BAADA YA MATOKEO SUGU AFUNGUKA YAKE || MSIGWA NAE ASEMA YAKE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi 'Sugu' ameahidi kuwaunganisha wanachama wote kama kazi yake ya kwanza baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo.
Katika uchaguzi huo Sugu alichuana na Mchungaji Peter Msigwa, ambaye amashindwa kutetea nafasi yake hiyo kwa kupata kura 52 dhidi ya 54 za Sugu. Akizungumza leo Jumatano, Mei 29 muda mfupi uliopita baada ya kutangazwa, Sugu amesema kazi yake itakuwa kuwaunganisha wanachama wote baada ya kumalizika kwa uchaguzi huo. Hatua hiyo inatokana na kawaida ya kuibuka kwa makundi wakati wa uchaguzi.
Hongera sana,msigwa ukomavu wako kisiasa ni wakuigwa Hongera
Nilipoangalia ule mdahalo wao niliona kabisa wale wajumbe waliokuwa wanawauliza maswali wamedhamiria kumtoa Msigwa but kwangu mimi naona Msigwa anamzidi mbali Sugu,
Alikuwa na MAPUNGUFU kisiasa pesa NJAA mbele
Weweeeeeee Grace oyeeee God is good All the time!
Msigwa umeonyesha ustarabu mkubwa sana Mungu akulinde na adui zako popote pale ndani ya Chama na inje ya chama
Msigwa ni think tank kubwa ndani ya chadema na hazina ya hekima na busara aliyonayo, ni hazina kwa viongozi vijana wajao
Nakupongeza sana sana msigwa kwa ukomavu wa siasa umeuonyesha wazi,na pia nakupongeza kwa kauli ya hekima ya heshima na ufahamu Ahsante sana
Msigwa yupo smart Sana.
Sugu hongera kw ushindi sugu na msigwa wote ni nyota ni vile TU mwenyekiti ni moja mnafaa wote 2
MSIGWA WEWE KWELI NI MKOMAVU SANA, UNAKIPENDA SANA CHAMA,MUNGU AKUJALIE SANA MSIGWA,
Hongereni sana mh Msigwa na sugu kwa ukomavu Sasa mkayaishi maneno yenu
Msigwa wewe ni kiongozi shupavu sana. Tutumie umoja wetu wa kupambana na hawa wasaliti tukiwa wamoja.
Hongera msigwa kwa uaminifu mkubea ndani ya chama chetu pia hongera mwekiti sugu kwa kuchaguliwa najua wewe nipamoja na msigwa
Hongera mheshimiwa sugu
Huo ndiyo ukomavu waki siasa hongera sana kaka Msigwa hongera sana sugu
Msingwa uko vizuri
Safi sana
Una uwezo kabisa wa kuongoza Chama kabisa nenda kaimba mziki
maneno ya hekima kwa mwanasiasa mbobevu
Barikiwa sana maneno yabusara
Mungu akutunze msigwa
Kilichonikera Sugu alienda kwa staili ya kumchafua Msigwa wakati Msigwa alienda kwa namna ya kujenga hoja
Thank you.
Msigwa anajua kujenga hoja.
Kuunguanisha na makundi yaishie hapo Hapo Ulumbini
Sikupenda jinsi Sugu alivyokuwa anamwatack Mh Msigwa. Something was not right.
Kubali matokeo tuu maneno mengi ya nn
100 steps back ..,chadema tumeanza kuki_shep chama kwa muonekano wa kiccm tumeanza kichwa na kuchagua posho
Sasa rufaa ya Nini?
Kama Msigwa alifanya kazi kubwa,kwa nini SUGU agombee au ashindane nae??????
Kifupi nawapenda
✌️👊👍.
Chama kubwa pongezi msigwa na sugu wote mmeshinda
🙏🙏
Hiki chama bdo saaana 😢
Huo ni wivu tu CCM imechoka iwaachie wengine
Msigwa, tunakazi kubwa kwako inakuja, huko mwachie sugu,,uje makao
Kwanini mmeruka Sugu alipomshukuru Msigwa
jaman tusiwe na chuki
Hii ndo Chadema ninayoijui
Kweli kutoka ktk moyo wako mnhhh sijui ila tusubirie hapo mbele yatakayo jiri
Ushindwe na Dua lako liwe lakuku
Uliona mbali sana mda umesha anza kuongea
Uliongea kama nabii