Aiseee hii story aijawah tokea apa ktk Chanel 👌👌👌msipo jifunza apa basi tena kila asikizae story hii then akaenda kwa mganga jua uyo kajitakia mwenyewe...kuna maisha watu wanaishi magumu yamateso ktk ulimwengu mwingine...bila Yesu ni bureeeeeee
.. Un don pour relater ! A real gift to report! Thank you davistar for this wonderful testimony who reveal us the love of God for us.. Kweli, kulala kulamuka ni nehema ya MUNGU.. Apewe sifa na shangwe..
Zablon nyote yako inang’aa sana na Mungu anakupenda na atakuinua sana lakini sujui kama huko mwisho utasema kama umeacha mambo ya waganga. Hakuna msaada wa kudumu kutoka kwao.
Kkkkkkkk !! Hii part imenitach I say hata najiskia munyonge . Yani nilikuwa najua kafaulu lkn nilivyoskia ameonana na ajent aaaaaahhh !! Nimejua kwishaa kumeharibika . Haya tusubiri part 21
@@mashamramba3461 me Pia imeniumiza na zaidi ni babu alivyo fanya uharibifu Ili atupwe shimoni amfwate zabron wawe wote then wanakatwa tena kizembe na sijui kama babu atapona wacha tusubirie sehemu ya 21.
Duu mugangaa hatari anataka hela utafikiri kitovu chake kilixikiwa bank🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa mngeendaa mnyafure nyingi nyingi hata mkienda mkiaguliwaa muwe mko na helaa 😷😷😷😷😷😛😛😛
Aiseee hii story aijawah tokea apa ktk Chanel 👌👌👌msipo jifunza apa basi tena kila asikizae story hii then akaenda kwa mganga jua uyo kajitakia mwenyewe...kuna maisha watu wanaishi magumu yamateso ktk ulimwengu mwingine...bila Yesu ni bureeeeeee
Story nzr sana sichoki kuifatiria na ninashinda you tobe kusubili lkn inacherewa kwangu lkn Kaka tupo pamoja💯💥💥
Lakini Zablon the old man loved u A lot not like ur cruel daddy who mistreated u and treated u like a slave bravo to the old man
الورد الورد very true
David unanifanya niwe Zabron's Story addictive, unajua nilikuwa nahesabu sekunde na bado nimechelewaaa
Wawawaaaaa Tena 🤭🤭🤭🤭🤭Davista story imekua tamu. Drop part 21. Zablon kweli story tamu
Mungu mwema zabron kwa majanga hayo ilabado upo mungu anamakusudi nawewe
waaaa yaani mdomo wenu na mwenzio babu umewaponza tena mkarudi tena gamboshi woiiiii jamani leta eps tuendelee
Mie leo niwakwanza chezeaaa👏
Icho kitabu cha Mama angu anakula nyama za watu nilishakisoma ni stori ya kweli na nzuri sana.
hongera zabron uko poa frm kenya
Shukrani
Msala they back to Gamboshi again what a memories ? From zabron a good touch story DM Mr fact
.. Un don pour relater ! A real gift to report! Thank you davistar for this wonderful testimony who reveal us the love of God for us.. Kweli, kulala kulamuka ni nehema ya MUNGU.. Apewe sifa na shangwe..
Yap yote yaliomkuta alisahau tu kutaja jina LA mungu muumba
Yap yote yaliomkuta alisahau tu kutaja jina LA mungu muumba
Huyu jamaa apenda msosi maana husifia, 😄😄😄
We hupendi
😀😀😀😀
Acha kujifanya bishoo,asiekula Nani,hapo ulipo tu Leo umeshakula hâta Mara 5
Akitaja msosi mbaka mate yana mjaa🤣🤣🤣🤣
@@linazuke5838 😏
Brother Davis king yaani picha kama ya kikorea yaani ndiyo Kwanza kama jumong wamerudy GAMBOSH...... Blessing Sana King Davis
Davistar usituweke hivi huu uhondo hauitaji ku ngoja mda mrefu,
Ila asante
Maskini weeedah ivi Kaka zablon umeoa mh mm ningekuogopa
Sema kweli umempenda?
Mungu wangu umushukuru mungu kwakuwa amewatowa mbari sana
Zablon nyote yako inang’aa sana na Mungu anakupenda na atakuinua sana lakini sujui kama huko mwisho utasema kama umeacha mambo ya waganga. Hakuna msaada wa kudumu kutoka kwao.
Hii simulizi inamafunzo mengi na niliipenda sana
Nilitakusema ndio unaenda kufa kabisa ila nikakumbuka ndio wew unaye tusimlia😃😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣umenichekesha sana mdau😂😂😂😂 ushaifanya kama muvi ya kihindi
😂😂😂😂
kwani hii imekwa series
Mimi kilasiku nachelewa jamani naombeni msamaha
Zabron una kipawa cha kusimulia.
Kajaliwa kabisa
Mwandishi huyo tajir sana ndomana wakulugwa wakamtia mkosi
Thanks for part 20. Keep them coming
Story utasema anatunga kumbe kweli
Pole Sana Jamaa inatisha Salut David
Duh, sasa hapa ndiyo movie inaanza looh, Davistar tuwekee 21 bwana be4 tulale
hiyo wazungu wangeiita INTERMISSION watu wanapaswa warud tena GAMBUSH..Davister aty Aaah!!!....😝😝😅😅😅
number9 na leo sipati notification😢😢😢😢😢😢😢💺💺💺🇰🇪🇰🇪
Tobaaaa pole kaka nin kiliendelea part21 tafadhali yan mm lazima ivyo vitabu nivibate
Mmh story inaamza upya duuh kurudishwa gambosh!!!🙆♀️🙆♀️🇨🇦
Zabroni Mzee wa kugonga Misosi
Mamaa yanguu ?? Hii story kweli itaishaa ? Mungu wanguu
Aiseeee story inaaanza upya #GAMBUSHI tyeeena🤔🤔🤔
Daah kuridishwa tena😳😲
Dah kazi imeanza tena
Ndioooo kwaaaanzaaaa Mambo yanaanza
thanks zabron
Una moyo kweli yani ugumu ulionao napesa bado unagawa hela😹🙏
Naeka uporo mpaka kitrushwe kipande chengine niunganishe nizididi kuona raha
Duuh! Mzee Zabu karudi tena Gambushi...what is next Mr.D
Safi
Mie ndo maana simwamini mti mkavu nawaza sijui nae niwa Gamboshi
😀😀😀😀😀ilo neno
Kbs
Hii story nimeisikiliza na kuirudia! Nitatafuta hivo vitabu!! Vyote viwili!!
Kwa asira🤣
Pili mimimi somoe Amina njoon mazur🇪🇭🇪🇭🙄
✌✌✌😍😍😍
@@bintimrope pamoja 😍😍😍😍
Wooooow nimewahi leo janiiiiii
Like zenu jaman😋😋
Duu! Ule usemi ng'ombe wa maskini hazai ndio unapotumika hapa yani mmehangaika mwisho wa siku mmerudishwa Gamboshi 😰😭
Kkkkkkkk !! Hii part imenitach I say hata najiskia munyonge . Yani nilikuwa najua kafaulu lkn nilivyoskia ameonana na ajent aaaaaahhh !! Nimejua kwishaa kumeharibika . Haya tusubiri part 21
@@mashamramba3461 me Pia imeniumiza na zaidi ni babu alivyo fanya uharibifu Ili atupwe shimoni amfwate zabron wawe wote then wanakatwa tena kizembe na sijui kama babu atapona wacha tusubirie sehemu ya 21.
Hahahha picha linaanza upyaaaaa...gamboshi tena
.mh hatali wakakamatwa tena 😶😶
Noma
zabroni na mimi nina history ila naishi England London itakuwa vip
Njo mwenyewe
Kuludishwa tena gamboshi! Da!!
Lizeeee
Salute.kk
Aisee zabroni anakiherehere kah kashaniboa sasa
🤣🤣🤣🏃 kwnnn??
😘😘😘mambo ni 🔥🔥🔥🔥
Wah!😩 Jesus protect us
Hapo sawa.
davista unajua sn bro
Tuko pamoja mpaka part 100
😆😆
unge fanya move ungeuza kwel
Imeisha patam devi tuletee muendelezo bhana 😘😘
Ninazo miendeoezo
Na kama uko ulaya wewe ni tajir mkubwa mana hiyo stor ingefanyiwa filam moja nzur sana hivi ya vitisho ila dah .tanzania bado tupo tiro
Nakwambia mastaa kwenye redkapet km wangemwagka na pesa angekula nyingi huyu
Itagramau Anatumia jina gn...fb Wengine Atuna
Zabron c mwita
Woooooow nimewahi leo jamaniiii
Karibu nchelewe I say
Hata kama angejipigiza asingeweza kufa kwasababu mwili unaoumia aliuacha duniani. Kule Gamboshi alikuwa katika roho.
Hapo inaogopesha Sana kweli
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli endelea kutusomesha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko
Duuuhhhhhhhh! Leti mmmmm na subiri ila kusiwe mwenye ata kaa kwenye kiti changu icho chambele adi niwe tayari
😍😍😍😍davista
Ooh waoooh
Bro davi fanya episode inayofuata kama huto jali maana ninauchu hatarieee
😂😂😂
Kunakipindi Cha redio Alisha simulia zote zp utubu
Mnakuwa kama majini hamuonekani kabisaaa yani mko mko tuu Ahera Hampo duniani mwatafutwaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaaaa umenichekesha huu msemo leo ndionmepata maana yake yaan unakuwa upoupo
Mzee baba
Mimi wa tano
Duuuuuuhh !!! Yani tena kuregeshwa gamboshi ?
🇰🇪🎤🎤🎤
Gonga like wewee😂
Kumbe tunaibiwa madukani pesa kwa namna hyo.
Simba hukamuliwa kutolewa mafuta?
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aaaaah ingine
davista vp kaka mbona story anairudiya mara tatu ni ileile
Hajawahi rudia kabisa kila kukicha story ni mpia hivi twangojea 21
Doh!! Gambosh tena umerud mweh🙆🙆🤦kwel mlibug
Duu mugangaa hatari anataka hela utafikiri kitovu chake kilixikiwa bank🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa mngeendaa mnyafure nyingi nyingi hata mkienda mkiaguliwaa muwe mko na helaa 😷😷😷😷😷😛😛😛
Pamoja
Yani story kma kawaida kumbuka bado haja amka hapo
huyu jamaaa
awe n mwalimu wariwaya na tamthilia
maaaana n hatarii
🥱🥱🥱duuu tena gambosh ya Allah
Ohooooo mkaludi tena
Tobaaaaaaa!Gambushi tena!
Imeniuma sana kusikia eti wamerudiishwa tena
Tupo pamoja kwenye safari
Hv ana mke?
Yan picha ndo linaanza upya mmerudishwa tena gamboshi🙆♂️🙆♂️
Hii story tamu
Nakubal
Watatu Leo !!
Hongera