo upo na kesho haupo unajua ataishije na watu wengine
Chuiii nexti levo misic na ravnnyn Chuiii
Kajala nakupenda sana
Jamani akuna mtuu asimpenda mtoto wake ira ndio ivo
Tanzanian version of Iyabo Ojo and Prissy
Nawapend bure ❤❤❤❤
nimeipenda hiyo
maisha yenyew ndo ayaaya. Kula round kajala Acha mtoto aharakishwe
Jamaan chui na tembo mhumarze tofautizenu
Uyu mtangazaji nampenda bureeeeeee
Sema uyu Demu simuoni kama ni mzuri kuliko Fahyma
Mzur
Fahyma mzuri bhana
Wametoka Europe mbona kiswahiki cha kizungu
Mtangazaji ana maswali conky🥂
Aijalishi watakusema nn kipenz Paula mm nakupenda Sana kwanza nataman ata uwe lafiki yangu jamni nivile upo mbali
Nawapenda sana kajala na katoto kazuri
na kukubali kajala kinoma,unaongea sana
Mbona povu jingi jmn ila Mungu amuongoze paula bado mdogo sana
Mama bora si wa vioja mitandaoni bana, mtajikuta mnajuta saaana Ila Mungu anawahusu hasa we Mama.
Kabra ujamfundiaha mwenzio je! Wewe usha fundisha familia yako ama kihelehele kwa wenzenu? Halafu yenu yanawashindika? Akienda motoni siyeye kwani nyie?
@@shabanmanamba773 @Shaban Manamba uko sahihi lakini Mungu kupitia maandiko matakatifu anatuambia kuwa tuchukuliane mizigo akiwa na maana unapoona mwenzako anakwenda ndivyo sivyo muambie na Kwa majibu yako kwangu inaonekana nimekukwaza sana, Samahani Kwa hilo lakini ukweli utabaki pale pale wewe kama ni shabiki wa ujinga unaofanywa kwenye Mitandao na Hata kama moto huuogopi basi niache na kiherehere changu Pia pengine nilichokiandika kinaweza kumuokoa mtu Kwa namna moja au nyingine. Unapaswa kuacha ukuda Pia kupanic kwenye comment za watu. Lakini Utambue tu Mi na familia yangu hatuwezi kufanya hivyo Vioja kwenye Mitandao ya kijamii Hata kama ninavyo kila siku najifunza vitu chanya sana kwenye Mitandao na kuwaelekeza familia lengo kuu la walioanzisha hii Mitandao ni lipi, Acha kukurupuka kushabikia upuuzi.
@@shabanmanamba773 kabisaaa
Huyu Dem ana mdomo mkubwa excess uso artificial sijui Hawa wa TZ wanasema ni mazuri kwanini..
Hata c mzur huyo paula
Ameacha tena kile kitovu chake nje 🙌🙌🙌
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Halafu a nakwambia yeye ni mama bora 😀😀😀
Mh Mungu which Mungu who
Naweza pata usaidi kule wcb?
Usijali maneno ya watu kajala yao yamewashinda .
Kabisa
Hap wote black nashangaa rang ya mitandao na hii tofaut
Hiyo ni agement yangu atulie na mambo y mapenzi
Kajala lea mtoto vizuri
Waaah 🤔
Mbona hawa watu kwenye picha wana onekana weupe ila live wanakuwa weusi daaa edita bwanaa hatari
Hakuna kama mama jamani
Mmmh hamna kitu hapa kwa kajala
❤❤❤❤ my god I love you
Mama ndio umemfanya ajute kuwa Paula na huyo sasa sio mtoto,
Kajala nakupenda sana mm siku yakuonana nawewe mm sijui nitafanya nn nakupenda kajala mm nimama Kama wewe nakula bata nabint yangu nakup enda naandika msg hii mpaka machozi yananitoka natamani siku nikae nawe naiga unavo weka nywele unavoo vaa unaishi nami nafanya hivo ny friend love
Kwani kajala hawezi kuongea taratibu mwe Kama cherehani
😂😂😂😂😂😂wabongo
Like Paula bna namtakie ray kbsa
Umezeeka!!!
Nitambue ww Bado ni mtoto kwani hata kuoga ujui Kuna siku utajuta kwani maisha ni safari ndefu mwambie mama yako akusomeje nitambue kwani wanaume ni wanaume utajuta siku Moja mama yako ajitambui kabisa
NIPO KENYA NAITWA LAVESH MJUKUU MCHONYI MWENYEW NIKO LIVE NAWATIZAMA MTOTO NA MAMAKE WAMEPENDEZA
Nakupenda mama komaa na mwanao
Misingi aliyolelewa kajala ndio misingi hiyo hiyo anayolelewa pau hakuna jipya mama kapigwa na jeshi wakati mtoto anapigwa na van'b adabu itapatikana wapi kiufupi hakuna maadili hapo
Kajala kwanini unamoyo mkunjufu namna hivo naa unashindwa kumsamehe konde ngeng nini kajala?kamahumpendi siumsamehe yaishe nakama humpendi mwambie levi
Fanyeni yenu msiwasikilize watu kajala
Kajala umesema Kweli!!!
Nakupenda sana kajala
Kirahisi ndo ilikua OG so kilahisi
Umefeli kumuongoza mwanao
Huyu Paul hata kuongea hajui...Anaonekana mtu wa matokeo tuu
Yeah kumbe nawe umeona hajui kujielezea kabisa
Mimi namupendaga Kajala. Hakuna binamu aliye mukamilivu.
Kweli kajala
Na akuna kweli mukamilivu, bali kuna mkamilifu
Daaa kapaula kanaongea vizur jmn kapole masikin pole usijute jmn ndy wanadam ata sisi tunasemwa na wasaiz yetu
Wewe Paula achana na mawazo ya watu wewe cha kufanyaa ingia kwenye ngome ya wcb ukakabe nafasi ya mtj