Km itakuwa kwel bas Kajala atakuwa mwanamke wa ajabu kuwah kutokea duniani,,,,Kwa dharau zile mbk kuitwa mama mtu mzima mwiz loooh siwez acha nife kwenye shida😢😢😢
Amani yamoyo sometime inatokana namazingira unayo ishi . Pia nawatu wanao kuzunguruka sio kilakionekacho kizuri eti kinafaa lakini mwanaume ni mtu amepewa ubongo mkubwa sana sometimes haraka haraka haina baraka. Dunia bado inaendelea wala haijafika mwisho kwaiyo unapo patwa na changamoto za mapenzi Niheri kwanza kufuta zubira nakua mvumilivu. Wanawake wapo wengi sana duniani
Kwa poshi queen harmonize alikuwa anapita tuu mapenzi yake yote yako kwa kajala huyu queen hajaimbiwa hata wimbo Mmoja hata range hajawainunuliwa posh queen anatia huruma
What's so special about poshy,harmonize and kajala.Kama wameachana au wamerudiana....acheni uvivu tumieni platform hii kuleta kubwa na zenye Mvuto.Hawa unaowazungimzia ni sawa unawaongelea watu ambao they don't attract any attention.Its common.
Bado nakumbuka bibi yangu akisemawapendanao wawili wakingomba basi shika jembe ukalime 😅😅😅nani anakubaliana na kauli ya bibi yangu 😅😅karibuni popcorn na Chai ya turungi 😅😅
Kiufupi KUMEKUCHA 😎 Bora arudi kwa kajala wakae walipe lile deni analodaiwa kijana wetu, alikula sana pesa za mwana 🤩🤣😎
We shoga nn sasa mwanaume una ogopa kuonga au una taka uongwee wewe na konde boy ufilwee sioo
😂😂😂😂😂
Chenye na pendea iyi channel inatupa vitu viko very true 🎉❤
Km itakuwa kwel bas Kajala atakuwa mwanamke wa ajabu kuwah kutokea duniani,,,,Kwa dharau zile mbk kuitwa mama mtu mzima mwiz loooh siwez acha nife kwenye shida😢😢😢
Inategemea hakuna kitu kisichowezekana
Usiombe situation ikukute, utasahau yote
@@Gulfnas1 kusahau yote kvp
Kweli
Kajala na konde napenda hii couple
Km kweli kajala karudiana nae uyo mama hajielewi sasa
Ww unajielewa
@@BarakaHarrison-l4thaha sawa wifi angu mke wa kaka
Jama mwenye t-shirt nyeusi namkubali sana
Upepooo Ndio unafanyaa Warudiane Huo mshangaziii UNAUPEPOOO SANAAA
Warudiane nitafurai❤
Mtandaoni Pameanza kuchangamka
😅😅😅acha mumakonde ayaone sasa si alimutesa worper eti amapata mzungu badae sarah acha sasa ayaone kajala usikuli
Harmonize ni mshamba wa mapenzi nawanawake wazee hovyo sana kazi itamshimda
Kwani Kua chana ushamba au mshamba we unae sema naizee mshamba kwa sababu kama amuelewani kuachana kawaida au uwa unaolewa au achwiii
❤❤❤❤
Kajala hana hata mapenz anakomoa,,,na kumdhalilisha P MAJANI,,thati inafu
Kajala anataka iPhone 16 n range akishapata tena ivo vitu atamsha Malaika niko paleee👉🏻
Kajala & Raj ni bonge la couple in tizii😘
tatizo nyie wandishi mnawapa sana Air time
Huyo mkaka mweupe nimempenda anasauti nzuri sana
Majina ya WEMA mmhhh!!!sijui mnawema kweli???
Mm apa nipe nomber yako
Angalia ucj kpenda majin Mwehu wee
Tayari kinawasha Sasa...mkipigwa mtungo mnalia Lia????!!
Poshi Hana mguu mzuri. Kajala anamguu mzuri
Nilikuwa napenda kajara na harmo warudishe penzi nilitaka niende kwa mganga kisa posh sikupenda kabisa wawe pamoja ,asante Mungu kwa majibu
Hahaha umenichekeshq
Amani yamoyo sometime inatokana namazingira unayo ishi . Pia nawatu wanao kuzunguruka sio kilakionekacho kizuri eti kinafaa lakini mwanaume ni mtu amepewa ubongo mkubwa sana sometimes haraka haraka haina baraka. Dunia bado inaendelea wala haijafika mwisho kwaiyo unapo patwa na changamoto za mapenzi Niheri kwanza kufuta zubira nakua mvumilivu. Wanawake wapo wengi sana duniani
To be sincere hapa wakulaumimwa ni Kajala kukosa musimamo juu kama kweli anamoenda mwanae basi asingekubali tena 😢it's very shameful as a mother
Kusema ukweli posh na harmonize wanafaana sana ila watu sabababu watu wanataka harmonize asitulie ndiyo wanasabikia hiyo coup ya harmonize na kajala
Mstari wa Harmo unasema. Tuta huwezi kulipigia honi unazani alikosea? 😂😂😂😂😂😂😂😂
Jmn nakumbuka sauti ya sky plzz
Nawakubalii..wazee
Kwa poshi kavuna sana ila Hamo umepoteza sana ila kajala Hamo mshiko ulivuna kajala pia alivuna Yani wote mlipata vipunga
Hata mm nawamini sana ila mm niliona tuu poshoy haeleweki yule sijui nn shida jaman watu mnapedwa hapendrni ni nn hom nipende mm basuone hautajutia
#RECAP pindi mojaa la kinyamwezii
Kwa poshi queen harmonize alikuwa anapita tuu mapenzi yake yote yako kwa kajala huyu queen hajaimbiwa hata wimbo Mmoja hata range hajawainunuliwa posh queen anatia huruma
kajara akirudiana na mdogo wangu nitafurahi sana maana hicho kikatuni chake hakina hata nyotaa
Ameekeza akili kwa wanawake kazi itamdhinda tu hakuna maaemdeleo ya kazi mpuzi sana
Chriz eti wee unaongea nini😂😂😂😂
Kajala kiboko ya hm
Kumeanza kuchangamka acha tuangalie hili picha muhudumu ongeza kahawa please
KUMEANZA KUCHANGAMUKA huko
Kajala anakuja kuchukuwa alicho acha konde atakufa masikini kurudia matapishi niuninga
What's so special about poshy,harmonize and kajala.Kama wameachana au wamerudiana....acheni uvivu tumieni platform hii kuleta kubwa na zenye Mvuto.Hawa unaowazungimzia ni sawa unawaongelea watu ambao they don't attract any attention.Its common.
Ndio kazi yao hio
😂😂😂eti shepu na mzigo jmn nyie nyie😂😂😂😂haya macho yetu
D G kafurahisana chuma
Labda anamroga mm ctoweza kurudiana na mtu aliemtongoza mwangu au ndugu au shoga MUNGU atuhifadhi
Amina, Mie sizani kama kajala atafanya huo upuuzi
Most of time munatulisha fact tupu bila chenga
😂😂😂😂sass kahachika
Kajala 3😂😂😂
Warudiyanetu
acha kulinganicha chep za kuongeza kajala ni shep yake yakuzaliwa huo harmo wakirudiana ni ndoa tutaona hawa watakua kama nandy na billnass
Kajala niyota ya hamo
Mbona harmo aliongea mengi tu Tena ya dharau kajala usirudiane na huyu chizu
Maze kama Jina recap limebowa basi tuliite FACT OF TIME
Harmonize atafute Katoto ka 2000
Je, utamrudia Ex wako au bora kufa?....…..nasoma coment yako ndg mtazamaji 🙄
Bado nakumbuka bibi yangu akisemawapendanao wawili wakingomba basi shika jembe ukalime 😅😅😅nani anakubaliana na kauli ya bibi yangu 😅😅karibuni popcorn na Chai ya turungi 😅😅
Kiki za harmo t kuweka watu attention ya wimbo mpya
❤😂😂
NYIE VIJANA MNASHINDWA KUMSHHURI KIJANA MWENZENU AACHANE NAHAYO MAMIZOGA ANAKUWA KAMA ILE MIDEGE RONDO RONDO ALAFU BADO NI MASIKINI MKUBWA
Siri anajuwa harmonaiz utamu wao wote