Wanaume sio wakuwategemea sana ukizaa mtoto wakiume umuombee kwa allah apate mwanamke mwema ndo utafaidu la sivyo akipata mwanamke mshirikina ndo kama haya hata kwetu yupo ndugu yetu hataki ndugu wala kabila lake na anasema anajuta kuzaliwa na ktk hii familia ila tukumbuke haya maisha ya dunia ni mafupi sana yasituhadae
Kai anaharibu utamu wa movie hayo mafunzo yahii movie ilikua inakuja vizuri ila ep 25 nahii Kai waaaah Ila Acha tuone mwisho😂😂😂😂 nawafatilia nikiwa kenya❤
wuuuwi Gay umenipoo sana kwa episodes zenye zimefuatana haki unafanya nimeanza kukuchukia na vile nilikuwa nskupenda, kwa kila movie nikikuona nilitaka tu niwatch yote
Hii move wameharibu hao watu wengine wanatokea wapi yaani mgefanya maarifa mkawatoa wale wadada ambao hapo sirias mkawaweka ambao wapo siriasi ili move yenu inonge mnazidi kuongeza watu mmeiharibu hii move
Dakh kai mazure mazure yakikutoka käi utakuja juta käi pole sana ila candy mnafiki sana unajifanya mwema ila candy lichá kwamba nimchezo ila sijapenda tabiya yako dakh
Hii filamu inafunza kwakweli hapa kwa huyu chiko mnapswa wanaume mjifunze kitu tulieni kwenye ndoa zenu kuna maradhi😢 Kai hujainuwa thamani ya baba utakuja kujuta badae majuto n mjukuu😢 natamani kuita baba mwenzio 😭💔 zuu pole wapitia magumu ila utapona tuh Mungu Yuko nawe🙏💕
Whatsapp group la house girl fans 👇👇
chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl
Tunaochukizwa na matendo ya candy weka like hapa
Ucjal
Yaan Ile siku dawa zitaisha atajutia😂
Nachukia kwa vitendo vyake
Haki ya Mungu
Alafu ubaya zaidi Kai haelewi
Kai nilikua nakupenda lakini leo nimekucukia kabisa umeniumiza jamani
Hata me nimemchukia🥺🥺
Wa kwanzaaa nlikua naisubiri kwa hamuuu❤❤❤
Hawa wengine wakina nani tena alitaka kumbaka mwenzie
Sijawaelewa bado😊
❤❤❤❤❤
Ss huyo mganga kawaroga watu wote ht marafiki mana watu wote hataki ht kuwaona anawafukuza hyo marogo ya mapenzi au uchizi kabisa
🤣🤣
Hii move ck iz haielewek watu wapya muv inakua chapwa zinakuja stor zisoeleweka
Jama kai anazid uchiz kuliko zuu
Next episode plz ❤❤❤❤
❤❤❤
Jmn nimewah naomben like zangu
Yan cand ata akijitahid kujifunza tabia ya zuu ana shidwa
Ata mm leo nimewai
❤❤
Kai kumbe ww ni mpumbavu hivyo
Jaman wanawotak km da zuu atarud kweny hariyake yakawaida wek like hap 😢😢😢
Kama na wewe ulali bila kupata hii House Girl nicheki
🤣🤣
❤
Mambo
🎉🎉😂😂😊
Mambo na uko mkoan gan
Tangu nianze kwangailia Leo ndo nimewai jamn mniulumieko mnipe likes
Nice
❤❤❤❤😂
Nakubali sana kazi zako nzuri sana na kwakweli unaweza kufika mbali zaidi ya hapo
😊😊😊🎉
Like za mavi wwe angalia video uende zako mkojo
Haya kila mtu wa kwanza yeye anataka like..haya mimi wa mwisho nataka like pia😘😘
Usijali mpenz 😂
Tokea candy aende Kwa mganga nimeboeka
❤❤❤❤
@@JemimahNzai-j3khata Mimi nimeboeka jaman 😮😮
Jamani wanani wako tiyari kusubiri namba 27 tujuwane kbs 😂😂😂
Mimi jamani
@@merryelias2403 kwel usijali wataileta karibuni
Candy ile siku kai atakugeuka utashangaa utaona moto
Jameni namhurumia kai yaani amemkana mzazi wake bila ata huruma walia kai ningekua apo ningekunyonga kimya kimya tena ki movie movie
😂😂😂😮.
Movie zuri sana🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tunao kelwa na matendo😢ya kendy naomba weka like hapa
😭😭
wakwanza leo like za kenya pamoja na team strong
Anna Giza CBB material
Wa kwaza jamani mnipe likes zangu
Wamwisho kilasiku nipen bas like za kuchelewa😅
Shoga leo umepiiga magoti😂😂
🤣🤣🤣
Wakwanz naomb laik
Like zenu ata 1000
Kwani ni chakula😂😂😂
Jamani kendi yote hayo ni ww😢😢😢
😭😭
😢😢😢😢
Jaman kwahiyo mimi ndio sipati like 👍 😢😢
Wajinaaabana😂😂😂😂😂😂
Watu hawalali duuuu sikubali kushindwa lazima niwe best three follows of House girl
Kai kweli umelogwa ukalogeka looh,,,candy unadhambi kubwa sana aiseee😢😢😢😢
😭😭
@@busatitv pole bhana usilie ndio maisha😂😂😂
😢😢😢😢Atayalipia maumvu candy 😢😢😢😢
Candy Siku zamwiz ni Albain daw Yako inachemuka 😢😢
Kay weeee haya yangu macho utajutia jiliii
Hatakama ni kurogwa Kai umezidi ....😅
Yan balaa ak mganga ole wake
😂😂 kabisa
Wah hk inaniuma sana lakin sawa tu🎉🎉🎉
Hongern sana guys but mungekua munayuletea ata vipart viwili man movie nzuri ata sitamn iwe inaish haraka😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
candy kwa kuigiza duuh😂😂😂😂
Oi wa kwanza naombeni like zangu 🤣
🤣🤣💪💪
Watu amlali mpo macho kweli
Wakwanza Leo jmn😂😂😂😂
Love this movie ,am watch from Kenya,gen z forever
😂😂😂😅😅😅
GenZ forever
Wakwanza leo team glaf mpooo❤❤❤❤🎉🎉🎉
Naona mambo ni fire❤❤ thenks dj
254 niko live naomba like
🙏🙏
Wanaume sio wakuwategemea sana ukizaa mtoto wakiume umuombee kwa allah apate mwanamke mwema ndo utafaidu la sivyo akipata mwanamke mshirikina ndo kama haya hata kwetu yupo ndugu yetu hataki ndugu wala kabila lake na anasema anajuta kuzaliwa na ktk hii familia ila tukumbuke haya maisha ya dunia ni mafupi sana yasituhadae
Chezea dawa wewe kai amekua nyuki
Kai anaharibu utamu wa movie hayo mafunzo yahii movie ilikua inakuja vizuri ila ep 25 nahii Kai waaaah Ila Acha tuone mwisho😂😂😂😂 nawafatilia nikiwa kenya❤
Ishaanza tutuboo kabisa kwani movie nyingi siku hizi lazma kuingizwe tu ushirikina
Mambo zenu watanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 wezanguu naombeni Iike ata 16 na mimi nijione mtu 🎉🎉🎉🎉🎉
Tunao kesha kwa muendelezo tuna enjoy wengine zam yenu ni kesho inshallah
Kha kaz yenu umbea tu kuoga aaaah!😂😂😂
Jamn Leo nimewah naomben like 10 t
💪💪
Good job@@busatitv
Congratulations kwa movie nzuri jamani
🙏🙏🙏
Wakwazda leo twende nalo
Kweli 😢😢 Kai umekorokwa akili vilivyo....ila candy, sijui siku dawa itaisha nguvu utakuwa rafiki wa nani....
Atauramba mkavuu nayy barabarni huko tutamuona tuu 😂😂😂😂😂😂😂
Ata rafiki yake ashamruka😂
Hata mkipost saa nane mm nipo macho bhana
😂😂😂😂 jamani
Hulali😅😅😅
@@saumodzumbo9671 hakuna kulala bhana
@@saumodzumbo9671 🤣🤣🤣🤣
@@pendohylida5893 nilikuwa namuombea zuu apone ila daah sijamuona jamani😭😭😭
wuuuwi Gay umenipoo sana kwa episodes zenye zimefuatana haki unafanya nimeanza kukuchukia na vile nilikuwa nskupenda, kwa kila movie nikikuona nilitaka tu niwatch yote
Na mbona huyu amekaribushwa vizuri kuliko wengine?? Kendy mbinguni hauendi😂😂😂😂
Yan daah imeonekana fup Kwa kuweka ivo vipande jmn Sasa ndio nn
Wa kwanza leo hummm nimeotea
254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kendi,Hiyo ni iwe ni ku act tuu bt isiwe ndivyo ulivyo katika maisha yako halisi,Maana duuh una roho mbaya kwa kweli.
lakin mtu hawez ect kitu ambacho si huruka yake
9sec nafika nimeidakia juu jamen tujuwane team Zuuh japo tupo kweny hal mbaya 😢
Wallai nasinywa lkn tuwe na Imani mnafiki candy vimrudie na Kai aregeshe ufahamu aoe zuu atimue candy😢😢😢😢
😢😢😢😢😢Mie moyo una maumivu kw ajil ya zuu na babake kai😢😢😢😢
@@mwalisuleih1164 😰😰😰
Zuu yuko wapi sasa sijapenda
Lovely….
Leo nimewai nipeni maua yangu
𝕂𝕖𝕟𝕕𝕪 𝕤𝕚𝕜𝕦 𝕪𝕒𝕜𝕠 𝕚𝕥𝕒𝕗𝕚𝕜𝕒 𝕦𝕥𝕒𝕝𝕚𝕒 𝕜𝕒𝕞𝕒 𝕞𝕥𝕠𝕥𝕠
Mm candy simpendi mwanamke mnafiki sana
Daaaah maisha haya jamani 😢😢😅😅😅😅❤❤❤
Leo na mm nmewai
Congratulations 🎊 khai mungu akutangulie na team yko 💜🙏
🙏🙏❤
Mungu amsaidie mzee
❤️❤️❤️❤️❤️
Nyieee kendi anaota au 😊😊
❤❤❤❤❤❤
🥰🥰❤❤
Hongereni wapenzi ❤❤❤🎉🎉🎉
😅😅 candy panya wewe.. umemrogà kai akili maamuzi yake yanàkerà sasà😭😭😭me nitalià kiukweli ukweli mjue😢
Akuna kitu kibaya kama laana ya baba😔😔😔
Kai 😢😢😢😢nawe kendy chako kii motoni
Jamani hadi huluma dada wakazi mapenzi yalikuwa yamesha noga
😭😭😭
Candy leo ni dada wa kanisa anaongea vizuri
🤣🤣
Hata mimi pia nimewah leo
Like
Nawafatlia kwa ukalibu sana
❤❤❤❤
Tunaendelea vizuri 🎉🎉🎉
Me wakwanza nipe like zangu
Wacha wee nimejaribu kuwahi❤❤❤❤
Leo nmewahi nipeni laik zangu
❤
Sijachelewa sana 🔥🔥🔥
💪💪
Bo@@busatitvbona mnaongeza wp
Leo nimewai mapema nipeni like zangu
Mje mnipe like❤❤ nAwapenda wote
Hii move wameharibu hao watu wengine wanatokea wapi yaani mgefanya maarifa mkawatoa wale wadada ambao hapo sirias mkawaweka ambao wapo siriasi ili move yenu inonge mnazidi kuongeza watu mmeiharibu hii move
Hongera kwa kazi nzuri Ila tunaomba mda uongezwe ni fupi mno leo hata zuu sijamuo na umesha isha mmmmmh
Muda ni mfupi, afu inapoteza mvuto kabisa
Cand usisahau penzi la dawa halidumu dawa ikiisha ukali utatamni ardhi ipasuke😂😂😂😂
Waaah hii moto
Nakoswa usingiz nikikoswa hii
🙏🙏
Dakh kai mazure mazure yakikutoka käi utakuja juta käi pole sana ila candy mnafiki sana unajifanya mwema ila candy lichá kwamba nimchezo ila sijapenda tabiya yako dakh
hata mimi hapa nimewahi
🙏🙏
Hii filamu inafunza kwakweli hapa kwa huyu chiko mnapswa wanaume mjifunze kitu tulieni kwenye ndoa zenu kuna maradhi😢 Kai hujainuwa thamani ya baba utakuja kujuta badae majuto n mjukuu😢 natamani kuita baba mwenzio 😭💔 zuu pole wapitia magumu ila utapona tuh Mungu Yuko nawe🙏💕
Amina 🙏🙏