Wajibu Mwanaume Na Mwanamke Katika Mahusiano. Sehemu Ya Saba Dr Elie.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 46

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 5 ปีที่แล้ว +3

    DR umenyoa umependeza kweli, ubarikiwe kwa mafunzo unayotupa.

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 5 ปีที่แล้ว +2

    i really love this doctor and the whole crew, the way they teach, laugh, kidding etc. Awesome.

  • @georgercosta9271
    @georgercosta9271 3 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana

  • @sylvesternzuluguma8381
    @sylvesternzuluguma8381 5 ปีที่แล้ว

    Hongereni brother jimmy, sam sasali na Dr ellie .Swali Naomba kujua tofauti kati ya zaka,fungu la kumi na sadaka . Swali la nyiongeza nina shida katika kufanya maamuzi katika maisha naomba kujua kanuni zozote za kufanya maamuzi sahihi.Naitwa Ndoza pateli kutoka kijitonyama dar es salaam

  • @silverman6930
    @silverman6930 3 ปีที่แล้ว

    Dr your something Else OmG thanks so much for these videos I’m learning a lot 🇬🇧🇬🇧🇬🇧❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏. Genius

  • @mslady5824
    @mslady5824 5 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana doctor kwa kweli tunajifunza mengi kwa sisi tulio na utayari.Swali langu ni hili umesema kila mwanamke ametoka ubavun mwa mwanaume hvyo Mume/mke yupo Je mtu aliye na utayari wa kuoa/kuolewa utamutambuaje huyo Mme/mke pasipo kumuomba Mungu anayefahamu ulitoka katika ubavu upi? na bible imecma Mke mwema mwenye busara hutoka kwa Mungu.Maana wengi waliokuwa na utayari wa kuolewa/kuoa walifanikiwa na baadhi yaoo wanajihisi wamekosea kutokana na changamoto/majaribu wanayopata.Hili linakaaje doctor.

  • @rehemajohn2339
    @rehemajohn2339 5 ปีที่แล้ว

    Asanteni sana team chomoza kazi yenu ni njema,binafsi ninawapenda sana na ninawaombea maisha marefu.Mungu awabariki mno.

  • @lukmamy6655
    @lukmamy6655 5 ปีที่แล้ว +1

    asante sana nimekuelewa sana Dr Ellie mungu akubariki ssna

  • @swaxvunjaupdate4931
    @swaxvunjaupdate4931 5 ปีที่แล้ว

    mungu awabariki timu chomoza Dr Elie Nina maswali mengi Sana lakini Moja tu kuhusu kitabu kinatoka lini na tuliombali tunapataje

  • @onesmojeremia9713
    @onesmojeremia9713 5 ปีที่แล้ว

    Ahsante,team chomoza kwa mafundisho yenu yamekuwa ya baraka kwangu ,Baazi yetu tunaofautiria mafundisho haya hatupo kwwnye mahusiano,ila tunategemea kuwepo siku sinyingi .Maombi yangu kwwnda kwenu tafadhari Dr atuandalie soma sisis ambao litakuwa daraja kwetu kuelekea kwenye ndoa iliyo bora zaidi.ahaswa pale eneo unapotafuta mchumba ambae baaadae ndiye anakuwa mke wako. Changamoto ya sasa ,nikwamba mm ni MTU Wa kagera alafu nimekutana na MTU Wa mosh labda je. Hapo nawwza kufanye I'll nirrizike kuhusiana na tabia yake familia yake na mambo mengine mengine ili niweze kuwa Hutu katika ndoa yangu.Onesmo kutoka Arusha.

  • @UfalmeTV
    @UfalmeTV 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awabariki Nyote

  • @richardmwaswala11
    @richardmwaswala11 5 ปีที่แล้ว

    Thanks for nice msg, ubarikiwe

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 5 ปีที่แล้ว +1

    Nawapenda nyote....God bless y'all

  • @saulimethod1236
    @saulimethod1236 3 ปีที่แล้ว

    Thanks much

  • @hadijapazia684
    @hadijapazia684 5 ปีที่แล้ว +2

    Ahxante sn Dr Elie, I love u 😙😙

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 5 ปีที่แล้ว +3

    Thanks so much y'all....me ni kijana wa miaka 20 kutoka mbeya city.... napenda sana kujifunza kutoka kwenu ili niweze kujiandaa ipasavyo na ulimwengu....na ningependa kujua zaidi maana ya PURPoSE(kusudi) la kuwepo duniani??!!

    • @charlzzesonconsciousness6685
      @charlzzesonconsciousness6685 5 ปีที่แล้ว

      Nenda kwenye mafundisho ya dr myles munroe youtube kama unajua English utajifunza pia somo linaloitwa the PURPOSE OF LIFE.......

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 5 ปีที่แล้ว

    Asanteni sana chomoza

  • @robertgeorge3563
    @robertgeorge3563 5 ปีที่แล้ว +7

    Mimi Nina tabia ambazo naweza nikaziacha kwa siku kadhaa ila ikifika muda najikuta nimezirudia Tena na baada ya kurudia naumia Sana moyoni natamani niweze kuziacha je? Nifanyeje kuweza kushinda tabia zangu ili niweze kuwa mtu mpya naomba mnisaidie jamani

    • @posmtwaramc314
      @posmtwaramc314 3 ปีที่แล้ว

      Kwa mini Yesu Kristo uokoke atakuja uweza wa kushinda hizo tabia usizozipenda. Hakika utaacha. Thankx

  • @danielulomi8994
    @danielulomi8994 5 ปีที่แล้ว

    asante sana DK.

  • @zakwetuupdate3387
    @zakwetuupdate3387 5 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja Sana chomoza kipindi kizur tumeinjoy Sana bariliwa

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 5 ปีที่แล้ว

    Watu wengi hapa tz wana hii tabia ya kupenda kufuatilia maisha ya watu wengine.

  • @barick
    @barick 5 ปีที่แล้ว +2

    Sawa

  • @faridahhamza8704
    @faridahhamza8704 5 ปีที่แล้ว +1

    Jimmy, Jimmy please muda uongeze unatubana sana

  • @robertgeorge3563
    @robertgeorge3563 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki Dr ila napenda kuuliza juu ya vitabu kwamba vimeshatoka au laa?

  • @mwendaally2826
    @mwendaally2826 5 ปีที่แล้ว

    Asanteni sana, Nilimpenda nikamwambia kabla sijachunguza chochote nifanyeje?

  • @kaiemujaya7697
    @kaiemujaya7697 5 ปีที่แล้ว +1

    Na kama kusudi langu halitakutana na hitaji la Dunia ni kwamba kusudi langu halijafikiwa.
    Swali langu ni kwamba, nikiwa ninaishi, kuna mahali kusudi langu litafikiwa au inawezekana, nikafa kabla sijafikia kusudi langu.

  • @swaxvunjaupdate4931
    @swaxvunjaupdate4931 5 ปีที่แล้ว

    nawashukuruni Xana chomoza mnatufanya watu tuache unafik unaotunyima fursa za mafanikio yetu mungu awabariki

  • @monicamushi3728
    @monicamushi3728 5 ปีที่แล้ว

    Dr kasema Mungu nanampa mwenye utayari kujliko mwenye kuomba swal je??unajijuaje kuwa ww unautayari au la ama unakuwaje na utayariii naomba ancle Jimmy umuulize Dr maana natatitwa sana nahilo swal

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 3 ปีที่แล้ว

    Sauti n ndogo Sana tu napata shida mmno mpk tuingie n simu mpk Chooni jmn

  • @morassamayunga3185
    @morassamayunga3185 5 ปีที่แล้ว +2

    Utayari ni upii??
    #Ukiwa na utayari unakuwaje/unajisikiaje(unajijuwaje na unaonekana vipi utayari kwa mtu).
    Asanteeh

    • @henrymushi8340
      @henrymushi8340 3 ปีที่แล้ว

      Kuna masomo ya nyuma fuatilia utajifunza

  • @work24onme
    @work24onme 5 ปีที่แล้ว

    🙏🏾

  • @monicamushi3728
    @monicamushi3728 5 ปีที่แล้ว +2

    Dr Ellie anasega kuwa baba ndio mlezi sahihi swali je??Kama mume wako kafa nahujapata mwanaume mpaka Sasa inawezekana mtt akawa natabia za kimama au msaada

  • @charlesmollel7887
    @charlesmollel7887 5 ปีที่แล้ว

    Hi,PDG Elie kikawaida ninajua kiuhalisia mwanamke mmoja hamtoshi mwanaume ila tunafunzwa mke mmoja, Mfalme Suleiman,Daudi nk walioa zaidi ya mke mmoja hata viumbe mfano jogoo miteea 10 , swala majike 40nk sasa kialisia zaidi michepuko mingi ktk ndoa inadhibitisha hilo wanaume mke mmoja mtihani je kibiblia ni right au sio right kua na wanawake wengi?

  • @florachrist9602
    @florachrist9602 5 ปีที่แล้ว

    Daah dr.anaongea kiswahil kama kingereza ..mambo ni magumu ...yaan kiswahil kwel kigumu ,,yaan kam unatok darasn ,.,,maan usipoconcetrat uelewi😁😁

  • @faridahhamza8704
    @faridahhamza8704 5 ปีที่แล้ว

    Mimi nakupa 5 distance is important ☺☺☺

  • @noahnsubc1666
    @noahnsubc1666 5 ปีที่แล้ว

    Hahahah eti osha gari mpe aende hautaamini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @majasiriwayesukristo9405
    @majasiriwayesukristo9405 5 ปีที่แล้ว +1

    !

  • @willambwiganemwaiponya9767
    @willambwiganemwaiponya9767 5 ปีที่แล้ว

    Doctor Elie wewe ni kabila gani?

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 4 ปีที่แล้ว

    😂😂🤣🤣🤣

  • @majasiriwayesukristo9405
    @majasiriwayesukristo9405 5 ปีที่แล้ว +1

    ;

    • @titusbuganga1763
      @titusbuganga1763 5 ปีที่แล้ว +1

      Thanx Dr Ellie kwa somo zuri sana mungu akubark

    • @titusbuganga1763
      @titusbuganga1763 5 ปีที่แล้ว

      Naitwa Linda Aron napatikana singida swali langu je ukiona watu wanakuzungumza au kukusengenya nn suluhisho?