#ZaNdaaani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ธ.ค. 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 187

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 ปีที่แล้ว +14

    Shomari Kapombe daaaaaah

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 ปีที่แล้ว +12

    hapa ndo kuna tetesi za ukweli aise 😂😂momo salute aise

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 ปีที่แล้ว +6

    Geita gold

  • @nixnovember
    @nixnovember ปีที่แล้ว +1

    Momo Romano. Keep it up Brother. Tunakuonaaaaaaa🤜🏿

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 ปีที่แล้ว +2

    Daaaaa Tupe iyooo bhana

  • @blackothman7332
    @blackothman7332 ปีที่แล้ว +4

    Kuna mpumbavu apo anaulizwa vilabu viko vingapi et anajibu viwili halafu mchambuzi😄😄😄

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 ปีที่แล้ว +12

    NA NYIE VIONGOZI KANN HAMUWALIPI WACHEZAJI MISHAHARA YAO? NA HUO UBINGWA UTAOUPATAJE? JAMANI WANATUMIA DAMU WACHEZAJI.

  • @davidpyc2392
    @davidpyc2392 ปีที่แล้ว +7

    Mtabaki kusikiliz nchi zingine zikiendelea kimpira zaidi kuliko nyinyi baada ya kuwekeza katika uzalishaji wa vipaji kupitia academy zenu mnabaki kunyemelea wachezaji ambao hawatawez wasaidia kwa muda mrefu na wanao wapa gharama kubwa hongereni mtibwa sugar kwa kuwasaidia vijana wa Tanzania kuijua thamani ya mpira sio kubeba makombe bali kutengeneza watu watakao saidia kukuza mpira nchini🤝

    • @afreemanonline8226
      @afreemanonline8226 ปีที่แล้ว

      Hii msg watumie hiyo club yako nayo isinunue ikuze vibaji kwn shida iko wapi

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 6 หลายเดือนก่อน

      Wenawe! Sijui nikujibu nini

    • @lazarolugwisha5524
      @lazarolugwisha5524 5 หลายเดือนก่อน

      Baka , job, kibwana , kibu umewazalisha wewe

    • @josephwayesu338
      @josephwayesu338 5 หลายเดือนก่อน

      Ligi zote kubwa duniani azitumii wachezaji wazawa ww mpira umeanza kufatilia mwaka gani katika ligi zipo timu ndogo kazi yake kufanya ivyo.lkm kilabu kubwa zote zinatazama makombe nasio kumfundisha mjezaji kujitambua.ukitaka mabadiliko nilazima ukubali kushindana.usijisifu unambio msifu na anae kukimbiza maana usingejuwa Kama unambiao kaka jifunze Kisha ndio coment

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 ปีที่แล้ว +9

    Za NdaaaaaaaaaaaaaN kabisa big show

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana Mayele!

  • @imanhamis7107
    @imanhamis7107 ปีที่แล้ว +5

    Code/mmoja washamchukua

  • @abdurikalimu
    @abdurikalimu 5 หลายเดือนก่อน +1

    Azizik za ndaannnn

  • @remigiusrwechungula7047
    @remigiusrwechungula7047 ปีที่แล้ว

    Chama......

  • @mzeeomary5780
    @mzeeomary5780 ปีที่แล้ว +6

    Chama huyo

  • @user-rw6iz6dc7s
    @user-rw6iz6dc7s 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu bwana ni muongo kupindukia habari zake sio za kweli

  • @salumujaibu8697
    @salumujaibu8697 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nakubali sana 😂😂😂😂

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 ปีที่แล้ว +2

    Ngada weee lipeni mishahara wachezaji wenu.🤣🤣🤣🤣

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 ปีที่แล้ว +3

    Chama huyooo tunajua kitamboo

  • @eleoncejohn3823
    @eleoncejohn3823 ปีที่แล้ว

    Hyo ni Geita Gold.

  • @johnzege209
    @johnzege209 ปีที่แล้ว

    Tshabalala

  • @samiusiraj6769
    @samiusiraj6769 ปีที่แล้ว

    Daaah

  • @davidjohn540
    @davidjohn540 ปีที่แล้ว +4

    Mmoja Fei Kisha wahiwa bado Mayele

    • @Veni584
      @Veni584 ปีที่แล้ว

      Chama

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 ปีที่แล้ว

      Kwahiyo Fei ameshatambulishwa Azam?

    • @askwarysiay635
      @askwarysiay635 ปีที่แล้ว

      Fei hatoki ng'o mtasubiri sana

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 ปีที่แล้ว +2

    Chaumaaaaa

  • @hellymsigala9852
    @hellymsigala9852 ปีที่แล้ว +2

    N chama huyo shenz

  • @thomasluhanga6439
    @thomasluhanga6439 6 หลายเดือนก่อน

    Macha

  • @OswardMwambete-en5uk
    @OswardMwambete-en5uk วันที่ผ่านมา

    Mwamnyeto kendal Sc

  • @robinabomola8030
    @robinabomola8030 ปีที่แล้ว +4

    Mbn watu mnataja yanga kwan hakuna timu yenye wachezaj wazuri

  • @sebammari5443
    @sebammari5443 ปีที่แล้ว

    Mmoja kawahiwa ni Feisal aliyebaki Mayele

  • @abdurikalimu
    @abdurikalimu 5 หลายเดือนก่อน +1

    Azizik kii uyo mpkanleo kagoma kuongeza mkataba

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 ปีที่แล้ว +4

    Acha inyesheee tu🤣

  • @AmaniHittu-qm1fx
    @AmaniHittu-qm1fx 3 วันที่ผ่านมา

    Mwamba anajua

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 ปีที่แล้ว +8

    Simba hao Hali yao tete Sana huko. Mo kachomoa betri. Ila timu zetu wajifunze kutafuta wachezaji wazuri badala ya kubomoa timu nyingi maana hii haijengi ligi yetu mfano Simba na yanga ni timu ambazo zinashiriki michezo mikubwa ya Caf ukizibomoa umebomoa hata zile nafasi 4 za uwakilishi Kama nchi

    • @milikimbembela8670
      @milikimbembela8670 ปีที่แล้ว

      Duh Azam wanabalaa, kama viladmir Putin uvamizi tu kisa donge nono, Simba fungukeni basi watatutia hasara Hawa panya rodi

  • @ramadhanrashidmthailand713
    @ramadhanrashidmthailand713 ปีที่แล้ว +18

    Chama akiondoka sjui viongozi watatuambia nn ili tuwaelewe!

    • @classicboyrahib903
      @classicboyrahib903 ปีที่แล้ว +1

      Ipo hivi
      Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 ปีที่แล้ว

      Mkae mkao wa Kula Azam wanambeba
      Chama na manula

    • @yohanakayinga9279
      @yohanakayinga9279 ปีที่แล้ว

      Mayele wewe

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j ปีที่แล้ว

      @@classicboyrahib903 hata chama

    • @yohanakayinga9279
      @yohanakayinga9279 ปีที่แล้ว

      Umewapa pesa za mishahara mpaka wahanngaike kukwambia ww nani nani unatoa sh ngap 😀😀

  • @mirajilimited8563
    @mirajilimited8563 ปีที่แล้ว +4

    Www mwongo kama simba, yang, azam hakuna

  • @MarkoMgaya-xv3qd
    @MarkoMgaya-xv3qd ปีที่แล้ว

    Chama asepetuu

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 ปีที่แล้ว +1

    Wachambuz wa soka hapo hakunaaa kitu

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 ปีที่แล้ว +1

    Simba haoooo!!!

  • @TwalibuAlbaamiryShoka
    @TwalibuAlbaamiryShoka 6 หลายเดือนก่อน

    Aish Munula

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 ปีที่แล้ว

    Chama wakawaida

  • @renatushaule
    @renatushaule 11 หลายเดือนก่อน +1

    "MWENGINE" "MWINGINE"

  • @felixbenos6365
    @felixbenos6365 ปีที่แล้ว

    Chama kuja yanga

  • @jonaskabonda741
    @jonaskabonda741 ปีที่แล้ว

    Inonga kawahiwa bado Chama

  • @suzancharles1639
    @suzancharles1639 ปีที่แล้ว +12

    Chama huyoooooo😂😂😂😂😂 nyie this life is not fair

    • @frankgeorge149
      @frankgeorge149 ปีที่แล้ว

      sasa tushapata ukweli ni simba hawalipi mishahara🤣🤣🤣🤣

    • @Bruno-ed1ps
      @Bruno-ed1ps 5 หลายเดือนก่อน

      Hata wakimchukua hachezi klabu bingwa

  • @jumanneyakuti3218
    @jumanneyakuti3218 ปีที่แล้ว +1

    Diksoni job ,,🤣🤣🤣huyooo

  • @user-uv2uo2ic2y
    @user-uv2uo2ic2y ปีที่แล้ว

    saluti kwako kado momo

  • @francismwaipopo5046
    @francismwaipopo5046 ปีที่แล้ว

    Makolo hao, Inonga wamemzuia bado wengine hasa Manula

  • @masatumajani8485
    @masatumajani8485 ปีที่แล้ว +7

    Chama huyo ndio anaondoka simba wasiporekebisha mambo yao

    • @masumbukomaganga438
      @masumbukomaganga438 ปีที่แล้ว

      wewe ndo umefungua code yenyewe watag wana thimbaa

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisaaaaaaaaa😂

    • @bulugubujashi6378
      @bulugubujashi6378 ปีที่แล้ว +1

      Ni Dickson job

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 ปีที่แล้ว

      @Majani msemaji wa Simba ndio amekuwa anasema wazi kuwa watatikisa kwenye usajili ina maana we bado hujasoma code tuu???

  • @isayaluvanda8470
    @isayaluvanda8470 25 วันที่ผ่านมา

    Wewe nimuongo sana huna rorote mmekunywa supu mnaropka hovyo

  • @Tchidymbanga
    @Tchidymbanga ปีที่แล้ว +2

    Fei toto Azam kuziba pengo Akaminko, Akaminko na Kipre Jr Yanga, Chama Azam weka kumbukumbu vizuri. Sijui nani kaumia 😂😂😂?

  • @kawanga0073
    @kawanga0073 ปีที่แล้ว

    Mm naona km Job beki wa chura

  • @reillahabiba9923
    @reillahabiba9923 ปีที่แล้ว

    AISHI MANULA TO AZAM

  • @eliamunisinkya5169
    @eliamunisinkya5169 ปีที่แล้ว +5

    Manula hyo naa aslmia 100%

  • @emmanuelgodfreylotti8684
    @emmanuelgodfreylotti8684 ปีที่แล้ว +2

    Sure boy uyo from azam to yanga

  • @Myplusbee
    @Myplusbee ปีที่แล้ว +1

    Ni timu moja tu hapa siku za nyuma ilikuwa inapanda ndege lakini hivi sasa Wachezaji wake wanapandishwa kwenye Eicher kutoka Dar hado Bukoba!! Kwanini tuoneane aibu kuambiana ukweli bhana!!!

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 ปีที่แล้ว

      Acha zarau

    • @Myplusbee
      @Myplusbee ปีที่แล้ว

      @@malopemaliyamungu5243 Dharau kwa nani Kiongozi?!

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 ปีที่แล้ว

      @@Myplusbee Eicher anapandishwa Nani? Hiyo haipo haijawahi na haitatokea.

  • @joviignus1674
    @joviignus1674 ปีที่แล้ว +1

    Manula uyo

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 ปีที่แล้ว

    Ni Dickson job huyo

  • @elishalaurent2892
    @elishalaurent2892 ปีที่แล้ว

    Singida hao

  • @nickdr_tv
    @nickdr_tv ปีที่แล้ว

    CHAMA....

  • @kanyikamasika3628
    @kanyikamasika3628 ปีที่แล้ว

    Inonga kawahiwa ila chama yupo mguu ndani mguu nje

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 6 หลายเดือนก่อน

    Mhhh mambo ya mbumbu mchezaji yupi atanyimwa mshahara miezi mitatu labda hatakiwi tena

  • @eddiemay547
    @eddiemay547 6 หลายเดือนก่อน

    Hao ndo waandishi wa tanzania

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 ปีที่แล้ว +5

    Umeshasema timu zamani ilikua inalipa mapema, na mchezaji wao mmoja wamememalizana, bado unataka kupewa code gani tena hapo? Hao ni Ihefu( hahaha)

    • @lumistarboy8499
      @lumistarboy8499 ปีที่แล้ว

      Makolo na hapo ni chama Inonga tayari

  • @emmanuelhosea370
    @emmanuelhosea370 ปีที่แล้ว +2

    Kakolanya huyo...😀😀

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 ปีที่แล้ว

    Mhhhhh chama huyo

    • @classicboyrahib903
      @classicboyrahib903 ปีที่แล้ว

      Ipo hivi
      Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

  • @kennyndessa2039
    @kennyndessa2039 ปีที่แล้ว

    Air manula

  • @mwitahassan1934
    @mwitahassan1934 ปีที่แล้ว

    Anamzungumzia chama aliewahiwa ni inonga yeye keshasain

  • @f.a6043
    @f.a6043 ปีที่แล้ว +1

    Wacha kelele zako za chura ww🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸👈🏿😂😂😂 kwa vile utoh wamepata changamoto unadhani ni kila team

  • @erickbenedict4943
    @erickbenedict4943 ปีที่แล้ว +5

    Uyo mchezaji alishawahi kupita kwenye hiyo club,momo akajibu alipitaaa.....Manula no doubt

  • @mbelwamadiwa3334
    @mbelwamadiwa3334 ปีที่แล้ว

    Huyo ni job na azam

  • @mikidadijoseph5612
    @mikidadijoseph5612 ปีที่แล้ว

    Kolo mtalia

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 ปีที่แล้ว

    Ndio. Kazi. Zenu. Umbra. Kama. Wakezeni. Wachakuku. Watupuu

  • @user-tw9nc5cq2t
    @user-tw9nc5cq2t 5 หลายเดือนก่อน

    Singida je huyo mchezaji ninani

  • @amannesphory7343
    @amannesphory7343 ปีที่แล้ว

    Manula huyo

  • @VMGAfrica
    @VMGAfrica ปีที่แล้ว +3

    Mlete #Bangala #Simba Imeishaa Hyo

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 ปีที่แล้ว +2

    Utopolo ndio hawalipi mshahara

    • @saimonijonas1471
      @saimonijonas1471 ปีที่แล้ว +1

      Umekaririshwa bila kufanya uchunguzi.nikusaidie ili uumie sio uelewe.
      Simba wamemuwahi Inonga bado Chama.Inonga alitaka kuondoka dakika za mwisho wakamuwahi.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 ปีที่แล้ว

      UTOPOLO VISHAHARA VYAO MKIA WA MBUZI HAWASHINDWI KULIPA.

    • @muddyville
      @muddyville ปีที่แล้ว

      Yanga hainaga shida hiyo sasa hivi. NGADA ndo kuna changamoto.

  • @issajuma8297
    @issajuma8297 ปีที่แล้ว

    Umbea waachie wadada aupendezei unaongea vitu bila ushaid udada uo

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv ปีที่แล้ว

    simba mbn code nyepes iyo

  • @nationalparkofafrica2184
    @nationalparkofafrica2184 ปีที่แล้ว +3

    jamani Mayele kama akiondoka yanga 🙆🙆🙆🙆

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 ปีที่แล้ว

    Ricardo momo,,,,

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 ปีที่แล้ว +1

    Simbwa hiyo mbona tushajua

    • @f.a6043
      @f.a6043 ปีที่แล้ว

      🐸🐸🐸🐸 machura yanalia tu

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 ปีที่แล้ว

    Anawaongopea mjinga huyo

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 ปีที่แล้ว +2

    Kama Kuna timu ya namna hiyo ni wapuuzi sana , matajiri uchwara waondoke timu ibaki pekee c mashabiki tubaki huru na timu yetu.

    • @davidmyale9496
      @davidmyale9496 ปีที่แล้ว

      Ukibaki huru na team yako utaipa pesa ww 🥱

  • @ashasaidi1895
    @ashasaidi1895 ปีที่แล้ว

    Manula ameongeza mkataba wa miaka mitatu msimu uliopita kwa tsh ml 300 bado miaka miwili nanusu chama nae bado miezi 20 mkataba wake kumalizka hzo story tu za mitandaon hazina ukweli

  • @EnockSDady
    @EnockSDady ปีที่แล้ว

    Manula huyo Bai Bai simba

  • @enockjuvenary9553
    @enockjuvenary9553 ปีที่แล้ว +1

    Code, washachukua mmoja mwigine wanammendea

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 ปีที่แล้ว

      KAMA MMOJA WESHACHUKUWA BASI UTOPOLO HIYO.

    • @classicboyrahib903
      @classicboyrahib903 ปีที่แล้ว +1

      @@salimmalaka256 Ipo hivi
      Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 ปีที่แล้ว

      @@classicboyrahib903 akili kubwa sanaaaa

  • @jailosibrahim88
    @jailosibrahim88 ปีที่แล้ว +2

    Hata mm naijua hiyo chama anataka kwenda azam baada ya kushindikana kwa inonga

    • @f.a6043
      @f.a6043 ปีที่แล้ว

      Labda Utopolo 🐸🐸🐸👈🏿😂 na manyele wenu🐸😂
      Uto - manyele =🐸 👈🏿🤣

    • @jailosibrahim88
      @jailosibrahim88 ปีที่แล้ว

      @@f.a6043 mbona unatumia nguvu kubwa kwan shida iko wap

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 ปีที่แล้ว

      Chama huyo ni kweli kabisaaa
      Ushafungua code kaka

  • @damarygaratulu9135
    @damarygaratulu9135 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa na domo Lake kubwa muongo kinoma

  • @samwelrevocatus1218
    @samwelrevocatus1218 ปีที่แล้ว

    Hizo za ndani mbona zinatisha kama ni kweli

    • @Elizabeth-fu3ze
      @Elizabeth-fu3ze ปีที่แล้ว

      Hawana cha maana cha kuongea ktk mipira ya bongo! mishahala sasa sisi ndiyo tunawalipa!si muwambie viongozi mafumbo ya nini wewe mwanaume

  • @faustinesamani6359
    @faustinesamani6359 ปีที่แล้ว +2

    Mayele jamani ni mvumilivu miezi tatu no mshahara anaishi kwa kula chips dume ah Azam mchukueni tu kwa kumsaidia.

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 ปีที่แล้ว

      Hiv unajua mchezaji wenu Chama inadai miez 3🤣🤣

    • @classicboyrahib903
      @classicboyrahib903 ปีที่แล้ว +1

      Ipo hivi
      Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

    • @energeticmbn4596
      @energeticmbn4596 ปีที่แล้ว

      @@classicboyrahib903 😁😁😄 kama kweli hivi

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 ปีที่แล้ว

      Pole sana Mayele.

    • @hagaimadonda9145
      @hagaimadonda9145 ปีที่แล้ว

      @@classicboyrahib903 kweli kabis ndo mana khalid chukuchuku alivomuuliz momo akasem alishawah kupita iyo timu.. Uyu ni manula tu

  • @DM_15
    @DM_15 ปีที่แล้ว

    Kamasio kapombe au manula

  • @husseinkassimu2714
    @husseinkassimu2714 ปีที่แล้ว

    We dogo ni mshamba tu coz unajificha ficha ww niutopolo tu kama utopolo wengine kua free acha kujificha tunakuchukulia kama punga jiachie acha uzezeta

  • @aminaally7622
    @aminaally7622 ปีที่แล้ว +1

    Kama ni kweli azam wana ushenzi wa hali ya juu cjui kwann wametuanza cc kwa fei sahv wanaingia kwengne wanakera hawa jamaa kisa wanahela

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 ปีที่แล้ว +1

      Mpira pesa mbwa ww

    • @aminaally7622
      @aminaally7622 ปีที่แล้ว

      @@afterfull-time1348 mbwa baba ako na mama ako waliofanya umbwa wqo wakakuzaa ww mbwa mtoto shenzi kahaba uso mteja

    • @suzancharles1639
      @suzancharles1639 ปีที่แล้ว

      Ngoja wapigwe kwenye mshono😂😂😂😂😂

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 ปีที่แล้ว

      Azam hawana pesa,kama wanapesa kwanini wasiende kwa Yanga wakamchukuwe Fei na baadala yake wanafanya mizengwe kumchukuwa mchezaji kweli wana pesa haooo!?
      Hahahahahaa!

    • @askwarysiay635
      @askwarysiay635 ปีที่แล้ว

      Kweli Azam hawana hela wabakia kama vibaka wanawasubiri wachezaji uchochoroni🙈

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 ปีที่แล้ว

    Mpole kuja simba

  • @classicboyrahib903
    @classicboyrahib903 ปีที่แล้ว

    Ipo hivi
    Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

    • @hassankilongo8061
      @hassankilongo8061 ปีที่แล้ว

      Ni Chama sio Manula.

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 ปีที่แล้ว

      Hivi huyu Manula anatimiziwa mara ngapi juzi tu hapa kafanyiwa kila kitu labda ni mwingine.

    • @pascalburah297
      @pascalburah297 ปีที่แล้ว

      Upuuzi mmja uwo msiishi kwa kukariri mrudisheni kwanza feisal

  • @wequd2
    @wequd2 ปีที่แล้ว

    UYO NI MANULA

    • @ramadhanhamis4839
      @ramadhanhamis4839 ปีที่แล้ว

      Manula mpaka 2025

    • @wequd2
      @wequd2 ปีที่แล้ว

      @@ramadhanhamis4839 kama hujalipwa kwa miezi 3 mkataba unavunjika automatic ndo sheria znavosema

  • @cat-kr1ro
    @cat-kr1ro ปีที่แล้ว

    Manula au zimbwe au kapombe

  • @geshommwazembe7632
    @geshommwazembe7632 ปีที่แล้ว +4

    We jamaa hatarii

  • @jrkessy3011
    @jrkessy3011 ปีที่แล้ว +1

    #simba hiyooo

    • @f.a6043
      @f.a6043 ปีที่แล้ว

      Machura 🐸🐸🐸🐸🐸yanalia tu

    • @almasiahmed547
      @almasiahmed547 ปีที่แล้ว

      Huyo ni chama poleni cmba ila c MNA saidoo anaweza kufanya kazi za chama

  • @barakamando2706
    @barakamando2706 5 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi mkuda huna lolote

  • @meshackmwalongo1753
    @meshackmwalongo1753 ปีที่แล้ว +1

    Mwongo wewe tushakujua sikuhizi.