Mwaka Jana alikuja na tuzo zake za mtaani Kule marekani.kuna mbongo yupo Kule anaandaa Tuzo Kule marekani akampa basi ilikuwa balaa sasa watu tunajua tuzo tukajiuliza hizo tuzo za nini? Yaani ndiyo nikajua harmonize mshipa wake wa aibu ulishiondoka kabisa.Kiuhalisia harmonize anatakiwa hasipate tuzo hata moja kama Mwaka Jana.Mbosso,zuchu,Mario,Nancy wananyimbo kubwa sana na hits nyingi.
LOL 🤣😂🤣😂 unaditekenya nakucheka mwenyewe, that's a thinking of small minded people, wamarekani, wafaransa, waingereza....wanaandaa events za tuzo kwa watu wao kwanza, lakini in Tanzania baadhi ya vichwa legelege wanadhani ni tukio la tuzo dogo. STUPIDITY IS REALLY A CHOICE
🎉🎉🎉❤konde tuh achukuwe tuzo tano. Akina dainamo alikiba dula ,wasuburi
King tujaee apa Kama ote
Nandy najua atashinda❤❤🇰🇪
Harmo anaenda nazo kama zote izooo
Mwaka Jana alikuja na tuzo zake za mtaani Kule marekani.kuna mbongo yupo Kule anaandaa Tuzo Kule marekani akampa basi ilikuwa balaa sasa watu tunajua tuzo tukajiuliza hizo tuzo za nini? Yaani ndiyo nikajua harmonize mshipa wake wa aibu ulishiondoka kabisa.Kiuhalisia harmonize anatakiwa hasipate tuzo hata moja kama Mwaka Jana.Mbosso,zuchu,Mario,Nancy wananyimbo kubwa sana na hits nyingi.
Mbosso ana nyimbo nyingi nzuri kuliko wote mlitakiwa mumuweke.
Dr mapana. Washauri hao kina severin na wenzie wamuongeze Mbosso kwenye list ya performance.Mbosso in Bora zaidi ya alikiba,yammi,harmonize.
Diamond heshima yako bhnaa utaperfom vp kwenye tuzo ndogo izi mkubwaaa🎉
LOL 🤣😂🤣😂 unaditekenya nakucheka mwenyewe, that's a thinking of small minded people, wamarekani, wafaransa, waingereza....wanaandaa events za tuzo kwa watu wao kwanza, lakini in Tanzania baadhi ya vichwa legelege wanadhani ni tukio la tuzo dogo. STUPIDITY IS REALLY A CHOICE
Wata wezaje kutoa milioni miatano
Konde boy is the best artist in Tanzania anajua sanaaa
@@VeronicaSanga-l4o only in Tanzania ya think he’s the best. You people don’t know good artist.boooooo
@@joyhylton7901 he is the best
King komba zoteee
Tamasha la tatu bado wahajajua ni aina gani ya muundo tunzo watumie bado wapo kwenye majaribio ni kichekesho na aibu sana kwa baraza la sanaaa
Tuzo za mchongo izo bora tuzo za dula makabila harmonize kwa heshima ako bora ungejiondoa
Andaa zako mbwa wewe
Konde boy awezi Ku ji towa apo ata zi tchukuwa zote kwenye kabati
Kiba zote ila shida kawekwa na watoto
Jana niliota nandy anashinda😁🙌🙌🙌
Kwa hivyo hantambui Zuchu na Marioo SnS
Hamo
Tuzo zote za konde period
Aibu CCM na Samia kusapoti Harmonize kuroga kazi za Wasanii wengine kwenye youtube ❌❌❌❌😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nay wa mitego
Kondeboy zikusanye hizo tuzo
Tuzo za kukohoa sawaYule kelele tu. Ana nyumbo ngapi nzuri?
This is trash I would never ever like Harmonize songs. This boy is a thug
Sawa mkamilifu
@@مونيكمونيك-ع1غ English please
👎👎👎👎👎👎👎👎😏😏😏😏😏😏🥶🥶🥶🥶🥶🥶🥶🥶🥶
@@priscamrekoni3451 Boooooooooooook . Me in America think he’s a midget ughh thug
Yaani only in Tanzania harmonize can get a spotlight.Mbosso ni Bora sana sana.