Dah baba Joan kweli na kubali Sana kazi zako nawa fwata 5/5 kutoka drc Congo 🇨🇩🇨🇩, alafu yule binti mwanafunzi kwakweli ni mrembo Sana angekuwa karibu na mimi ninge mtongoza❤❤ nawa takiya kila la heri kwenu.
Baba joan hakika mimi ni sijawai kukosa tazama kazi yako na kila kazi huwa ni nzuri hivyo basi kwa binafsi mimi naomba utoe mwendelezo wa mali za marehemu kwani nijifunza kitu kwa series hiyo naipenda kweli kutoka MUSOMA -MARA .
Cinema hii nimeipenda sana,,, zidi kugrow na kutupa content nzuri zaidi kila siku. I love your great work from here at university of eldoret, Kenya ❤️ Mungu awabariki siku zote
Kipenzi ata yeye kakosea maana uwezi angalia season ya kwanza mpak hyo afu full mv si inakuwa ni Ile Ile ko bando linaenda mara 2 ila nimeenda kumtazama mwisho kabisa ila ilipaswa hii story aitoe kwenye season ya 4
Asante sana Comred Emmanuel Nchimbi, umeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hao vijana limbukeni wanaodhani siasa ni tiketi ya kufanya uharifu wachukuliwe hatua. Hayo ni majambazi yamejipenyeza NDANI ya vyama kuficha uhalisia wao. Hata hivyo tabia zao halisi hatimaye tunaziona kupitia matendo na kauli zao.
Ushaanz kufelii make unaanzisha ki2 hukimalziii eleweka mm nikajua naftilia mali za urithii tena umetoka umeinhia kwingine angalia mashabiki tunaftiaga sanaa
Dah baba Joan kweli na kubali Sana kazi zako nawa fwata 5/5 kutoka drc Congo 🇨🇩🇨🇩, alafu yule binti mwanafunzi kwakweli ni mrembo Sana angekuwa karibu na mimi ninge mtongoza❤❤ nawa takiya kila la heri kwenu.
Inssa,manssaly
Movie nzuri kiukweli inavutia hongera kwake baba joani
Like zangu jaman wapendwa maana sijawahi kupata like leo na mimi iwe siku yangu ya kupata like
Kazi njema
Ni moto sana hii
Baba Joani unajuwa papa
Mke wa baba joan jamani❤❤🎉🎉
Kaz nzur sana Yan
Baba joan hakika mimi ni sijawai kukosa tazama kazi yako na kila kazi huwa ni nzuri hivyo basi kwa binafsi mimi naomba utoe mwendelezo wa mali za marehemu kwani nijifunza kitu kwa series hiyo naipenda kweli kutoka MUSOMA -MARA .
Huyo bint mzur sana🎉
Cinema hii nimeipenda sana,,, zidi kugrow na kutupa content nzuri zaidi kila siku. I love your great work from here at university of eldoret, Kenya ❤️ Mungu awabariki siku zote
This is awesome this movie is nice
Kaka johan ukovizur
Wakwanza Leo naombeni like zangu much love from Kenya 🥰
ok mamboz
Chukua
Uwe unamaliza movie baba Joan, finishing Yako hàtuielewi, Mali za marehemu hujamaliza bado
Baba joani naombeni likes zangu from 🇰🇪 idd mubaraka nyote baba joani family
Sijakuelewa
Minacitumiyaayo
move kali sana hii
Nashangaa wengne cjui mnaonaga nin Kwan hamuon kama Mali za marehem haijaishaa mbon mnasifia Kaz ingne wakt ingne bado
Auna baya baba Joan aki mwlm mgn🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hiyo nokal🎉🎉🎉
Ba Joan jikaze mwanaume kwanza nazikubal saana kazi zako utafika tu uendako
Na imani hii kazi utaimaliza tena kwa uzuri kabisa
Hii itaisha nimeongea nae
Ogera baba Joan tuna kukubari sana
❤ injoii move Iko vizur
Sas wew baba joan unafel hujamaliza mali za marehem unatuletea mpya tutakuwa atutizami
Mbona unaongelea movie iloisha angalia hadi full movie uelewe ni tatizo la kiufundi sio yeye
Kipenzi ata yeye kakosea maana uwezi angalia season ya kwanza mpak hyo afu full mv si inakuwa ni Ile Ile ko bando linaenda mara 2 ila nimeenda kumtazama mwisho kabisa ila ilipaswa hii story aitoe kwenye season ya 4
mmh enaleta utam
Tatizo lenu series zenu mnaishia njian hatuon mwafaka
hii nimeipenda inafundisha sana bba Joan ila shida hujui mtu niwa aina gan kibinadam ni haki kumsaidia mtu akiwa hajiwez
Asante sana Comred Emmanuel Nchimbi, umeonyesha ukomavu wa kisiasa.
Hao vijana limbukeni wanaodhani siasa ni tiketi ya kufanya uharifu wachukuliwe hatua. Hayo ni majambazi yamejipenyeza NDANI ya vyama kuficha uhalisia wao. Hata hivyo tabia zao halisi hatimaye tunaziona kupitia matendo na kauli zao.
Baba joan Ss Mashabk zako ase Nisaidie namba ya huyo jini😂😂
Wa Kwanza Leo naomben lake zangu😅😅
Movie ninzur kweli
Kazi nzuri sana story safi
Xxvdeo
Xxx
Xxxxx
Xxxxx
Abihudishonza
Congratulations 🎈👏
Ni nzuri kweli
Ala nomaha sana
Kazi nzuri sana baba Joan
Baba John mbona sasa humalizii kazi sasa ata hii atuna imani ka itaisha ak ila mali za marehemu ilikua tamu sana🎉🎉🎉
Nilikuwa nimepoeka na nyinyi juu amumalizi movie
Poleni sana jamani mkuu 😢
Wigwa nigwa nahene lolo
Ba Joan angalia kuna kitu anataka kutoka kwako
Kaziyako nzuri sana
Kali sana
Asee mkuu vipi 😅
Baba jon unatuchanganya movie zako huzimaliz unaleta nyengine malizia kwaza
maliza mobie baba hii mambo ya kuruka itakufanya ukose ubunifu kwa kazi zako
Safi sana mwanangu Nice comment
Wewe sio shabiki ungefatilia vzuri ungejua kipi kilitokea hadi hajamaliza movie angalieni full movie
Hongera Sana Baba joan
Napenda Sana move zako
Uyu baba ana move MZr ila amalizii hata mama mkwe pia mwalimu mgeni
For sure karibu kumalizia movie zako am here waiting for Mali ya marehemu naomba umalizie
Baba joan ww nakukubali san ❤
Movie nzuri xna kiuqweli inavutia much love ❤️❤
Malizia kazi Baba Joani kua mbunifu maan muv unaruka hatukuelewi
Kazi safii
Na wapenda sana❤🎉
Vp wadau
Good job god blessed
Well done 👍
Very nice
Anafanya poa sana❤❤
NAONA MNALALAMIKA KUHUSU MALI ZA MAREHEMU LAKINI ALISEMA KUNA TATIZO LA KIUFUNDI LILILOTOKEA HADI HAJAMALIZA KWANI HAMJAANGALIA FULL MOVIE??
kusaidia ni vizuri lakini inawezakuwa bala
Umetisha
Vizuri umsaidie🎉🎉🎉😢😮😅
Biti kama zakwenye movie zakanumba yani nimoto 😊😊😊
Naomba like na mm sijawahi pewa like, kitu cha idd mubarak 2024 hii kwa babajoan
Like hunaenda kuziuza ama
@@graffinamisi ndiyo nauza
Bila music movie zinapendeza .sass kwa nn muweke muziku.munakelaa
Sasa upewe like wewe za nini wewe ndo umpe Baba Joan like 😂
@@numpefikimwaipopo baba Joan lazma nimpe like mapema sana yani haipingwi kwasababu kazi zake najitahidi kuzifuatilia sana pia nazikubali sana
yes iko mwwwwaaa
❤❤❤❤
Poleni sana jamani 😭
Mudy matuluuu
Unajitahd lkn baba joan
Hii ni nzuri sana nimeipenda
wa kwanza Leo aki naomba like hata kumi 🙏🙌🙌
Congratulations
Nice
Saf kbs😢😢❤❤
Ama kwel nimaabu
Great video
So lovely ❤
Nakukubali baba joan🎉🎉🎉
Ww baba Joan utafanya mashabiki wako wakutenge Kwa hivo unavofanya humalizii kazi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Good job
❤ good job ❤❤❤❤❤
kipindi hiki moto sanaàaaaaaaasss
weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
rada nzuri kweli
NEW EPISODE WAAAU❤❤❤
Like siyo mchongo sana ila Awa jaamah awajuwi kumaliza kazi zao
Binge la burudani
Asee 😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mbona hujamalizia mali za marehemu jamenii,,anyway nipeeni likes pia 😊
Baba Joan mbon hujamalizia Mali za marehem
Huyo mke wako ana roho mbaya
Baba Joan kazi zako ni nzuri sanaa Ila uwe unamaliza kazi maana hata Mari za malehemu hujamaliza
kaz kaz
uku nikubya
Movie zako ziko Sawa
Patronaiza pamoja sana kwa kipaji chako hakukubali sana
Huluma mda mwingne zinatuponza jamani 🎉🎉🎉
Like me kazi nzuli baba joan
Wow mashallah❤❤❤❤
Huyo msichana ni karembooo waah😂😂😂❤
Si ukampose
@@FatimaAli-of4gh Talk English please🥺
@@PetertheSeer1
Kwa nini nizungumze English na mimi mswazi 😀😀😀
@@FatimaAli-of4gh because I already like you💪😂
@@PetertheSeer1
Mimi sijui kingereza umemanisha nini
moses
❤❤❤
Waiting for episode 2
Ushaanz kufelii make unaanzisha ki2 hukimalziii eleweka mm nikajua naftilia mali za urithii tena umetoka umeinhia kwingine angalia mashabiki tunaftiaga sanaa
Uwe unamalizia movie baba Joan unatuacha pazuri kisha tunajua mwendelezo unakuja kumbe hakuna 😂😂mali ya marehemu niliipenda basi tu😢😢
Jaman huy dad 😂😂😂🤣