kikulacho ki nguon mwako ukiona cha nn wengini wanafikili watakipata lini dada mtu kakipata apo je unathemaje maua mmeo yupo kwa dada yako yy ndo anajua thaman ya noely kama unakubali mahusiano ya noely na dada yake mauo gonga like hapa
👑 King umenipa raaahaaaa hakika muvi ndio imeanzaaaa kuwa tamu machozi yalikuwa kwako sasa yamebadilika yamekuwa kwa Maua ,wasukuma huwa tunamsemo tunasema " what goes around,comes around" big up brother 💪
Daaah kwkwli mmbaya wako ni yule wa kalibu yako jmn sio sawa dada mtu kutoka na mume wa mdgo wako jmn tena mume bora hata angekua awara duuuh htakama mdgo mtu anakosea haikutakiwa ifikie huku jmnii😢😢😢
Hivi hii tabiya yakuomba Iikee hinamaanisha nini maan watu badaIa msapoti hii movie mnakazi kuomba Iikee mnaziIa au pongezi zenu watu mIiopo humu ndani movie yenu ni mzuIi Iakini mnajisaau sana sijuw kwa nn na waIe hakina maua bado mpo😂😂😂😂😂😂😂
Huyu maua nisikia lakufaa mwanamke mbumbavu huvunja ndoa yake kwamikono yake mwiwili mtu akivumilia naakisema basi huwa basi kweliii ilaa unachelewesha kaka❤❤❤❤❤
Na hii imeenda hata nami nipo na frahaa kbao kwa mazao wangi mie nafhani hii ndio filamu bora zaidi katika Africa nzima yani upande wa mapenzi hii imetisha sana moyo n nyama sio chuma na wote wanaotaka kuingia katika mausiano au walioko kwenye ndoa hii hapa ndo kiboko sasa
maua kipenzi unavyo jisikia na mwenzako alikuwa anasikia hivyo hivyo kwasasa mahaba ndindindi kwa dada ako ukikiona chann mwenzio wanajiuliza atakipata lini
WANGAPI WAME ISUBIRI KWA HAMU🙃
Mimi apa unachelewesha sana
🖐🫡
Sema bro unachelewesha Sana mpaka tunaisahau tulipo ishia
Jitahidi kuwahisha, unachelewesha mno kuitoa
Nakubal kamand
Episod ya leo muda mwing umetumia kwa maua ambapo hakuna chq maaana bwana aeunga mkono.gonga like apa
Ila yeye ndio ana ye zungumziwa kwenya movie ndio mana
Move ni nzur sn King Noely ila ni fupi san.......mnaomba tuongezewe dkk dondosha like hapo
Like ya nn sasa
Dk zote izii ndugu
umetuchereweshewa sana king
Mapenz ni gems kweli kama tumaamin bas tone apa
Team strong, team Gaidi, team Fulus naomba Like zenu❤❤❤Mungu Atuwezeshe kuanguka na Free Wi-Fi
😂😂tupo apa
Tupoooo tunainjoi baada ya mibinuko 😂👌
Tupoooo nawakitufingia tuna scn kwa jirani 😂
😂😂😂😂tupo
Wakwanza kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪nipeni likes zangu
Waooo
Sasa wangapi ni wa kwanza yawa😂😂😂
Za nn
Unyama sana leo wa kwnza ku Comment naomba like zangu kutoka bukoba
Ivi mnatakaga like zanini ebu nichanuene
Tulisubiri hatimae kitu hichoo,,, mwendelezo usichelewe...😅
@@Feitpatrishia Huwa tunazipika alaf tunazila then tunashba wiki nzima hatujala
Maua na mumewangu kitu kimoja kuleni chuma hicho noely now u make me happy @team fulus nipeni like nawarch nikiwa hamam
😂😂😂😂😂 shakala hajawah kosea
Saf sana bro umetisha sana muache maua na kinyeng,emulo chake tuliza nafs yako 🎉🎉🎉🎉🎉 ila unachelewesha game
Hiyo simu ya maua ni kama niliokuwa nayo zamani, wakati naanza kununua simu nilinunua hiyo ❤, kumbe bado ziko 😂😂😂😂😂.
kikulacho ki nguon mwako ukiona cha nn wengini wanafikili watakipata lini dada mtu kakipata apo je unathemaje maua mmeo yupo kwa dada yako yy ndo anajua thaman ya noely kama unakubali mahusiano ya noely na dada yake mauo gonga like hapa
Nilihisigi tu itakuja tokea hii
Wale tunaosema mkali kazama kwa Dada ake maua dondosha like
.kwli ndo kinachotokea
Wawe wanawahi jmni et
Wangapi tunaikubali love stor hii gonga like
👑 King umenipa raaahaaaa hakika muvi ndio imeanzaaaa kuwa tamu machozi yalikuwa kwako sasa yamebadilika yamekuwa kwa Maua ,wasukuma huwa tunamsemo tunasema " what goes around,comes around" big up brother 💪
Nampenda msukuma wangu ananijar siwez kumcheat ata skumoja sijui maua anakwama wap
WE king wewe unapenda tukuachie mafilamu yako uitazame mwenyewe tunakupa onyo WE endeleya tu kukawa tu regarderas seul tes séries
😅
kama unakubali mapenzi ya noely na dada yake maua gonga like hapa
Kwako mapenzi ni nini? Maua ana mapenzi kwelii? Sidhani
Daaah kwkwli mmbaya wako ni yule wa kalibu yako jmn sio sawa dada mtu kutoka na mume wa mdgo wako jmn tena mume bora hata angekua awara duuuh htakama mdgo mtu anakosea haikutakiwa ifikie huku jmnii😢😢😢
Kabisa huyu kaka hana mapenzi na dada mtu bali anamchezeya na kumkomowa tu
@@AaaAaa-s7e yni nsifche imeniuma utafikili nikweli kumbe ni move to ila kiuwalisia sio vzur jmn
❤Leo nan amekoshwa kama mm
Kama unahisi mme wa huyu malaya kalala kwa dada mtu nyoosha mkono juu
Mi nilijua muda tu kutokana na ushauri anae mpa mdogo wake nikajua tu Kuna kitu
I was waiting for episode 12 like crazy..... thanks for always doing great things... keep the good work.
Wa pili toka Congo 🇨🇩
Aisee hatuwataki nyie na makanisa yenu
Mchizi kaamua hongera ,ulikua ukiniumiza kwa vitendo vya maua leo nafurai sana .
Duuh kweli bongo ni rahisi sana ex wako kuwa shemeji yako 😅😂😂😂😂
🎉
Wa mwisho jamnii na Mimi naomba like zangu 😅😅😅
😂😂😂😂😂dah kumbe inauma eee heb dondosha like mliofurah we lala mme wako atarud😂😂😂❤
Safi sana dada muondoe mawazo uyo kijana
Mana maua akingemua kweli
Hivi hii tabiya yakuomba Iikee hinamaanisha nini maan watu badaIa msapoti hii movie mnakazi kuomba Iikee mnaziIa au pongezi zenu watu mIiopo humu ndani movie yenu ni mzuIi Iakini mnajisaau sana sijuw kwa nn na waIe hakina maua bado mpo😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Bora umeulizaa
Me pia huwa najiuliza wanazipeleka wp😅😅
😂😂😂😂😂waenda fungulia biashara
Nmekuwa wa kwanza naomba like zenu
Et hz like huwa unazipeleka wp
Wow 🥰 for the 1st time kuona a smile on your face king Noely.Soo lovely and interesting series.
Mapenzi ni game kwa kweli mauwa ujui thamani ya mumewe
Tuliokuwq Tumeisubili kwa Hamu hii move tukutane kwenye comment na Like
Dakika 10 sehemu moja umefeli king
Sana kipande kimoja dakika nyingiiii😢
Umkomesh mauwa kabisa bila huruma ❤❤😊
Kweli Yan so poa
Duuuh bola umeachia mzee tumesubr kwaham dude ili asant kaka
hii movie ni nzuri na inafunzo nmeipenda kwa kwel
Kiukweli ni mume amejua kunifurahisha duuuh❤❤❤🎉🎉🎉
Nimesubri mpaka bas but kazi nzur sana king noel really appreciate that ❤❤❤🎉
Ntumie no ako sof😮😮
@@pabloescober6709 tuma yako
Movi ni nzuri lakini mnachelewa hadi hamu inahisha
Leo nimechelewa jmn mnipe hizo like nikalipe deni 😂❤❤❤
🤣🤣🤣
Huyu maua nisikia lakufaa mwanamke mbumbavu huvunja ndoa yake kwamikono yake mwiwili mtu akivumilia naakisema basi huwa basi kweliii ilaa unachelewesha kaka❤❤❤❤❤
Movie Kali sana sema mnachelewesha sana broo ila nakubali
Hahaha😂😂😂 ubaya ubwela nice xana king noel
Atisha xana noely
Shemeji amekuwa babyi namba zote kapewa ❤❤❤ amani ya baba yetu ipo kwa shangazi yetu
😂😂😂😂😂
Na hii imeenda hata nami nipo na frahaa kbao kwa mazao wangi mie nafhani hii ndio filamu bora zaidi katika Africa nzima yani upande wa mapenzi hii imetisha sana moyo n nyama sio chuma na wote wanaotaka kuingia katika mausiano au walioko kwenye ndoa hii hapa ndo kiboko sasa
King Noel unachelewa kutoa move mzee tunasubilia Sana jitahidi kuwahi alafu ziwendefu basi fupisana hizi
bro keep it up unajua sana tena sana
Mnachelewesha sana wakuuu
Dada Mkubwa kaliamsha Dude; Bonge la Twist Kama Kiboko ya Wachawi
Nzuriii saaaan tunaomba dakika ziongezewe
Kwa kweli mm nilisahau kabisa kama kuna hii movie mmmh jitahd bhn utafanya watu waanze kuchukia bure😢
Wengi2 tunaisubili kwa ham 7:42
Kwann mnatizama huu mchezo alafu hamlike
Yaan mnachelewesha Hadi mnakera aise
Usikasirike take heart 😂😂
Hadi nimenuna an😂😂@PhoebeOdera-kl3ip
King 👑 kama King
Unakela apo kwa uyo dada dakika nying mmetmia kumuonyesha yeye tu imekela sana apo Joel
Ukisikia kipogo cha mburu kenge ndoo hii kilichompata maua 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
☺nilihisi tu mwamba anapata faraja kwa dadaake maua, nimeipenda bure new couple🥰
Mwanamgu unachelewa sana kaka mbaka tunasahau
Maua kweli we maua hay Baki na maua Yako liyataka umemliza vya kutosha mkaka wa watu jmn daa pumzika kweny kiota ukipendacho❤❤❤❤
Haya sasa ubaya ubwela 😂mauwa sasa yamekugeukia tena kwa sister ako mpendwa naombeni like basi hata 5
Mm sana..it teaches a lot to appreciate
Kweli uy king naomba namb zake man kweli anajua kupend
Unyamaaa Sana piga na mimba kabisa
Finally I can see Noely smiling haya basi next
Mda mwingi imechukua kwa maua haijawa vyema sana jitahid kaka
Kwake panamuuma safi ajifunze alivyomtendea
Nakubali huo ni unyama king ana moyo wa uvumilivu
Wa kwanza Leo. Nipeni like zangu
Saf sana shenz dawa ya mwanamke kibur muibie mumewe🤣🤣🤣
Daaaaaaaaaa hatar sana uko vzr king
wakanza kutoka Burundi 🇧🇮 nipeni like zangu
Hii haipo sawa hata kama anakosea mdogo ako uwez kumfanyia ivi bora kama sio ndug yako mnaitana beby kabsa😩😩😩😩😩🤦😢😢
Wenzio wanashushia najuice kabisa wa fanya kesi ambayo ulisha jibu. Kuwa umemchit mara nyingi kakusamehe.
nilikuwa nasubiria maua aumizwe tu mm,kwa kwel aliniboa sana
Nimekukubali sana hii movie lakini pia king Lionel una moyo maana huyo MAUA Sio mtu POA kabisa
Daaah umepindua meza kibabe umetisha sana broo
Usiwe unachelewesha utam move nzur sana hii
Aki kweli mkuki kwa nguruwe kwa binadamu uchugu vile uyo mdada alikuwa akimtesa uyo mjamaa aki Acha alipize Sarah kutoka kenya
Ni nzuri sanaaa
Kwa mara ya kwanza kucheka kwa sauti 😅😅😅
Hakika mwanamke mjinga huvunja ndoa yake mwenyew kwa mkono yake akiwa na akili tmamu ndo maua😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa huu ujinga dakika 8 zote tunaangalia sehem moja
Walai😅😅
Nilikuwa naisub kwa ham wallah❤❤❤❤
Nilikuwa naisubr kwa ham mie❤❤❤❤
Hata mm nimefurahi sana mauwa kitakuramba😂😂😂😂
Wakwanza nipeni like zangu
Yani nzuri sana
Waiting for episode 13 and more
maua kipenzi unavyo jisikia na mwenzako alikuwa anasikia hivyo hivyo kwasasa mahaba ndindindi kwa dada ako ukikiona chann mwenzio wanajiuliza atakipata lini
Nikiambiwa nichague moja mpk tatu wewe utakuwa namba moja, namba mbili, namba tatu..😋nakupenda….3
mbona vipande jaman nifupi ongezeni dakk bas ❤❤
Mnacherewa sana wakuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yani Leo nimefurahi sana❤💃💃
Mnachelewesha sana kaka mpaka tunasahau et
Nice
ee! king ww ni mcute uko wapi nikutafute😂
Ndo uachage umalya mtoto mzuri lkn mshenzi jmn.mauwa kweli ata ufanani
Sijapenda content Dada hakupaswa kufanya hvyo ila ilitakiwa atengenez hata kwa mbinu 😥
😂😂😂 nimefurahii kinomaa.yn hapo ni utamu juu ya utamu.bro kula maishaa maana ushatendwa vya kutoshaa.🎉
Weuwéeeee mauwa kazi kwako mume kaenda
Kubababake leo king umenifuraisha atariii❤❤❤