SIMANZI: KUAGWA KWA MIILI YA WANAJESHI 3 LUGALO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ย. 2018
- SIMANZI: KUAGWA KWA MIILI YA WANAJESHI 3 LUGALO
Simanzi na huzuni zimetawala katika viwanja vya Hospitali ya jeshi Lugalo wakati wa kuagwa kwa miili ya wanajeshi watatu waliofariki katika misheni za kulinda amani nchini kongo na afrika ya kati.
#LUGALO #JWTZ
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw
Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL
Website: www.globalpublishers.co.tz
FaceBook: globalpublishers
Instagram: globalpublishers
Twitter: GlobalHabari
Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV
Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK
www.youtube.com/watch?v=L4UGw...
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw
Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL
Website: www.globalpublishers.co.tz
FaceBook: globalpublishers
Instagram: globalpublishers
Twitter: GlobalHabari
Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV
Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK
www.youtube.com/watch?v=L4UGw...
Ni vizuri kuwasaidia majirani lakini tunalipa gharama kubwa mno na mara nyingi hao watu hawana shukurani .. ndugu zetu wanakufa kwa manufaa ya nani?? Je tuna mslahi ya kiuchumi huko?? Tunachimba madini huko? Kwa sisi watu wetu wafe wakati mabilioni ya pesa za dhahabu na almasi zinachukuliwa kila mwaka na makampuni ya wazungu na wanunua hisa wao?? Wengi wa wale tunaowasidia kudumisha amani wanatuona wavamizi! RIP ndugu zetu lakini serikali iache kuwafanya ndugu zetu chambo.. UNLESS tunaenda huko kama PAID SECURITY CONTRACTORS .. na tunalipwa pesa ndefu .. Otherwise tuliyoyafanya kwa waafrika wenzetu yanatosha.. kama bado hawajielewi na wanaendeleza sera za kikabila, udini n.k., wacha wamalizane .. mashujaa wetu watusaidie kuimarisha miradi yetu ya kiuchumi na usimamizi wake .. enough is enough with these nut cases..!
Kweli kabisa Baba umenena Barikiwa
naked truth bro
Joseph Gomalo kwahelimashujaa
Joseph Gomalo ndy (UN)United National iyo ndgu yngu haina jins
mi naona kila nchi ijilinde tu sio kila siku ss tu tumechoka magufuli rudisha wanajeshi wetu watoto wanabaki hawana baba
Kwa uaminifu utii na uhodari nitatoa huduma kwa nchi yang na Africa kwa ujumla... Mungu nisaidie.
Rip soldiers mmepambana vikali na hapo ndio safari yenu ilipoishia mmekufa kishujaa tutawakumbuka daima
Poleni sana wapiganaji, Ni fahari kufa kwa ajili ya heshima ya nchi yako.Pumzikeni kwa amani!
Poleni wafiwa wote, poleni majeshi yetu, mungu azidi kuwatia moyo kwani kifo na msiba havizoeleki.
1992 jaman mdogo saaana polen wafiwa😢😢😢
Innallah wainalilah rajuun , Allah awajalie nuru katika makazi yenu ya milele waumin
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe milele amin
mungu awapokee kwa AMANI tujaribu kuwaombea dua nyingi juu yaoo amina rabilalamina
Inauma Sana, Mungu asante kwa Amani ya Tanzania. Mungu ibariki Tanzania
Tumezaliwa mwaka mmoja,elimu ya msingi tumemaliza pamoja sekondari pia,imeniuma sana pumzika kwa amani pacha wangu
poleni sana wafiwa wote. MUNGU awabariki ameni
Poleni sana JWTZ pamoja na Watanzania wenzangu wote,R.I.P MASHUJAA WETU
Emma Peter sawa
Poleni sana jwtz 2liwapenda BT mungu kawapenda zaidi
so painful.... hawa watu wanafanya kazi kubwa Sana Mungu awalinde... Polen wazazi na ndugu kuondokewa na wake za marehemu Mungu awatie nguvuu
Hapa dunian tulikja kutembea 2 ikufiks SAA ttaenda mbingun
Mungu alaze roho zao salama ,poleni sana tanzania
Poleni wtz kwa msiba
Hii ndio kazi ya jeshi na tunapokwenda kusaidia nasi tunajifunza mengi na haswa mbinu za kivita!!!atuez kuacha kwenda.
george eric wewe huwa unaenda au unaongea tuu
Ni kweli
Pole kwa ndugu na dada wamaremu
Mungu awa rehem
Inasikitisha sana, makamanda wetu, Mungu aikinde familia zenu
RIP commanders of JWTZ
R. I. P mashujaa wetu pumzike kwa amani mashujaa na mmekufa kishujaa.
Polen sana makamanda hii ni safari ya wote japo mmejitoa kutulinda
Watanzania wasiende kule bhana hata kule wanajeshi lao jamani angalieni hii mambo
Mungu awafanyie wepes wapumzike kwa aman
Mungu awalaze mahal pema makomando wetu
Hussen mwinyi wanajeshi wetu wanakufaa tu unalisimamiaje hili ukiwa kama waziri,kuna wajane na watoto walio achwa na wapigania amani?
Poleni mashujaa wote kwa kuwapoteza wenzenu
Poleni
Poleni mashujaa wetu
Poleni sana wafiwa wote Mungu awapatie nguvu
Poleni ndugu
inaumiza sana mungu azipokee roho za marehemu Hawa duu
Pumzikeni kwa Amani mashuja wetu Inauma sana 😭😭😭😭🙏🙏🙏
Mungu simama na familia hizi poleni sana
Inna lillahi wainna ilayhi raajiun mola awalaze pema peponi
Duh!! Inauma saana jaman
huruma jaman....,mpumzike kwa Aman mashujaa wetu😓😓😓😓😓😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole Sana jeshi letu
polen sana wafiwa inaxikitisha sana jaman
poleni sana
Sawa ndo kihapo chakaz pumziken salama mashujaa wetu
Polen wana familia
inauna sana hiiyoote nikulinda raia na malizao, mungu walaze mahala pema pepon Ameen
Ukiona kwa jiran yako hakuna Amani usifurahie hata Siku Moja ndio maana tunashirikiana
mungu nimwema kwa kila jambo pumzikeni kwa amani
Asanti wtz kwav kuunga congo mkono poleni tz
poleni sana families
Inalilah mwende salama
Mungu awapumzishe KWA Amani inauma sana jamani bado wadogo sana A!! Hatuna namna!!
Innallillahi Wainnaillahi Rajiun
Rest in peace our heroes!,
Pumzikeni kwa amani wapendwa wetu poleni ndugu na jamaa na taifa lote
ukiacha nchi JIRANI ishambuliwe na waasi ni rahisi sana vikundi hivyo hivyo vinaweza vikapata njia rahisi ya kuingia nchini mwetu
Waziri mwinyi rudisha majeshi jetu nyumbani hatuwezi kuzika kila siku watoto wanabaki yatima hawana baba zao raisi magufuli rudisha majeshi yetu nyumbani haiwezekani kila siku tunazika kila nchi ilirinde mipaka yao naomba sana naumia roho inauma kuona wanajeshi wetu wanakufa hapana tumechoka sasa enough is enough
polesana wapiganajiwetu
Polen wadungu zetu
mwenyezi mungu awaweke mahalipema ndungu zetu hao
Pole sana Tanzania
Inaumaaa sana
Salute
Inasikitisha jamani wadogo zetu nendeni kwa Amani tutakutana siku ile parapanda itakapolia.
poleni sana ndugu zetu
poleni Sana mlio fiwa mungu awapiganie
Inallilah waina lillah raj uni baba abdul allah hamekupenda zaid
Mungu hawarehem
Rip mashujaa wetu!
its raining everywhere. In Kenya it's even worse,our soldiers are in Somalia battling with Alshabaabs. we only need to pray for them instead of complaining to the government
R.I.P
Mungu azilaze roho zanu mahal pema pepon
Munguazilaze loozamalemu mahali pema peponi
Hizi kazi jamani 😭😭 R.I.P
Daah Rip makamanda wetu
innaalillah wa innaa ilaihi raajiiun.
R.I.P makamanda wetu
R.I.P wapendwa wetu
Poleni
Rest in peace.
Pumzika kwa aman ndugu zetu
Innalilah wainna ilah rajiuuni
RIP
Rip makamanda wetu
R.I.P makamanda ,they did for our best
😥😥😥😥inauma sana
Jamani mtoto mdogo duu
Valentina Mussa
Poleni família zote za wanajesshi lakini tunapaswa kujua aliyewaua tulipize kisasi sio kukaa kimya
Mungu awalehemu
Jaman inauma sana Polen sana ndugu na jamaa inauma sana ila kaz ya Mungu haina makosa pumziken kwa Aman
Maakini kila nikiwaangalia Makamanda wanavyo pita kuwaaga wenzao machozi yananitoka!! Poleni sana Watanzania ote na Wazazi na ndugu wa wafiwa
polen
Pumzikeni kwa amani mashujaa wetu
Inauma sana, Nawaombea Pumziko LA Amani kwenu.
polen sana ndugu wa marehem. mungu awapokee kwa aman na awasamehe pale walipo kuwa na mapungufu Amen👏
DR. LOVE TANZANIA said. S
Hiii hali mpk lini lakini,wanaenda kulinda amani wanaaga familia zao vizuri kwasauti alafu wanarudi hawaongei tena,Mungu litazame hili utusaidie watu wako
Hatakamanikiapo kimezidi inatakiwa raisi aliangalie hilinalo
Tumechoka kuonandugu zetu wakifahovyo kwaninchi inapatafaidagani au,kunamasilahi nchiinapata , raisi uliangalie hili tusijetukawakama Kenya kwaarishababu, Angalia nduguwamarehemu wanavyo tiahuruma ,raisi hiviungekuwawewe ungejisikiaje hiihabali yakupelekamajeshi nchijilani etiunatowamsaada minaona ungeacha
Cathereen Exzavery unaumiza saana
Innalillah wa inna illeih raj'un
sha .
@@davidhizza5577 aje
Huyo mwenye miaka 26 anaanza kazi na kufariki, duh...!! R.I.P makamanda wetu.
Ndo shida ya jeshi ukikatwa bogi huwezi kukataa
Pumzike kwa amani
Daah!! R.I.P Shemeji zangu
mungu awapunguzie adhabu ya kaburi
Mimi binafsi sijapenda huu utaratibu wa kutanguliza mbele watu wetu kwenda kupigwa huko Congo kwaajili ya ujinga wao wa ubaguzi na ukabila khaaaa!!!
Nyinyi wa tanzania simieni hii jambo, kwani adf haiko.Congo, ni uyo Kabila anaunda vikundi vya mambazi, ili uchaguzi usiwe, na watoto wenu wataishia huku
pollen sana
Umesema haki kbs, wa Kongo wana ubaguzi sana nahuko vita vitadumu muwaace kwani hamutaweza kuwa huko milele
R.I.P it is more than pain
inauma sana
Poleni sanaa ndugu wamalehe tumepoteza mashujaa watu
poleni jamani inauma
Mmmmmh poleni wafiwa ..inauma ila hatuna jins hata wasingesafiri wangekufa maana kifo nifaradhi nasio suna.....wanazikwa na viatu jaman
R.I.p wapiganaji mungu awapumzishe kwa a man😪😪😪
Bwana ametoa bwana ametwaa ahimidiwe ila inauma nendeni makamanda
Amen
daaa!poleni famiry
bwana Ametwa jina LA Bwana lihimidiwe
Raha ya milele uwape eee bwana na mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa aman😭🙏
Inauma R.I.P
R.I.P man pumziken kwa aman
Jamani sijasikia .nasikia utakwenda pekeako kbrn ukalele chini azabu ikufae
Hatar
Innallillahi Wainaillahi Raj
Poleni San jaman
poleni makamanda
jamani poleni wake za marehemu nandugu kwa ujumla inauma sana lakn haina jinsi Mungu awemfariji wenu katika kipindi hiki cha majonzi
Pumzikeni vijana wetu mmemaliza kazi tuliyowatuma.
R i p ndugu zetu tuliwapenda ila mungu kawapenda zaidi
R.i.p
R.I.P Kamanda
R.I.P commanders.....
Inaumaaa hd bas na mwanangu anavyopenda hii kaz.wapumzike kwa aman
Jamani mgekuwa mnawapeleka huko wazee vijana wabaki taifa linapata hasara kuwapoteza Vinaja wadogo
Hellen Mgungus umeona ee
Nimejikuta nacheka.. Sasa wazee c ndo watarudishwa maiti wote jaman.. Hakuna mzee wala kijana wote wanauma jaman wakifa
So so so sad